Mimi siyo mfuasi wa chama bali nilikuwa mfuasi wa marehemu Maalim seif ALLAH amfanyie wepes nakusudia kusema Wapemba muungeni mkono mwinyi CZ anaihurumia Pemba km ilivyokuwa anataka iwe Maalim
Jamaa zako zote wanapinga hizo.wamekaa kama wanga mana mwanga hapendi maendeleo japo kidogo.nafsi imejaa choyo na hao hao ndio wa mwanzo kutumia na kuharibu