Nakupenda mwanangu kamwe...mungu akubariki wewe ni kichwa sana Pambana kuzidi kuwa na hekima kama mzee kamwe na kuwa na ushilikiano wa busara na manara na mungu atakubariki...chapa kazi..tupo nyuma yenu.
kiukweli hata kama ndiyo ningekuwa ni mimi ningeongea kama alivo ongea uyu wa vitaloo kwanza wao ndio wenyeji awana mashabiki wasipo fanya ivo je ela za kuludia kwao zitatoka wapi . ?
MUWE MAKINI HAO VITAL'O ISHAIBAMIZA SIMBA GOLI 7 -0 REDIO NA MAGAZETI YOTE VIKAWA KIMYAAA ILI KUPOTEZEA HIYO AIBU MPAKA LEO WATU AWAJUI...ILA NIMEMSIKIA HUYO MSEMAJI WA VITAL'O ANAIKUMBUSHIA HIYO MECHI WALIYOIBAMIZA SIMBA GOLI 7