Mbona ww mkaka upo vzr tena muelewa unajitambua, sababu huwezi acha kuongea nawatu na wateja wako sababu yake anakutesa ajili ya esa na maarufu alio nao pia nakushauri kaa kimya usipende kuhojiwa sana, kuna maisha yanakuja na yanapita.
Aisha ebu msamehe Tu. Utaachana na wanaume wangapi? Tulia mwanangu bwana. Unajua sisi tunakupenda sana .Amekoma huyu kijana,Amejuta sana. By huku Kusin Mtwara.❤❤❤🎉🎉🎉
Yaani huyu.mwanaume anajielewa na pia MTU anayekumbika Ihsan NI wachache wanaokumbika kuwa mimefanyiea wema wengi hawapi hivyo mungu akujaalie mke uoe kk yng pia nimempenda anavuoshukuru alhamdulilahi hiyo kubwa kwa mwenyezi mungu
Mwanaume nimuelewa Sana lakini akuna jambo gumu lolote ambalo MUNGU linamshida.akika watasahameana Mambo mengine yataendelea.mm nawaombea Kwa MUNGU warudiane watengeneze famlya yao👩❤️👨 🌹🌹♥️♥️.nawapenda Sana ❤❤❤
Isha msamehe naona anaumia Sana huyu mkwe wetu jamani. Watu wengine wanajua kuharibu hisia za watu, Mie na wasi wasi na yule wa masaki kama wamepanga kuwaharibia mahusiano. Ebu Rudi Kwa Mungu wako Isha.
Isha nakusihi shetani ana nguvu zake. Hakuna kitu cha ukwwli bwana huyu bwana mkweli kabisaa hayo mambo madogo Sana wapotezee wapige chini wazushi hao.
Daaah aiseee taifa letu linateketea sna Bongo vijana kama hawa wamekuwa wengi sana wallah. Kijana mdogo anakuwa mpumbavu kiasi hichi ana deal na vitu hata yeye mwenyewe havijui
Dada Aisha nikuombe tuu dada yangu unisamehe huyo kaka kiukweli anakupenda Sana na tambua wapo wanawake wanaopenda kuona watu ndoa zao zinavunjika, kaka ni mpole Sana na anaupendo Sana na wewe ,tambua kuwa hakuna mwanaume anaeweza kuona amekosea akaomba msamaa, so brother anakupenda Kaa chini utafakari, huyo bwana anakupenda,
Mmh,!mmh! Aisee Munqu niepushe na mambo kama haya.Nishike Adabu na heshima.alonigunza Mama yanqu.Hata nimpende vip mtu sitaki Maisha ya mtandaoni.Ni upumbavu
Kama umegundua kuwa nae anapata tabu piga ukimya kaza kiume sio yeye bwana ni mungu ndie kakushika mkono ye kakutangaza to na hayo ndio matatizo yetu binaadam pambana kwa sababu we ujamkataa ila ye ni kielele chake ushamuomba ila ataki sasa ufayeje
Hayo mambo ya kuingiliana kwenye cm sio kwanini umpe simu yako aimiliki kama yake jupenda gani na kama ushamuomba msamaha ataki uwoni kama alikua anakutafutia sababu kwakua unampenda hata yeye wote wanaomtongoza anasema embu jaribu kuwa kimya mungu atakusimamia me binafs sijaona kosa lako sns ni kitu cha kawaida sana kwa wanadam me sipendi kudili na cm. Ya mwanaume yani kama ndio hivyo atamalizs wanaume anajisikia muache aende akampate huyo wa peke ake kama atatokea ujinga to
Nili kaa kinya niki tafakari isha mpaka anamtangaza mabango alikua tayar kasha panga kua stamuacha vp na hakua na mpango nae halafu alimtambulisha ili kaka abaki na kumbukumbu ya tukio