Sasa kwa umri huo bado unaongelea kutongoza wanawake akati ulitakiwa uwe na familia na unaheshimika kama baba! Mtu mzima ovyooo huyu sijapenda kauli zake
Jamani uenda alipata shida usiseme hivyo ujafa ujaumbika unaona kabisa kama alivyo hapo anyone kana uenda alipata tattoo tuombeane tu na kumshukuru Mungu
Ila wanaume wa aina hii wapo yaan sik amekutongoza ukamkataa yaan itakuw ndio chambo atatangaza anakukula 😂😂😂 sjui anakufanyaje yaan wanaumiaga sana. Af wanajipooza kwa watu kwa uongo ili aonekane naye anapita na wew khaaa😂😂nahs kabisa huy alimtongz af lulu hajamkubal basi inamuuma maskin lulu ebu njoo mskie mwindaji huku.
Huyu jamaa nilikuwa unajua sauti yake tu na baada ya sauti nilimtengeneza mtu kwenye mawazo yangu sasa Leo naona vitu viwili tofauti bora nibak na saut