Тёмный

DIVA Atoa ya MOYONI "MANGE KIMAMBI amefanya NIMELIA/Anatoa MACHAFU ya WATU/Kaniokoa 

Rick Media
Подписаться 882 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Mtangazaji wa Wasafi Fm Diva The Bawse amefunguka kuwa mwanamitandao ya kijamii MANGE KIMAMBI Amesababisha amejua machafu mengi yanayoendelea kwenye ndoa yake. Pamoja na kumsababishia machozi lakini anamshukuru sana
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#MangeKimambi #DivaTheBawse

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@abdulmobeto3955
@abdulmobeto3955 6 месяцев назад
me ngekushauri ukiwa tena na ndoa usiexpose uo uzungu ndo unaponza jaribu kueka private ndoa yako labda itakusaidia, Allah akujalie kila la kheri kwa kuupenda uislam akujaalie mume mwema inshaAllah
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 6 месяцев назад
MSIMSKILIZE UYO,,,ANAMCHEK JAMAA MWENYEWE.....NA MI NAMSIFU JAMAA KWASAB KASHAJUA DIVA NI DEMU MWENYE TEMPO,,,SO YUPO COOL TU😊,,,UKINIMIS NJOO NA NDO KINACHOFANYIKA
@JamilahDilunga
@JamilahDilunga 6 месяцев назад
Ki ukweli Diva unafunja ndoa yako mwenyewe Acha ujinga mange ndio anakuchungia ndoa yako ndoa aiwekwi mtandao unawatu wakuwaeleza mambo yako na mumeo Acha ujinga ludi kwenye ndoa yako pumbavu
@LeeLian95
@LeeLian95 6 месяцев назад
Kwa ndoa gani???unashindwa kumshauri aachane na huyo Abdul unasema arudi??huyp Abdul kila siku kudhalilisha we ungeweza??
@JamilahDilunga
@JamilahDilunga 6 месяцев назад
@@LeeLian95 wewe ndio wale mnaoalibu ndoa za watu wenyewe walipendana nyingi vidudu MTU ndio mnaona kwa ndoa gani hiyo hiyo unayoiona si ndoa Diva anaweza akailudisha na ikawa ndoa iliyo Bora na mkabaki na nahamu ndoa inajengwa na mwanamke si kila kaungomvi kidogo Tanzania dunia mzima wanajuwa mwanamke punguza kutoa siri za ndani kwako
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 6 месяцев назад
Yaan ndoa bwana achana nayo fikiria huyu dada anavyojifanyaga mahiri kwenye mapenzi na kinge kingi sauti ya kitandani lakini wanaume wanamuachaga vibaya tena kwa kejeli😅😅
@farhiyaareef9518
@farhiyaareef9518 6 месяцев назад
Diva wangu anapenda kuolewa... anasahau aso hili analile 😅😅😅 yaan ukikosa hilo kwa mumeo ukienda kwa mwingine utamkuta anahili
@user-cs9hh8rx8x
@user-cs9hh8rx8x 6 месяцев назад
Miss delulu in mange voìce
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 месяцев назад
Sijui hata nacheka nini.😆😆🤣🤣🤣🤣
@giztony2009
@giztony2009 6 месяцев назад
Aise kumbe kila zama na kitabu chake leo hii mtu anaejiita Diva leo amegeuka mswahili!
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 месяцев назад
@@giztony2009 Yani ananishangaza sana jamani.Ila namuona kama hayupo sawa,anahitaji sana ushauri kutoka kwa watu wa karibu.
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂leo diva kamkubari mange duuu😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 6 месяцев назад
Mange amemshauri mara nyingi mno
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Usipomkubali Mange ww ni kichaa
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 6 месяцев назад
@@KassimAlly-xp4dz mwanaume una comment ivi duuu iyo atari kwa kudharulisha watu ndo Unasema hakili
@ramsohk
@ramsohk 6 месяцев назад
Umaarufu usikutie ujinga ww unajifanya umtaki mbona ulikua una mlilia kwenye cm acha uongo uyoooooo😂😂😂😂😂😂
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 6 месяцев назад
Umemzomea Dada D😅😅
@djumakonki1964
@djumakonki1964 6 месяцев назад
MwenyeziMungu akupe subira. Mume wako ni mtu mwema kijana mtanashati na mtu anaeijuwa dini yake.
