Тёмный

UTAJIRI WA DJ ALLY B ANAYE-TREND KWA MIZUKA NDANI YA GARI, KASIMULIA MAISHA YAKE "NIMEISHIA LA SABA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 453 тыс.
50% 1

Ally Seleman Simba maarufu kama Professor, DJ Ally B… aliyejipatia umaarufu kutokana na mizuka ama Vibes zake Kwenye kazi yake na haswa hivi karibuni akiwa ndani ya Gari zake za kifahari.
Ameanza kazi toka mwanzoni mwa mwaka 2000 baada ya kumaliza Darasa la Saba… shule haikuwa kipaumbele chake.. hakupenda shule wala hakupenda kusoma, ikamlazimu kufanya kazi ngumu za ukibarua ili apate pesa.. ya kujikimu Maisha… na haikutosha akafanya mpaka kazi Kwenye Daladala na bado mambo hayakuwa mazuri..

Опубликовано:

 

9 янв 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 324   
@yohanasport5929
@yohanasport5929 Год назад
Kwakuwa ww unefanikiwa basi namm nitafanikiwa blessed brother I appreciate you more
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Год назад
Utafanikiwa inshaallah
@dannysengata2298
@dannysengata2298 Год назад
Vijana wengi hawaamini kua kufanikiwa kupo that's why tukiona mtu amefanikiwa tunasema huenda Kuna njia mbadala .... Wakati wengine wapo kwenye ku hustle hatuongei lakini mda wanakuja kutoboa ndio tunabonga...... But because we don't trust the process Mafanikio Yapo watu wapambane
@crecensiaanthony6012
@crecensiaanthony6012 Год назад
Vijana acheni Wivu 'kaka amepambana pekee yake wakat nyie mna enjoy maisha ya baba na mama sasa hiv maisha yamewageukia mnamuonea Wivu Dj Ally'achen uvivu fanyen kazii..
@hassanmasoud8167
@hassanmasoud8167 Год назад
Hayasemwagi yote ndugu ......hahahahhahahahaa
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Год назад
Ila Lina misifa Fran hv Amaizing!!!!
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Daah hizi story za mafanikio from zero to hero huwa zinanipaga mizuka sana aisee
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Год назад
Ndio hivyo babu
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
@@jrsaid4270 broo maisha yanatufunza mengi sana hasa sisi tuliotokea kwenye familia duni
@ahmadnassor6004
@ahmadnassor6004 Год назад
@@amanimanase8798 Umeongea point kbs
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
@@ahmadnassor6004 real mzazi
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Yaan acha unawez jikut unapambn mpk unasem tena hapn mengine mpango wa Allah
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Год назад
Ameeen maisha ni kupambana wangu
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 Год назад
Achumaaaaaaaaniiiiiiiiiiiii, Professor, Pesa nyingi Maneno kidogo, Asumani Tajiri, hahaha DJ ALLYBI 🔥🔥🔥
@salimamani6672
@salimamani6672 Год назад
Namkubali sana mnyamwezi wangu maneno kidogo pesa nyingi acheni wivu wa maisha tupambaneni
@rehemadavid2680
@rehemadavid2680 Год назад
Mungu akupiganie katika harakati zako
@salimamani6672
@salimamani6672 Год назад
@@rehemadavid2680 Amiin kwa sote my
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 Год назад
TRUST THE PROCESS OF SUCCESS , PRAY HARD WORK HARD EVERYTHING IS POSSIBLE.
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 11 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SS2nX1zLvqQ.html
@Kabi_47
@Kabi_47 Год назад
MAISHA BASEMENT YA MWANZA SIKU ILIYOFUNGULIWA DJ ALLY B ALIFANYA MATUSIII HII SHOOO HAIWEZ SAHAULIKAAAAAA🔥🔥🔥🔥🔥
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Год назад
Ndo maana wenye hela uwa wanakaaga kimya hawajioneshi wala kujitangaza maana kuna mtihani wa maneno ya watu kila mmoja uwa anaongea lake inapofikia hatua ya kuonesha mafanikio yako na kuzungumza njia ulizopitia wengi uamini kuna namna nyengine nyuma ya pazia yaupatikanaji wa hayo mafanikio na kupelekea kumueka kwenye matatizo yule aliyeonesha au kuzitaja njia za mafanikio yake ,usikute hata serikali wataanza kumfuatilia kiundani zaidi ili kufahamu kipato chake kinapatikana kwa njia gani ukiacha na hii anayoitaja.
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Acha mawazo hasi, hana pesa za kuishtua serikali
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Год назад
@@mcback4384 Sikia nikupange mdogo wangu sumbufu upo wa aina nyingi unapoonesha mafanikio yake Kuna kuhisiwa unajihusisha na mambo ya drugs, Ujambazi, sio mpaka usumbuliwe na TRA tu nafikiri bado haujaijuwa vizuri Tanzania sisi tuliyopo mbali na Nyumbani tunaielewa nje ndani...
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Enjoy mwamba ....maisha mafupi mwanya enjoy Sana nani kasema kusoma ndio kufanikiwa piga Kaz yeyote Ile
@gabrielndile1290
@gabrielndile1290 Год назад
Uyo ndo professor athumaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥maneno kidog pesa nyingiiiiiii mwamb binafsi namkubali sana ukichek post zake insta dah lazim utajifunz kutokat Tamaaa.
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 Год назад
🤣🤣🤣 jamaa ametrend Sana Namkubali Sana huyu mwamba ....🤣🤣🤣 Safi Sana 🔥🔥
@yakoboesenga5754
@yakoboesenga5754 Год назад
Watu wana kuita jambazi utazani umesha wai kuwa uwa watu na roho za umaskini bana 🙌🙌
@teddymapunda7816
@teddymapunda7816 Год назад
Watafute Hela ujambazi huo vip
@stewartrichard1316
@stewartrichard1316 Год назад
Tukiwa watoto nakumbuka sana tulikuwa tukikuangalia ukicheza brake dance liberty club yaan club ulikuwa unafunika sana
@oldskuladimuzabongo8873
@oldskuladimuzabongo8873 Год назад
Miaka ipi kaka?
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 Год назад
Ila liberty ilikua inajaa duh
@gracendumbaro5196
@gracendumbaro5196 Год назад
Jilie pesa zako,maisha haya yapo
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 Год назад
Always be happy jamaa raha sana
@hashimally3874
@hashimally3874 Год назад
Dah kumbe naweza fanikiwa kwaupandanaji wangu kam umeanza pambana me ndo nazaliwa
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Год назад
Yaani mtu ukifanya kitu Kwa kukupenda na ukakitilia manani utafanikiwa ila wengi wao ufanya kama wanalazimishwa
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 Год назад
Uyu mwamba nilikuwa namwona kichaa kumbe ana akili xn cz ANAONGEA real life yake cz mtu kwa shv kusema kaishia la sabaa
@jrlamar8925
@jrlamar8925 Год назад
Ila nimegundua familia nyingi za dini zinavipaji sana na watoto watundu sana.
@pioraphael7324
@pioraphael7324 Год назад
Upo sahihi💯
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Dini ipi unayoizungumzia?
@pioraphael7324
@pioraphael7324 Год назад
Familia za kiimani
@pioraphael7324
@pioraphael7324 Год назад
@@miriamwinston9908 familia za kiimani zinazo mtukuza Mungu
@kudramzee5769
@kudramzee5769 Год назад
Mwenyezi Mungu humpa amtakae
@godfreysudi7264
@godfreysudi7264 Год назад
Kwenye miaka ananipoteza 😂😂 sema ngoja tumsikilize kwa sababu anaongea.
@johnohando2390
@johnohando2390 Год назад
Lessons learnt: Education is not the keys to success. Follow your dreams. Never give up in life. Lastly stay humble 🙏.
@davis6692
@davis6692 Год назад
Education is the key to success. Education isn't limited to school, hata hio kujifunza uDJ ni Education pia...
@willygraphics360
@willygraphics360 Год назад
🙌🏾
@willygraphics360
@willygraphics360 Год назад
Say "Go to school" it would be more better
@ashamahmoud3895
@ashamahmoud3895 Год назад
Kwahiyo watoto wako hautawapeleka shule utawambia hayo maneno
@atupelesonko38
@atupelesonko38 Год назад
@@davis6692 true bro elimu ni Pana sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Wowo hongera sana
@barakajuma2024
@barakajuma2024 Год назад
Mtu yyte mwenye mafanikio huchukiwa na wengi kuliko wanaompenda,ndo mana wengi wanamwita jambazi
@berthatz
@berthatz Год назад
Kabisa…Watanzania tupambane tutoke typunguze majungu na roho ya kwanini.
@davychelsea6461
@davychelsea6461 Год назад
@@berthatz i thought hii tabia hukua na wakenya kumbe tz pia😹😹
@berthatz
@berthatz Год назад
@@davychelsea6461 wee..Ipo Tanzania sana tu ndugu yangu..
@eaglecrown6470
@eaglecrown6470 Год назад
Ndio maana umefanikiwa kama uliweza kukataa mwana asifukuzwe kazi. Nahakika MUNGU alifurah Sana hiyo.
@Kimbururu
@Kimbururu Год назад
Huyu dogo alikua anakaa sana Saluni pale Msasani pia alikua ana DJ club ya Buckets
@oliviermaeshi3666
@oliviermaeshi3666 Год назад
Much respect brother Man ongera saana
@harrymorgan4387
@harrymorgan4387 Год назад
Hamna mchaga fala mzee 🔥🔥🔥
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 Год назад
Sio mchaga huyo
@vangiftshine
@vangiftshine Год назад
Wooow ,number ya uo dingiii manzee ,frm 254 ,,, ,🤣🤜
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 Год назад
Sitaki kujua sanaa nn kinampa pesa mchizi ila naheshimu maamuzi yake ya utafutaji iwe ni njia ya kulia au kushoto!!
@VanShayokviewshoursago
@VanShayokviewshoursago Год назад
RESPECT HOMIE MOSHI HAMNA FALA
@josemrema5903
@josemrema5903 Год назад
That'x true niggar👊
@harrymorgan4387
@harrymorgan4387 Год назад
Kabisa baba 🔥🔥🔥
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 11 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SS2nX1zLvqQ.html
@kombafesto5139
@kombafesto5139 Год назад
😁😁😁et jambazi 😁😁 tutafute Ela
@Atb300
@Atb300 Год назад
Really blood ishi sana ❤️❤️❤️❤️
@waltergodwin2529
@waltergodwin2529 Год назад
Gari ni liability not investment,anyways kila mtu anakipaumbele chake enjoy ur life dude.
@duthedj
@duthedj Год назад
Never give up
@sabrinamkinga901
@sabrinamkinga901 Год назад
This Broo bhanaa Yani juzi nilimwona he was so amazing
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Год назад
Nakubali CHUGALEEEE
@justtheway111
@justtheway111 Год назад
Part 2 muhimu,,,msipost nusunusu
@alicekishimbo4620
@alicekishimbo4620 Год назад
Very creative interview big up @millardayo🏅🏅🏅
@mkombozsanga
@mkombozsanga Год назад
Safi sana
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Год назад
Umenikumbusha pia niliwahi Fanya kazi kampuni ya ki Japan KONOIKE mlima kitonga
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 Год назад
so defenition yake kwamba anahela na hajaenda shule.. sikilizeni kuna matajiri wengi hawana shule na wasomi wengi hawana pesa. shule ni muhimu sana mtu asiyesoma maamuzi yake huwa yakunyongonyesha wengine, ila mtu amesoma na amejifunza lakini hana pesa anamaamuzi ya chanya mno.. pesa ni jitihada tu lakini bado shule muhimu sana. Shule inakupa limitation na staha. Kujenga nyumba yako kunakufanya wewe kusettle pia ni assets ila bro hataki hicho kitu. All in all kazi zake nzuri Mungu ampe nguvu na mafanikio zaidi.
