Waandishi hawana maswali wanauliza uzushi ili kutengeneza tofauti .. hongera dogo kwa majibu mazuri hawa ni wachawi hawa nuksiii sana hawa waandish wetu
Kuna wasanii wengi wakubwa ukiskiza interview zao utaona kbsa namna wanavyojibu maswali na kuzngumza kuna vile wanakosa flow nzuri y kujibu maswali.. Dogo anaflow nzuri sana y kuzungumza n kujibu maswali. Nimemskiza kw makini sana yani.. hongera zakee 👏👏👏
Kijana unajua kujibu vizuri Kwa ufass huna unafiki mungu akutanguli Kwa mambo yote unayo ya fanya Tena mazuri Skype baraka tele usije kuja kujisahau pesa mbele majibu mkAto
Huyu brother atafika mbali sana Ana akili na hekima ya kuongea ❤️🔥 It seems like Misso misondo anawakubali WCB Mana ile mix ya honey beat lake ni 🔥🙌🏿🤣🤣🤣
Kumbuka nakukabidhi dogo huyo msaidie asitengane na madancers wewe chukua uongozi hapo ucwe kama wakina fulani wenye roho kubwa watakuja kujifanya wameokota kumbemaokoto ndio lengo lao niletee kima hao niwa panguse
Nmependa namna anavojibu mwaswali ya wanafiki wanaojiita watangazaji wana maswali ya kimtego na Kuchonganisha watu ila dogo anazani atakuwa ashapewa darasa la namna ya kukwepa maswali la kinafiki.
Nnacho Kushauri Dogo Hata Kama Umekuja Mjini Usije Ukawatenga Wale Jamaa Wa Makoti Machafu Wale Ndiyo Wamefanya Uonekana na Kujulikana Zaidi Ile Staili Ndiyo Itakutoa Kimaisha Zaidi