Тёмный
No video :(

ALIKIBA: WCB NZIMA NAMKUBALI MSANII HUYU, SIO DIAMOND! 

LilOmmyTV
Подписаться 546 тыс.
Просмотров 773 тыс.
50% 1

Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 480   
@sarayusufu256
@sarayusufu256 5 лет назад
jamani sijawahi pata like tokea nianze kumsaport 👑 kiba
@khadija5761
@khadija5761 Год назад
❤❤❤❤
@ndellah_fitness7707
@ndellah_fitness7707 5 лет назад
Aaaaah... Smile tu Ya huyu mtoto wa kiume.. Dooooh.. King King😍😍😍
@jumamichael4083
@jumamichael4083 7 лет назад
Interview hii imenifanya nimfahamu zaidi kiba juu ya muziki wake salute kwako tambwe kwa mahojiano mazuri.
@saidkenyatta9522
@saidkenyatta9522 6 лет назад
Juma Michael
@abdulshaban9763
@abdulshaban9763 4 года назад
Jamni mbona yutwubu niwaongo nikwann
@heremanipnkwatile8901
@heremanipnkwatile8901 5 лет назад
Yaah Up Team kiba mpo wap tusiwe wachoyo Tufanye kulike xaxa hoja yake nzuri
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 4 года назад
💖💖💖💖🥰🥰
@raoulbyamungu3251
@raoulbyamungu3251 6 лет назад
You enjoy interview when the interpret knows how to speaks. Really alikiba knows how to speak. well done king kiba.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 лет назад
Kiba tuliambiwa hujui kujieleza, mbona uko vizur jaman watu bhana ni sheeeeedah! big up bro #kiba
@kihanda2554
@kihanda2554 7 лет назад
Alikiba Anaakili Sana. Mi sina Timu napenda Wasanii na Timu yangu ni Tanzanian Arts.
@tausak4568
@tausak4568 7 лет назад
Anajitambuwa saana 😍😍😍🔥mpaka kataja wimbo wa lava lava Tania ww😍😍🔥
@manuel-vt7rx
@manuel-vt7rx 6 лет назад
salut
@dullahblack7037
@dullahblack7037 5 лет назад
Yeeee babaaaa
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 лет назад
Sio kujitambua ni kutubu chezea #WCB wewe
@vailethnyondo1608
@vailethnyondo1608 5 лет назад
Tausi Ak oyooooooo kiba cyo ww tu mm mwenyewe namkubar sana lavalava katika wcb wote
@axa29
@axa29 7 лет назад
Just amaze! He's Ali 💙
@esthernjambi4169
@esthernjambi4169 5 лет назад
big up king ulianza bongo na utatawala bongo forever
@jescakamaly7072
@jescakamaly7072 6 лет назад
nakupendaaa mnoo king no one can change ittt mooorr bleessing ...
@asajilemwaikambo6130
@asajilemwaikambo6130 7 лет назад
Kaka nimependa sana jinsi unavyojua ku interview msanii..unajua sana kaka..keep it up maana kuna presenters wengi sana bongo hawako hivyo.
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 7 лет назад
Penda sana Kiba wewe ndie king
@gloshyjm2375
@gloshyjm2375 7 лет назад
King Kiba yo simply the best 👌👌👌,thank you Lillyommy for the best interview
@husseinayoub3712
@husseinayoub3712 7 лет назад
Bonge moja la interview big up sana lilommy keep it up
@mirajikamongo6453
@mirajikamongo6453 3 года назад
Respect my brother but kumbuka kufanya ibada kaka
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 7 лет назад
Pamoja sana king
@christinahaule9726
@christinahaule9726 7 лет назад
Kiba mi nakukubali kitu kimoja tu.kwanza unajitambua.pili huna skendo ya ufataki.tatu uko kwenye game miaka mingi lakini ujajiingiza kwenye madawa yakulevya nywele zako unanyoa kiheshima sijawai kukuona ukivaa mlegezo mpaka chupi ya ndani au mchilizi Wa matako ukaonekana.nywele zako unanyoa kistarabu kiufupi unajitambua.wapi timu kiba ngonga like zako hapa kumpongeza kijana wetu ambae anaweza kuyaepuka majalibu madogo madogo yavijana madawa yakulevya nk.
