Тёмный
No video :(

Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Official Music Video) 

Ambwene Mwasongwe
Подписаться 178 тыс.
Просмотров 228 тыс.
50% 1

Ambwene Mwasongwe Presents the Music Video for "Nifundushe Kuomba"
Maelezo ya wimbo wa Nifundishe Kuomba:
Nifundishe kuomba ni neno lenye uhitaji wa mtu aliyeguswa na Roho Mtakatifu na akagundua kuna namna mambo hayaendi sawa kwa sababu mbalimbali.
Unaweza kuwa unaomba lakini swali ni unaombaje? na ukigundua unaomba vibaya lazima urudi na umuombe akufundishe kuomba ili uombe sawasawa na mapenzi yake.
Upande wangu niliomba nifundishwe kuomba nikiwa na mahusiano ya ndani sana na ya karibu ili kuomba kwangu kusizuiliwe.
Ni wimbo wa baraka ambao natamani unaposikia upate neema ya kufundishwa kuomba pia.
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Lyrics)
Jina lako messiah
Hili ni ombi langu,
Nifundishe kuomba
Nifundishe kunena,
Nifundishe kiasi
Nifundishe imani ya
Matendo, nipe moyo wa toba
Nautaka uwepo unakoishi
, Ambako wewe ni kichwa
Cha kanisa.
Nazitaka nguvu
Ulizonazo wewe,
Ninataka upako
Maneno yangu, matendo
Yangu, tabia yangu,
Zifanane na hisia zako.
Nikitembea nitembee
Na wewe Yesu,
Ninataka kushinda aaaiii
Nami nakusalute
Eeeh master
Ninakuimbia wimbo,
Ninapaza sauti
Nami na kusifu,
Kuhani wa ubora.
Mmiliki halali kwa
Agano la neem.
Jina lako ni messiah
Hili ni ombi langu,
Nifundishe kuomba
Nifundishe kunena,
Nifundishe kiasi
Nifundishe imani ya
Matendo, nipe
Moyo wa toba
Ndani ya moyo
Wangu, ninataka
Uishi wewe bwana
Wa wema
Uewezae kuuzuia
Ulimi wangu,
Usinene sawasawa
Na hasira zangu
Uewezae kuituliza
Akili yangu,
Isichanganyikiwe
Wakati wa raha
Uwezae kunituliza
Wakati wa shida na
Matatizo.
Wakati wengine
Wakimbiapo, ukanipe
Jibu la mbio zao.
Nguvu yako ikanizuie
Kwenda pale hakuna
Awezae niona,
Pale ambapo
Hayupo awezae
Sema acha, neno
Lako likanizuie kufanya.
Neema yako
Ikanifanye kupakua
Chakula tofautu
Na njaa yangu.
Kule nisikoweza
Kwenda mchana,
Nisaidie nisiende usiku.
Yale nisiyoweza
Sema hadharani,
Nisiseme gizani.
Nautaka uso wako
Kama wa chuma
Vinyamkela wasioweza
Kuustahimili.
Naitaka lugha ya
Kimbingu, isiyoneneka
Isiyonenwa na mtu.
Natamani mbingu
Za mbingu kwenye
Neema, kule Paulo
Alipoogelea nguvu zako.
Nikitembea, nitembee
Na wewe Yesu.
Ninataka kushinda aaaaiiii
Nitakanyaga mahali waoga hawapawezi.
Nitafanya ubabe
Kwenye ulimwengu
Wa roho
Nitapitisha mkong'oto
Kwenye mikwamo.
Nitaonyesha jeuri
Kwa shetani
Maana ufalme
Nauteka oooo
Unatekwa na wenye
Nguvu aiiiii
Nami nakusalute
Ninakuimbia wimbo,
Ninapaza sauti
Nami nakusifu,
Kuhani wa ubora
Mmiliki halali wa
Agano la neema
Jina lako ni Messiah
Hili ni ni ombi langu,
Nifundishe kuomba
Nifundishe kunena,
Nifundishe kiasi
Nifundishe imani
Ya matendo, nipe
Moyo wa toba.
