#,UKUU NI WAKO ni wimbo wa kumi katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kukusaidia kuisikia sauti ya MUNGU. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
Eeh BWANA Ukuu ni wako
na uweza, na utukufu
na kushinda na enzi
maana vitu vyote
vilivyomo mbinguni na duniani
ni vyako, ufalme ni wako
Eeh BWANA
(Nawe umetukuka, u-mkuu juu ya vitu vyote)
Utajiri na heshima
vyatoka kwako wewe MUNGU
nawe watawala juu ya vyote
Tena mkononi mwako
mnakuwatukuza
na kuwawezesha wote
Lazima, Lazima,Lazima
(Tukutukuze BWANA,Tukusifu BWANA, Tukuabudu)
Nami katika unyofu wangu wa moyo
nimeyatoa haya yote
kwa hiari yangu mwenyewe
Nitakusifu BWANA
Nitakuinua YAWEH
Sadaka yangu kwako BWANA
Ni kukutumikia wewe
Ninajua nitapata mengi kwako
(Uzima utakuwa sehemu yangu BWANA)
Ninajua nitapata vingi kwako
(Baraka zitakuwa sehemu yangu BWANA)
Lazima, Lazima,Lazima
(Tukutukuze BWANA,Tukusifu BWANA, Tukuabudu)
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Barthrolomew Magulu
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Nestory Ntogwa(BASS)
Daniel (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro
18 сен 2024