Тёмный

LIST YA WASANII WENYE SHEPU MBAYA ZAIDI BONGO,ZUCHU AMEONGOZA 

THE THIRD TV
Подписаться 180 тыс.
Просмотров 73 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 сен 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@winnieshume6438
@winnieshume6438 Год назад
Pia wakitaka shape wanaeza nunua kama wengine, let's say like Zuchu she has money n she can afford it but anataka kuwa natural ❤️❤️
@dama4995
@dama4995 Год назад
Ukimaliza kutuonyesha maumbo ya wenzako tuonyeshe na shape yko maana nikama watu walijiumba wenyewe😏😏😏
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ Год назад
Nmeenda Uturuki
@sheilachebet1076
@sheilachebet1076 Год назад
Yeah true
@Tabkelaal
@Tabkelaal Год назад
Washenzi saana
@miriammumbi4351
@miriammumbi4351 Год назад
🤣🤣🤣
@neemasamson314
@neemasamson314 Год назад
Huyu dada mwenyewe mtangazaji mi namfahamu ni kimbaombao hatari naye yupo kama zuchu tu nayeye,
@progensia9852
@progensia9852 Год назад
Acha dharau hijui Mungu anakuchukuliaje
@gaudensiaselemani6608
@gaudensiaselemani6608 Год назад
Yani wew dada ume niboa sanaa aisee
@jacklinenkirote7378
@jacklinenkirote7378 Год назад
Hivi hofu ya Mungu mlipeleka wapi? Mungu aliumba kila mtu na akapendezwa na kazi yake, akasema inapendeza. Wewe ni nani uje kukosoa kazi ya mungu? Kiukweli adui ya mwanamke ni mwanamke mwinzake. Nakuombea dua Mungu akupe ufahamu. Ujue huwezi panda juu kwa kushusha mwenzako. Nkt
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Hatari ntanzaniya mekosa kazi mungu ndo anaumbA tabiya mbaya sana wewe mtangazaji
@winnyrose4477
@winnyrose4477 Год назад
Hapana Kila umbo mwenyezi mungu ndiye hupeana
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 Год назад
Wee pepo mchafu mkosoa viumbe vya mwenyezi mungu, ebu tuonyeshe pics zako siajabu umekomaa mpaka mate
@jescajuma1908
@jescajuma1908 Год назад
Mmmh jameni....ama una mkosi na zuchu....aki napenda sna shape ya zuchu
@lucykiwelu4451
@lucykiwelu4451 Год назад
Kila alichokiumba MUNGU ni chema na kinapendeza, shauri yako mtangazaji
@Nikita_8017
@Nikita_8017 Год назад
Don't criticise what God the Almighty has created
@iamzayibra2554
@iamzayibra2554 Год назад
Sure
@user-ox6ow1zq9u
@user-ox6ow1zq9u 3 месяца назад
Jamani mungu awasamehe kweli. Mulijiumbia wangapi 'yinyi. Muna muzarau mungu. Mina APA kweli! Mungu awasamehe sababu hamujuwi munalo litenda. Ww ulie muzuri kifo kisi kukute. Jamani imeniuma.
@happynzisa6463
@happynzisa6463 Год назад
Wewe Aliya una shape nzuri
@deboraelias3333
@deboraelias3333 Год назад
Mmh Mwenyezi Mungu tusamehe cc waja wako
@Tabkelaal
@Tabkelaal Год назад
Umeniudhi saana dada
@thurearimo1224
@thurearimo1224 Год назад
Mungu haezi kukujaalia na vyote vzur duniani akikupa hiki atakunyima hiki,cha msingi nikumshukuru.
