Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE: BABA MZAZI WA IBRAHIM BACCA AFUNGUKA/NILIKUWA MKALI KWAKE/ATAJA CHANZO CHA KUITWA BACCA. 

Mpenja TV
Подписаться 527 тыс.
Просмотров 130 тыс.
50% 1

Mpenja Tv tumezungumza na Baba Mzazi wa "Ibrahim Bacca" Abdallah Hamad Bakari, na kufunguka mambo mengi kuhusu kipaji cha mwanawe lakini pia furaha yake kuona mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati Yanga dhidi ya Al Ahly kupewa jina la mtoto wake "BACCA DAY".

Опубликовано:

 

30 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@antarfereji2219
@antarfereji2219 8 месяцев назад
Mimi nimefurahishwa na mtangazaji namna alivyofanya mahojiano na aina ya maswali aliyouliza..... bravo💯
@sofiajumaa4538
@sofiajumaa4538 8 месяцев назад
Mtangazaji upo vizuri mnoo kwa maswali yako mashallah
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 8 месяцев назад
Huyu dogo mtangazaji yupo vizuri saana maswali yote niliyokuwa najiuliza kichwani yeye kayauliza na Mzee kajibu vizuri saana, good interview! Dogo namuona mbali saana na golden voice anayo.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 8 месяцев назад
Hongera sana mzazi wa Ibrahim Bacca umefanana naye saaaana.
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 8 месяцев назад
HII NDIO TIMU YETU YA WANANCHI,TUNALIA PAMOJA TUNAFURAHI PAMOJA,👏👏👏👏👏 KARIBU SANA BABA YAKE NA BACCA.
@priscamboya3091
@priscamboya3091 8 месяцев назад
Mmh..like father like son❤
@user-yu9hn2cq3y
@user-yu9hn2cq3y 8 месяцев назад
Wamefanana na mwanae Bacca yaani kama mapacha ongera sana 🎉🎉👏👏💛💚💛
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 8 месяцев назад
Mansha allah mungu anajua kuumba..Hatariiii duuh si kwa mfano huoo
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 8 месяцев назад
Tunashukuru kwa kutuletea kipenzi cha wana Yanga mbarikiwe wana Familia
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 8 месяцев назад
Matangazaji yupo vizuri Sana big up kijana 😅.
@SarahWilliam-ik2nc
@SarahWilliam-ik2nc 3 месяца назад
Ahsante bb baca kwa kutuletea beki bora kwenye timu yetu💚💚💛💛💚💛
@OmaryKisuguru-vl1ie
@OmaryKisuguru-vl1ie 8 месяцев назад
Daima mbele nyuma mwiko 💛💚🖤
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 8 месяцев назад
Huyu mzee kajifyatua ile mbaya siyo kwamfanano huu na mtoto wake
@francepaul7711
@francepaul7711 8 месяцев назад
Sanaaaah Ana Balaaaa
@AnnoyedArchaeology-tv1zk
@AnnoyedArchaeology-tv1zk 8 месяцев назад
​@@francepaul7711😊
@user-bw8lt8wy1i
@user-bw8lt8wy1i 8 месяцев назад
Baba hongera kwa kumlea baka vizur mungu akupe baraka
@user-zq6og4ps9e
@user-zq6og4ps9e 8 месяцев назад
Daima mbele nyumba mwiko,eee mwenyezi Mungu ibariki timuyangu kesho tufurahi ishaallah.
@user-ps7ej3ep4e
@user-ps7ej3ep4e 8 месяцев назад
Kesho unakufa tatu au mbili ukimaliza mpira njoo boss😂😂
@user-zq6og4ps9e
@user-zq6og4ps9e 8 месяцев назад
@@user-ps7ej3ep4e sip mda mrefu mtani maumivu yataanza kukuingia bado dakika tu
@hpenyika7686
@hpenyika7686 8 месяцев назад
Hongera sana baba Bacca
@erickegidius6625
@erickegidius6625 8 месяцев назад
Mzee anazo busara. Hongereni sana wewe ma mkeo kwa malezi bora kwa kijana wenu.
@sahraabdallah7242
@sahraabdallah7242 8 месяцев назад
Manshallah kafanana na kijana wake
@user-ir3lf1wl6n
@user-ir3lf1wl6n 8 месяцев назад
Jamaa uko vizuri sana kwa maojiano
@enockjlory1814
@enockjlory1814 8 месяцев назад
Huyu mzee amefanana na mwanae kweli
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 8 месяцев назад
Daaaah nime play baada ya kuona wanafanana
@roi2554
@roi2554 8 месяцев назад
Ata mi pia😂
@fatmamkambara3437
@fatmamkambara3437 8 месяцев назад
Kwa kweri ibra bacca amefanana sana na baba yake sanaaa,
@SeifSalim-ti5ce
@SeifSalim-ti5ce 8 месяцев назад
Dah wanafanana sana jamai
@jassontv5366
@jassontv5366 8 месяцев назад
kinyamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 8 месяцев назад
Mzee kafanana sana na mwanae mashalla
@KaroliMagana
@KaroliMagana 8 месяцев назад
Duuuh kweli wanafanana
@chinchon2126
@chinchon2126 8 месяцев назад
Kwa kweli USHINDI uko WAZI kwa Yanga inshaa Allah
@user-lq7kv7sx3t
@user-lq7kv7sx3t 8 месяцев назад
Ameen ya rabil alaameen
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 8 месяцев назад
Hee baba umefanana sana na mwanao❤🎉
@mussahaji8420
@mussahaji8420 8 месяцев назад
Rekebisha kiswahili sema mtoto kafanana na babake
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 8 месяцев назад
@@mussahaji8420 ni memuita baba nikama mzazi wangu huyo
@ramadhanikuchuna5410
@ramadhanikuchuna5410 8 месяцев назад
Daaah yaani DNA Inajieleza kbs
@user-zf8zt8ek1q
@user-zf8zt8ek1q 7 месяцев назад
Mzee alikua hachezi mbali na mlango 😂😂😂😂❤
@kabulapaul56
@kabulapaul56 8 месяцев назад
This is original one
@PhilomenaSteven-tq2tx
@PhilomenaSteven-tq2tx 7 месяцев назад
Mwenyezi mungu awape afya njema mumetuletea kipenzi chetu cha yanga
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 8 месяцев назад
Bro uko vizuri
@SundeyWanyama
@SundeyWanyama 8 месяцев назад
Hongera mzee wangu
@starobioo7330
@starobioo7330 8 месяцев назад
Mtangazaji 💯
@user-hf2pk9gc7y
@user-hf2pk9gc7y 8 месяцев назад
Baba kamkomba kilakitu mwana na baba hakuibiwa mzee yukovizuri
@user-xi3yj1gj5w
@user-xi3yj1gj5w 8 месяцев назад
Nice ddy❤
@maryamtan682
@maryamtan682 8 месяцев назад
Bb amejizaa copy kwa baka maashallaah
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 8 месяцев назад
Mjomba ake alimtabiria kuwa mchezaji mpira,Kwa kumuita Bakayoko.
@subirajohn728
@subirajohn728 8 месяцев назад
Wamefanana sana!
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 8 месяцев назад
❤❤❤mashallah
@FRIDAYMISANGO-br6nl
@FRIDAYMISANGO-br6nl 8 месяцев назад
Daaah Nimeiplay baada ya kuona kama kuna kamfanano kakubwa kinoma
@leonardclaudio
@leonardclaudio 8 месяцев назад
Amerandana sana na mwanaye
@hamzaabdallah1969
@hamzaabdallah1969 8 месяцев назад
Elo weepo
@iddybakar1946
@iddybakar1946 8 месяцев назад
mzee kanyooka simtu wa maskhara ivoooo😃😂😂😂
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 3 месяца назад
Crown TV muangalieni mtangazaji kijana mdogo kipaji kikubwa. Hakika huyu mtangazaji ana kipaji asilia mungu azidi kumfungulia nyota yake.
@hassaneddy5869
@hassaneddy5869 8 месяцев назад
Aisee kafanana kweli, alafu mbana bado kijana mzee kule kwa makolo si bado wanachezaa umri huuu wa baba baka!
@bennamush4616
@bennamush4616 8 месяцев назад
😂😂 acha dhambi
@aliabdallah4233
@aliabdallah4233 8 месяцев назад
Uyu mzee akichezea timu inaitwa Kidike ya Kangagani nlkuwa namtizma sana😂😂😂😂
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 8 месяцев назад
Ukisikia au kuona baba kajizaa mwenyewe ....
@winniembotwa9130
@winniembotwa9130 8 месяцев назад
Kopi yako hiyoooo
@mambomabula3545
@mambomabula3545 8 месяцев назад
Duuuh!! kafanana baba kinomaa
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 8 месяцев назад
Baca kama bacca zanbar finesse
@user-nn5sq8ol4g
@user-nn5sq8ol4g 8 месяцев назад
Nafasi hii ilikua ya feisali
@NunuKupela
@NunuKupela 8 месяцев назад
Imebaki story atakula jeuri yake
@HappyBurrito-bm5me
@HappyBurrito-bm5me 8 месяцев назад
Anakula pesa zake 😂😂😂😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 8 месяцев назад
​@@NunuKupelawe akili huna feisal kule analipwa mshahara mara tatu ya alokua analipwa huku shida nini acheni mawazo yakimaskini
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp 8 месяцев назад
Hata kuuliza maswali hujuii mpenja mzee anaeleza mwenyewe mwengn bila kuumuliza huna llt bora wale dada
@shabanimbega40
@shabanimbega40 8 месяцев назад
Katoa Kopi duh hii hatari😂😂😂😂
@LewisSolomon-vz8je
@LewisSolomon-vz8je 8 месяцев назад
Damu hataariii copy and pest hujaibiwa baba
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 8 месяцев назад
Bacca kafanana na baba yake mno
@MeshackDaison-oq2lu
@MeshackDaison-oq2lu 4 месяца назад
❤mwamba huyooo
@kelvinmasika
@kelvinmasika 8 месяцев назад