@zainaburamadhani9020
@zainaburamadhani9020 7 лет назад
christina haule Sana tyuu Kiba mungu amtangulize inshaaallaaahh
@shadyajm6534
@shadyajm6534 6 лет назад
Yani mm zaidi namkumbali Sana zaidiyasana
@josephdavid2532
@josephdavid2532 6 лет назад
Tunataka burudani sio urembo
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 лет назад
True umeongea poi
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 5 лет назад
Nomaaaaa
@queenqueen-du3ht
@queenqueen-du3ht 7 лет назад
sure!#king
@shadyashaban1664
@shadyashaban1664 7 лет назад
I love you king kiba ww ni king
@fredywhite2133
@fredywhite2133 6 лет назад
Shadya Shaban mmbo mrembo
@Rafikiboniface
@Rafikiboniface 7 лет назад
King respect tunakupata hadi Canada Montréal Québec
@adamukitwanga3024
@adamukitwanga3024 7 лет назад
huna bayaaaaa
@homeboy6004
@homeboy6004 7 лет назад
Rafiki Boniface Bonjour
@Rafikiboniface
@Rafikiboniface 7 лет назад
Ça va bien merci?
@phinajames5953
@phinajames5953 7 лет назад
kiba weee big up uko vzuri sana woyooooo
@issaissa1740
@issaissa1740 7 лет назад
pamoja sana king kiba
@carolgithigi4623
@carolgithigi4623 6 лет назад
If asked I would select Alikiba the best in Tz.........his style is different.......big up kiba
@lukamgeni3074
@lukamgeni3074 7 лет назад
The king 'komaa bob achana na watoto wadogo
@harry-harris
@harry-harris 7 лет назад
Wasii ka hwa neo wanatakikana licha ya kuwa na ungomv na diamond bt anapenda nymbo lava lava kumanisha hna kinyongo na mtu yeyote #kingkibabigupmwana
@a2mwaxh237
@a2mwaxh237 7 лет назад
love mingi mingi king kiba
@peterbujashi3209
@peterbujashi3209 6 лет назад
alikiba upo sawa
@hawawezidianakukushusha756
@hawawezidianakukushusha756 7 лет назад
ommy uko poa sana sio mgombanishi Wangekua wengne apo mmh
@mariammursal2905
@mariammursal2905 7 лет назад
Nimempenda Sana huyu mtangazaji anauliza maswali ya maana siyo udaku anaitwa nan huyu msaadaaa
@ngade_6519
@ngade_6519 7 лет назад
Omar tambwe a.k.a #lilomy
@aminabakari4696
@aminabakari4696 5 лет назад
nakukubali sana
@deogratiousmbilinyi9575
@deogratiousmbilinyi9575 5 лет назад
Nipe namba yako nikupe namba yake
@husseinmagari3245
@husseinmagari3245 4 года назад
Mariam Mursal
@suleyman4843
@suleyman4843 4 года назад
Mariam Mursal team kiba ndio Mpango.. jamaa yuko good so smart hana maringo.. check me what's App mamuu via 0718922939 ili nikupe sifa zako mrembo
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 7 лет назад
The best interview on Bongo..