#AmbweneMwasongwe #NifundisheKuomba

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 429   
@ambindwilehosea6837
@ambindwilehosea6837 Год назад
Jamani anae ungana nahuyu mwimbaji kumtukuza Mungu kwa Huu wimbo nifundishe kuomba agonge like zake hapa mimi Moja love you so much ambwene mwasongwe
@magrethclement7243
@magrethclement7243 9 месяцев назад
Huu wimbo unisogeza sana uweponi mwa Mungu! Mungu ambariki sana sana na kuzidisha Ambwene
@MarpoloLimited
@MarpoloLimited 5 месяцев назад
Really great music brother Ambwene. Highly spiritual song and deep in words. Ninamshukuru Mungu kwa huyu mtumishi. Wewe ni nfano mzuri Sana kwa kazi ya Mungu. Huku Kenya tunaitaji upako huo. Asante mingi.., Mungu Yuko naweee..
@tmagoti
@tmagoti Год назад
Waited this for so long: “kule nisikoweza kwenda mchana, nisaidie nisiende usiku; yale nisiyoweza sema hadharani, nisiseme gizani.” Nifundishe 🙏🏽😭
@AdelinaLusekelo-xl4bm
@AdelinaLusekelo-xl4bm Год назад
Jaman tukiweka ushabik pemben ambwene anajua harafu anajua tena be blessed man of God❤❤❤❤
@japhetmichael1
@japhetmichael1 Год назад
My brother I will always love you, nitarudia tena kusema Kama nilivyowahi kusema kuwa waimbaji wa Tanzania kuna Siri anayo huyu mtumishi muifuatilie bibilia inaruhusu kuiga imani iigeni maana miaka imekwenda kaka habadiliki kitabia na nyimbo zake bado zina nguvu. Yesu akutunze Brother
@isayanuru1899
@isayanuru1899 3 месяца назад
100%
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Wewe unamtumikia Mungu haswa achana na kina Goodluck wanaofanana na bongo fleva.Ombi langu waimbaji wote wa nyimbo za injili imbeni nyimbo zisizo na mfanano na mziki wa kidunia Yesu Kristo yu karibu kuludi.
@baraka.e.masatu3551
@baraka.e.masatu3551 Год назад
Ni bahati kwa sababu Mungu ameruhusu masikio yetu kubarikiwa na wewe mtu wa Mungu. Unatupa nguvu kila wakati tunaposhindwa kupitia nyimbo zako. Ubarikiwe
@FabriceBeyamuyumba
@FabriceBeyamuyumba 5 месяцев назад
Nafarijika na huu wimbo toka Congo RDC, kwa gisi naupenda huu wimbo naombeni wakristo njooni tu like ili afanyikiwe kuendelea nainjili.
@SABULILE
@SABULILE Год назад
Huyu jamaa anajua, mungu mbariki na sisi pia tubariki tunachoelekezwa na watumish wako na kutugusa kitujenge katika imani dhabiti
@amaniabel9487
@amaniabel9487 Год назад
Kulenisiko weza kwenda mchana nisaidie nisiende usiku, yale nisiyo weza kusema adharani nisiseme gizani
@thekenyantranslator1598
@thekenyantranslator1598 Год назад
Mmoja wa watunzi bora sana wa nyimbo za Injili. Mungu akubariki ndugu.
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 Год назад
Ambwene Mkewako Mbona Hatumuoni nawakati uli imbanae kwenye send off..Unamtenga sana bwana sio powa.
