Ni kwa neema yake kweli...nakumbuka kipindi fulani nilipita kutengwa na wakwe nilisimama na mume wangu tu niliomba sana nilipitia shida kutopata mtoto baadae Mungu akanihurumia nikapata walichukia sana na baadae wakagombana wao kwa wao na kusema waliniloga sana ila sikuumwa wala kufa nlishangaa sana maana mpk sumu nlipewa bila kujua lakini sikufa kumbe NEEMA YAKE ILINIBEBA MAANA NLISTAHILI KUTOKUWEPO HAPA UWIII HUU WIMBO UMENIKUMBUSA JINSI MUNGU ANAVOTOA NEEMA.🙏🏾🙌🙌🙌🙌
Huu ni wimbo na nusu❤❤🎉🎉tulipoianza safari, tulikuwa kama waotao ndoto......hatukujua kwamba BWANA ametufanyia njia😭❤❤,, hapa ni patamu mpaka nakosa la kusema❤!! Barikiweni sana VVC🎉🎉
Kwanza tuanze na Zoravo. He has this taste that is really really amazing. Alafu huyo leader wow! She did justice to this song. Especially hiyo sauti aliyoingiza Dk ya 8:03 it was EXTREMELY BEAUTIFUL God bless you VVCT… watching from the states! I prayed and spoke in tongues while listening to this song…. God’s grace has kept me 😢😢😢 hatukustahili kabisaaa. 🥹😩🙏
VVC mungu anawainua Kwa Kasi Sana..wimbo mkubwa sana wenye ujumbe na ufunuo . muonekano pia yanafurahisha sana. Wacheza vyombo kuanzia bassist, Andrew the drummist 🥁 ...ni motoo 🔥huku Kenya 🇰🇪 mmnapendwa sana watu wa mungu
Kyi ipyana lyake tukabhagile nkofika leleno kyi ipyana lyake 🔥🔥 ila kinyakyusa kiwe tu lugha ya TAIFA kwa gosiple songs Mana ata usipoelewa unajikuta tu umezama uweponi 🙌🙌🙌 ndaga fijo kalombo zoravo 🙏🙏