Safi sana isha wanaume hawjielewi kwa nini akuchiti ina maana wewe kwake si kitu anakuwa kuku mchakuwa jalalani huo uchafu mama liwe fundisho kwa wanaume kama yeye achana naye tena wako wengi mpaka wazee wanadangwa kila leo wampoteza mwelekeo
Unajuwa hata mm niko na mke wangu anaitwa Aisha hawa wanawivu sana zaidi ya sana kiukweli huyo mabango avumilie kwanza mpk huyo Dada Amalize joto lake la roho
Mie tangunday 1 unamtambilisha nilijua Isha umebugi maana uso Wake ulionesha amefata jina kwako,Kama mume wa diva.ila ndio mapenzi upofu,by the way wewe ni levo flani hivi za juu yule sio levo zako Yani ni umejiabisha Sana kua na yule usirudie Isha pole mwaya
Hivi umri huo uluonao dada Isha mashauzi,bdo tu unataka kyjiweka hadharani kwamahusiano.Kwann usingeendelea kuyaficha mkamalizana kimya kimya ,badala yke ukaweka kwenye mitandao.Jmn mwoneni lulu,mwoneni rose ndauka ,hta anti ezekieli,nyie wakubwa waxima kwann mue namapenzi yamitxndao jmn