Тёмный
No video :(

AIC Shinyanga Choir - Sheria/Mahakama (Official Video) 

AIC Shinyanga Choir Official Page
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 411 тыс.
50% 1

Kwa neema ya Mungu, AIC Shinyanga kwaya ilipata nafasi ya kuhudumu katika maadhimisho ya wiki ya sheria/mahakama ya mwaka 2020 kwa ngazi ya mkoa, mkoa wa Shinyanga tarehe 06.02.2020, kauli mbiu ikiwa "UWEKEZAJI NA BIASHARA, WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU KATIKA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI YA UWEKEZAJI"
Audio production; Edema's Digital Studio
#specialproject
#mahakama2020

Опубликовано:

 

15 апр 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 165   
@neemafaustine2468
@neemafaustine2468 3 года назад
God bless AIC shinyanga nawapenda wote jamani wapi like za Magireth Magenda
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 года назад
Aisee nimefurahi kumuona tena Mage yupo hapa dah maana niliumia nilipomuona chang'ombe neema choir
@evadaudi5758
@evadaudi5758 4 года назад
Hongera Sana mmeimba vizur kumbe mkiruhusu wengine wanaweza bonge Ana bonge la saut good
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Barikiwa
@timothymutinda9328
@timothymutinda9328 2 года назад
Wow. The vocals are heaven sent. Heshima na utukufu zimurudie Mungu. Much love from +254🇰🇪
@janethmsogoti8677
@janethmsogoti8677 Год назад
Shomaaa 🙌
@johariabdalla3099
@johariabdalla3099 3 года назад
Dah shinyanga mpo vizuri sana mungu awabariki saaaana
@wallacekatini3424
@wallacekatini3424 Год назад
Barikiweni Sana ndugu kutoka Tanzania, kutoka Nairobi hapa AIC JERICHO.
@catherinearon1234
@catherinearon1234 4 года назад
Hongereni AICT shy choir kwa wimbo mzuri ....Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi
@tajaelmichael227
@tajaelmichael227 4 года назад
Aic shinyanga mziki. Mzuri hiyo inaitwa sebene au nn dah kionjo tofauti
@francismlelema8754
@francismlelema8754 4 года назад
Ni wimbo mzuri sana, hongereni kwa mtunzi na waimbaji. Kwa maoni yangu haikuwapo haja ya kuweka picha ya rais kwa sababu siyo mkuu wa mhimili wa mahakama. Mkuu wa mhilimili wa Mahakama ni Jaji Mkuu. Ikumbukwe kuna mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali (Rais), Bunge (Spika) na Mahakama (Jaji) kila mhimili unajitegemea wenyewe.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante kwa ufafanuzi mzuri
@jamesochieng8697
@jamesochieng8697 4 года назад
utunzi ya hali ya juu. good performance wana wa shinyanga.[2020]
@tamuafrikastudios6251
@tamuafrikastudios6251 4 года назад
Hongerei sana wimbo mzuri sana. Ila aliefanya video amewaaribia sana kwa kweli.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Ilikua life recorded, kwa ajili ya kumbukumbu tu. Barikiwa
@paschalndoshi354
@paschalndoshi354 4 года назад
Eee! Hongeren wana shinyanga kwa nyimbo zen nzr,
@lusekelodaison8159
@lusekelodaison8159 2 года назад
Daaaah hongeren sana sana
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 Год назад
Nawapenda shinyanga,,,Magreth Magenda Nkupenda xana
@mlokolevince
@mlokolevince 2 года назад
muzik arrangements awesome..... this guys rock av bn following ur muzik for the last 10yrs..... u r the best
@estaniyongabire9956
@estaniyongabire9956 3 года назад
Mliimba vizur san wana Shinyanga, mbarikiwe na Mungu🙏🙏. Especially the vocals 😚🥰
@ibrahimstanslaus2425
@ibrahimstanslaus2425 4 года назад
Bonge la chupaaa nyimbo kali vocal balaaa nzuriii Mungu awabariki sana na aendelee kuwatumia vyema
@eunicesalewa9522
@eunicesalewa9522 4 года назад
Hongereni sana,ujumbe mzuri,Mungu azidi kuwaimarisha
@mutuadylan678
@mutuadylan678 4 года назад
Kazi nzuri wana shinyaga
@jaredkarani9878
@jaredkarani9878 4 года назад
Kazi nzuri Sana Mungu awabariki sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@jaredkarani9878
@jaredkarani9878 4 года назад
Hivi huu wimbo “Katika shida zangu” Mshaurekodi?
