Тёмный

#PART4 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 84 тыс.
50% 1

#PART4: DR SULLE ASIMULIA JINI ALIVYOFIA MWILINI -MTU AKAZIMIKA MBELE YAKE AKASOMA DUA AKAWA MZIMA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 247   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 4 месяца назад
vip zawadi
@SulainahMasika
@SulainahMasika 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@evansmusyoka5215
@evansmusyoka5215 4 месяца назад
Can i get the doctors no.
@YarmanAljahhdiry
@YarmanAljahhdiry 3 месяца назад
Doctr salaam alaykum Allah akuhifadhi hi inaitwa kujikanyaga kwasababu yaufikishaji hi njia inahitaji elimu zaidi jamii haiwezi kuelewa ila kunanjia malumu ila kwakukusaidia swali zawali alafu bainisha yote yalokuepo moyonimwako mkabidhi Allah tubia ulipokosea omba kheri kwa allah ndio daraja yako itarudi insha'allah rudi kwa Allah ila ukitaka kufikisha elimu nyengine wafate walio kusomesha nivipi ufikishe kabla kukurupuka
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Месяц назад
Hio inajulikana uislamu na majini 😊😊 ni damdam 😅😅
@RamadhanLunda
@RamadhanLunda 3 месяца назад
Iyoni doctor mzuri lakini anatamaa Sana na nimshilikina😢 mungu atusaidie Sana na tamaa za pesa atunusuru yallab
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 4 месяца назад
Dr Sule, asanti sana. Na kukubali
@JumaMhafigwa-ic8ff
@JumaMhafigwa-ic8ff 4 месяца назад
Dokta sule unayosema ni kweli mm nawajua majini vizuri sana na nna uwezo wa kumuadhibu jini nitakavyo kwa idhini ya Allah
@CharoHarrison-lf3jc
@CharoHarrison-lf3jc 3 месяца назад
Msibaa
@sadickline
@sadickline 2 месяца назад
Nipe namba ya doctor sule
@machelemmachele
@machelemmachele 2 месяца назад
Dkta mimi naumwa upele mwili mzima yani aina ya upele unaonisumbua nikama ulutu nimezunguka kwa waganga 30 imeshindikana, naishi mwanza
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry Месяц назад
Sasa nenda Hospital ya ngozi.
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 4 месяца назад
Mimi nakukubali Sana unaongea unafafanua kutoka moyoni Asiyekuelewa Analake Jambo mashekhe weeengi sasaivi nikumzungumzia sule selu mungu Akusimamie uzidi kuwaponya watu nakuwaelimisha Asante nakupenda Bule
@omigrodrasnet7638
@omigrodrasnet7638 3 месяца назад
Yesu alishasema wasiokili kuwa yy ndiye bwana hawatarithi ufalme wa mbinguni
@hassanjuma4033
@hassanjuma4033 Месяц назад
Nambari Yako plz Dr sule ya Kanye
@vicmosessande
@vicmosessande 3 месяца назад
Tumia Muizi Ushike Wezi, Dr. Sule Alitumia Shetani Kutoa Shetani. Yesu Kristo Ashinda Mashetani
@muharramhamisi5140
@muharramhamisi5140 4 месяца назад
Mim nampenda sana uyu sheikh kuna vit ving san najifunz kutok kwake ,kwanz confedence ake,mashaallah ❤
@HakizimanaJeandieu-dy7cx
@HakizimanaJeandieu-dy7cx 4 месяца назад
Shukran
@Jetzider
@Jetzider 2 месяца назад
Hongera zana Dr Zulleh
@pendomason8582
@pendomason8582 Месяц назад
Wakupe maziwa doctor umenifurahisha
@MajidAbdullah-p9s
@MajidAbdullah-p9s Месяц назад
😂😂😂😂
@muhammadally393
@muhammadally393 4 месяца назад
Muhammad Ally Rufungura kutoka Kampala Uganda Dr Sule umenipa moyo na kufanya hofu zangu zitoweke kwa ajili ya elimu ya tiba ya Quran Allah mtukufu akurahisishie kila kitu
@aboubakarswaleh620
@aboubakarswaleh620 2 месяца назад
Shukrany ❤
@MwandaziMashaka
@MwandaziMashaka 4 месяца назад
Nakuamini shekhe
@erickashindi2666
@erickashindi2666 4 месяца назад
Uwongo mbaya, Nchi zilizo endelea mgonjwa hua anatibiwa kwanza kisha analipa baadae
@cleverommy5706
@cleverommy5706 4 месяца назад
Mwongo weee mara kibao unasikia anataka kwenda kutibiwa india zinahitajika mili 20
