Тёмный
No video :(

ALLY KAMWE" WAMEFUNGWA NA TIMU YA DARAJA LA 6/YANGA NDIO TIMU TISHIO/WAJIANDAE KUPOKEA GOLI 10 

Mpenja TV
Подписаться 532 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Месяц назад
KIUKWELI Kabisa yaani APO KWENYE Thank you NIMEKUKUBALI SANA Positive
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Месяц назад
Safi sana Kamwe -- " Nitafurahi sana tukimnyoosha Jemedari na timu yake " kono la nyani tena " ili kufunga kinywa chake.
@peterkandaya565
@peterkandaya565 Месяц назад
Angalie na nyie maije mkapigwa 6 - 0 manake mlishawahi kuchezea halafu sio ya mchongo Kama ya kwenu ya kununua wachezaji😅😅😅😅😅
@user-uf8ot1mq8c
@user-uf8ot1mq8c Месяц назад
Mwaga makopa Ally Kamwe
@francepaul7711
@francepaul7711 Месяц назад
💚💛
@PrinceYanga-pl6rm
@PrinceYanga-pl6rm Месяц назад
Nakukubali kakak
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 Месяц назад
Simba inacheza na Sevilla yeye haja zaliwa akaandike MABANGO ya MZEE MAGOMA 😅
@SamsonDaniel-ch2jn
@SamsonDaniel-ch2jn Месяц назад
Ila jemedari saidi anazingua Sana
@EliakimuBura
@EliakimuBura Месяц назад
Ahahahahahah ali kamwe we ni mwamb😊😊😊😊
@francepaul7711
@francepaul7711 Месяц назад
Mwenyekiti 🙌🙌🫶🫶
@JoshuaKashongole
@JoshuaKashongole Месяц назад
Yani ni ham na huyo bin kazumar vbya mnooooo
@kigura_jr
@kigura_jr Месяц назад
Mwandishi anahisi kasikia vibaya 💛💚💛💚
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Месяц назад
Kweri kafungiwa Koro cta moja na Tim ya chini Toka misr
@chuggamwachaa-kb7iv
@chuggamwachaa-kb7iv Месяц назад
Wewe nawasiwasi nawewe unaweza ukawa ubwabwa
@UmmyHamisi-ru2rw
@UmmyHamisi-ru2rw Месяц назад
Na ww ni mchele mchele mxeew 😏
@gharibbilal9180
@gharibbilal9180 Месяц назад
Ali Simba huyoo
@Itselars77
@Itselars77 Месяц назад
Wewe ndo simba😂😂
@prince783
@prince783 Месяц назад
Kwaio nyie wakubwa kuliko ahly
@user-ep7sz9kx4l
@user-ep7sz9kx4l Месяц назад
Ndio
@Yuleyule-u6c
@Yuleyule-u6c Месяц назад
Simba ilicheza na Sevilla inayocheza na Madrid pia.watani Bado Hamna jipya SEMA mnajitafuta ongezeni bidii maana hata hiyo Augsburg inajitafuta pia.
@SalvatoryMbigili-m2f
@SalvatoryMbigili-m2f Месяц назад
Inategemeana sevilla walikuja wafanya usafi wa uwanja still wakawafunga😂😂😂😂😂😂😂
@Yuleyule-u6c
@Yuleyule-u6c Месяц назад
@@SalvatoryMbigili-m2f 😁hutaki kuamini kuwa Sevilla ilicheza na Simba na alikuwa nafasi ya nne La Liga Spain!! Mbona yanga itacheza na Augsburg ambayo ilikuwa nafasi ya11 bundesliga.
@Itselars77
@Itselars77 Месяц назад
​@@Yuleyule-u6c😂😂 Sevilla walikuja kutalii ndo maan hata mechi wakatalii bado wakawakanda na mlivyo washamba mkaomba viatu 😂😂
@alitante4279
@alitante4279 Месяц назад
Magoma mmoja sawa na Utopolo wotee 🐸
@KennedyJohn-p1i
@KennedyJohn-p1i Месяц назад
Kaa utulie kolo ww
@moshielfesty7992
@moshielfesty7992 Месяц назад
Acheni kuteseka
@matiankomola2391
@matiankomola2391 Месяц назад
Mangoma ni Kibaraka wenu, hamtafanikiwa!
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Месяц назад
Wewe Koro turia Tim yenu ya UNGA mwana Kono Ra nyani.tena
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h Месяц назад
Watakuwa wamecheza na mamaako
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Месяц назад
Inakuumaee. Nyooo. Koliii
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 Месяц назад
😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Месяц назад
Subrini makoro ringi. I.anze.mtakoma Kono Ra nyani .Rina wausu
@VeronicaEmmanuel-t2v
@VeronicaEmmanuel-t2v Месяц назад
Ila uyu mwamba eti kunawatu wanatumiwa Whatsapp maendeleo ya tmu zao hii imeenda na wamekula SITA
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Месяц назад
Huyu dogo anamuudhi mpaka aliyetoa mkojo wake kumtengeneza
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Kamwe hao wanawavizia wachezaji wetu. Tuwe makini.
Далее