@furahachuma9039
@furahachuma9039 6 месяцев назад
Aaah wapi, huyo Abdul ni kiwembe na pasua kichwa. Kwanini kila siku migogoro?
@LeeLian95
@LeeLian95 6 месяцев назад
Itakua hauko sawa wewe, huyo mwanaume hafai hata kidogo sijui Diva anamng’ang’ania wa nin
@furahachuma9039
@furahachuma9039 6 месяцев назад
@@LeeLian95 Diva karogwa
@aminasalim8708
@aminasalim8708 6 месяцев назад
Acha ulimbukeni wew wenye majina ndo nni nyooo utachezewa saaan
@rehemahassan7475
@rehemahassan7475 6 месяцев назад
Sasa mbona mtangazaji hapewi nafas 😂😂😂
@fatmamansour676
@fatmamansour676 6 месяцев назад
Kukumbatia na kukiss si 7bu kwamba mnapendana
@SalmaAthuman-hp3en
@SalmaAthuman-hp3en 6 месяцев назад
😂😂😂huyu mwanamke sio mzima wallah tatizo lako una mdomo sana halafu hueleweki mara upost Pete ya picha ya mzungu mara unataka kuolewa huku uko kwenye ndoa Abdul Ana mapungufu yake kama binadam mambo ya kimdhalilisha mitandaoni sio sawa punguza ngebe shoga na misifa
@devotalaiton5888
@devotalaiton5888 6 месяцев назад
Huyu dada hana akili nzur JMN
@estakapufi7582
@estakapufi7582 6 месяцев назад
Huyu binti hayupo sawa kabisa kiropo
@EmanuelMbandi
@EmanuelMbandi 6 месяцев назад
Huyu mwanamke mjinga
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 6 месяцев назад
Diva, be consistent; you said you already have a German man! Leo tena unasema kama utawahi kuolewa?
@godymastermind9534
@godymastermind9534 6 месяцев назад
Diva huyu ana matatizo ya akili ila hajui tu coz umri unaenda ila yeye ana mambo ya kitoto na ya kijinga badala ya kufatuta mwanaume wa kumzika
@chany9950
@chany9950 6 месяцев назад
🤣🤣🤣 uyu ni cega jmn
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
Amesema wakishindwana😂😂
@josemangula8806
@josemangula8806 6 месяцев назад
Huyu anajishaua tu leo ulikuwa unampigia mme wako akiwa kwenye interview saiz unajishaua apa kwenda
@elizabethbwakila3982
@elizabethbwakila3982 6 месяцев назад
Sana mpk aibu
@elizabethbwakila3982
@elizabethbwakila3982 6 месяцев назад
Chezea kutolewa maji ww😂
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 6 месяцев назад
Kumbe hana akili huyu jamani tusimlaumu
@UmmuJauzan
@UmmuJauzan 6 месяцев назад
Jamani ongea kisawhili tupate umbea huo
@judyngowi391
@judyngowi391 6 месяцев назад
Mtakoma umbea kwa kiinglish
@sajdatomar6025
@sajdatomar6025 6 месяцев назад
Ivi kuna dunia tunaweza kuwapeleka hawa watu wawili diva na mumewe ili tupumxike kdg
@RamaNgari-b1d
@RamaNgari-b1d 6 месяцев назад
Bana wee!!!
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 6 месяцев назад
ngumu😂
@sophynatch7327
@sophynatch7327 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@muturiwinnie7545
@muturiwinnie7545 6 месяцев назад
😂😂😂
@daydaypapaa7709
@daydaypapaa7709 6 месяцев назад
Kabisa wakakae uko😂😂😂😂
@missmoona4497
@missmoona4497 6 месяцев назад
Mmmmmmh makubwa haya ulikuwa wain mwez mtukufu au hujafundishwa nizam ya ramadhana au mwez mtukufu?
@marymwaluko3364
@marymwaluko3364 6 месяцев назад
Kwa hiyo mjerumani wetu yule kaishia wapi😅😅😅
@mwajumaahmed3646
@mwajumaahmed3646 6 месяцев назад
Hivi huwa watu wengi hawajui maaana ya ndoa ndoa nibaina ya wa2 wa wili mliopiga got mkala Amin kwa mungu sa inakuaje mashabk ndio wakuiongelea ndoa yko dah
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 6 месяцев назад
Huyu ni majinun kbs😂
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 6 месяцев назад
Ila ni kwel jamani diva kazeeka tuache utani
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
😅hata wewe utazeeka
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 6 месяцев назад
@@matridamwalyoyo1735 😂😂
@cdeleo9336
@cdeleo9336 6 месяцев назад
Wewe ni chizi na utaishia vibaya kuforce vitu. Huyo mwanaume hakupendi ndomaana kila siku matukio. Wewe since hutaki kukubali ukweli usipokufa coz ya hii ndoa basi utazidi kupata mental problems kuzidi now ulivyo
@RareRobertha
@RareRobertha 6 месяцев назад
Ila ili lizeeee linajiskia kwel 😭
@Misrest710
@Misrest710 6 месяцев назад
Hahahaha
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
Tehe
@KwizeLee
@KwizeLee 6 месяцев назад
dada poresana naona haujamouve on kwamuganga na anaowa kirakukica so polesana dada uripofungwa one day utatoka
@HumphreykirutuKirutu
@HumphreykirutuKirutu 6 месяцев назад
Pumbavu kbsa. Eti unahama ukristo kwenda uisilamu . Jinga kbsa
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 6 месяцев назад
Ila anasauti nzuri
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Una sifa nyingi sn
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 6 месяцев назад
Hao wanaume walikuws wapi kabla Abdul hajakuona ongea na mme wako mwite mshenga muyamalize urudi kwa Abdul uzae na mtoto
@JanetAhmad-v3h
@JanetAhmad-v3h 6 месяцев назад
Kumbe watu wakubwa kichwa maji tu hakili ndogo ndoa yako umeyivunja.Mwenyewe ebu toka
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 6 месяцев назад
Ili kwel pumbavu kwan kwenye din yako ya mwanzo ulikua unazuiwa kufanya ibada na mtu?
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 6 месяцев назад
Ila kweli kwenye skendo ya umalaya haupo... Mungu atakupa wakwako nevermind
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 6 месяцев назад
Her pride and arrogance is what kills her.
@Ruu974
@Ruu974 6 месяцев назад
This person are doing content
@HumphreykirutuKirutu
@HumphreykirutuKirutu 6 месяцев назад
Wakristo hatuwezi kua mtu malaya na mpumbavu bora uende huko wanaokumbatia huo ushenzi
@esterjames2549
@esterjames2549 5 месяцев назад
diva kinachomtesa alisema mwanamme atakaetaka kumuoa atoe mahali m500.aliweka kama nadhiri sasa ameivunja kwa kuolewa bila mahari.ajifunze siku nyingine kuongea vitu kama kajiumba mwenyewe na hana hofu ya mungu.
@joycekalago532
@joycekalago532 6 месяцев назад
@mangekimambi umekubaliwa leo😂😂😂
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 6 месяцев назад
Mzee mwenzangu anadhalilika 😢😢😢😢
@hanifa9153
@hanifa9153 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@SefuHabibu-sn8cx
@SefuHabibu-sn8cx 6 месяцев назад
Hili tatizo
@judyngowi391
@judyngowi391 6 месяцев назад
Yaani kuna mganga alikuwa ananitongoza, kwakweli naona niachane nae, maana mganga anapaka mpaka dyudyu lake dawa, Diva sio bure kalogeka haswaaaa
@Hadija-o5b
@Hadija-o5b 6 месяцев назад
Niwaongo tu hata hao wanaokufata kwa sasa, walikua wapi, kabala Abdully hajakuoa ,nikweli wanataka kutumia umaalufu wako wajitoe kibiashara kama ulivodai, ni bora urudi kwa abdully bana umekua na imani ya dini
@iceplay18
@iceplay18 6 месяцев назад
mwanamke mrongo hana msimamo alafu amepata mwandishi fala wa kulipwa , ukiwachwa wachika sio kila kutwa uko kwa mtandawo
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 6 месяцев назад
Kwann NAMPENDA DADA WA TAIFA. ANAWAFUNGUA WENGI AKIL😂😂😂DIVA NAKUPENDA ❤❤❤❤
@ElinaPoul
@ElinaPoul 6 месяцев назад
Diva acha kujipa matumaini na uyu mtu unapoteza mda wako bure hana mapenzi wala huruma naww kakuteka anavyojua yy utateseka adi ujute, Hamna kitachobadilika bora umtukane adi utoshe kwa machungu alokusababishia kuweka amani nae unajichosha lenyewe halijali linaendelea na yake
@judyngowi391
@judyngowi391 6 месяцев назад
Kuswali kote huko mara tano kwa siku na bado kuna madrama hivyo
@justinendizeye714
@justinendizeye714 6 месяцев назад
Yani wewe dada hujirlew kbsa
@YazuYazu-w2i
@YazuYazu-w2i 6 месяцев назад
Dada kweli kuwa na akili sio mwili umejaa upuzi mtupu shenzi
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 6 месяцев назад
Jamani mahari m500 !😂
@MohamedMkota
@MohamedMkota 6 месяцев назад
😂😂😂😂 embu tueleze. Diva kutoka ndani ya moyo wako unataka nn kwny mapenzi maan hujui unachotaka ww
@judyngowi391
@judyngowi391 6 месяцев назад
Anataka dyudyu
@MohamedMkota
@MohamedMkota 6 месяцев назад
@@judyngowi391 ss atafanya wanawake wamfate sn abduli kutaka kujua kuna nn kumbe hkn lolote
@rosetsuhha7312
@rosetsuhha7312 6 месяцев назад
Diva umelogw au
@AngelMbaga
@AngelMbaga 6 месяцев назад
Diva you are very smart❤ lady. However you don't know what you are doing. I would ask you to ask God to give you patience. The faith you have now allows you to be divorced.Pray to Almighty God to come out of those Dua that were done to you by your husband. And live peaceful life🎉😂❤ .Do you think you love your husband very much, for your information please not that your husband will not be able to live with other ladies. The way how he is or acting. You need deliverance prayers to be safe. it's a bad thing to expose your life in the media, now you see it's okay, This is my life but feature you will regret.
@praxsedamathias1768
@praxsedamathias1768 6 месяцев назад
Dooo😂😂😂😂😂
@Tutsi-b8s
@Tutsi-b8s 6 месяцев назад
Hiyo American accent inachefua wewe binti hujui tu. Najua wenye changamoto za akili hawana uwezo wa kuona aibu lakini jitahidi dada. Kwenye kila interview unachoongea ni upuuzi sasa imetosha. Tafuta msaada wa kitabibu kunyoosha kichwa chako la sivyo hivi karibuni utaokota makopo😢
@aishatest4451
@aishatest4451 6 месяцев назад
😁😁😁😁
@rosehaule6765
@rosehaule6765 6 месяцев назад
😂😂😂
@Njeriii536
@Njeriii536 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
Далее
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 405 тыс.
MANGE KIMAMBI ALIZAA NA BABA YAKE - CYPRIAN MUSIBA
8:47
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1
26:44
Просмотров 23 тыс.