@oliashoo4675
@oliashoo4675 4 года назад
Ninawapenda sanaaaaaaa, barikiweni watumishi wa Mungu
@manasetawetv6048
@manasetawetv6048 Год назад
Mbarikiwe na nyimbo nzuri .
@marymayoli5873
@marymayoli5873 3 года назад
Sweet music, good singing, very well dressed ladies and of course also the gentlemen of the group. Shine, shine for God and the public. Wow!
@momylaviel
@momylaviel 5 месяцев назад
Aminaaaa
@marycosmas4043
@marycosmas4043 4 года назад
Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album
@WorldNatureChannelTanzania
@WorldNatureChannelTanzania 4 года назад
Hizo sauti Jamani daaaaaa mko vizuri sana..Mungu awabariki
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@user-cm3dz6bh9i
@user-cm3dz6bh9i 4 месяца назад
Amen
@ndukukavili9452
@ndukukavili9452 3 года назад
Very nice neema ya mungu iwatoshe
@matseshe1
@matseshe1 4 года назад
Wimbo✓ Ujumbe✓ Waimbaji✓ Mavazi✓ Kazi nzuri sana.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante. Barikiwa
@kaneimnosa4836
@kaneimnosa4836 4 года назад
Barikiwa sana wapendwa, wimbo mzuri
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@amosstephano2860
@amosstephano2860 4 года назад
Wimbo mrefu sana aise
@amosfaustine2624
@amosfaustine2624 4 года назад
Mko vizuri Mungu azidi kuwabariki na kuwainua
@deusnkondo8215
@deusnkondo8215 4 года назад
Mungu awabariki
@petersugilo1645
@petersugilo1645 4 года назад
Mungu awabariki mnaendelea vizuri, Mungu ni mwema.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@petersikombe4493
@petersikombe4493 4 года назад
Lesa amipale nokwimbokusuma Amen
@shangweremiofficial4124
@shangweremiofficial4124 2 года назад
Ujumbe mzuri Amina
@shujaazfilmsproduction7115
@shujaazfilmsproduction7115 3 года назад
naomba kuunganishwa na mwalimu wenu nina kazi naye tafathali...
@abimaelkilasi2946
@abimaelkilasi2946 4 года назад
Kinu hicho dah. Very nice
@ambakisyemallango3911
@ambakisyemallango3911 4 года назад
AICC zote kiboko bigup
@startfodbughari7404
@startfodbughari7404 4 года назад
Mkovizuri sana songa mbele
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@sendeesupriydewoochiagaliy7474
@sendeesupriydewoochiagaliy7474 3 года назад
I 💘 this song i want to support!!
@shanvickline1184
@shanvickline1184 4 года назад
Wow!!!!!! Total love MIMI NI AIC from Kenya
@joanlumenyera9039
@joanlumenyera9039 4 года назад
Hi albamu inaitwaje nahitaji CD yake
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Thank you
@pajohofficial8879
@pajohofficial8879 2 года назад
Special message 🙏🙏🙏
@muokidavid3857
@muokidavid3857 4 года назад
Safi sana. Naipenda.