@RabbijoRB
@RabbijoRB 7 лет назад
My all time favourite Artist
@chazyjesusson1728
@chazyjesusson1728 5 лет назад
Kiba ni kiumbe wa ajabu xn napenda mwenendo wako hakika ww ni wakuigwa hapa tz, ww siyo mkurupukaji km............. utapasua vichwa mbamba na pia napenda maisha yk huna shobo na huna umimi km....... Hakika Tz na dunia nzima tunakukubali Usibadilixhe mwenendo KING
@ogombesam935
@ogombesam935 6 лет назад
king kiba,my icon
@chidimapenziwaziri4423
@chidimapenziwaziri4423 7 лет назад
Oyaaaaa timkiba Autembo mwenyew Nakubali semanini Waambi heeee wasifos? 2fanane bwana kiba Atabaki kuwa kiba2
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 4 года назад
🙏🙏🙏💯💯💯
@King_peter20
@King_peter20 7 лет назад
Mzee unatisha good talk u great mzee
@Sabrina-rg7tu
@Sabrina-rg7tu 5 лет назад
Love king kiba❤❤
@bhokeboniphace2164
@bhokeboniphace2164 7 лет назад
Safi sana anajiita tembo or king kibaaaaaa
@aggraypeter.5008
@aggraypeter.5008 7 лет назад
Good job #lilommy Umefanya interview Ambayo Haina Habari za Umbea Kama Radio flani Hapa Nchini 💪💪
@bahatirobi6262
@bahatirobi6262 5 лет назад
Big.. Up br kiba, nakupenda tuu bureeee
@adilichanelonlinetv2070
@adilichanelonlinetv2070 7 лет назад
Mtangazaji please naomba mawasiliano ya king kiba Nina vitu vya kumwambia
@judieeissinika9365
@judieeissinika9365 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@mariamumariamu831
@mariamumariamu831 4 года назад
0786383885
@remmylucasykissava8628
@remmylucasykissava8628 7 лет назад
Kiukweli kiba anajua kujieleza safi xnaaaa
@ahmedamour1211
@ahmedamour1211 7 лет назад
Ww kiba uko juu kaka sana wale wanaovaa mawigi sio ishu mzee
@meshingayub6050
@meshingayub6050 6 лет назад
Nakukubali sana king kiba hongera
@alicenice1711
@alicenice1711 3 года назад
Much love kingkiba
@sullepeter4722
@sullepeter4722 7 лет назад
big up sana king
@0fficialcza738
@0fficialcza738 5 лет назад
Ommy nakukubali sana kati ya watangazaji bora hapa bongo nakuelewa sana
@abdallahebuela7258
@abdallahebuela7258 6 лет назад
i like your songs and all you do....King kiba.
@Purplecheque
@Purplecheque 7 лет назад
Gonga like kama unamkubali lil ommy
@cecyliabonny1071
@cecyliabonny1071 7 лет назад
Jazy ray b xc0009ì000000000bn.😐😐
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 5 лет назад
lil ommy uko juu bro big up
@abdelehmanmwenda7811
@abdelehmanmwenda7811 7 лет назад
nice
@almasialfani9268
@almasialfani9268 6 лет назад
Hamonize bado nimtoto sanaaaaa kwa King Kiba sooo huwezi mfananishaaa King of the Music. na huyoo mtoto wajanaa Hamonize
@darriesyvonne7527
@darriesyvonne7527 7 лет назад
Hmmmmmn!! They call him rockstar! King Kiba
@johanessmhaya6631
@johanessmhaya6631 4 года назад
Choko huyo
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 4 года назад
Lilommy uko safi kwenye Kufanya interviews
@wizryker5561
@wizryker5561 7 лет назад
interview ipo pouw big up king bila kusahau tambwe nakubali sanaaa
@salenku18
@salenku18 4 года назад
Rockstar#KingKiba nmekutambua sana tangia nikiwa mchanga en u'll remain my best,chapa kazi kenya twakutambua sana....yeee baba
@hassanwandijr6013
@hassanwandijr6013 5 лет назад
Unajua kiba wewe ni next level auna mtu ambae naeza kukufananisha nae wala kukupambanisha nae kibongobongo
@abdulkiswanya5104
@abdulkiswanya5104 7 лет назад
nimependa kipindi kizuri hakina uchochezi big up Ali kiba big up diamond ufanyeni mziki wa nyumbani ufike mbali wasaidieni vijana
@realemily7881
@realemily7881 5 лет назад
nakupendaga sana kiba coz unaakili za kiutu uzima so kiba unajielewa sana kuliko wasanii woteeeeeeeee hongera sana kibaaaa lv u.
@kigwisimulindwaclemo8541
@kigwisimulindwaclemo8541 7 лет назад
Big up sana mtu nzima Tambwe show kali! Love from Rwanda +250 Kiba tunamkubari
@juliuskalawa8262
@juliuskalawa8262 7 лет назад
a King is always a King
@damydamian4666
@damydamian4666 7 лет назад
Mkali asye NA big NA MTU asante kaka
@ellywaliaula6122
@ellywaliaula6122 5 лет назад
My role model 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@masanobugomola8671
@masanobugomola8671 4 года назад
Namkubari Sana king kiba
@ntemisamwel5671
@ntemisamwel5671 6 лет назад
nakubali sanaaaaaa king umeweka wazi mambo yako hakuna wa kufanana nawe umetishaaa
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 5 лет назад
King mo fayaaaaaa
@timothyibrahim7825
@timothyibrahim7825 6 лет назад
kiba team twende sawa❤
@Nduki47
@Nduki47 7 лет назад
Yes Kiba, Lavalava Ni Msanii Na Nusu, Namsikia Hammer Q Kwa Mbali Kabisa Kama Alivyotajwa Alicom
@mwanaidjoseph2340
@mwanaidjoseph2340 6 лет назад
Hama q na Alicom saut nzuri sana,wahenga hawa nawakumbuka miaka tmya 2004
@jamaafrican3827
@jamaafrican3827 4 года назад
Exactly, america is stress. Africa is good place, having good time there
@naimarama5741
@naimarama5741 7 лет назад
pamoja💯💯💯💯💯
@ommyclassic2701
@ommyclassic2701 7 лет назад
King ni nouma
@ndayisabaeric3963
@ndayisabaeric3963 6 лет назад
Come in phoenix- arizona state , , , , people from +1(...) Gonga like hapa kwaku support alikiba from east africa💔
@patricknyondo
@patricknyondo 4 года назад
Nakukubali msani wangu king kiba i like you kiba
@ashaali7154
@ashaali7154 7 лет назад
Watangazaji wengi ndio chanzo cha ugomvi unaoendelea hivi sasa hivyo wajifunze kuwasaidia kuendelea badala ya kuongeza bifu.
@anjunurdin2763
@anjunurdin2763 6 лет назад
kiba sikupenda kwa chuki yako kwa mond..
@gracerichard5199
@gracerichard5199 7 лет назад
nakuelewa sana kiba hongera
@johnmadawa8686
@johnmadawa8686 5 лет назад
huyu jamaha sio mshamba wa maisha ni star ambaye anaishi kawaida sana salut kiba
@sadisadiki5350
@sadisadiki5350 5 лет назад
king kiba fanya mpango tumchukue lava lava
@merrysabina7798
@merrysabina7798 7 лет назад
ninachompendea kiba huyu kaka haringi jamani hata interview zake sio MTU wa kuonesha masifa
@ramadhanimohamedi7969
@ramadhanimohamedi7969 5 лет назад
aliklba
@clintonjoshua8882
@clintonjoshua8882 5 лет назад
Kwel c kama kina fulani
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 5 лет назад
Huyu Kiba ana wivu ...Diamond ako juu..kutoka Kenya
@pascalmagoli9798
@pascalmagoli9798 7 лет назад
noma mze kiba safi xana
@abdulikhan2969
@abdulikhan2969 7 лет назад
Wow
@mbumbulicomedians3286
@mbumbulicomedians3286 7 лет назад
Kiba piga kazi broo achana na vitoto vya wcb havina lolote vinatafuta kiki kupitia wew, diamond hana tungo yoyote ya maana ya kufananisha na wimbo wako wowote ule,labda domo lake lile ndo kakuzidi,domo .
@msafilimashuhulitozi7860
@msafilimashuhulitozi7860 6 лет назад
hahaha
@hashimukilunda829
@hashimukilunda829 6 лет назад
We bwege acha ujinga,mm mwenyew team Kiba ila mond ni zaid ya Kiba tuache ushabiki wakipuuz.
@mangachapile6596
@mangachapile6596 5 лет назад
Usimfananishe mond na vitu vya kijinga
@mohamediddy4707
@mohamediddy4707 5 лет назад
Minamkubali kiba mwanzo mwisho hongel sana kiba
@dullahblack7037
@dullahblack7037 5 лет назад
@@hashimukilunda829 hakuna kitu bhana sikia voco za kiba no one anaefata
@0fficialcza738
@0fficialcza738 5 лет назад
Timu kiba gongeni like hapa za kutosha
@wemakalam9415
@wemakalam9415 6 лет назад
Big up 👍 # seduce me ndio mpango mzima#king kiba X man water
@simbaunclea3655
@simbaunclea3655 5 лет назад
Dah niseme mungu akuzidishiye King kiba
@aminahumary7775
@aminahumary7775 7 лет назад
Uko vizur,pamoja
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 лет назад
Ikopoa
@bernicetunda9051
@bernicetunda9051 3 года назад
Team kiba oyoooooo
@fiderickfwelefwele4538
@fiderickfwelefwele4538 4 года назад
king kiba we noma kakak*
@hamadsuleiman1713
@hamadsuleiman1713 7 лет назад
Vizuriii
@danielulomi8994
@danielulomi8994 7 лет назад
Mara paap safi sana kiba nimegundua hauna kinyongo na mondi ila baadhi ya media ndo zina chochea bifu kati yenu na daimond
@richardshayo1449
@richardshayo1449 5 лет назад
Kingdom
@footballtips454
@footballtips454 5 лет назад
Big up team alikiba
@jacksonjoakim4115
@jacksonjoakim4115 5 лет назад
alikiba mvivu sana mondi kakupiku unaona aibu sana
@hamzaseifrwambo5657
@hamzaseifrwambo5657 6 лет назад
Namuona JONIJOOO kwambalii😂😂😂😂
@fadhilynyandu5257
@fadhilynyandu5257 7 лет назад
Kiba hana wivu kabisa
@magafutimba3329
@magafutimba3329 7 лет назад
acha upmbav ww wivu hana wkt ana njama kpasua #WCB
@yudamgogo632
@yudamgogo632 7 лет назад
Magafu Timba akili huna wewe
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 7 лет назад
Magafu Timba ww hujielewi
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 7 лет назад
Magafu Timba yan ww hujielewi
@yudamgogo632
@yudamgogo632 7 лет назад
Maryam Dounga sibishanag na empty headed antibiotic animal ww
@thadeo10hag_
@thadeo10hag_ 6 лет назад
Very Nice
@tiktokadvisor6920
@tiktokadvisor6920 5 лет назад
Aliemuona jonijooo atupie Iike
@josephmushi5617
@josephmushi5617 5 лет назад
Atabaki kuwa juu forever
@ashanuru4234
@ashanuru4234 6 лет назад
nakukuball
@bahatevagre933
@bahatevagre933 7 лет назад
saaafii sana king, @tambwe uko fresh kikazi huitaji uchochezi
@hajibwenzi9525
@hajibwenzi9525 7 лет назад
so nice interveiw
@fatumasaid4370
@fatumasaid4370 6 лет назад
Kiba oyeeeeeeeeeeeeeee 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@didamugya6039
@didamugya6039 7 лет назад
Nimemkubali huyu mtangazaji hana maswali ya kidwanzi kama watangazaji wa media nyingine, anauliza maswali ya muziki na sio umbea na kiki za kijinga, hongera!
@willymowinoowino286
@willymowinoowino286 5 лет назад
I like it vile unazungumuza
@athubrasloolooll5596
@athubrasloolooll5596 4 года назад
Namkubali kiba sana
@jordanprosper184
@jordanprosper184 6 лет назад
Nakupenda sana Bro Kiba, kwanza unajielewa na pia unajitambua
@abubakarahmed3111
@abubakarahmed3111 7 лет назад
Dunia nzima naskiliza interview ya tambwe
Далее
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн
Alichokisema LAVA LAVA wa WCB Kuhusu ALIKIBA hiki hapa
12:38
RICH MAVOKO: DIAMOND / NI NYOKA KWENYE SHIMO / TISHIO
17:27
UTAJIRI WA ALIKIBA UTAKUACHA KINYWA WAZI...
6:38
Просмотров 776 тыс.
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн