Imana ya yesu yeye ni nabi na nikiumbe ca mungu ambaye ni mutu na atawakana nanjomana yupo na mamulaka duniyani nambinguni ya kukukana ayo ambayo wamemuzingishia atawakana nakuwahukumiya mumekoseya siyajuwi ayo mambo ya ucristo mimi muislam Allahuma sali wasali MUHAMADI S.A.W
Huyu shekhe mm ananichekeshaga wallah namkumbuka shekhe nyundo hawezi kuhutubu mawaidha bila kufurahisha hhhhhh Allah akuhifadhi shekhe ktk dini na dunia na akhera pia Allah akuzidishiye kipaji
Wambiye wacristo wajuwe uisilam ndiyo dini ya yesu ambao wawo wamepotoshwa nakuwekewa ati ndiye mungu wawo wacristo wamepoteya na ukipoteya hutofika mpaka uelekezwe na coroani inasema nakumaliza mucristo wakweli huamini coroani nakuifata takbir docter sule nawapenda sana ma sheikh Allah awahifazi
Wacristo hawana adabu ku anziya kwa yesu mpaka namanabi wamekana MITUME wote ukimufata muongo nawewe unaitwa muongo akheira InshaAllah Allah anifishe nikiwa muisilamu kamili analinde ayo mandugu washetwani
Ukiona filamu zawarumi ndio utaona warumu hawamupendi yesu mwenyewe ata kumusikia wanakwepa mafundisho yake aliyopewa na Allah nakutengeneza masilahi yao namafanyikio yawo hawana hoja KWELI
@@khalfanalrawahi3082 Hiyo unayosema ni tafsiri inayo julikana kama " kalimat bil kalimat " ao kwa jina lingine ni " Tarjamat fauriyat ". Sio " Tafsirul Ma'ani ". Allah yuko kila fasi, lakini bil umuum, inafahamika kwamba Allah yuko pahala panapoitwa Peponi ambapo sisi watu hatujuwi. Ndugu, wewe uko unataabishwa na kitu kinachoitwa: waswasatu nafsi, na hio waswasatu nafsi inatoka kwa iblis ao shaitwan. Allah akukinge na tash'wish za iblis. Allahuma Amin.
Sasa wanatwambiya wacristo yesu ni MUNGU muku imrani anakuwa nani sasa wamepoteya waje tuwaonyeshe njia nisawasawa nakutembeya na feza fake unakuwa haupo huru
Thank your God I don't understand this broken Swahili. Mfitinishaji wa dini mkubwa ww!! Asokuwa na haya Ni ww,unajifanya umekamilika Wala ukamilifu huo sioni 🧐🧐nyooo
rudi kasome vizuri bible we jamaa acha kudanganya wenzako, eti hakuna kitabu kilichoelezea vizuri historia ya yesu kama Quran....Afu kwanza Yesu na Yohana mbatizaji wanawahusu nini.....Si mzungumzie wa kwenu huko au hamna?
Tena mwenyeo ndo unajiona bingwa kwakumkosoa sheikh wetu ukweli utabaki palepale kama alivosema sheikh kua jina halisi katika english hakuna kuna vijina vyakuchomeka chomeka tu kama icho kijina chako