@IsaKinyonga
@IsaKinyonga 4 месяца назад
Usipotoshe umma muongope allah
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 4 месяца назад
Masha'allah Masha'allah sheikh wetu
@Mina.15
@Mina.15 4 месяца назад
Watu?😂😂😂 wako ni mchawiii sio sheikh
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 4 месяца назад
Ujuwi Lolote Kasome
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 4 месяца назад
@@Kuminamoja1995 anajua jini hutumikishwa na mtu baada ya kukufuru,na hawi jini mwema huwa shayatwiin,na yeye si nabii sureiman
@lilmojr7
@lilmojr7 4 месяца назад
Usiseme mashaallah kwa mtu mshirikina Allah atulinde na fitna yake
@johngeorge4834
@johngeorge4834 3 месяца назад
😂😂😂😂
@HadinanKimimbi
@HadinanKimimbi 4 месяца назад
Doctor sule story alivyomuelezea nyuki Atari sana
@MwajumaHassan-d5l
@MwajumaHassan-d5l 3 месяца назад
Na ile story ndo ilinifanya Mimi nimpende doctor sule na kuanza kumfatilia mpaka Leo hii masha ALLAH ♥️💞💞 aliweza kweli
@BinSwaleh
@BinSwaleh 4 месяца назад
Dr Tule macho yako yameanza kubadilika
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 4 месяца назад
Mshirikina wa kiwango cha juu sana
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 3 месяца назад
😂😂
@lilmojr7
@lilmojr7 4 месяца назад
Wallahi huyu anaharibu sifa ya uislamu kwa wenye elimu ndogo wataona waislamu una shida huyu sasa anadhihirisha sio mlinganiaji huyu ni mganga tena anaefanya shirki Allah atulinde nae
@Nassir-cl3bt
@Nassir-cl3bt 3 месяца назад
Wewe elimu hauna uyo Dr sule anaelimisha hapo lbda amepandisha ama ameona majini jaman izo akil zenu ziko wap na wenda nyinyi ndio mnatumia majini Dr sule anatoa ukwel kbsa
@LugomeRisasi
@LugomeRisasi 3 месяца назад
Wewe ndo huijui dini yako
@AbdalaRamadhani-by6bt
@AbdalaRamadhani-by6bt 3 месяца назад
Kuweni makini msiokua na elimu ya dini
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Месяц назад
Mmh mambo ya uislamu na majinini kama Pete na kidole Hilo linajulikana wafuga majini 😊😊
@haroubsalim779
@haroubsalim779 4 месяца назад
Huyu jamaa Yuko vizuri kiasi, muongeaji na mwenye akili kiasi chake, So kuna mambo anapatia na mengine anakosea kama mashehe wengine, Sasa tusimhukumu Kwa makosa tu na anapopatia tumpongeze.
@Grataaaaa
@Grataaaaa 4 месяца назад
Mshirikina uso umetoka nuru ya imani umekuwa kama uyo jini wako umekwabuka mchezo na shirki tamaa ya pesa na maisha ya Dunia tafuta kazi za halali Acha uvivu
@kayagoAziza-z2c
@kayagoAziza-z2c 4 месяца назад
Yani mshirikana hana ata hofu ya mungu Kesho wataulizwa anakera kwa kweli aseme Tu ni mganga wa kiyenyeji asijivije kivuli cha dini
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Anatuharibia dini yetu kwa maslahi yake binafsi hana hofu na kesho yake, Eee MOLA wetu malezi tunusuru
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 4 месяца назад
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana Ayah ni hii وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@lilmojr7
@lilmojr7 4 месяца назад
Allah ameondoa nuru katika paji la uso wake kwa hii shirki anayofanya Allah amuongoe
@athumannyungundileki9799
@athumannyungundileki9799 4 месяца назад
Kweli sule amepoteza nuru katika paji lake la uso kwa ajili ya usirikina
@salehothman6144
@salehothman6144 4 месяца назад
Dah kazi kweli kweli
@HadinanKimimbi
@HadinanKimimbi 4 месяца назад
Msikilizeni vizur msimkosoe Sema Shekhe sule anavitu
@Dafetty
@Dafetty 4 месяца назад
Part 5 please 😅😅😅❤
@AbudoAssumane
@AbudoAssumane 23 дня назад
Doctor mm nakwitaji saana kwajili ya Mama yangu anasumbuliwa na migu ana miaka 2 bado anaumwa wala atembei, sasa unanisadiaje?
