asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua RU-vid sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena