kiba ameongea point sema tu kwa kuwa tayari anaonekana wanamatatizo bac inakuwa hivyo ninachopenda kusema hawa vijana wakae chini wamalize tofauti zao watafika mbali kwa maana wote wana vipaji
Well said!Alikba ni Gentleman mwenye hekima na busara sana!Anaongea , point kwa kuhesabu sio kuropoka!! kila kitu alichongea hapo!ni clear na wazi!Gentleman with high philosphy!He's Men enough Gentleman,He can do what the haeart wants!!He has the right &freedom!!My side l respect a lot him!na ninamkubali point zake!hata kama mnajaribu kumlinganisha au compare somewhere!!else! Who cares??kajariwa for every thing!No one can remove this gift away from him!!! pakaza!,kashifu, eti kaongea pumba! who cares?? havitamrudisha nyuma!Anasonga mbele!kwangu mie tukana,kashifu ,uwa!!l w ll be proud of him!forever! kwani maneno matupu hayazui i meli kutoa nanga na kupiga mbizi! Yeye hodari tuu!mlie tuu!chuma hicho hakipati kutu!kina ngaa na ku shine kila siku ya Mungu!!
Nyi wote hapa ni mafala tu...i support u alikiba dont force yourself into somthing that you dont want to do!mbona yeye diamond asipost/hajawai kupost zako?usijishushe sababu ya mtu.Even me i cant post diamonds pics or latests songs wakati in reality mimi ni #teamkiba au siwezi post pic zako ilhali in reality mm ni #teamdiamond.KILA MTU NA MZIGO WAKE bas!!
Mbona mnajianika vile mna wivu,,,,riziki mugu kampa yeye alikiba,diamond mie nawe mwenzangu,ukiwa na machungu heri kimia mbona mna wivu tele,bravo alikiba,bravo diamond mmoja na kazi yake.kama hakuenda south Africa,waumwa wapi??yakuuhusu vipi.dunia ndogo tupendane ndugu zanguni eeeee
alicho ongea kwa mtu mwenye akiri timamu ataelewa vizuri sana ila nyie mashabiki wa diamond acheni kumkosoa jamaa huo ni upuuzi tu mbona hajampondea diamond amkeni mnasababisha wasani wasipatane
Sikilizeni muelewe ndio mjue kwa nini kawaongelea hao akina Beckham. Kaongelea point ya msingi lakini mna akili finyu. Ikiwa yeye hakupostiwa yeye aposti vya nini? Ushabiki mwingine ! Mfanyiwe ninyi lakini ninyi kufanyia wenzenu mnabania. Msikurupuke kama mnafukuzwa. Ovyoooooo. Asiyejua maana usimpe maana.
that's a problem of arrogant people. they always think high of themselves absent reason. ali kiba should know that things are not simple as he would want them to be. things are tough and if he continues with that self-decieving mentality of him being superior he will fall and crush into pieces.
Chillah Prince we ndo umeongea kitu cha maana kuwa kinachotakiwa kwa kiba kuwa na #wivuWaMaendeleo na sio beef maana hapa kwetu beef hailipi sio kama Uganda ambapo ukiwa na beef na msanii mwenzako siku ya shindano kila mtu anaweza kupewa mamia ya mamilioni na sio huku kushindwa kusupportiana kisa tu beef. #Kiba and #Diamond you need to change ila nyie watu me nawapenda wote kwani kunakuwa na ushindani mzuri ambao unafanya kuwepo kwa nyimbo good.
kiba yuko juu ila diamond yuko juu zaidi ana mondi ananyota Kali sana hawawezi kulingana jamani ukitaka kujua uhalisia was maisha ya mwanadamu nyoosha kiganja chako kitazame upate ukweli wa maisha maisha yetu.
Naksh msonya atakae partispert ni diamond kwa hyo Kiba ataruzi ndomana kwa hyo kwa wasanii wachanga watateseka Sana allykiba anaakil zake kaka anaona kuliko wewe unavyo ona
kiba live ur lyf ad do ur staffs mengine baadaye hii kulinganisha mastars ndo beef ya kila kitu welcome kenya na ukitaka uishi ! kila na umaarufu wake sio story na beef kiasi tokana na hata personal lyf ya mtu!
Acha uzalendo ww kiba kwanza kujielezea ajui fanyeni kazi msogeze mziki wa tanzania ufike mbali acha uzalendo ume ulizwa swali lingine una jibu vingine
Punguza kujua ili ujuzwe zaidi usishindane na daimond tazama ulipoteleza ili usimame vizuri ,kuwa na wivu wa kimaendeleo utafika mbali mlijuana zamani jifanye mjinga mambo yako yatanyooka.
+Chillah Prince In nature Ali kiba hawezi mwangukia wala kumshobokea diamond sababu ni mdogo wake kisanaa. Hatakama Ali kiba atafeli vp atawaangukia wengine. Diamond nikama mpinzani wake mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba zama za kiba zishapita
Sster backham ka taja coz ni miongoni mwa wildwide sasa alikiba ni mmoja wapo na diamond akupost na pia kajieleza kuwa akumpostia sasa ulimi hauna mfupa si binadamu so usishangae.
Mimi nimsanii wa music naimba nalapu napia naalubamu mojo katika hii alubamu nimelekod ngoma mbili ila sjui nianzie WAP naomba sapoti yenu napia natafuta mzamin kama unataka kunisapot coment kama una taka kunizami pg sm 0744584029 au 0756592906 tafazali uschukue naba kwamatumiz mabaya chukua namba kwamalengo
dude if English is not your mother tongue language please don't force it, ur an artist kwann unaongea kiswahili kama unongea slaying? try to be yourself bro ...