Huyu si baba wa bacca. Ni pacha wa bacca 2053
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 8 месяцев назад
Wamefanana jamaniiii
@Papabravo_05
@Papabravo_05 8 месяцев назад
Mambo Irene
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 8 месяцев назад
Mzee kajizaa Yeye 😂 duuuh ukiskiaga wale wanaosema Yakwangu haitokagi ukitoa inatoka na roho ndo huyu mzeee 😂😂
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 8 месяцев назад
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@suleimanabdalla5022
@suleimanabdalla5022 8 месяцев назад
Abdallah apewe hana mashaka na mtu
@user-mj2ir8ir1m
@user-mj2ir8ir1m 8 месяцев назад
Mzee katupa nondoo za kutoshaa
@mohammedhimba1647
@mohammedhimba1647 8 месяцев назад
Hibrahimu bakayoko
@Jitimawetz
@Jitimawetz 3 месяца назад
na mm nitapambana mwanangu aje kuwa bondiya
@josephinejoseph3919
@josephinejoseph3919 8 месяцев назад
Kama mapacha
@alloycemillinga1673
@alloycemillinga1673 6 месяцев назад
Mzee anasema anawela Mpira pale, tukimbizane
@fabiancharles6258
@fabiancharles6258 8 месяцев назад
Haina haja ya DNA
@sniper93999
@sniper93999 8 месяцев назад
hapa spam imefanya kazi😂😂😂
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 8 месяцев назад
Copy Right Kwel , Kikubw Duwa Lazm Ushindi Kwa Bacca Day Na Mwarabu Kayakanyaga Hapo....!!!!!
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 8 месяцев назад
Anafanana na mtoto wake hasa
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 8 месяцев назад
Wanafanana hadi raha
@marthageorge5043
@marthageorge5043 8 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰
@user-te1hl2rk8x
@user-te1hl2rk8x 8 месяцев назад
Mhh kuna wanatoaga copy duuh
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 8 месяцев назад
Siku wakamioji mama yake mayele jamaniii
@mikamwamba3554
@mikamwamba3554 8 месяцев назад
1:31
@SaadaKiyungi-uz6jn
@SaadaKiyungi-uz6jn 8 месяцев назад
Pacha wa Bacca huyo
@SaleheHamisi-bz2ns
@SaleheHamisi-bz2ns 8 месяцев назад
Hakuna mzaz aeoenda mtoto wake apoteee
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp 8 месяцев назад
Yaan hapo pana historya kubwa lkn kuuliza maswali na kuhoji mt hujuii kbsa jadu
@user-jz5nn5tc8r
@user-jz5nn5tc8r 5 месяцев назад
Like❤❤❤
@user-ir6vi1bf4h
@user-ir6vi1bf4h 8 месяцев назад
Wewe dogo unajua ikikupendza nitafute nina asali yako
@masoudwamba-wg4id
@masoudwamba-wg4id 8 месяцев назад
Copy
@dianarosekaugira5608
@dianarosekaugira5608 8 месяцев назад
bacca akizeeka atakuwa hivyo🤣
@user-tq1jz3wm3f
@user-tq1jz3wm3f 8 месяцев назад
Kwel😂😂😂
@user-ub8zi6ft1l
@user-ub8zi6ft1l 5 месяцев назад
2:24 2:27 Ggkip
@noeljuvenalmunishi75
@noeljuvenalmunishi75 8 месяцев назад
Huyu Mzee katoa copy
@AishaMsungi-hm8rd
@AishaMsungi-hm8rd 8 месяцев назад
Uyu baba kiboko,muhogo mchungu sio kwa kopi iyo
@antipascann2797
@antipascann2797 8 месяцев назад
🤣🤣🤣
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 8 месяцев назад
pua yooooo utopolo
@chogokai6767
@chogokai6767 8 месяцев назад
mtangazaj uko poa sana
@DidaMhasha
@DidaMhasha 8 месяцев назад
😂😂😂
@kassidpandu866
@kassidpandu866 8 месяцев назад
Mtafute na kesho kutwa siku akipoteza uje kumhoji Tumsikie
@user-tz5xh5gg7d
@user-tz5xh5gg7d 8 месяцев назад
14:35
@Pdady-tc8kg
@Pdady-tc8kg 8 месяцев назад
🎉
@maulidalyaaamiin46
@maulidalyaaamiin46 6 месяцев назад
Mbona hujasema kua wewe baba ulichezea pia ya Kidike ya mjini ole
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 8 месяцев назад
Je, baba, wewe ni Mwananchi au Kolo?
@kassidpandu866
@kassidpandu866 8 месяцев назад
Ni utoporo huyo Gongo wazo
@SaidJumanne-ue2jy
@SaidJumanne-ue2jy 8 месяцев назад
Ni utopolo huyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 месяцев назад
Mhhhhhh
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 8 месяцев назад
​@@kassidpandu866😅😅😅😅😅😅
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 8 месяцев назад
Mzee Bacca hujaibiwa wako ksbisaaa
Далее
Мухочирон эхтиёт бошед!
01:31
Просмотров 112 тыс.