Kuwa na hayaa ndio uislaam na kuwa na hayaaa ndio ubinaadamm hiyoo ndio familiyaa bwanawee yenye hashima na nidhwaamm sio kina vikuku mijunda heka humjuwi mama dada waka yupi kaka woote mimwehu na ulimbukeni MWENYEWE NI KING KIBA NA FAMILIYAA YAKEE TUU BWANAWEEEE KIBA NA FAMILIYAA YAKE NDIO NO 1
Familiar hii kwanza inajielewa, inajiheshimu, Hekima yenu inapelekea mpaka Party zenu kupendeza,,Mwenyezi Mungu awatangulie kwa kila jambo na mafanikio Mema.
Alli kiba nimekukubali sana sana kwa salam zako zote mbili za dini zetu mungu akubaliki sana ukuweka udini mbele uliangalia mchanganyiko wetu na jinsi tulivyolelewa na mwasisi wetu baba wa taifa