@SelemanAmir-ze8zz
@SelemanAmir-ze8zz 4 месяца назад
Acheni kuendeshwa akili na mitazamo yawatu bila kutumia tafakari za akili zenu someni kwanza na sio kufuata kauli za waajiriwa wa madhehebu walikuja kwa mitaala maalum ya zogo ktk dini
@saidissa8273
@saidissa8273 4 месяца назад
Jibu hoja pacha porojo.ukiletewa mgonjwa wa majini utamtibu vp.huna elmu
@eastafricaqualitychickenfa9916
@eastafricaqualitychickenfa9916 4 месяца назад
Mashekhe wa Tanganyika bwana hatar duniya mbele Ahera nyuma😂😂😂😂
@Mteule1010
@Mteule1010 4 месяца назад
Aliyesikia KIBIRITI UPELE gonga like hapa.
@simonndirangu336
@simonndirangu336 4 месяца назад
Listening from Kenya malindi.. hii sijasikia
@djsma255
@djsma255 4 месяца назад
Aise napiga hili la pete, na nyota kwanza mtume Muhammad S.A.W alitukataza mambo yakusoma nyota, alafu mbona simple kama unataka baraka na mvuto na ikifika saa 9 usiku amka Allah anashuka mpaka mbingu ya dunia na kunadi, kuna mwenye dua nimjibie, kuna mwenye haja nimtumizie kuna mwenye kutaka msamaha nimsamehe.... Huo ndio muda na njia ya uhakika ya kupata baraka na bahati na mafanikio, haya ya majini na nyota sio mila yetu wafeasi wa mtume Muhammad S.A.W
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 21 день назад
Huyu anaivutia kazi yake ya uganga
@raphtz5694
@raphtz5694 Месяц назад
Dr Sulle ofisi zake ziko wapi?
@IbrahimRamadhan-cm4rj
@IbrahimRamadhan-cm4rj 2 месяца назад
Dokta sule usife mpaka tuonane🙏
@technicalgearboxenginebysc1360
@technicalgearboxenginebysc1360 4 месяца назад
Mpaka hapo de sure tiba zako sio kumtegemea Mungu unaita majini mashariki kusini kwann usimuite Mungu kutumia dua hapo uchawi unatumia
@MohamediOmari-nz4vv
@MohamediOmari-nz4vv 4 месяца назад
Unajua majini yaliumbwa kwa ajili gani
@Nassir-cl3bt
@Nassir-cl3bt 3 месяца назад
Majina ni ya nani ni yako c na ya Allah tena majini ya Kher wew tumia akil Mungu yuko hapo asingetaka awangekuja ao majini mfano mtu akipagaliwa na mashetani uwa ywaenda wapi ebu tuambieni vizur msimuhukumu uyu doctor sule
@godfreydavid6847
@godfreydavid6847 4 месяца назад
Dr Sule ni mtaalamu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 месяца назад
Taiwan si nchi ya kislam ni pahala wa wachina na hakuna wizi wamazingira hayo uyasemayo nafikiri haukuzunguka ulimwengu mzima , Malaysian nchi ya kidini ya uislam nakuna rushwa na ushenzi kwenda mbele mpka na huko Indonesia kwenye waislam wengi zaidi so mjomba labda uwadanganye hao watu wapo nyumbani
@Mohammed-mn2xg
@Mohammed-mn2xg 3 месяца назад
Maelezo yako na ya mgangamchawi hakuna tofauti isipokua kujificha kwa dini lkn hyo ilimu hauko kwa dini na kundi moja ndilo litasalimika cku ya kiama wanaofuata Qur'an na hadith za mtume SAHIHI zaidi ya hyo n motoni
@AssumaneAndane
@AssumaneAndane 3 месяца назад
Masheikh,linganieni Dini,sio hela😢😢😢😢😢
@wambelahassan1764
@wambelahassan1764 4 месяца назад
Hiv jmn elim tunayo au tunapayuka t ebu tusomen jmn ,,mi nasoma t hata sielew ila najifunza napata uelewa
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 4 месяца назад
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana Ayah ni hii وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@BinSwaleh
@BinSwaleh 4 месяца назад
Dr Tule
@Ngendakumana_
@Ngendakumana_ 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂kwanijini ndiokitugani😅😅😅😅 anakufagaaa😂😂😂😂😂
@sawebenjamin4015
@sawebenjamin4015 3 месяца назад
Dini ni jitiada ya mwanadamu kutafuta mungu, ukiristo sio dini, Ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu %100
@NoorynMuddy
@NoorynMuddy 4 месяца назад
Sawa doctor tumekuelewa rkn punguza tumbo hilo utapunguza utyamu😊
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 4 месяца назад
Sulle ni mganga wa kienyeji anayejificha kwenye kivuli Cha dini fulani
@salumuledisalum8038
@salumuledisalum8038 4 месяца назад
Hili ni tapeli kubwa
@Mina.15
@Mina.15 4 месяца назад
(CRAMPS)MCHAWIII MKUBWA WEWE NA HIYO CREMPU YAKO😂😂😂 ….
@AbubakaryAbdallah
@AbubakaryAbdallah 4 месяца назад
Sas jaman uchawi hapo umeingiaje ni ukwel tu Kwan imam ghazal anavitab hatar San lakin mbona hamumuiti mchawi
@ZulekhaAbdallah-e1r
@ZulekhaAbdallah-e1r 4 месяца назад
Kumbe yule mtetezi wa sule ni kuku jogo jina😂
@abdillahiharuna0029
@abdillahiharuna0029 4 месяца назад
Kitu ambacho nimekigundua nikwamba kuna siri kubwa kwenye elimu watu wengi wanaangamia kwakukosa maariya
@IsaKinyonga
@IsaKinyonga 4 месяца назад
Jamani huyu jamaa atakupotezeni kueni makini
@rashdabdulazizi4193
@rashdabdulazizi4193 4 месяца назад
Jifunze hautopotea
@bosskenya123
@bosskenya123 4 месяца назад
Hapo mnaita majini waje kuwasaidia sisi uwa tunaita roho mtakatifu. Hatuwezi fanana ng'0
@KelvinMwanzia-hh4rh
@KelvinMwanzia-hh4rh 3 месяца назад
Naomba namba yako dr sule
@SaidiLibii
@SaidiLibii 4 месяца назад
Naomba namba ya Dr sulle
@HameedaHh-y5y
@HameedaHh-y5y 4 месяца назад
Wa kwanzaaa ilaaaa Habari yaifungukiii
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 месяца назад
Makubwaa! Kumbe waislamu mnatumia mini,badala ya Mungu?? Nilimtukanaga sn Mwaipopo akikuponda.Mwaipopo nisameheee.
@Shuu.A
@Shuu.A 4 месяца назад
Wee usiseme waislam mtaje huyu tu anaesema usichanganye waislam wote hapa na hao wanaojiita manabii na wachungaji pia wao washirikina tele
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 4 месяца назад
UISLAM HAUTUMII MAJINI KABISA, NI YEYE TUU HUYO Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana Ayah ni hii وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@user13375
@user13375 4 месяца назад
​@@Shuu.Ashehk wenu huyo acha kumkataa
@hassansingano1150
@hassansingano1150 4 месяца назад
Nabii Suleiman alikuwa akiwatumikisha majini atakavyo. Kwa iyo, tukae chini tusome.
