Тёмный

AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MSIKILIZE ROHO (Official Live Video) 

AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Подписаться 115 тыс.
Просмотров 71 тыс.
50% 1

#,MSIKILIZE ROHO ni wimbo wa Tisa katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kukusaidia kuisikia sauti ya MUNGU. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
MSIKILIZE ROHO
Msikilize Roho wa MUNGU
Anavyo fundisha
Roho wa MUNGU ufundisha unyenyekevu
Roho wa MUNGU ufundisha kuwa na hekima
Upole, uelekevu, kutenda mema
Uvumilivu, kuishinda dhambi
Kushukuru kwa kila jambo
Kuwa samehe waliokukosea
Mwanadamu, mwanadamu, Mwanadamu
tembea na neema hii
Kwakuwa Muda sasa upo
YESU yupo kazini
Watenda kazi wake wapo kazini
Kungari muda sasa upo
Msikilize Roho
Msikilize MUNGU
Lisikilize neno lake
Usije shikwa na dhambi
Usije shikwa na mwovu
Usije shikwa na adui
Usije shikwa na dunia
Kungari muda sasa upo msikilize Roho
Msikilize MUNGU
Lisikilize neno lake
Kuna watu wamesahau
Kuwa MUNGU ndiye muumbaji
Wamesahau kuwa ndiye aliyeumba
Dunia na vyote
Wanatenda dhambi bila hata woga
Wamekuwa kama watu wa sodoma na gomora
Walitenda dhambi bila hata woga
Wakaiinua hasira ya MUNGU
Wakamkasirisha MUNGU
Walitenda dhambi bila hata woga
Watu wajifunze kupitia wewe MUNGU
Uinuliwe, U heshimiwe, Na usifiwe, BWANA MUNGU
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Barthrolomew Magulu
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Nestory Ntogwa(BASS)
Jeremiah Madaha (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 186   
@okaozzy
@okaozzy Месяц назад
Leo mimi naona likes za kutoka kwa Lydia kashimba
@NikolasJoseph-fz8cr
@NikolasJoseph-fz8cr Месяц назад
Huyo ni mtu na nusu kaka aisee usije ukamsahau dada bahati kweny backup
@nndenotwamwakanyamale1334
@nndenotwamwakanyamale1334 21 день назад
huyu mwimbaji nampenda hv ni msukuma
@wallacekatini3424
@wallacekatini3424 2 дня назад
Ila mie napenda dada Magreth magenda, aliye na sauti kuu ya kumtoa nyoka pangoni.
@olivewanjiru7956
@olivewanjiru7956 Месяц назад
Shout out to all Kenyans who love Aic. Chang'ombe . Tunawapenda sana Jamani . Kazi nzuri sana . Mungu awapandishe viwango juu Tena zaidi .... Mwapendeza... Likes za Wakenya ziko wapi? Leteni hapa...
@samuelsimelmarika5966
@samuelsimelmarika5966 Месяц назад
❤❤❤
@wesleykipsum3319
@wesleykipsum3319 Месяц назад
Lovely song 🎵 #loved this choir from their first song... May God bless you Chang'ombe choir..
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Amen. Tunawashukuru sana na tunawapenda pia. Tunaamini mnatuombea
@esthermutinda2114
@esthermutinda2114 Месяц назад
Mmi nawapenda sanaaa Kwanza huyu solo huwa namfatilia kwa sauti yake hope polepole nitamfikia tuu
@AICRamisi
@AICRamisi Месяц назад
wimbo mzuri sana Tunabarikiwa toka Kenya
@mayalajbubele9696
@mayalajbubele9696 Месяц назад
Tujumuike hapa kuwapa likes watu wa trumpets, saxaphone🎷🎺🎺
@isayamelamiofficial6468
@isayamelamiofficial6468 Месяц назад
Lidya wangu bado yupo kweny chart Bado wamoto kbsaaa ❤
@Regnard999
@Regnard999 Месяц назад
This is AICT CHANG'OMBE that we have been knowing. Asanteni na mbarikiwe kwa wimbo huu wenye mguso wa aina yake na ladha ileee ya CVC 🔥🔥🔥
@jsamwelikashimba8834
@jsamwelikashimba8834 Месяц назад
Hongera sana my beautiful brother wife
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Amen
@HappyShoo-uc8cz
@HappyShoo-uc8cz 9 дней назад
MUNGU AWABARIKI SANA AIC CHANG'OMBE, NAWAPENDA SANA MUNGU AWAINUE NA PIA AWAPE MOYO WA KUMUHOFU YEYE, AMEN NAWAPENDA SANA
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 Месяц назад
Wale wamama wengine wawili bado! atleast sasa moyo umesuuzika kumwona Lidya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 Месяц назад
Hongereni CVC,Hongera dada Lydia bado wa moto haswaaa,Mungu aendelee kukuinua
@gifftygabriel375
@gifftygabriel375 Месяц назад
mwalimu Magullu hongera sana Mungu akutunze Kazizako zinaishi Popote ulipo ninazawadi yako
@user-nl5lg8lx5d
@user-nl5lg8lx5d Месяц назад
Lydia kashimba huwa unaupako sana unaimba kwa hisia kali sana#MSIKILIZE ROHO#❤❤❤❤
@johnmanisi6954
@johnmanisi6954 Месяц назад
Hii ndio chang'ombe yetu hizo zingine waachieni wengine I like the tone na favorite singinger wangu da Lidia ukweli unasehemu Yako peponi❤❤❤
@GodloveMbwilo-z8y
@GodloveMbwilo-z8y 2 часа назад
Sitaacha kuwasikiliza wapendwa nawapenda saaaaana, karibuni MAFINGA
@petersongok8322
@petersongok8322 2 дня назад
Hapo sasa.Uimbaji wa utaribu poa sana.Unyororo wa mziki inapenye pole pole hadi mshiba wa damu.Endeleeni hivo ndugu wapendwa. Mungu na awabariki na neema yake.
@rosemwiti6295
@rosemwiti6295 Месяц назад
I used to listen to servant of God back in 2008 .. Nyimbo kama... Kuna mamba kivukoni, na dada wengine hapo. Happy to see her❤ much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
@SurprisedBear-oq1jm
@SurprisedBear-oq1jm Месяц назад
Tupo teyari kupokea ujumbe wa Mungu na wapenda sana calvin kutok buzuruga mwanza T.J
@larbankasingu7902
@larbankasingu7902 Месяц назад
Hawa ndio soloists na ambai kamwe hatutaki wabanduke ..Lydia kashimba
@JanethSamweli-xq9iq
@JanethSamweli-xq9iq Месяц назад
Naona wamesikia vilio vyetu Mungu awabariki sanaa
@tomkyalo1107
@tomkyalo1107 Месяц назад
Wale wamama watatu, watatu Dio uyo sasa😂
@ZawadiMbuligwe
@ZawadiMbuligwe Месяц назад
😂😂😂​@@tomkyalo1107
@francesmpangwa8801
@francesmpangwa8801 Месяц назад
Woyoooooooooooooooooooooo😅 My song ❤❤❤❤❤❤ aloo nilisubiria saana hii nyimbo barikiweni saana CVC and love you my sister Lydia Nawafatilia saana kutoka ZANZIBAR ❤
@felix_mwendwah
@felix_mwendwah Месяц назад
Kwa kweli Twafaa kumasikiliza Mungu kila wakati. Mungu azidi kuwainua na kuzidisha neema.
@stevensenya308
@stevensenya308 Месяц назад
Bora mlivyorudi kwenye mfumo wenu, Mungu atukuzwe.
@watsonmbesigwe7070
@watsonmbesigwe7070 Месяц назад
Kabisa, hii ndo tunayoijua. Naunga mkono hoja
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Mpendwa wewe huwa unasikiliza kama kazi ya Mungu au wewe kazi yako kukosoa tu vya mwilini? Be positive sisi hatuko kujionyesha au kushindana na mtu bali kumtukuza KRISTO aliye ndani yetu haijalishi wimbo ukoje kwa wanadamu lakini mioyo yetu inamwinua KRISTO.
@hamasikatv7713
@hamasikatv7713 Месяц назад
@rachelsenni hapana sisi wengine sio AIC lakini mlitugusa kwa style ile ya nyuma leo mmeturudisha relini ndio kristo tunamtukuza lakini hii ni kazi ya sanaa pia..ule u south Africa hapana kwa kweli hapa ndio CVC ilipo
@MariaEnock
@MariaEnock Месяц назад
Mungu awainue huduma ifike mbali mbali mno. Na kila anayesikiliza akamwone Mungu kwa ukubwa.
@user-wi8kd5kh9c
@user-wi8kd5kh9c Месяц назад
Nyimbo ya rohoni sana❤ mbarikiwe sana
@user-pl9ed2ze4s
@user-pl9ed2ze4s Месяц назад
It has been always Aic Shinyanga and Aic Chang'ombe since my childhood, but AIC Chang'ombe to the top🎉
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Glory be to God
@wallacekatini3424
@wallacekatini3424 2 дня назад
Napenda AIC Shinyanga pia, akiwemo dada Magreth magenda ,na sauti kuu iliyonyooka ,na huyo dada akipaza sauti jamani MILIMA inatikisika!
@nestoryntogwa805
@nestoryntogwa805 Месяц назад
Yes,kumsikiliza Roho mtakatifu ndiyo habari ya maana sana.
@korneliombonaofficial6300
@korneliombonaofficial6300 Месяц назад
Napenda sana sana,wimbo mzuri san nimeupenda sana sana,,nauona na kuusikia utulivu katika wanamuziki na waimbaji
@godlistendiah3563
@godlistendiah3563 Месяц назад
Hakika hawa Watumishi wanapiga kazi tunawaombea songeni mbele na tunawapenda uimbaji wetu mm ninaukubali kabisa mbarikiwe
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Месяц назад
SANA,ila bado nalia na anayewarecodia live,sauti na picha bado haipo sawa,natamani wajifunze zaidi Kwa NEEMA gospel kwaya ,maana live recording zao zipo clear sana.
@paulmuthiani4265
@paulmuthiani4265 Месяц назад
Amen. Thank you Changombe. My Wait has come to an end. The Spirit of God leads, let's listen to Him. Great song. Kenya listening 🎉🎉🎉❤
@Mwakibingahanna-fz4oy
@Mwakibingahanna-fz4oy Месяц назад
Hongereni sana team Wimbo mzuri na ujumbe wenye nguvu mno Mbarikiwe sana 🎉❤
@barakanagunwa2040
@barakanagunwa2040 Месяц назад
Ema sax Rapha , Nestory Bass, Jeremiah solo nawakubali sana yuko wap Steve jamanii
@joshuamuthiany6905
@joshuamuthiany6905 Месяц назад
We wanted to hear a choir sing for once and here you're ❤❤❤
@dennisevarist
@dennisevarist Месяц назад
Hii mipigo ya vyombo ndio ilinifanya nikajua kuwa hawa ni AIC choir hata kama mtu hajasema jina. Ninapenda sana, ninashukuru mmerudi kwenye code yenu.
@MussaMponya
@MussaMponya Месяц назад
Wimbo mzuri sana muziki pia mzuri wa viwangi vya juu, ila video haivutii kuangalia kabisa
@NiyonsengaClaude-ls3xp
@NiyonsengaClaude-ls3xp 24 дня назад
hongela kwaya nzuri suti nzuri maandishi bola ya wimbo kutoka🇷🇼 tuna wapenda❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@Belb3
@Belb3 Месяц назад
Well-done CVC for your effort works, and God continues blessing y'all. Greetings from U.S. I always love how you inspire me and touch my heart by listening to your songs. 👌🙏🤝👏👍
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Amen. Glory be to God. Pray for us.
@Belb3
@Belb3 Месяц назад
@@rachelsenni8919 Amen🙏. God is good.
@yohanadaniel7030
@yohanadaniel7030 Месяц назад
Roho mtakatifu ni muhimu kumsikiliza
@AnethSeleman-k2f
@AnethSeleman-k2f Месяц назад
Hongereni sana Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri pia mwenyezi mungu azidi kuwainua
@angelinembete7017
@angelinembete7017 Месяц назад
Wow beautiful congrats may the lord bless you for doing his work you are really blessing to me 🙏
@deboraezekiel5966
@deboraezekiel5966 Месяц назад
This is CVC which I knew since I was young,much congrats,glory be to God
@DanfordJohan-zd1cg
@DanfordJohan-zd1cg Месяц назад
Uyu mama ni mzuriii , anamapozii kama yoteee❤
@user-yc3rk9ox7m
@user-yc3rk9ox7m Месяц назад
Mimi napenda hiio AIC Chang,ombe kutoka Tanzania.
