Тёмный

MTOTO WA BARNABA ATOA MANENO MAZITO KWENYE HARUSI - "WEWE NI BABA BORA KWANGU LEO NI SIKU YAKO" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 161 тыс.
50% 1

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

15 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 175   
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Mungu amtunze huyu mtoto
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
*Steve* katisha, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏😘
@aminadigo9784
@aminadigo9784 Год назад
Upo 😅😅 bila profile nisingekujua😅
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 Год назад
Mashallah .....Mr & Mrs Barnaba ....M/Mungu awabariki sn kwa kila mtakalokusudia kulifanya husuthan ..kwenye malengo yenu. ....Ameen ...
@janethedward4631
@janethedward4631 Год назад
Akika Wema nakupenda sana 💞
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Год назад
Jaamani RAYA anaenda Rombo uwiiiiii karibu uchagani❤❤❤
@iddybakar1946
@iddybakar1946 Год назад
duuh kakua ivo yaan mtoto huyu nakumbuka ameitwa steve kazaliwa siku aliokufa stev kanumba ni muda saana jaman daaah daah🙏🙏😂😂 asnte mungu niko bado natumie pumzika yako kuishi
@rosemofuga8101
@rosemofuga8101 Год назад
Ni kweli kabisa bhana
@bintymohammedy5759
@bintymohammedy5759 Год назад
Wema mdogo angu mungu Akupe mtoto inshallah
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 11 месяцев назад
Hongera barnaba kwa kufunga ndoa na mwanao kakuwa kweli
@khalfannyanje8970
@khalfannyanje8970 Год назад
Hakuna kitu duniani kama kuona umekuva kijana mwenye maadili mema hata chozi linaweza kukutoka😢😢😢
@dainessmnenwaa4758
@dainessmnenwaa4758 11 месяцев назад
Wimbo was Sayuni ndo wenyewe sanaaa❤❤❤
@afsaiddy5648
@afsaiddy5648 Год назад
Safi sana baba kwa kutamka kwa sasa anaitwa muhamadi ❤❤
@emmanuelnemikhe
@emmanuelnemikhe Год назад
Mungu azidi kuwabariki
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 Месяц назад
Ehee kumbe ana mtoto mkubwa hivo!! hongera yake
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 Год назад
Sasa watu washangilie😮e wameelewa?😅😅 Vigelegele vichacheeee.hizi lugha za kuja na ndege bhanna😮
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Месяц назад
Arusi imembadili dini kwa mimi nasema ndoa nyingi zinafungwa kwa sababu nasio pendo la mungu
@user-ex4cx3ky9o
@user-ex4cx3ky9o Год назад
Karibu kwetu wif
@salhaayub1338
@salhaayub1338 Год назад
Leo ndo nmejua kumbe barnaba mchaga😂😂
@user-wi1fk5wx8f
@user-wi1fk5wx8f 11 месяцев назад
Sio mchaga TU tena warombo
@josephinekalwa631
@josephinekalwa631 Год назад
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 Год назад
Maanshallah Mohammad kwakufanya mamzi
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Daaaaa huyu Steve kaniacha kabis mtu mwenyewe nimeishia darsa LA saba B 😢
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 Год назад
😂😂😂😂😂😂 pole 😂😂
@vickystephano224
@vickystephano224 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ismailjuma267
@ismailjuma267 Год назад
duuh nguo ya mama harusi tu , nacheka mie
@bintspeech3868
@bintspeech3868 Год назад
Mama shikamooo khaaa wewe kweli mswahili khaaa banaba kaz hunayo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saaana
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Si kajitambulisha ni mama Kimbo?
@RehemaMobeto
@RehemaMobeto Год назад
Yan jmn huyo mama nilijuaga anaigiza tu kumbe ndivyo alivyo
@maryikwabe3368
@maryikwabe3368 Год назад
Kwani lazima angeongea kizungu plz tz
@user-ug6df5kg7n
@user-ug6df5kg7n 9 месяцев назад
Jamani ni kizungu humuelewi au shida nn😂😂😂😂 hapo sijaskia neno zito
@sarahsesa8851
@sarahsesa8851 Год назад
Mmmmh bora mngefunga ndoa kanisani halafu naona mama barnaba hayupo
@Official83640
@Official83640 Год назад
Kamfufue kaburini
@sarahsesa8851
@sarahsesa8851 Год назад
@@Official83640 waaaaaa 😃😃😃😃😃😃😃🙆makubwa sasa hapo shida ni nin siungesema tu Alisha fariki
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Alishafariki muda 2012
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Год назад
Alifariki 2012
@sarahsesa8851
@sarahsesa8851 Год назад
@@edwardmkwelele pole yake kufiwa mzazi
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 Год назад
Mapenz shikamoo😆😆😆 mchaga akabadili dini alow .
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Год назад
Labda alikuwa na ndoa ya kanisani na mama Steve mana naye alibadili
@user-kg4bg2fo5x
@user-kg4bg2fo5x Год назад
Ati Barnaba kabadili dini kisa mwanamke! Hovyooo
@saumbliz8983
@saumbliz8983 Год назад
Ovyoo wewee
@mecktridavictorchifungo7310
Ajataka ndoa za jumla hii ikizingua anaacha asubuhi tu
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Mmh si wachagga hawa. Kila kitu wanataka wawe washindi. Hata ujinga
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Год назад
Mtoto wa mwanamke mwengine
@charlottealine6586
@charlottealine6586 Год назад
Kuna kosa kwani ?
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Год назад
Umemjibu vzry sana
@mishikombowato1457
@mishikombowato1457 Год назад
Lakin jins anavyoishi na Raya huwezi hata kujua sio wake wa kumzaa yaani anampenda zaid
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 8 месяцев назад
@@charlottealine6586 hilo nalo neno wapelelezi wamaisha yawatu duuuh
@LucyKisia-nh7pv
@LucyKisia-nh7pv Год назад
Mama kimbo kavaa nini
@janethedward4631
@janethedward4631 Год назад
Kanumba MUNGU anakuona yn sijakuelewa ata ulicho kizungumza wajamani 🥲
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
😂😂😂😂
@mamyukuru9081
@mamyukuru9081 Год назад
Kama mimi nimefurai bila kujuwa kilichosemwa 😂😂😂😂😂
@janethedward4631
@janethedward4631 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@user-em4wp1ct7s
@user-em4wp1ct7s Год назад
Shamesha meku
@moudmgomo5742
@moudmgomo5742 Год назад
aunt raya tena😢😢😢😢 sio mumy..
@wanguiwanjiru5320
@wanguiwanjiru5320 Год назад
Kazi ipo😢
@najmaomary4185
@najmaomary4185 Год назад
Ni mamaak mdgo lazima aite aunt
@khadijasayeed3381
@khadijasayeed3381 Год назад
Ni sawa tu
@ZayyunSaleh
@ZayyunSaleh Год назад
Yan mtot hajaonesha kabsa uchangamfu kwa uyo Raya maskin mpk nimejiskia vbaya na sijui kwann hajamuita mama kamuita aunt😢Ila wengne ndo walivyo hawawez kumuita mtu mwengne mama tofaut na mama yake alomzaa
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
Wanakenua tu hahaaa ata awaelewi
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 10 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RithaMassawe
@RithaMassawe Месяц назад
Kumbe Barnabas ni mtu wa rombo jmn uwii
@RoziTabu-fw2cf
@RoziTabu-fw2cf 7 месяцев назад
❤❤❤
@iddybakar1946
@iddybakar1946 Год назад
grup la damu muhimu itakua tyr barnaba anajitambua
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Год назад
Amekuza
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Hapo mchagga ni Steve tu. Waliobaki kwisha habari yenu
@JawahirSaid
@JawahirSaid 11 месяцев назад
Dah vazi kama sio muislam allah akuongowe
@AronMkumbwa-wl1ee
@AronMkumbwa-wl1ee 4 месяца назад
Acha udini ndugu mavazi ayamuoneshi mtu na dini yake sasa muislam kavaa nguo hiyo una semaje sasa hapo
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 Месяц назад
Tunaishi kistaa🤣🤣🤣🤣
@isakamaganigani1587
@isakamaganigani1587 Год назад
Mama barnaba alifariki bwana elfu2 kumi2
@user-un5dm8gj7p
@user-un5dm8gj7p Год назад
uyu mtoto atalelewa kwenye missing ya dini gani? mbona Wanamchanganya mmmh
@jacquelinelukumay9535
@jacquelinelukumay9535 Год назад
Ww hii nchi ni Tanzania
@consokeic1472
@consokeic1472 Год назад
Ni America 😂😂😂😂😂😂
@mwanaidisaid8480
@mwanaidisaid8480 8 месяцев назад
😊😊😊 ,.
