.
Mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya kundi la kigaidi la Al Shabaab nchini Somalia kutoka kwa jeshi la kdf yamewapelekea wanamgambo hao kuwawinda wanamgambo wenza wanaoshukiwa kutoa taarifa kwa majeshi ya amisom.
Katika kile taarifa ya ujasusi imetaja kuwa Al Shabaab kujisafisha, kundi hilo limewaua wanamgambo wake wanaoshukiwa kwa vyombo vya usalama wakiwemo wa Kenya walioshawishiwa kujiunga na taarifa hiyo.
Haya yanajiri huku shambulizi la hivi punde zaidi likipelekea vifo vya makamanda wawili wa kundi hilo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
8 апр 2017