@anseliatweve6637
@anseliatweve6637 Год назад
Hakika barikiwa mtumishi, na hili ni Moja ya ombi langu " Nifundishe kuomba" 🙇
@SarafiaPetro
@SarafiaPetro 10 дней назад
Huwezi Amin nyumbni kwangu kwangu nikiwasha redio tu napiga nyimbozako tu Kila siku mpka majirani wananiambia huyo nindugu yako au
@jdk6859
@jdk6859 Год назад
"Kule nisipo weza kwenda mchana nisaidie nisiende usiku" 🙏🏾
@Graclyna12
@Graclyna12 Год назад
Wow❤ Kenyans🇰🇪 wapi likes za minister Ambwene
@joasyeliya
@joasyeliya Год назад
Wimbo ni wawakati sahihi na mahali sahihi tukikumbuka mateso ya Bwana Yesu na ukombozi wa mwanadam
@neemasanga5998
@neemasanga5998 Год назад
Nguvu yako ikanizuwie kwendaa pale hakuna awezaye niona pale ambapo hayupo awezaye Sema achaa neno lako likanizuwie kufanyaaa ❤
@MakoyeLutonjaNyanda-rs6gl
@MakoyeLutonjaNyanda-rs6gl Год назад
Mungu akubariki nasi tubarikiwe kupitia wewe na yeye ariye juu akujarie hekima zaidi, amina🙏🙏🙏🙏
@laxmajor
@laxmajor Год назад
Ubarikiwe mtumishi wamungu 😍🌍👂🌟 from 💟
@nurumwangoka5924
@nurumwangoka5924 Год назад
Ndagha mwana gwa KYALA👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@amankyamba9372
@amankyamba9372 Год назад
Google wanakosea kufasiri kumbe
@boazdanken
@boazdanken Год назад
Nifindeshe kuomba Bwana. Mungu akubariki sana Mwalimu na Kaka yangu Ambwene. Umekuwa Baraka sana kwa Mwili wa Kristo
@bakengemubalama8715
@bakengemubalama8715 Год назад
Hili ni ombi langu baba, unifundishe kuomba Mungu wangu kupitiya wimbo huu wa mtumishi wako AMBWENE MWASONGWE DRC 🇨🇩
@janety1933
@janety1933 Год назад
Huu wimbo unanibariki sana yaani sauti yako ni kama ya Suleiman, shukurani Kwa muumba wetu maan kwake yapatikana maneno yenyewe nguvu na mamlaka
@addonovember
@addonovember Год назад
Wimbo Mzuri Sana. Nifundishe Kuomba Hongera sana ndugu yangu hatujui kuomba hatuna kiasi wala hatuna imani ya Matendo wala moyo wa Toba
@oliversanga2681
@oliversanga2681 Год назад
Nifundishe imani ya matendo.....
@eppiemodest
@eppiemodest Год назад
Mungu wangu. Nisamehe kwa makosa niliotenda. Nikisikia wimbo huu najiona mimi ni mdhambi mno. Eh.😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏😍😍
@venfreysand8835
@venfreysand8835 Год назад
Utunzi wa huyu ambwene anavyoandika nyimbo zake sijawahi ona
@miriammtaki1495
@miriammtaki1495 Год назад
Jamaa anaandika bana
@francoismurhula7397
@francoismurhula7397 5 месяцев назад
Kweli wimbo huu unagusa moyo!