@monicamunisi2889
@monicamunisi2889 Год назад
Bi harusi Hana utulivu
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 Год назад
Ukoo wa Sykes ni mkubwa mbona ameonekana Dully peke yake?
@user-sk4mt4hd2b
@user-sk4mt4hd2b Год назад
Mbona bibi ako uchi jamani
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 Год назад
mnatuacha jamani hatujasoma
@majomamajoma8776
@majomamajoma8776 Год назад
😂😂😂
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
Vibaya sana unamuonesha nani nani utupu wako we mwanamke unamuonesha nanii😭😭😭😭 jamani uislaam mutaupa JIBU gani yaarabbi
@womanofsteel1402
@womanofsteel1402 Год назад
Maharusi kwanini hawatulii wanakaa na waswas why
@cynthiachesang6972
@cynthiachesang6972 Год назад
Gauni ni Ile ya wedding ya nandy no wonder huyu hajapendeza ndani
@tatushoke9322
@tatushoke9322 Год назад
Unaroho mbaya ww dah eti binaadamu huyu
@mecktridavictorchifungo7310
Mi nilijua ni nandy anaolewa mara ya pili
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 Год назад
La kwako je?
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 8 месяцев назад
@@lilianestephanie7881 hilo nalo neno
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 8 месяцев назад
Twasubiri yako ubwa wewe roho mabaya haijengi
@mropeeliakim2528
@mropeeliakim2528 Год назад
Kwa hiyo hayo ndio Maneno mazito 😅
@bettymwikali8019
@bettymwikali8019 Год назад
C kwa kizungu hichooo
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 8 месяцев назад
@@bettymwikali8019 wewe unayejua kingereza nahuna lolote Kaa kwakutulia aliyekwbia kizungu nimambo yote nani acha shobo mtoto wakike 😂😂😂
@asifiwewisayi8580
@asifiwewisayi8580 Год назад
Kumbe ww ni mchaga Barnaba
@inongee1141
@inongee1141 Год назад
Sina wivu.ila kiukweli bibi harusi hajapendeza hilo gauni limemufanya aonekane mwili mrefu kutoka kiunoni kwenda juu. Kaonekana ana mgongo mrefu
@khamisisaid873
@khamisisaid873 Год назад
Mm mtizamo wangu kwavile amelikubar mwenyewe tumuachie yy mwenyewe amelipenda hamna baya.
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 Год назад
Una wivu
@Jackiedaniel75
@Jackiedaniel75 Год назад
Kama huna kitu positive cha kuongea kaa kimya
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 Год назад
Mpe lako basi
@LETTYHENDERI
@LETTYHENDERI 10 месяцев назад
Cy gauni tu anavoangaisha kichwa kama Kuna wadudu wanamng'ata mgongon
@user-nq2gl9fj9x
@user-nq2gl9fj9x 7 месяцев назад
Ogerasana
@mamuumoses9547
@mamuumoses9547 11 месяцев назад
Msishangae kubadil din barnaba coz mda wowote taraka itamuhusu bi harus tembeeni na hyo
@beathagabriel8438
@beathagabriel8438 11 месяцев назад
MAMA KIMBO UMEPENDEZA.
@ScolaAlex
@ScolaAlex Год назад
❤❤❤ nawapend
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
Mamaaa muachie kungwii wewe mama hupaswi kuyaongea hayo
@bintspeech3868
@bintspeech3868 Год назад
Siku nyingine ongea kiswahili umeniacha mbali ujue embu nitafisilien
@salhaayub1338
@salhaayub1338 Год назад
😂😂😂😂
@akibaali1450
@akibaali1450 Год назад
😂😂😂pole
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Год назад
muache mtoto si na weye kasome
@bintspeech3868
@bintspeech3868 Год назад
@@janetahmed6948 nikasome kuzimu au
@DeboraNgura
@DeboraNgura Год назад
@@bintspeech3868 😂😂😂
@iddybakar1946
@iddybakar1946 Год назад
sijaelewa kwamba mama kimbo ndio mama yake dullyseks
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
Mama mzazi wa biharusi
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
mbona huyu mke wa barnaba kama baunsa frani au macho yangu😳😳😳😳😳😳? mmemuona mikono yake anavoivimbisha?
@mishikombowato1457
@mishikombowato1457 Год назад
Ndio kaolewa hivyo
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
@@mishikombowato1457 hakuna aliesema hajaolewa kinachozungumzika ni ubaunsa mwanamke anatakiwa raini bwana kwani kuolewa bei gani? watu tupo kwenye ndowa myaka 30 itakuwa yeye kaanza 😏
@mishikombowato1457
@mishikombowato1457 Год назад
@@hamiduhamisi2371 kwani nimesema anaanza hajaanza wala.hajamaliza ulivyosema.utadhani.kajiumba yy haya Ana milono ya baunsaa ila kaolewa mnapenda kukosoa hata pasipo tatizo basi mkipendeza nyie inatosha
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 11 месяцев назад
Raya naomba mganga wako na huyu mbuzi wangu aweze kubadili dini
@MonalisajaphetMonalisaja-zn4bp
@MonalisajaphetMonalisaja-zn4bp 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@mzembemakini3532
@mzembemakini3532 2 месяца назад
Hahahah
@naligiatomaso5006
@naligiatomaso5006 Год назад
Hyo dogo hawez kumuheshm mama yke maana nmejarb kumwangalia Mara nyng bdo cmwelew
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Год назад
Hahaha hampendi kabisa mama yake kwasabu siyo mama yake halisi wmbaya zaidi kambadilisha dini baba yake hata ningekua mimi
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Год назад
Akina shangazi hawaamini kama Barnaba kabadirisha dini, maana wanasalimia bwana asifiwe tumsifu Yesu kristu badala ya wasalamu maleko😂 baba ake barnaba kasema anamshuku Mungu kwa Mwanae kufunga Ndoa Takatifu daaahh
@nikusubilamwakyusa7059
@nikusubilamwakyusa7059 Год назад
Picha linaanza, kamuita Aunt Raya😔
@Official83640
@Official83640 Год назад
​@@sabinaonline6575Usilolijua sasa huyo mtoto anampenda Raya hatari na jua km mama yake mzazi muislam na huyo Steve amebadilishwa dini ni muislam kwa sasa atakaaje ukristo ikiwa mama mzazi muislam na baba kaingia uislam poleni waja
@Official83640
@Official83640 Год назад
​@@nikusubilamwakyusa7059Tembea uone ndugu waarabu mama mkubwa mama wa kambo wote wanawaita aunt
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
Bibi harusi nguo ulio vaa inaonekana uko unapumuliya juju
@victoremanuel29
@victoremanuel29 Год назад
Yan alivyokaa Kam baunsa
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
@@victoremanuel29 🤣🤣🤣
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Год назад
Hiyo ni broken english kwani ulifosiwa uongee english?
@fatumahamisi6470
@fatumahamisi6470 Год назад
Kweli kabisaa Yani broken hatari
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 Год назад
Weee toka pepo.... Tanzania Lugha yetu kiswahili Kaongea English kajitahidi kwasabu siyo Lugha yetu acha chuki
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Год назад
@@shangwefisima3993 arudi shule,tz ni kiswahili bt sahi ninavyoongea 99%waongea English ukobwapi wewe
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 Год назад
@@shangwefisima3993 mwAmbie mtoto wa mobeto amfundishe english
@salomeraymond2051
@salomeraymond2051 Год назад
Kwa umri wake kajitaidi mwache mtoto khaaa🙄
@Octavinaelisa-fn6js
@Octavinaelisa-fn6js Год назад
Waooo jamani hongera kaka
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Год назад
Rombo ni wakatoliki.Kaoa kaolewaaa,Yesu anakaukia mbavu.
@tatotato506
@tatotato506 Год назад
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
@tatotato506
@tatotato506 Год назад
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
@tatotato506
@tatotato506 Год назад
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Год назад
Mbona hawafanani walishawahi kufikilia DNA
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Год назад
😂😂😂😂watu
@aminakazogolo2229
@aminakazogolo2229 Год назад
Dah😅😅😅
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Год назад
Kwan lzm wafanane kwan haez kufanana na mama,
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Tanzania nchi huru hii sana mhhhh
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 Год назад
Kafanana na mama ake
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
Sijaelewa chochote Kama hao wanaopiga makofi pasi kujua kilichoongelewa Ila makofi xx😂😂😂😂😂yalitawala
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Год назад
Nimekupenda my! Jina Mrs mume wangu.Miji2 ilonyea ndoa ikiona Inaona wivu.
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Год назад
wewe kama huelewi ni wewe tu 😂
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
@@yukundapeter8200 nakupenda pia my darling
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Год назад
@@ikouwasi7644 sawa
@akidajulius1581
@akidajulius1581 Год назад
Sasa huyo dogo stive mbona anajina la kikristo,wakati wazazi wote niwa islama na wamefunga ndoa ya kiislam
@r9ayyansaid652
@r9ayyansaid652 Год назад
Raya si mamaake
@margarethasway8450
@margarethasway8450 Год назад
Barnaba alikuwa mkristo lkn sasa amebadili dini na kuwa muislam km mkewe raya
@akidajulius1581
@akidajulius1581 Год назад
@@margarethasway8450 ok, Sasa da amemuacha dogo pekeyake ktk ukristo alafu yy kakimbilia uislam,,ambadili na dogo nae,maana dogo peke yake hata wezakujiongonza kwa umri wake ktk Imani ya kikristo
@rehemaomary3493
@rehemaomary3493 Год назад
​@@akidajulius1581SI anaishi na Babu yake atamuongoza
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
​@@akidajulius1581embu tuachieni mdogo wetu
@neemaalphonce109
@neemaalphonce109 Год назад
Ndoa imeenda kikristo kabisa ad mizk mingi ni gosper tu sa kaslim nn apo
@nurudovino4587
@nurudovino4587 11 месяцев назад
Mungu ndio anajua na asirimia kubwa miziki ya kikirsto ndio sana kwenye harusi maan asirimia kubwa tumichanganya dini
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
Uislaam saivi watu wanauchukilia ki rahisirahisi weee mwanamke na ndo muislaa amekushinda hata huyo mume aliebadili dini kavaa stara we mwanamke upo utupyuuu wallahiii mi munanilizaa😭😭😭😭 nasikia
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Год назад
Kìla mtu atakwenda na amal yake muhimu bwana amesilimu na kufunga ndoa halal
@rahmamohd4822
@rahmamohd4822 Год назад
Ukweli aambiwe akisoma comment ajifunze makosa yake
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
@@rahmamohd4822 kweli kabisa yaani
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Год назад
​@@guenterernst5481wewe itakuwa sio mwisilaam ndio maana wajibu uwazavyo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Год назад
Harusi kama sio waislaam subhannallah
Далее
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 2 млн
madada walijua kuchangamka kwelikweli
1:02
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Lyrics Video)
3:50
Просмотров 912 тыс.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 51 тыс.
Продал не тот порошок... #shorts
1:00
Кот Оказался В ЗАПАДНЕ🙀☠️
0:38