@Samrace24
@Samrace24 Месяц назад
Hakika siri ni kumsikiliza roho.. Nimezidi kubarikiwa. Amina Hallelujah.
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 Месяц назад
Kweli Katika kwaya ya Tz nabarikiwa sana na kwaya hii Ongera kwa kazi ya Mungu
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 Месяц назад
@@rachelsenni8919 Anastaili sifa Tulalapo n'a tuamkapo ni nguvu zake
@bernardmutua7470
@bernardmutua7470 Месяц назад
Mama yetu soteee....nlikua nauliz album mzim mama hayupoooooo
@user-pl9ed2ze4s
@user-pl9ed2ze4s Месяц назад
🇰🇪🇰🇪 from Kenya ,loving it❤❤
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Месяц назад
Pokea sifa na utukufu BWANA Yesu KRISTO
@susumakomanya9762
@susumakomanya9762 Месяц назад
Aisee wimbo ni mzuri sana,utulivu wa hali ya juu sana, hongereni sana na Mungu awabariki
@margaretnjeka4695
@margaretnjeka4695 Месяц назад
This is the Changombe I know. Asante kurudisha standards zenu. Baraka tele
@EmmanuelThomas-e1l
@EmmanuelThomas-e1l Месяц назад
Tumsikilize roho🙏🔥
@barakaagrey3744
@barakaagrey3744 Месяц назад
Nimeirudia mara nyingi🙌🙌
@jeremiahmwau1793
@jeremiahmwau1793 18 дней назад
Hii ni kali sana.
@Babygalndanu
@Babygalndanu Месяц назад
Much love from Kenya. Your songs started blessing me as a Sunday School girl. Mbarikiwe sana❤
@user-yo3zl7qx3e
@user-yo3zl7qx3e Месяц назад
Mbarikiwe. na Mungu azidi kuwainua
@Protas_joseph1
@Protas_joseph1 Месяц назад
Tuzidi kumsikiliza MUNGU
@renisterhyera2552
@renisterhyera2552 5 дней назад
Mbarikiwe sana nyinyi ni wa viwango vya juu
@denniskigen4875
@denniskigen4875 Месяц назад
A.I.C Chang'ombe kazi nzuri sana, hongerah muno Mungu awalinde
@lugembe1057
@lugembe1057 Месяц назад
Hongereni sana CVC, mmeanza kurejea kwenye Brand yenu. Hii ndo CVC tuliyoizoea
@deniselias1525
@deniselias1525 Месяц назад
Hongereni sana watumishi Mungu awainue sana
@daynessmollel9962
@daynessmollel9962 Месяц назад
Mbarikiwe sana wapendwa kwa nyimbo zenye upako Kila wakati,!❤ nawapenda mno🙏🙏
@DeoSeme-qe9qq
@DeoSeme-qe9qq Месяц назад
Lydia nilikumis saaana❤❤
@user-pj3np4cz9v
@user-pj3np4cz9v Месяц назад
Glory to God🙏🙏🙏Mungu awazidishe!!!!!,Twawapenda
@jeremiahmwau1793
@jeremiahmwau1793 17 дней назад
Song top, choreography top, dress top, you guys mko juu tu sana.
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx Месяц назад
I see the best auntie there
@abednegokioko3508
@abednegokioko3508 Месяц назад
Be blessed & may God enlarge your territories.
@boazkitela6960
@boazkitela6960 Месяц назад
Amina mzidi kufanya kazi mzuri ya mungu
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 Месяц назад
Kuna dada mmoja alikua akisoro hiyo nyimbo she was doing the best simuon siku hizi
@masalugusessa3702
@masalugusessa3702 Месяц назад
Ali solo wimbo gani huko nyuma
@JESUS354
@JESUS354 Месяц назад
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu . Ni wimbo wa nyakati...kumsikiliza ROHO WA MUNGU NA KUACHILIA KILA KITU. Mungu akawape kuvuna watumishi wa Mungu. Kazi yenu sii BURE!❤❤🎉
@SelemanPeter-ln9gh
@SelemanPeter-ln9gh Месяц назад
Tunaendelea kula baraka❤
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 Месяц назад
Lidyaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaredmkioko
@jaredmkioko Месяц назад
🎉🎉🎉🎉...kali sana...yaani kwa kieango kingine
@Papafrenky
@Papafrenky Месяц назад
That message 🔥🔥
@erickmeshac3135
@erickmeshac3135 Месяц назад
Kwaya zote zimejiboresha sanaaa
@GodloveMbwilo-z8y
@GodloveMbwilo-z8y 8 дней назад
Sitaacha kuwasikiliza wapendwa nawapenda saaaaana
@lizzybethrobethgobriel7005
@lizzybethrobethgobriel7005 4 дня назад
Watu wa miliki ya mung❤❤
@davidfrank1644
@davidfrank1644 Месяц назад
Real test of chang’ombe
@DeogratiasRevocatus
@DeogratiasRevocatus Месяц назад
tunawapenda sana nyie nakaz zenu mungu awajalie zaid
@Iamodanka
@Iamodanka Месяц назад
Hongera 🎉❤
@user-bn1rz3dk4q
@user-bn1rz3dk4q Месяц назад
asante kwa kaz nzuri tunaendelea kubarikiwa
@user-nr1gh2vu9z
@user-nr1gh2vu9z Месяц назад
It's great commission from the heaven Asante 🙏🙏
@salomejohn4507
@salomejohn4507 Месяц назад
Mungu azidi kuwainua zaidi naipenda sana CVC
@rachisomondi356
@rachisomondi356 Месяц назад
I really touched by your songs. Getting you loud and clear from Kenya. Mungu awainue kwa kazi yake
@evakatani636
@evakatani636 Месяц назад
Wow this is so lit, bless up guys 🙏
@marymlata6471
@marymlata6471 Месяц назад
Nabarikiwa sana sana Mungu awabariki nyote
@nyansomasambaji1517
@nyansomasambaji1517 27 дней назад
Mungu awabariki, mmeimba vizuri sana
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 Месяц назад
Woow MUNGU awabariki sana ❤
@chalolimbere6138
@chalolimbere6138 Месяц назад
Waoo more grace
@jsamwelikashimba8834
@jsamwelikashimba8834 Месяц назад
Wimbo mzuri sana sana na umepangika kuanzia music sauti
@lordvickmsechu6516
@lordvickmsechu6516 Месяц назад
AMEN AMEN AMEN 🙏 🙌 👏
@Triza-eo7gu
@Triza-eo7gu Месяц назад
Love you🎉🎉🎉🎉❤❤
@georgeatanga1310
@georgeatanga1310 Месяц назад
Mungu awabariki katika kazi yake
@chazbaba
@chazbaba Месяц назад
Hot song🎉
@philmonnem7294
@philmonnem7294 Месяц назад
Nyie huu wimbo unautulivu flani ivi afu unauwepo wake wandani yani hauna kelele ujumbe umetulia❤ hongereni sana utukufu ni kwa MUNGU mwenyewe atusaidie utulivu ili tuweze kusikia ROHO akisema nasi.
@neemageofrey9804
@neemageofrey9804 Месяц назад
❤❤Ameen zidi kuinuliwa
@elishgurlat4716
@elishgurlat4716 Месяц назад
Injili Iendelee🔥🔥🔥🔥🔥
@Gosplemusictanzania
@Gosplemusictanzania Месяц назад
Naskia injili
@nevamgaya-s7i
@nevamgaya-s7i Месяц назад
Mungu azidi kuwainua
@tricykalukwa5697
@tricykalukwa5697 15 дней назад
My baby oooo ldy❤❤❤❤
@user-zk6mx6de3q
@user-zk6mx6de3q Месяц назад
Amina cvc nawapenda sana
@user-zk6mx6de3q
@user-zk6mx6de3q Месяц назад
Disi nimekuona mdg wangu
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs Месяц назад
Halleluyaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sebastianmagulu614
@sebastianmagulu614 Месяц назад
Tusikilize roho wa Mungu 🙏
@achosisharon8578
@achosisharon8578 Месяц назад
Kenyan here tunawataka jcc please nairobi
Далее
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Просмотров 8 млн
Paul Clement - Neema Ya Mungu ( Official Video )
9:35
Просмотров 241 тыс.
Neema Gospel Choir - Sitalia (Live Music Video)
7:28
Просмотров 229 тыс.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - Jinsi Zilivyo Kuu
5:40
Просмотров 480 тыс.
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Просмотров 8 млн