@neemasamson314
@neemasamson314 Год назад
Kweli kabisa upo sahihi
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Staafirulllah stafirulllah
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Год назад
Astaghfirulwa
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 Год назад
Mungu kawaumba hivyo sasa wafanyeje
@demicratia4071
@demicratia4071 Год назад
Elizabeth ni mchagga sasa shape aitoe wapii
@bobson3646
@bobson3646 Год назад
Mimi simukubali ana jikubali aswaaa
@PrincessNjawa-fc7jj
@PrincessNjawa-fc7jj Месяц назад
Waoooooo
@idrissansereko6403
@idrissansereko6403 Год назад
Zuchu ni mbaya sana hâta kwa sura shepu ndio usisemi amekauka sana , meno amechonga ,MIGUU UTADHANI SPAGHETTI kama ya bwana ake Nasibu
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
Una wivu wewe
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
Sababu Zuchu ana shepu nzuri sana natamani tumbo lake
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Год назад
Hata hole picha yauchi Jamani haimuonyeshi vizuri
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Год назад
Akuingia kwenye matatizo Ustashi kamwammbia ukweli
@zuenajuma9603
@zuenajuma9603 10 месяцев назад
Usimuumbue mtu wakari were huwezi kuwaumba
@ushyentoabdulnunu8044
@ushyentoabdulnunu8044 Год назад
Wa Tanzania nlikosa kazi za kufanya n akili ......kheeeeee Imefikia Kumkosoa Allah aaaaaaah mumezidi
@iamzayibra2554
@iamzayibra2554 Год назад
Alf anatangaza huku anacheka😒
@user-ji6cp1ng8g
@user-ji6cp1ng8g 4 месяца назад
Umemsahau fahima
@manziwamalindi224
@manziwamalindi224 Год назад
Wewe unayeongea unashape nyoko
@aishalaizer8132
@aishalaizer8132 Год назад
Kwhy hizo shepu za kubustiwa na sindano ndomnazisifia
@gaudensiaselemani6608
@gaudensiaselemani6608 Год назад
Una nini kwani wew unashape gani tuonyeshe lako
@user-jd1re9xk4u
@user-jd1re9xk4u 2 месяца назад
Ww unayoo shep nzur
@tinershayo6191
@tinershayo6191 Год назад
Mbaya kwa shepu sura sauti zuchu mbaya
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
Acha wivu utakonda bure Zuchu ana sauti nzuri sana nasikiliza nyimbo zake kila siku
@janefridanchimbi2973
@janefridanchimbi2973 Год назад
I Love you zuchu nakupenda sana tena zaidi Baki hivyo hivyo Wala usiwasikirize hao watu kama pesa unazo unaweza kufanya unavyotaka lakini umeamua uwe kawaida Hawa wenye shepu ni shepu za mchongo hizo zisikuchanganye
@mwanashasjambia8572
@mwanashasjambia8572 Год назад
Achakuwatoa makosa wezako wwe,je unaweza kuwaumbaa,muogope mungu wwe,ujafaa ujaumbika.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 7 месяцев назад
Kwani wamejiumba wenyewe? Non sense weye mwenyewe hujitambui. Shape tumwachie Muumba mwenyewe maana yeye ndiye anayechagua shape gani ampe moja wake. Weye yamekuhusu nini huna issue mtangazaji kakojoe ukalale.
@shebbythespyro5393
@shebbythespyro5393 Год назад
Jamani amesema tu ambayo hawana shepu mtangazaji yupo sawa
@esthermusanga8118
@esthermusanga8118 Год назад
Jioni
@stellawekesa8570
@stellawekesa8570 Год назад
Ungekuwa muumbaji hivi wenye shepu mbaya tunge tupwa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 месяца назад
Huyo ni kama mama yake
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Год назад
Wewe upoje tuoneshe na ww umbo lako
@ashajuma5413
@ashajuma5413 Год назад
Tuoneshe na ya mama yako
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Год назад
@@ashajuma5413 mh umepanic pole yako
@ashajuma5413
@ashajuma5413 Год назад
@@salminmabrouk5433 wala sijapanik ila si vizuri poa nambie
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Год назад
@@ashajuma5413 ok samahani saana
@aishalaizer8132
@aishalaizer8132 Год назад
Nyamafu wewe,Kwan ww ni Mungu,kwhy ww unamkosoa Mungu ukiwa Kama na Nan labda,hebu tuonyeshe umbo lako ww,kimeo mkubwa
@mayungaagnes5660
@mayungaagnes5660 Год назад
Jmn hivi nyie mkoje hebu waachene watoto wa Mungu.Mnamkosoa Mungu yeye ndo aliowaumba iweje mkosoe😏
@felistertsere2011
@felistertsere2011 Год назад
Wewe mbwa acha kuongelea wenzako 😏😏😏😏 alafu mbona hujajiweka na wewe
@eduvamsaniieww3454
@eduvamsaniieww3454 Год назад
Naeza taka kukuona wewe sana
@azizaidd1998
@azizaidd1998 Год назад
😂😂😂😅
@lucykiwelu4451
@lucykiwelu4451 Год назад
🏃
@ummubalqys967
@ummubalqys967 Год назад
Wee dada muogope Mungu hata ww umeumbwa mda wowote Allah anaweza kukuumbua..kwani hujafa hujaumbika..
@neemasamson314
@neemasamson314 Год назад
Kweli kabisa anakosoa kama ye muumbaji
@MoMo-pv2qc
@MoMo-pv2qc Год назад
Ukiwaona inst unaweza kusema wewe mbaya kumbe LOL.! hamuna lolote
@ManirankundaGretta
@ManirankundaGretta 28 дней назад
Tuonesh nahamu kuona
@ManirankundaGretta
@ManirankundaGretta 28 дней назад
Sema wezak naw ujitiy
@esthermusanga8118
@esthermusanga8118 Год назад
Wewe chunga sana wewe uko kwa group gani
@augustinwilondja7852
@augustinwilondja7852 Год назад
Zuchu akuji umba ila ni mungu njo amemu umba, dd zuchu acha mwili yako ivo ivo
@victorowiti6581
@victorowiti6581 Год назад
Wewe yako yakaa a
@asintarobati4545
@asintarobati4545 Год назад
Ww umasema watu hawana shepu ww unayo hiyo shep
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ Год назад
Kama Sanchoka
@happynelson1180
@happynelson1180 Год назад
@@THETHIRDTV_ huyo sanchoka mbona ana shepu mbaya nimemuona live ana miguu kama ya tembo mpaka sio poa
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 Год назад
Hamna kz zakufanya nyie
@MARIAYONA-bf4xh
@MARIAYONA-bf4xh 3 месяца назад
Huna kazi umekaa kuchunguza shepu za wenzio ungeanza kutuonesha yako afu tukuthaminishe na wewe
@jescajuma1908
@jescajuma1908 Год назад
Alafu nionyeshe yako
@jescajuma1908
@jescajuma1908 Год назад
Wataka yangu hata usitake bcz heri hyo dada zu
@nasraramadhan1893
@nasraramadhan1893 Год назад
dada acha undeha wewe unaro
@sheilachebet1076
@sheilachebet1076 Год назад
Uko na ujinga wewe dad umekosa ja kusema ama ni kutafuta tu views
@safinamussa3211
@safinamussa3211 Год назад
dada umekosa kazi ya kufanya sisi tunawapenda wasanii wetu shepu hazituhusu kazi zao ndo zilifanya tuwafahamu na sio shepu zao dada jishikilie unanyege kwani??
@stellawekesa8570
@stellawekesa8570 Год назад
👏
@ummubalqys967
@ummubalqys967 Год назад
Ebu tuoneshe ulichokiumba ww ikiwa Allah hajaumba ulivotaka ww
@juneshee254
@juneshee254 Год назад
Ujinga tu...wewe uko na shape mzuri
Далее
MASTAA WENYE LIPS MBAYA ZAIDI BONGO HAWA HAPA..
8:46
БЫДЛО НА ПУНКТАХ ВАЙЛДБЕРРИЗ
13:26
KUMBE UGOMVI WOTE MARIO ALIMTRACK PAULA KAJALA
1:24
Просмотров 24 тыс.
Vanessa,Jux anakutumia na kukuacha.
13:42
Просмотров 189 тыс.
MASTAA WENYE MIGUU MIBAYA ZAIDI BONGO😃😃😃
11:36
БЫДЛО НА ПУНКТАХ ВАЙЛДБЕРРИЗ
13:26