Mimi na jiuliza hivi vyombo vya habari vyetu kuhusu hii interview havijuwi thamani yao? Ninacho jiuliza hii interview muulizaji ni mmoja mwazo mpaka mwisho, kwa mantiki hiyo hii ni interview ya chombo cha huyo nae uliza. Sasa hizo microphone nyingine za nini, na laajabu mtu mwengine analeta microphone yake wakati ushapita, dakika tano mpaka saba. Kama itakuwa nime kosea nijuzeni nielewe.