Ukisha kuwa mtu mzima lazima ujitambue alikiba zamani alikua anavaa heleen ila alivyo jitambua akachana navyo msanii bila heleni inawezekana huyuu jamaa namuelewaga sana video zake naangaliaga na mama ,baba ,nawadogozangu pia hanaga yale mambo ya uchi uchi big up king kiba like that
I like him, is pure, mkweri , anajiheshimu na anaheshimu, anafanya kazi yake na hajishauwi kwa uongo mtupu, Kiki ili aonekane wa juu kuliko wote. Nice Person.*****
Ali kiba.. mtoto wa kiislam safi.. na watoto wake wote wapo kwenye dini.. ana tuzo ya kuwa mzazi bora kwenye chuo alichosomea yeye.. Mwanae alishawahi kuja nyumbani kwenye kisomo tulichoandaa pamoja maalim wake na team yao yote. Inshort yupo SIMPLE TU
Na hajawahi kufuga rasta kukata nywele kiajabu ajabu wala kupaka rangi kichwani acha nikukumbushe umesahau hilo mtangazaji!! Jibu langu mimi ANAJITAMBUA tena sana
Aishimu jina lake coz nijina la imamu Ali bin abu twalib sio hao waume wake wanao shobokea duni yy anajuwa duni na akhera endelea ivyo hivyo Ali na mungu atakuongoza kwa kazi zko ishaallah penda ww sana
King kibaaa we ni sta wapendwa nawatu wengi usije ukatuangusha tunaamini unajitambuwa saana na unajieshimu sana bila ca team wewe ndo ungekuwa Simba ya tz ile mbaya
Kwanza mnajua maana ya dini au mnalopoka tuu mnakufuru mana mtu anaimba muziki alafu kumbukeni uwo muziki anaoimba alama tosha ambayo aifutiki ata kama ataacha mana muziki wake bado utapigwa tuu hapo chakusema kwamba binadamu hatufanan kitabia mm napenda iki ww unapenda kile lkn wote hao innalillah wainalillah rajioun wataacha muziki lkn muziki auaachi.
Haijaandikwa mahali eti ni lazima ukiwa msanii utoboe,pia,masikio,uvae ushanga wa kila sina au upake nywele Tangu au pia kwa kushuka ndo eti uitwe msanii Bora..Wengi wamefanya hayo lakini ni Bora wasanii tu...Ali Kiba anajitambua ndo manake twampenda jinsi alivyo manake pia kazi zake Nzuri Sana..nadhani wale wakutoboa na kuweka tattoo mingi ndo washamba!!
Tatoo siyo kumaanisha kwamba ni mshamba au sio mshamba ... Na kujipamba sana siyo kujuwa kuhimba ama kupendeza sana ..... Kujitobowa puwa sizani kama inatakiwa kwa mwanaume😉kutobowa puwa ni ushoga...😄😄so anyways ali kiba ni mtu au msanii anaye jiheshimu na anajitambuwa.
Ally anajielewa sana yy ninani na anatakiwa afanye nini ktk Music ndio mana hafanyi hayo yupo Sawa na anafata maadili yetu namkubali sana na mungu amsuru asije akashawishika mbeleni
Ali Kiba yeye ni muislam. Anajitambua. Unaona hakutaka kuoa wenda uchi. Kujionesha kwenye mitamdao. Hata huyo zari hukaa uchi na huyo anaemuoneya wivu. M. Mungu akujalieni Ali Kiba msikilizane na mkeo mahasidi asiwasikilize. Wambea wasije kwako
Sio siri, sijawahi ku comment chochote katika mitandao ya kijamii kuhusiana maswala yoyote tangu nijiunge na mitandao hii, hii ndio Mara yangu ya kwanza kuandika comment yangu, huwa naangalia na kusoma tu na kuacha mambo kama yalivyo lkn kwa jambo hili LA Ally Kiba kwa kweli ni lazima tu niseme cha moyoni, Ally Kiba Sio unajitambua tu Bali pia unajielewa na unajua unachokifanya na kwanini unafanya na kwann mengine hufanyi, natambua katika hayo pia unapambana na changamoto kubwa sana za kiushindani lkn nikuombe usikate tamaa, simamia katika misimamo yako hiyo hiyo kwa sababu unasimama katika mambo mazuri.Big Up King Kiba ! And Keep it up! Kuwa star wa kiume sio lazima kujifananisha na mwanamke.