Mimi nilikuwa mjinga kama Esha nawapenda marafiki kama ndugu 😏😏😏 sasa nikaenda kuishi nchi za watu nimejifunza kupenda ndugu zangu na familia yangu marafiki baadaye.
Usilazimishe mtu akupende Esha, rafiki hatafutwi anakuja mwenyewe, tena mshukuru mungu hata usipokuwa na marafiki wengi, Ali Kiba achana nae wala usimzungumzie popote dada utaonekana kituko mbele za watu, muombe mwenyezi mungu akupe marafiki wema inawezekana tu, na usiweke kila kitu mitandaoni
Esha pole sana,ila hii dunia,huwezikutafuta kupenda nawatu ukapata amani ila utalipwa maumivu tuu,cha muhimu nikumpenda Mungu zaidi,ili naye akupende sanaaa,,ila upemdo kwa watu usiaçhe kuwapenda ila usitarajie upendo wake,ukijua hilo waweza kujifariji,kwa kuishi kwa furaha,na Mungu atakuwezesha kuyasahau machungu na kashfa upitiazo.Asante mim Natalie
Esher ni kwanin unapenda kumuongelea Kiba hivi hujiulizi toka umeanza kumuongelea kwanin Kiba hakujibu?Unatuchosha mashabiki zako na unatukera cyo siri
Huyu dada moyoni anampenda sana alikiba anatamani angemuoa sema anaogopa na alikiba sio hadhi yake anaona kuwa nae awe mke wake anamchukulia kama dada ake tu mshikaji rafiki mtu wa kawaida hana mahusiano naye hisia kimapenzi Ndio maana esha buheti kila wakati anamtaja alikiba
Kulalamika kila ukikutana na wandishi wa habari mara hajanialika mara kaniblok mara hanilipi bili za chakula huchoki kumkashifu kwanini usimwongele mume wako na biashara zako wewe sio mstarabu umetumwa
Basi esh msamehe king wetu kila siku unamzungumzia kiba mashabiki zake tupo ila sas tutakuchoka the only one king hana baya hapendagi shoboooo we zunguka kila siku kweny media tutakuchokaaaa?
Acha kumuongelea kiba.zungumzia family yko.au unamtakaaa?kiba wake amina..tatizo da esha ww mropokaji sana kijidomo kidogo afu maneno mengi kama dr kumbuka🤣🤣🤣.afu uko full stress maskn ustar kazi pole weeeh.ila ni mwanamke wa SHOKA.💟👌🙌unapiga kazi.ILA SWEBE🙌🤣🤣🤣ETI HYO SI MBEA
Umekosea kuongea ktk media kuw hujaalikwa ktk harus yake ukapewa orda unasema haji kula kwako yaan naropoka vitu vya private so ulitakiwa unde private sio media ndioman alikublock maan ukiwa una kitu ungemuuliza sio hivyo ww ndio umemosea ba Ally Kiba hapendi unafiki maisha yake
Tatizo lako unamzungumzia mtu hadharani tena kwenye social media tv show thats not right kama muislamu ukihisi mtu kamekukosea onana nae face to face kuliko kumzungumzia mtu hadharani wakati hakuna solution zaidi ya kuwafaidisha na kujenga chuki na unae mzungumzia wakati HAJAKUKOSEA.
Eshe umezidi acha hadithi za kiba kutwa kukicha unahadithi juu ya Kiba. Mwenzio ka kaa kimya bila hata kukutaja. Umezidi bi dada tulia dada. Sura ka ndimu
Iam sure he is not the only one Who s blocked you lakini kwa kuwa ni ali imekuwa issue naona umetumwa nenda psychology wakusadie una matatizo ya mume wako kuzaa na rafiki yako
Mi kiukweli da esha point zake kwa Kiba bado hazijanishika nikaelewa, maana sijawahi sikia Kiba wala familia ya Kiba ikimsema vibaya esha, sasa anaposema kwamba hana mazuri yanasemwa mabaya lini alisemwa? Au anaishi kwa maneno ya watu wa insta?
Mange alishasema Ali ukimdharau yy atakudharau Mara dufu!wewe uliona km unamkomoa kumsema vile kweny media ??Bora ukae kimya kwanza kuliko kila cku uwe unumuongea mtu Hana tym na wewe
Watangazaji wetu wa kibongo nahis hawajui namna ya utangazaji kelele nyingi unaongea pumba tu sijui mnataaluma na utangazaji au laaaaa mpak huyo mnayemuoji anaona kelo hebu jilekebisheni bhna