@selinaamenye5024
@selinaamenye5024 Год назад
Aic mpanda
@machumurobert2754
@machumurobert2754 4 года назад
Mwili wangu unasisimka sana.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Barikiwa
@sethjohnson7266
@sethjohnson7266 4 года назад
Barikiwa sana
@henrykwiyeya6707
@henrykwiyeya6707 4 года назад
Barikiwa Sana ndugu zangu
@AggiesVine
@AggiesVine 4 года назад
Mama Lukaaa.. Kipenzi cha Wakamba Kenya.. Bonge La wimbo
@shujaazfilmsproduction7115
@shujaazfilmsproduction7115 3 года назад
Ni yupi hapo
@AggiesVine
@AggiesVine 3 года назад
@@shujaazfilmsproduction7115 soloist
@boazkitela6960
@boazkitela6960 3 года назад
@@AggiesVine Ni mkamba
@AggiesVine
@AggiesVine 3 года назад
@@boazkitela6960 Kabisa . Tena kivindyo...😂😂
@boazkitela6960
@boazkitela6960 3 года назад
@@AggiesVine wa side gani kitui macha ama makueni
@hellenarichard9486
@hellenarichard9486 4 года назад
Mage ana kipaji hasa hongera kwake
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@felixsamson6856
@felixsamson6856 4 года назад
Nawakubali sana,Mungu awabariki
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina. Barikiwa
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@charlesdeus1019
@charlesdeus1019 4 года назад
Jamani mko vizuri album nyingine lini
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Mwaka huu.. endelea kutufatilia. Barikiwa
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Hivi karibuni
@voiceofgodcreationministry6996
@voiceofgodcreationministry6996 3 года назад
The Lord is good all the time
@thomasnyalika7947
@thomasnyalika7947 2 года назад
Vizuri sana
@greckalumbete6212
@greckalumbete6212 4 года назад
Hongeren sana
@florenceakiso78
@florenceakiso78 4 года назад
Wonderful message in the content of the song
@maserekaboniface5147
@maserekaboniface5147 3 года назад
That lady with small voice God bless her this team has really transformed
@jamescotey1956
@jamescotey1956 2 года назад
Kwaya
@philippetandema2269
@philippetandema2269 4 года назад
Ce n'est pas mauvais vraiment appréciable
@heriethmaximilian8953
@heriethmaximilian8953 3 года назад
Shinyanga mungu awabariki sana atunze huduma yenu
@luppynemmy5857
@luppynemmy5857 4 года назад
Kwan huyo Dada solo mwenye nyewele fupi mweupe anaimba kwaya ngap jaman au nachanganya 😀😀😀 ..... Ila nampenda sana Mungu ambariki mno
@priscadanny7805
@priscadanny7805 4 года назад
😀😀alikua huku akahama akaenda dar akawa anaimba neema gospel ss naona karudi nyumbani
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@ezesolo4861
@ezesolo4861 4 года назад
Nawapendaa
@jobsrashid3133
@jobsrashid3133 4 года назад
Ukija mkoan magreti tuanamwita mwimbaji 🌟 magreti nakukubali sana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 года назад
Huyu dada simchezo,nimotoooo
@peacelissa182
@peacelissa182 4 года назад
Mziki mzuri 🙏🙏
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante
@danieldenis8546
@danieldenis8546 2 года назад
Napenda ckumoja niwaone hataniimbe wmbomoja naninyi
@marodamakungu3411
@marodamakungu3411 3 года назад
Nawapenda sana
@nikekifyoga1027
@nikekifyoga1027 3 года назад
Nawapenda Sana
@annapaul8494
@annapaul8494 4 года назад
Magreti kashatoka neema gospel jmniii
@veronicaeliya8291
@veronicaeliya8291 4 года назад
may be yupo kote maana huku ndo alianza kabla ya neema choir
@fidelismasaku6317
@fidelismasaku6317 4 года назад