@rashid1860
@rashid1860 Год назад
bro umeongea nn
@rashid1860
@rashid1860 Год назад
amna kitu bana ukishamiliki ella n sawa kuwaekea wanao mipango mizur kma jamaa alf nyingine n kuka bata tu akuna shule itakupa akili sijui nn akuna bana ukishashka ella basi bata tu kujenga watajenga wengine ai tutapanga
@rashid1860
@rashid1860 Год назад
amna kitu bana ukishamiliki ella n sawa kuwaekea wanao mipango mizur kma jamaa alf nyingine n kuka bata tu akuna shule itakupa akili sijui nn akuna bana ukishashka ella basi bata tu kujenga watajenga wengine ai tutapanga
@Untoldafricanstories
@Untoldafricanstories Год назад
facts
@talekmiplang1092
@talekmiplang1092 Год назад
Pumba😢
@Chidyboy77
@Chidyboy77 Год назад
Upo vzr xan kak yaan unatufany vijan tuendelee kupamban
@agaboy
@agaboy Год назад
Nakubali
@mbelyterry1584
@mbelyterry1584 Год назад
Napenda hii story ya jama natamani ihendele
@DrMbonea
@DrMbonea Год назад
Jamaa kama mimi sijawahi penda shule asiee niliamini katika kupambana nje ya shule lakini na lugha ndio kitu muhimu nilipenda kujifunza
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 Год назад
The wealthy of anybody has secret within the heart of the same person who is wealth....this world has many ideal candidates trust urself
@habybanks
@habybanks Год назад
Unyama sana mangii
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 Год назад
Nakubali sana dj ally B
@seniormahamed7481
@seniormahamed7481 Год назад
Kassim Mkada 💪👏
@nancymayogo7618
@nancymayogo7618 Год назад
Uyu jamaaa nshakutanaa naye live haringagi mchanganfuu sanaaa
@Omarymsangi-w6i
@Omarymsangi-w6i Год назад
Motown iconic
@diamondplatnumz.148kviews5
@diamondplatnumz.148kviews5 Год назад
Safi sana aya ndo maisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@barleescasira6176
@barleescasira6176 Год назад
B born again...
@tumainmasuki7110
@tumainmasuki7110 Год назад
Tajiri 🔥🔥🔥
@simonjongoja
@simonjongoja Год назад
Nawez kuhesa moja mpak 90
@JerryMolel-pc5ww
@JerryMolel-pc5ww Год назад
I really agree with dj ally b
@patrickjm9909
@patrickjm9909 Год назад
Respect kwake
@alfoncefidel5338
@alfoncefidel5338 Год назад
mara nyingi sisi binadamu tunapo pata mafanikio tuna jisifu sana kuwa ni wachapakazi na kudhani wengine wavivu ila ni baraka za mungu ndio kinakufanya kila unacho gusa kinabadilika kuwa dhahabu na baraka za mungu chanua kama maua na kukufanya ung'ae...ukileta watu wanao pambana lakin hawajatoka kimaisha uenda haupo hata kwenye mia bora...
@aminarajabu5795
@aminarajabu5795 Год назад
Ila bidii ndo kila kitu na Mungu hupitia hapohapo 98%
@rakiamohamed645
@rakiamohamed645 Год назад
Shem lng la enzi hizo 😂nakumbuka mara ya kwanza naangalia movie ya apocalpyto naiyona kwako basi kila nikiiyona lazima nikukumbuke mara paap nakuona kwa mitandao hongera maisha yanaende kasi sana
@sandrabernard751
@sandrabernard751 Год назад
Nakupenda tu
@nicholassimon3054
@nicholassimon3054 Год назад
Wadogo zangu mkipata nafasi ya kusoma na unahisi una uwezo wa kufanya hivyo nakushauri uende shule ukasoma..Elimu ukichanganya na husstle inakuwa rahisi zaidi kuliko kutokuwa na elimu kabisa
@herrymboya5037
@herrymboya5037 Год назад
Good
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 Год назад
Nakubal blood
@kombafesto5139
@kombafesto5139 Год назад
Unyama sanaaa
@oscarmaulid5906
@oscarmaulid5906 Год назад
Boss anajua huyo
@user-di2zp9eo7z
@user-di2zp9eo7z 11 месяцев назад
Mwamba kajitafuta sanaaa
@eminentafroking107
@eminentafroking107 Год назад
Good bro
@amirikoshuma6022
@amirikoshuma6022 Год назад
Oohhhhhhhhh
@mozamagaya8618
@mozamagaya8618 Год назад
Hahahahaha ila we kaka
@frankkanuth6747
@frankkanuth6747 Год назад
hatujuw kujengaaa
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 Год назад
Aisee hii story bado tu mwendelezo wake?
