Hivi hofu ya Mungu mlipeleka wapi? Mungu aliumba kila mtu na akapendezwa na kazi yake, akasema inapendeza. Wewe ni nani uje kukosoa kazi ya mungu? Kiukweli adui ya mwanamke ni mwanamke mwinzake. Nakuombea dua Mungu akupe ufahamu. Ujue huwezi panda juu kwa kushusha mwenzako. Nkt
Jamani mungu awasamehe kweli. Mulijiumbia wangapi 'yinyi. Muna muzarau mungu. Mina APA kweli! Mungu awasamehe sababu hamujuwi munalo litenda. Ww ulie muzuri kifo kisi kukute. Jamani imeniuma.
I Love you zuchu nakupenda sana tena zaidi Baki hivyo hivyo Wala usiwasikirize hao watu kama pesa unazo unaweza kufanya unavyotaka lakini umeamua uwe kawaida Hawa wenye shepu ni shepu za mchongo hizo zisikuchanganye
Kwani wamejiumba wenyewe? Non sense weye mwenyewe hujitambui. Shape tumwachie Muumba mwenyewe maana yeye ndiye anayechagua shape gani ampe moja wake. Weye yamekuhusu nini huna issue mtangazaji kakojoe ukalale.
dada umekosa kazi ya kufanya sisi tunawapenda wasanii wetu shepu hazituhusu kazi zao ndo zilifanya tuwafahamu na sio shepu zao dada jishikilie unanyege kwani??