Тёмный
No video :(

ALI KAMWE; NITAJIE HATA SHABIKI MMOJA ANAETAKA ENG. HERSI AONDOKE YANGA, YULE MLIYEMUONA SIO BALEKE 

Crown Media
Подписаться 125 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@AbdurahimMohd
@AbdurahimMohd Месяц назад
Pablo mwamba unaupiga mwingi dam yang wakuzingatie kwenye maslahi yako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-ug1nv3xl4d
@user-ug1nv3xl4d Месяц назад
Uyo mzee katumwa uyo mshenzi sana tunahasira nae uyo!!
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Месяц назад
Semaji la kimataifa nimekuelewa sana na nimekupenda Kwa ni mtulivu na unajibu maswali Kwa ufasaha
@user-qz8gn6bn6r
@user-qz8gn6bn6r Месяц назад
Nomaa
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 Месяц назад
Dah kweli nmeamini ule usemi Mahakama pekee ndo itaifunga Yanga , now naona Kolo na Mzee wao wa mchongo wameanzisha Magoma Cup 😂 Pre season
@ChenchiKing
@ChenchiKing Месяц назад
Semaji La Wananchi Mpak Kihama💚🇹🇿🔥
@fadhiliabasi6585
@fadhiliabasi6585 Месяц назад
Kihama?
@HilaliAhmadi
@HilaliAhmadi Месяц назад
Hilo jambo linahitaji ability mdogo sana kulielewa, havi jimbo linapomchaguwa mbunge mmoja kuwakilisha wanna wananchi vote hilo halitambui?
@asnalimtv7690
@asnalimtv7690 Месяц назад
Crown sports naona mnafika mbali Sana japo kuwa bado ya kisekali bado hamripoti
@dicksony8367
@dicksony8367 Месяц назад
Umejarb kumufatilia kikeke? Sikiliza kasiri la kikeke yeye ndo anadili na masuala ya kiserikali
@babujohnmwita4337
@babujohnmwita4337 Месяц назад
Angalia kasri la kikeke
@IbrahimHaji-o9o
@IbrahimHaji-o9o Месяц назад
Thnk u aly kamwe kivipi au cjaelewa .kama kuna aliemwambia ivyo semaji la nchi zote .bc ajipe yye thanx ajishukuru na aache kushabikia mpira wa miguu.
@yuzotheshark9343
@yuzotheshark9343 Месяц назад
Yanga bingwa
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
me naona alikamwe ungewanyamazia awa waandishi make wanajali tu likes coment na views siku hiz na sio kuielimisha jamii
@yussufally8668
@yussufally8668 Месяц назад
❤❤
@marymoshi572
@marymoshi572 Месяц назад
Noma sana
@emilegentil9538
@emilegentil9538 Месяц назад
😊
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Месяц назад
✌️👊👍.
@ZulfaJevejeve
@ZulfaJevejeve Месяц назад
hauna baya Kamwe ,ILove u msemaji wety
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p Месяц назад
ni kweli hata leo apa jirani yangu wapo madunduka walikua wanafurahia eng erisi anatoka yanga ila mim niliwakata kilimi baada ya kuwaonesha mwanasheria akiwa anafafanua wakakosa la kuongea
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q Месяц назад
Watukome kabisaa Makolo watuache naraha zetu 💚💛💛💛💚
@saidyussuf-my8ew
@saidyussuf-my8ew Месяц назад
Sawa kabisa ali kamwe umefafanua vizuri nimaluki wanataka tupoteane
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 Месяц назад
Nakubali
@PassamMuyinga-gd6pl
@PassamMuyinga-gd6pl Месяц назад
Magoma usituvuruge tuache ulilolipanga aliwezi kuwa
@kingsmusicfans1416
@kingsmusicfans1416 Месяц назад
Pablo🔥🔥🔥
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h Месяц назад
Pablo mtangazaji bora wamichezo anaekuja kuwa bora africa nakukubali kaka
@user-um2gk3ix3s
@user-um2gk3ix3s Месяц назад
Uyo mzee afe tu azikwe
@MalakiaMwantage-y5c
@MalakiaMwantage-y5c Месяц назад
Hivi uyo mzee hajion kama amezeka au anataka pention
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Месяц назад
Magoma hapelekwie
@trendings1293
@trendings1293 Месяц назад
Mahakama wajaribu kumkabithi yanga,tutamchomea humo ndani hatoki
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Месяц назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 yanga imala 🎚🎎
@saidyussuf-my8ew
@saidyussuf-my8ew Месяц назад
Wewe ni jiniazi semaji
@user-wg2vl1rh4l
@user-wg2vl1rh4l Месяц назад
Tuko pamoja Semaji hatulalamiki
@SAKINAJUMA-ey8qd
@SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад
Sio baleke na leo ameonekana pia
@kingsmusicfans1416
@kingsmusicfans1416 Месяц назад
Wapi JUMA AYO🔥🔥 mzee wa kwa mpigo zaidi🔥🔥
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 Месяц назад
Suala la ujasiri wa mtu kufoji sahini za wajumbe siyo la yanga waachiwe idara husika watajua nani wahusika.
