Viva Mh. LISSU viva, well said "Ila biblia inasema WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... WATANZANIA WANAANGAMIZWA NA CCM KWA KUKOSA MAARIFA". Hosea.4:6. Sio wanaanganmia kwa kukosa maarifa, BALI WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... Kutokujua maarifa haya anayotufafanulia Mh. Lissu hivyo ndivyo CCM WANATUMIA KAMA MTAJI KUTUANGAMIZA WATANZANIA... NDO MAANA WATU KAMA WAKINA LISSU WANAWAPIGA RISASI ILI WASIWEPO DUNIANI(WAFE KABISA) TUKOSE MAARIFA NA WATUMIE UJINGA WETU KUWA MTAJI WA KUTUANGAMIZA HAWA WAKINA-CCM"Chama Cha Maovu"TANZANIA.
Mwalimu alikurupuka tu kutumganisha na hawa Wazanzibar leo tunateswa watanganyika hatuna kila kitu, ni nani mtanganyika ni mkuu wa mkoa au wilaya huko Zanzibar?
Niliamua kwamba sitafuatilia siasa lakini uchungu mkuu wa uhalisia ambao tundulisu anausema kuhusu Rasilimali za nchi hii unatia uchungu hasa tunapoona Tanganyika inaporwa na wazanzibari. Nimeahirisha kwa mda
Hongera Lissu kwa kuwatetea watanzania japo watanzania wenyewe hawajiekewi kabisa wamepumbazwa na viongozi wa CCM wajanja wajanja hawataki katiba mpya wanaogopa kushindwa uchaguzi maana katiba ya sasa inawabeba
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia
Umesahau kidogo mheshimiwa halimashauri inakuja mara tatu moja leseni mbili sevis levi tatu mwisho wa mwezi anakuja na kudai pesa za uchafu je sevis lev manake nini? Huoni kodi inajirudia
Hovyooo ikiwa mnakosa watu sasa hv je 2025? duh poleni kwa kweli wtu washawachoka kwa kulalamika kama wtt semeni mambo ya muhimu nn mtakifanya mkichukua nchiiii, blaa blaa za maisha magumu ni ulimwengu mzima na hilo mnalijua sana tu lkn ndiyo mmelishikia bango ndiyo mpate kura 2025🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia