Wanaotutia umaskini ni wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa. Ni sahihi kabisa. Ukisikiliza kwa makini hotuba hizi zina madini mengi sana. Chadema juu juu juu juu zaidi.
Tunamatunda kama parachichi lakini wanafaidika wageni kisa mawaziri awatagazi biashara yetui kweri kunakazi gani hao mawaziri ivi tusemee bado miaka 60 niwajiga bado kweri
*Wazawa wenye pesa hawajengi viwanda kwa ajili ya vijana wasio na ajira; pesa zao wanazochuma nchini wanalimbikiza nchini Kenya, Afrika Kusini na Dubai!!!!*
WATANZANIA KUOMBEA TAIFA MSIOMBE KIZAMANI OMBENI KIUPYA TUWE TAIFA JIPYA LENYE HAKI MTU AWAEYOTE ASIEPENDA HAKI ASIWE SAWA KWENYE NAFASI ALIOTAKA KIMABAVU KWA KUIBA KURA AU UCHAGUZI APATE MAPIGO MAKUU HATA ASIWE NA HIO NAFASI
Hata wazanzibar hawataki serikali Moja wanataka serikali tatu ila mabwana zenu ma ccm ndio wanataka serikali Moja na suala la kusema wazanzibar warudi kwao hata nyinyi mmejaa kule zanzibar kama kumbi kumbi wachonga madafu wote kule shamba ni nyinyi tena wanawake na pia zanzibar kulikuwa hakuna wamachinga Sasa wamejaa na ni wabara kwa hiyo suala sio wazanzibar kurudi kwao suala vunjeni muungano
Mwenyekiti tunakuelewa, hatukuwa na wasomi viwanda vikuwepo, kwa sasa tuna wasomi wanakimbilia siasa uchwara na woga wa kupeleka nchi kwenye maendeleo. Kwanini tusimkumbuke mkoloni aliyemwachia Baba wa Taifa akili ya kuanzisha viwanda mlivyoviua kwa ulafi.
Mhe. Mbowe kama kweli wewe kidume vunjeni muungano hata sisi wazanzibar hatuutaki muungano kama sisi wazanzibar tunawatawala vunjeni muungano Leo huyo rais wa zanzibar ni boya tu Hana maana yote na kila kitu cha zanzibar kimetiwa kwenye muungano vunjeni muungano hata sisi tumechoka na muungano huo kwanza hauna ridhaa ya wazanzibar vunjeni vunjeni vunjeni muungano Leo kabla ya kesho
Sisi hatukua na shida ya muungano ndio maana hutkutoa zanziba wala hatukua nyinyi mliua kila chenu vunjeni sasa kabla ya kesho wazanzibari rudini kwenu waachieni nchi yao pa kukaa tunapo tena hatupamalizi na Tanganyika pia tumenunua makurunge ni mali yetu zanziba tuna uwezo kuliko Tanganyika, Wataanganyika ndio wanaotutia umasikini rudini wazanzibar tuje tuinue magorofa yetu
Nchi inaongozwa na mambumbu, tunamhitaji kuingia msituni, tulirudi she nchi kwa wazalendo. Rais Samia umekujackuuza rasilimali zetu, huna sera za kiuchumi. Go awaycto your mother land Zanzibar.
Mhe.Mbowe. Shutuma ulizoelekeza kwa Hayati DR Magufuli ambaye alikuwa Rais wa wote angekuwa yuko hai yote angeyajibu Baadhi ya Watanzania WAZALENDO tunajua KAZI nyingi alizozifanya Hayati kwa mfano ZAWADI aliyotuachia ya Bwawa la Nyerere nk. Alikuwa na mapungufu yake km binadamu au Kiongozi yeyote. Tunaomba Tumwache." ROHO YAKE IPUMZIKE KWA AMANI AMINA"
Ebu muacheni JPM utaharibu Ladha ya hotuba yako huyo Mzee alikuwa ni next level kazikazini ndo wabaguzi no. moja hata uhuru walitaka wa kwao TU in short usimguse huyo Mzee mwache apumzike
Kachimbe bas kokoto kwenye uwanja unaonyewa na pipi na bundi wa chato kule pumbav kabisa uzalendo wa damu za watoto wa watu alowauwa afu usi sahau anafaili milembe mliweka rais kichaa uzalendo uzalendo.UZALENDO MY ASSS