@omarmhamed-sv7dx
@omarmhamed-sv7dx Месяц назад
Mbona Haji Manara kimya
@ceankiiza9945
@ceankiiza9945 Месяц назад
Kiukwel mm nimefulahi Kukuona uku Kaka unafanya Kazi nzuri Aisee wazingatie Naokoto
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Месяц назад
Magoma hana haki na yanga lazima hazungumze
@neemaisrael688
@neemaisrael688 Месяц назад
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
@yakobomanyanguy1733
@yakobomanyanguy1733 Месяц назад
magoma jitasmin kwanza Kwa yanga hii
@AlexMbagata
@AlexMbagata Месяц назад
Changamoto na mafanikio ni mapacha tutavuka kwa ujasiri mkubwa.
@emanuelimola4721
@emanuelimola4721 Месяц назад
Uyo mzee awe makin na wanachama wa yang watu nana asira adashidwa kupita mitaani na uwanjani watu wata mtafuna
@user-vj4ip8cp5h
@user-vj4ip8cp5h Месяц назад
Kwanza magoma anasura mbaya km uchi wa nguruwe
@hamisishabani4072
@hamisishabani4072 Месяц назад
HUYU JUMA NGOMA ANAONEKANA NGOMA KWELI,TUNAMSHAURI AACHE MAMBO YAKE YA UNGOMA.WANANCHI WENYE AKILI HATUTAKI KABISA MAMBO YA UNGOMA NGOMA.TUNAJUA UNATUMIKA KWA KUWA WEWE NI NGOMA.WEWE MNGOMA ENDELEA KUJIPAKAA AMBI TU.MATOKEO YAKE UTAYAONA MUDA SI MREFU.
@Rahmaomary-i9z
@Rahmaomary-i9z Месяц назад
Huyo mzeee katumwa xio xir naitwa iddy kibamba kutoka tabora
@IzackMasaki
@IzackMasaki Месяц назад
Ukitumiwa uliza ulikotumwa
@ahmedimakope
@ahmedimakope Месяц назад
Huyu Kuma kila akiongea Yeye anawagusia Simba tu Sasa mnataka kutuambia yule magoma ni Simba Huyu jamaa anaforce sana kushikana na wanasimba mkundu wake jambo Lenu unasema timu nyengine zinahusika vp hapo
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Месяц назад
Kwani wewe unaona vipi.
@emilegentil9538
@emilegentil9538 Месяц назад
🔥🔥🔥
@paulmasunga1754
@paulmasunga1754 Месяц назад
juma magoma hata kula yake ishu hii hela ya kufungulia kesi Ametoa wapi
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Hapo sasa! Alikua anaishi kwa mamake,alipomfuza kaenda kwa mwanamke! Kazi yake kuchomelea vyuma😂😂😂😂ataiweza Yanga?
@DanAunty
@DanAunty Месяц назад
Anayeweza kusema aondoke huyo nimakoro yanga ya sasa inasababisha tunenepe hata kama huna hela
@buzaglomichael4339
@buzaglomichael4339 Месяц назад
Kama Magufuli pa1 na mazuri yote watu wakamuua Hersi yeye nani asipingwe😂😂?,.
@user-wg2vl1rh4l
@user-wg2vl1rh4l Месяц назад
Semaji mwambie tushatoka huko cc na wenye D2 tushawafahamu shoga hao
@NayroonAbdul-m3b
@NayroonAbdul-m3b Месяц назад
Ningefarijika sana pablo ukawa hapo yanga tv ww ni nonge la prstr
@salamSalehhhhh
@salamSalehhhhh Месяц назад
Kumbe aka ka alikomwe ni kajinga
@EliaMkumbo-wn7bm
@EliaMkumbo-wn7bm Месяц назад
Debora makasiriko yann?
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Месяц назад
Yanga kwisha
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Месяц назад
Sahauu! hapa kama haijafika 2050 hamjachukuwa ubingwa.
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Месяц назад
@@mussammanga7791 wakina Nani?
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Месяц назад
@@Brunotarimo10 Nyinyi Mandunduka.
@AffectionateAirboat-ug9we
@AffectionateAirboat-ug9we Месяц назад
Shida ikopale pale tareh 8 tunampiga simba namagoma wake
@JamalyzoMilanzi-h2d
@JamalyzoMilanzi-h2d Месяц назад
Ukweli utabaki kuwa ukweli jamaa ajachanguliwa na wanachama wa yanga uyo kateuliwatu na GSM
@KarangwaDavid-nr8cm
@KarangwaDavid-nr8cm Месяц назад
Watuachiye yanga yetu magoma unatutia mikosi2
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Месяц назад
Huyo mzee magoma anakaa wapi Kwanza nataka nionane nae ili nideal nae physically😅😅😅😅
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Kwa KIMADA baada ya kufukuzwa na mamake😂😂
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Месяц назад
@@errydeo8865 😅😅😅
@Izzoh2021
@Izzoh2021 Месяц назад
Huyu mzee katumwa kama mayele alivyo kuwa ametumwa,wametushindwa uwanjani naona sasa wanakuja kivingine alaoo hohohoho kwanza huyu pimbi nikibaka mzoefu na hawo wajinga wezake hawajielewi,ukabidhiwe team maana team nikama mwanamke aliye muoa huyu mzee nimjinga wa karne
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Месяц назад
Katiba ya mwaka gn
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Ingia website ya yanga
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Katiba Zimebadilishwa kisheria mara 3 ,,,1968,,,,,,1992,,,,,,,2010,, Mwaka 1995 ilifanyika mabadiriko kidogo khs " Trustees" Body ya Wadhamini. Mzee yy bado ana katiba ya mwaka 1968
@josephatn5040
@josephatn5040 Месяц назад
​@@damianmcba9525 Katiba ya sasa imebadilishwa 2021.
@machage-l1j
@machage-l1j Месяц назад
kwa hiyo mnajua mashabiki udaifu wao ni kujua mmesajiri na si kujua faida ya kilabu tunaomba tuone faida na si hasara je huo uwanja utajengwa lini pia tunatakiwa kuwa makini na huo uwanja usije ukajengwa kumbe ni wa mtu binafsi
@machage-l1j
@machage-l1j Месяц назад
swali je washabiki mnajua tim tunapata asilimia ngapi kama timu na mwekezaji anapata asilimia ngapi? yaan tunashinda halafu tunapata hasar
@machage-l1j
@machage-l1j Месяц назад
timu inapata hasara na huku tunashinda inakuaje hapo
@machage-l1j
@machage-l1j Месяц назад
lakin pamoja na hayo yote nina swali wadhamin wa yanga wanavuna asilimia ngapi na tim inavuna asilimia ngapi, hivi kama timu inabaki na ngapi sas nyiye nao ni wapigaji tunashinda ndiyo ila tunabaki na hasara inakaaje naomba mjithathimin haiwezekani timu isiwe na hasara
@user-zv3rm3st3b
@user-zv3rm3st3b Месяц назад
Magoma akashabikie pande zingine,ila siyo yanga african
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Месяц назад
Hakuna taaluma hapa duniani ina wajinga kama taaluma ya sheria
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Месяц назад
Magoma ni Jeshi la mtu mmoja magoma yuko sahihi siku zote wajinga ni wengi tu
@user-qm8vm9hd5x
@user-qm8vm9hd5x Месяц назад
Yanga bingwa
@proisolution7166
@proisolution7166 Месяц назад
WEWE AHMEDADAN-PO5PS-USIITE WATU WAJINGA WAKATI WEWE UNAONEKANA KUWA NA AKILI YA KIKE,KWANI WATU WATE HAPA TANZANIA WANAMPENDA AU WANAUKUBALI UONGOZI WA NCHI?MBONA HAWAENDI MAHAKAMANI?AU HUJUI UHURU WA MAONI,HAPA TUHOJI UHADIRIFU WA MAHAKAMA HASWA MAHAKIMU,WAMEKUWA WAKITUMIA NAFASI ZAO KUWA CHANZO CHA MIGOGORO,KWANI SISI WOTE TUNALINGANA HAKI TKT MAISHA?KAMA HUNA HOJA HIZO COMMENT ZA KUITA WATU WAJINGA PELEKA KWA GIRL FIRND WAKO UNAYEMDANGANYA.
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22