Katika wasemaji wenye akili kwenye hizi club zetu hakuna atakaye mfikia Aly kamwe aly kamwe anajua na ana upeo mkubwa sana mungu ampe umri mrefu na mpenja Tv salut kwenu mungu awafanyie wepesi kwenye kazi zenu
Ali, Why Umtaje Onyngo na Miaka Yake 56? Why Umtaje Ntibanzonkiza 48? Why Umtaje Inonga na Miaka 49? Why Umtaje Nyoni Miaka 58? Why Umtaje Okwa Miaka 53?
Hivi hapa nilikuwa napitia comments zote kwamba hawajaona ally kwenye haba zito na huyo dada wa Tangazaji la kabumbu Dunia ya Saba?? 😘😘wasitudanganye... But safiiiii😋😋😋
Ila ali usemeaji wako haujawahi kutokea unaongea kwa furaha unafurahisha yaani napenda usemaji wako ,hapo kwenye dunduka na kama atakuwa na waganga wazuri hahahahau