@user13375
@user13375 4 месяца назад
@@hassansingano1150 huyo ni seleman wa kwen ,wa bibilia hakuwa ivo
@KelvinMwanzia-hh4rh
@KelvinMwanzia-hh4rh 3 месяца назад
Naomba namba yako natoka kenya
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 4 месяца назад
Mushrik mkubwa
@AbubakaryAbdallah
@AbubakaryAbdallah 4 месяца назад
Sheikh samahan lkn ila kwa hap shirk imeingiaje
@myself4128
@myself4128 4 месяца назад
Dini ya Uislamu inahubiriwa na waganga wa Kienyeji,Uislamu na Mapepo damu damu!ushirkina na uchawi ni sehemu ya uislamu! Mwisho wenu unajulikana endeleeni Kuongopeana!Mbinguni hakiingii kichafu
@AdamDaudy
@AdamDaudy 4 месяца назад
Wewe hujui usemalo
@HajimubarakSuleiman
@HajimubarakSuleiman 2 месяца назад
kujkt imamu😏
@NMJAsaid
@NMJAsaid 4 месяца назад
Sasa shekhe wa wadudu naona waanza kuwa mchawi, mwanga. Yaani hata sijui wazungumzia dini gani!
@medinaser9712
@medinaser9712 4 месяца назад
Tazama hatari anasema ndigu zake ndio waliyomtia hayo majini ..sifa ya hao washirikina ni kugoganisha ndugu
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 4 месяца назад
Lakini Haku mention jina
@hassansingano1150
@hassansingano1150 4 месяца назад
Kuna kitu Dr Sule aliwahi ongea, alisema **Nabii Suleiman alipewa uwezo na Mungu kuwatumikisha Majini atakavyo**, kwa iyo, anayo sema Sule kiukweli inahitajika elimu, sio kupinga tuuu.
@FarajaMtavangu
@FarajaMtavangu 4 месяца назад
waislam ntaongea mengi lakin dini yenu Haina msimamo inajipingapinga saaaaaaana kiundani inatisha ila kama Allah ndiye MUNGU wenu basi Allah na YAHWEH ni miungu miwili tofauti ila mwisho ndo huu soon Kila mtu atajionea hakutakuwa na wakusimuliwa
@sawebenjamin4015
@sawebenjamin4015 3 месяца назад
Dr sule ameunganisha jitiada ya kutafuta mungu na uganga= kwa hivo ushirikina kamili.
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 месяца назад
Huyo ndiyo role model wenu akisimulia habari za biblia mnashangilia bila kujua kwamba anawadanganya
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 4 месяца назад
Sule wewe nimganga ushekhe ulishauweka bench zamani sana nakama umeamuwa kufata njiya hiyo sule utakuja kujuta mbele ya mungu
@mwenda8911
@mwenda8911 17 дней назад
Kwetu kwa wakristo tunaitana kwa njina la yesu wote waondoke 1sec
@sleyumngolo
@sleyumngolo 4 месяца назад
Ili kazi ya mungu ifike vzr lazima upingwe na wengi saiv dr sule ameanza kufanikiwa sasa
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 4 месяца назад
Kwenye majini kuna kazi ya Mungu acha uongo
@lilmojr7
@lilmojr7 4 месяца назад
Huyu ameanza kufanikiwa kwenye mambo ya ushetani sio mambo ya mungu chunga kauli yako ndugu yangu usimsifie aliepotea muombee mungu amrudishe kwenye mstari sahihi
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 4 месяца назад
Kwenye bible,tiba! Vipi kuhusu qur an,Fiqh,hadith au upande huo hauna kitu wewe unajua bible na majini2?
@rashdabdulazizi4193
@rashdabdulazizi4193 4 месяца назад
Wa Afrika elimu ndogo ndiomaana kila anaefanikiwa wanasema mshirikina,freemason,mwizi,mchawi,kumbuka njia za mafanikio ni nyingi kuna halali na haram nijukumu lako kuchagua upite na ipi
@ahmedissa1827
@ahmedissa1827 2 дня назад
Wewe mzushi,unadai Ana majini 300 wewe uliwaona vipi, badae unadai unadai alivyotoka huyo shetani hujamuona
@BinSwaleh
@BinSwaleh 4 месяца назад
Nimefahamu kisomo chako cha masaa yote hakikusaidia mpaka ulipotaka msaada wa Majini kwa time ilioiweka mwenyewe
@NolaskoMwinuka-s5v
@NolaskoMwinuka-s5v 15 дней назад
She hee naomba mawasiliano Yako
@KAIPAAA3211
@KAIPAAA3211 4 месяца назад
Wasomi wanajuwa huyu Sure ni muongo taper sana kawadanganya watu kuwauzia pete zauongo pumbavu
@abuibra
@abuibra 2 месяца назад
Muongo sana wala hajui chochote.
@HakizimanaJumapili-k3e
@HakizimanaJumapili-k3e 3 месяца назад
Ustadhi sule naomba unijaliye niwe mwanafunzi wako kwenye tiba japo niko Burundi nitashukuru nikikubaliwa ombilangu
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 21 день назад
Wake wanne sio mchezo lazima uwe mganga wa kienyeji
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 3 месяца назад
Kingine umesahau mwanasiasa aliyekuwa mwislam anakuwa mwizi na mzururaji 😂
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 4 месяца назад
ILA DR SURE MIAKA YOOOOTE HATUKUJUI LEO UNAJIFICHUA,
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 4 месяца назад
wew siuneshika smart phon juzi
@hassansingano1150
@hassansingano1150 4 месяца назад
Ni vigumu sana kumuelewa Dr Sule. Sule ni kichwa. Kuhusu majini, mbona Nabii Suleiman alikuwa akiwamiliki na kuwatumikisha, ajabu nini? ,
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 4 месяца назад
@@cryptoboy_5 ndio,sio juzi tu ehe shda nini?
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 4 месяца назад
@@hassansingano1150 hata nabii Muhammad swallallah alayh wasallam,alikua na wake 9,wee unaruhusiwa? Nimswadiq kauli yake iliuchawi ufanyike ni razma jni lihusishwe, Jini hatumikishwi na mwanadamu ila ni shetani, Ima kuna habar mtume katumikisha jn ktk shughli zake? NYINYI NDO MNASABABISHA WASOMA QUR ANI WAONEKANE WACHAWI,
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 4 месяца назад
@@hassansingano1150 labda Suleiman wa mchongo wa Qur'an lakini yule wa Biblia hakuwai kutumia majini.
@moshimakali8447
@moshimakali8447 Месяц назад
Ndg sule unaweza kuja Manyoni nyumbani kwangu ninashida na wewe unisaidiye?
@aliymwanafuno9848
@aliymwanafuno9848 3 месяца назад
Mmmhhh kote kasema,ila kwa kikwete kapotea,kikwete mwiz2
@HakizimanaJumapili-k3e
@HakizimanaJumapili-k3e 3 месяца назад
Ni najuwa kusoma kiarabu
@pascalmgina
@pascalmgina 4 месяца назад
Sheikh anatangaza biashara
@abuubilal2646
@abuubilal2646 4 месяца назад
Huyu mganga sio shekhe
@MohamedRashid-ob9nq
@MohamedRashid-ob9nq 4 месяца назад
Huyu ni tapeli tahadharini
@amosethantheking8815
@amosethantheking8815 4 месяца назад
Dini yenu ni ya majini, siyo utapeli bali Quran imetoka kwa majini..
@IssaAli-wz5jh
@IssaAli-wz5jh 4 месяца назад
​@@amosethantheking8815Endelea kujidanganya ipo siku utajuwa wapi ilikotoka Qur an we subiri tu.
@adamally8791
@adamally8791 3 месяца назад
​@@amosethantheking8815Kuwa na heshima wewe nani alikuambia QURAN imetokea kwa majini😡, Tulia ujifunze wewe
@alexmatheka8771
@alexmatheka8771 3 месяца назад
Na si mnasema majini n wasaidizi wenu😂😂😂😂😂imekua aje
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 4 месяца назад
Kama kweli unatumia majina ya Allah kwann usiyataje au ni kichaka tu chakujifichia tumuogope Allah
@allycux1221
@allycux1221 4 месяца назад
Ayo majina yapo bro shida akiyataja watu wata umizana hata mimi nime yambiwaga kweli ukitaka ndakwambiya ila ndakupa shurti ili usije kumiza watu
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 4 месяца назад
@@allycux1221 naomba nami unipe elim.Mtume anasema nifikishieni walau aya moja na Mungu anasema wala msiuze aya zangu kwa thamani ndogo ya kidunia nakuomba unipe elim
@shabanhussein5366
@shabanhussein5366 3 месяца назад
nakuombea duwa dokta sule saidia watu, wanao kuona ufai wapo wanakuona una faa.
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 4 месяца назад
Mimi hata freemason nilikuwa siamini kumbe vipo na yeye tutamuelewa siku moja acha atoe darsa
@CashKassim
@CashKassim 3 месяца назад
Sule ww ni hatari kwatafakuri tupe elimu hayo madini tuponye fikra
@MubarakDiis
@MubarakDiis 4 месяца назад
ASalaam aleikum naomba namber ya Dr sulee
@mohdali2408
@mohdali2408 4 месяца назад
Sheikh huo sio uisalam tulio jifunza, ila Munaiga wakristo kupata kipato
@Nassir-cl3bt
@Nassir-cl3bt 3 месяца назад
Doctor sule ywatoa elimu watu awajamuelewa kbsa na ni ukosefu wa elimu atuna walahi
@yassinmohamed8241
@yassinmohamed8241 4 месяца назад
Amsheni akiri nyie huyuu mwamba anatukana kwa Siri bira nyinyi kujua pia hana sijda huyuuu alikuja kujifichaa iri badae aje apoteze watu wengi pia hizi nimiongoni mwa dalili za kiama dalili za kuwepo masih dajari so tuwe makini sana tuombe mwisho mwema pia huyuu Asiwe sababu za kuzoofishaa imani zetu Ameeen
@binwasiumbanga9256
@binwasiumbanga9256 4 месяца назад
Miaka 24 huyo mtoto kijana?
@bosskenya123
@bosskenya123 4 месяца назад
So huyu n mgaga?
@JumaMhafigwa-ic8ff
@JumaMhafigwa-ic8ff 4 месяца назад
Na anaebisha anitafute mm nakubaliana na Docter Sule ni mkweli mm nipo chanika zingiziwa ila sitaki kujitangaza mm namtoa jini bila mtu kuanguka wala kumfusha dawa mm namuita jini na lazima aje ninayo elimu ya majini
@bakarimwabua1663
@bakarimwabua1663 Месяц назад
Naomba namba yako
@bakarimwabua1663
@bakarimwabua1663 Месяц назад
Mimi pia nipo chanika
@kennodhiambo
@kennodhiambo 4 месяца назад
Jini ni shetani na hakuna shetani mzuri. Ushuhuda huu unaonyesha waziwazi nguvu za Allah iko katika majini. Majina yake yanawaita majini. Nashangaa mbona umebana majina hayo yanayowaita majini?
@shamisfahiye9628
@shamisfahiye9628 3 месяца назад
Wewe nawe! Kajifunze vizuri. Ulimwengu wa majini ili uwekwe . Ni elimu km elimu zingine
@issachina9443
@issachina9443 4 месяца назад
😂huyu mndengereko ni shidah allah amuifadhi
@MohammedSaid-tf5qc
@MohammedSaid-tf5qc 4 месяца назад
Wandege 🌟 mashaallaah kusoma raha istikh daamulkuddaam inafaaa njooni Misri huku mutiwe adabu kielimu na madukturu kutumia majini ktk kheri yafaaa
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад
NAUNGA MKONO HOJA--.KAMA HUAMINI KAA KUSHOTO HUJAITWA
@c.e.o_abdiroush
@c.e.o_abdiroush 4 месяца назад
Laanatulllahi Alayhi! Kafiri mkubwa huyu mshirikina ! Tena anajinasib ni sheikh! Takataka huyu alaaniwe kudanganya watu na kuaminisha Uislamu unakubali ujinga huu! Ety Dokta ! Dokta gani yupo Hivi!
@sleyumngolo
@sleyumngolo 4 месяца назад
Pombe ikikutoka njoo ufute comment yako
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 4 месяца назад
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana Ayah ni hii وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@wagabwagab-md7rt
@wagabwagab-md7rt 4 месяца назад
Hatujapewa ruhusa ya kumkufurisha mtu ndugu yangu
@seifsaid9905
@seifsaid9905 4 месяца назад
Umepigaje hapo mkuu mara kufa mala kupooza ahahaha kwer we ni .....
Далее
TRENDNI BOMBASI💣🔥 LADA
00:28
Просмотров 370 тыс.
Airpod Through Glass Trick! 😱 #shorts
00:19
Просмотров 2,3 млн
UST. HABIB OTHMAN  MAZINGE | MZEE YUSUF NAKUDAI
21:06
Просмотров 72 тыс.