@issanofal2166
@issanofal2166 Год назад
Story nzuri sanaaa wa2 wa Kilimanjaro tupamban no kukata tamaa respect 4 u DJ
@heritier5119
@heritier5119 Год назад
Angesoma angekuwa mwajiriwa masikini tu
@Moresa196
@Moresa196 Год назад
Millard block comment section kuna mwamba anaitwa kabwela suti viraka anataka kuleta shida kwenye nchi yetu tulivu ya jamhuri ya comments...
@olabenne5519
@olabenne5519 Год назад
Alivyosema tu Konoike..legit
@hosianaeliud243
@hosianaeliud243 Год назад
Mwana mke mwenzangu ukipata mwamba anapambaba achagui kazii jua uyo mwamba atafanikiwa tuu
@xpinmgodechrispin8050
@xpinmgodechrispin8050 Год назад
kusoma, kulima, kuchimba madini kote ni kutafuta. we tafuta elimu yako, wengine watafute ela zao. wivu utafanya watu wadiss sana. lakini kama elimu yako ina kusidia wewe its up tu you.. wengine dreams zao ni kuzalisha pesa nyingi. wakilifanikisha hilo its over kwao.
@ishaqthkr
@ishaqthkr Год назад
Ukisikia muislamu jina ndo huyu.
@mosesbarnabas3379
@mosesbarnabas3379 Год назад
Simba scratching academy
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Год назад
Minaona angesoma kiasi angekua n Akili y kujenga nyumba mahali ila si kuiishi kw nyumba z kupangu , kaka haujui yakesho kumbuka wanao ipo siku nguvuu itakuishia n utaitaji sehemu y kujistiri utakua unalala kw gari kumbuka katika maisha kuna pandashuka 😢utanikumbuka baadae n c kw ubaya haya yalitokea kw mzazii wngu n hatupo naye kw sasa tunajutia sn kw sasa lau angekua hata n kibanda duu
@funnymoments7559
@funnymoments7559 Год назад
Mwamba uyo
@robinhomesuza8906
@robinhomesuza8906 Год назад
Nyuma ya panzia
@azanyboy
@azanyboy Год назад
🔥🔥🔥🤗🤗🤗🤗🤗
@comics3437
@comics3437 Год назад
Udijey tu ndo ana hela ivo au😂😂?? Mhhh
@n7428
@n7428 Год назад
Ni u Dj tu au kuna mengine maana wauza unga wote wana. Jificha kwenye vitu
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 Год назад
Background makelel music
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Eeeen🙄🙄🙄🙄Makubwa aya
@isacknyaga104
@isacknyaga104 Год назад
Hiyo nayo story ila nyie Dunia. Hii sasa pesa si zake aenjoy kwa wakati wake
@hamadihamadi6000
@hamadihamadi6000 Год назад
Waukaee zaramoboy na kubalii
@yrwa313
@yrwa313 Год назад
All b anataja sana 1900+
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 Год назад
Dah kweli kuna masela wanaroh mbaya so ilinikuta kufungiwa nche
@petercostakisoka
@petercostakisoka 11 месяцев назад
Acha ale maisha kapambana sanaa
@lewiskombole2917
@lewiskombole2917 Год назад
Mze umevuka red light😁
@djrob0ntouch293
@djrob0ntouch293 Год назад
Duh!?? So poa Kweli Mwanzo Mgumu
@asyafatma532
@asyafatma532 Год назад
Bro kiswahili cha kichaga hakijaisha hahahaha
@emmanuelmosha05
@emmanuelmosha05 Год назад
Hakikaa
Далее
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
Просмотров 11 млн
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 34 млн
“ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” MANARA AVUNJA UKIMYA
4:23
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
Просмотров 11 млн