veronica eliya
@elijahaywago7274
@elijahaywago7274 4 года назад
huku ndo alikuwa kitambo
@winfridaangomwile9529
@winfridaangomwile9529 4 года назад
Wimbo tumeupoke vizuri na ujumbe
@ainandimbwa8549
@ainandimbwa8549 4 года назад
Safi sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@ngusuhivitalis3803
@ngusuhivitalis3803 3 года назад
hamjawah kukosea mbarikiwe
@praiseurio1487
@praiseurio1487 4 года назад
Congratulations
@voiceofgodcreationministry6996
@voiceofgodcreationministry6996 3 года назад
Like preachings of Reinhardt Bonke
@yohanaelia420
@yohanaelia420 4 года назад
Mbarikiwe
@marthamwangamba9505
@marthamwangamba9505 4 года назад
Nawapenda mnoo nyie watu,dada unaesolo endelea kunyenyekea
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Barikiwa sana
@isayamelamiofficial6468
@isayamelamiofficial6468 4 года назад
@@aicshinyangachoirofficialp3482 jamani manajuaga nyieee hatari sanah mapka sasa hatuoni daliliza allbam ingine
@jobsrashid3133
@jobsrashid3133 4 года назад
Mubariki sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@macdonamasali
@macdonamasali 4 года назад
WEKENI NYIMBO ZENU KWA WINGI HUKU, SOKO LIMEHAMIA HUKU WAPENDWA
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Tumeanza kuziweka. Asante
@macdonamasali
@macdonamasali 4 года назад
@@aicshinyangachoirofficialp3482 Hata mkiweka zile za zamani pia itakuwa baraka kubwa zaidi.
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Amina
@isayamelamiofficial6468
@isayamelamiofficial6468 4 года назад
Dada mage wewe hamia tu neema gosple hapo tayari pasha kupita uwezo japo umeitoa mbali aic
@frankrashd1056
@frankrashd1056 4 года назад
Hahaha Mage kiumbe kingine ww acha br
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 года назад
Hapana asihame bhana tumemzoea huku, nampenda sana Mage
@lydiagerald8584
@lydiagerald8584 4 года назад
Nice
@christinachiganga2358
@christinachiganga2358 3 года назад
We isaya za masiku uko wap
@stefanoolango9601
@stefanoolango9601 4 года назад
Dada mage upo
@agathamwakalundwa7553
@agathamwakalundwa7553 4 года назад
Bado mpo vzr
@Eliuskip
@Eliuskip 4 года назад
Pigo la fainalli album iko wapi wenzetu??
@j.pierreniyoyitungira1111
@j.pierreniyoyitungira1111 3 года назад
Balikiweni
@edinalihedule3421
@edinalihedule3421 4 года назад
Mage amerudi kumbe au anaimba neema gospel chang'ombe na huku?
@tajaelmichael227
@tajaelmichael227 4 года назад
Hata mm nilimwona dah hongera take Dada Mage
@LagatMichael
@LagatMichael 3 года назад
Songs are good but poor video quality.Improve on this.Take full HD VIDEOS.Meanwhile nauliza ile wimbo inasema nina furaha sababu bwna yesu ameniokoa
@estaniyongabire9956
@estaniyongabire9956 3 года назад
Do u guys mind if u give us the lyrics of this song?? Thanks 🙏
@kilangiofficial283
@kilangiofficial283 3 года назад
They encourage Human rights on time in all institutions
@tamuafrikastudios6251
@tamuafrikastudios6251 4 года назад
Yeah ni vizuri. Ila ni kutokana na sababu za kifundi tu hata mm huwa nafanya live recording pia. So labda iwe ilikua haijaplaniwa kabsa kufanyika.
@berniethomas9883
@berniethomas9883 4 года назад
Simuoni mama Pima hapo yule kiongozi wa sifa yuko wapi???
@moshanaaman5588
@moshanaaman5588 3 года назад
NI WIMBO MZURI
@priscadanny7805
@priscadanny7805 4 года назад
Mungu aendelee kuwainua simuoni da martha vp amehama?
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Yupo. Barikiwa
@annastaziajohn9930
@annastaziajohn9930 4 года назад
Matha yupo jaman hujamuona yaan mi hii kwaya matha ndo huwa wa kwanza kumtafuta
@priscadanny7805
@priscadanny7805 4 года назад
@@annastaziajohn9930 ndugu tuko wengi ila kwenye hii video sijamuona
@gelyampagalushu5592
@gelyampagalushu5592 4 года назад
Tunaomba uploads za albums zenu zilizopita maana kuna baadhi ya nyimbo zenu ni nzuri sana ila hatuwezi kuzipata kwenye hizi digital platform
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante. Tunaendelea ku upload. Barikiwa
@tricykalukwa5697
@tricykalukwa5697 4 года назад
Sasa sio kila mda mage wakati kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy wakiwezeshwa
@isayamelamiofficial6468
@isayamelamiofficial6468 4 года назад
Umeonaeee huyooo niwastudioo tu
@frankrashd1056
@frankrashd1056 4 года назад
Mage bado anaheshimiwa coz kuna mtu anaitwa experience 😂 halaf Isaya Mage anaimba live sana we angalia Neema gospel choir
@tricykalukwa5697
@tricykalukwa5697 4 года назад
@@frankrashd1056 Sijamdharau na si kwamba hajui kuimba NO anajua sana, Na nampenda pia.. Hiyo ni kwaya kama wapo wanaojua wapewe na si kila mtu tu apewe NO.. Mbona Eliza ni muimbaji mzuri sana na ni born not made lakini sijamtaja.. Raha ya kwaya unapoona kuna vinara zaid ya watatu....... Lakini hatuwezi jua pengine hao wengine wanajivuta na yeye anajuhudi.. lla katika uimbaji kuna watu hawapendi kuwa mbele, na wakipewa nafasi wanaitumia ipasavyo.. Nawapenda sana AIC shinyanga kutoka moyoni..
@tricykalukwa5697
@tricykalukwa5697 4 года назад
@@frankrashd1056 Na suala la experience frank haliji tu from no where.. Kila mtu anapopewa kazi ya kusoma ndo anapata experience.. ... Experience sijahai kusikia kuwa ni taaluma kwamba utasomea.... Labda
@frankrashd1056
@frankrashd1056 4 года назад
Beatrice Mwakalukwa 😂 refer your statment bhna "kumbe kuna waimbaji wazur kupita yy" no matter how they sing lkni yule anaimba vzur lkni bdo anahuyo mtu anaitwa uzoefu in such different kinds Ila all in all ni kwa ajili ya utukufu wa bwana hatuna neno juu ya haya
@sendeesupriydewoochiagaliy7474
@sendeesupriydewoochiagaliy7474 3 года назад
Great song 🎵 I need the cellphone number of a person who composed this song
@mselanondo5148
@mselanondo5148 4 года назад
301 like
@marycosmas4043
@marycosmas4043 4 года назад
Na barikiwa sana na nyimbo zenu🤝🤝 Magrethi badao hajatoa Album
@yohanaelia420
@yohanaelia420 4 года назад
Sere ongera sana kaka nakubari kila ufanyacho brother
@moshanaaman5588
@moshanaaman5588 3 года назад
NIWIMBO MZURI SANA
@mteuleclassic5398
@mteuleclassic5398 4 года назад
Vizuri sana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 года назад
Asante
@danielmutua9566
@danielmutua9566 Год назад
Barikiweni sana na mungu aendelee na kuwainua sana
@justersangule5739
@justersangule5739 4 года назад
Nice
Далее
kinyonga by AIC shinyanga
7:59
Просмотров 110 тыс.
Будзек и рецепт🐝
00:25
Просмотров 136 тыс.
AIC Shinyanga Choir - Nalilia uzima (Official Video)
6:18
Vulia utashinda - AIC Shinyanga
7:45
Просмотров 1,7 тыс.
Shikeni Hukumu - AIC Buzuruga Choir
8:11
Просмотров 75 тыс.
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
AIC Shinyanga Choir-Ngome (Official Video)
5:36
Просмотров 26 тыс.
AIC Shinyanga Choir - Amua (Official Video)
5:48
Просмотров 456 тыс.
VVC Tanzania Ft Zoravo - Kwa Neema (Official Video)
11:12