@hellenrichard187
@hellenrichard187 5 месяцев назад
Napenda mno wimbo huu jmn Mungu akutunze kakaangu mtumishi wa Mungu
@einothlaizer7563
@einothlaizer7563 4 месяца назад
Haya ni maombi yangu Mungu, Amen
@estermathias8354
@estermathias8354 Год назад
Hujabadilika popote hadi mavazi ni heshima tupu Mungu akubariki
@CHRISTINEFANUEL-ql5ly
@CHRISTINEFANUEL-ql5ly Год назад
Nimeusikiliza wimbo huu siku 3 mfululizo moyo wangu ulioondwa pondwq mbele za MUNGU sikuweza kutamka nemo zaidi ya machozi mbele za MUNGU ROho Mtakatifu alinihudumia kwa jinsi ya ajabu. Mungu akutunze sana aendelee kumimina mafuta mabichi juu yako kaka Ambwene
@Sifamashakaletstalkjesus
@Sifamashakaletstalkjesus Год назад
Baba nifundishe KUOMBA Nifundishe kuwa na Subira. Mda mwingi napenda kupata majibu ya Haraka ivyo uwa navunjika moyo pale majibu yanapokawa au kwenda tofauti na mtazamo wangu. Mungu NIPE MOYO WA TOBA Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@princesspeter7571
@princesspeter7571 Год назад
Nifundish kuomba yesu nakuhitaji❤❤❤❤
@lilianekabaganzaofficial
@lilianekabaganzaofficial Год назад
YOOOOOO MANA WEEEEEE HALLELUJAH ❤❤ BARIKIWA SANA NA MUNGU AZIDI KUKUFUNULIA MAPYA NAKUPENDA SANA SANA SANA 🇷🇼🇷🇼
@rehemailomov9648
@rehemailomov9648 Год назад
Hongera sana wimbo unaujumbe mzito Mungu akubariki
@euniceemmanuel8902
@euniceemmanuel8902 2 месяца назад
Hii nyimbo inanibariki sana,, mungu azidi kukuinua mtumishi wake🎉🙏🙏
@user-lj8if3rr6l
@user-lj8if3rr6l 11 месяцев назад
Mungu akubariki sana mteule..na aendelee kukuatamia chini ya mbawa zake usije kengeuka km wengine wauzao utu kwa umaarufu 🤲
@flavianamsilu8719
@flavianamsilu8719 Год назад
Mtumishi wa MUNGU upo rohoni. Nyimbo hii inagusa moyo. Yani ni maombi.MUNGU AKUBARIKI 🙏
@Evergreenmovement_Tz
@Evergreenmovement_Tz Год назад
Barikiwa Sana Mtumishi kwa kutuweka kwenye Uwepo wa Mungu tusikilizapo Wimbo Huu🙏
@user-hp3zx5lu5b
@user-hp3zx5lu5b Год назад
Ooh! Mungu Wangu nifundishe kuomba yale nisiyo yaweza Mungu unisaidie nifundishe kunena lugha Yako ya Mbinguni isiyoweza kuneneka.😭😭
@selemandaudmbembela
@selemandaudmbembela Год назад
Nampenda Ambwene, na Nyimbo zake zote maana najiskia faraja moyoni mwangu nimsikirizapo Stay blessed and anointed man of God
@moseskulola6913
@moseskulola6913 22 дня назад
Heeeeee Mungu tufudishe kuomba Mungu wangu wewe die unatutie guvu mungu
@aidapanja9196
@aidapanja9196 Год назад
Hakika ROHO MTAKATIFU anafanya kazi na ambwene pia Mungu akubariki amen🙏
@gracepaul5899
@gracepaul5899 Год назад
Hatimaye my favourite song🙌ninataka kushinda hili Ni ombi langu eeh Mungu wangu😭🙏😢
@rosettefoibe3304
@rosettefoibe3304 8 месяцев назад
Haya ni maombi yangu kwako Mungu wangu😭
@joyceshindayi4576
@joyceshindayi4576 Год назад
Kwa jinsi ninavyoupenda huu wimbo nimejikuta nasahau Kama video Ni ya Leo Leo. Mungu ameyamezesha maneno mazuri haya ndan yangu na mm nafurahia Sana. Kuna muda najisifu. Ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu.
@rehemamzumbwe1816
@rehemamzumbwe1816 Год назад
MUNGU wangu akutumie Kwa viwango vya juu zaidi 😭😭🙇🙇 nimebarikiwa Sana
@TsongoKizito
@TsongoKizito 4 месяца назад
Aksante sana kwa wimbo Mungu ani saidie yale nime sikia katika wimbo huu yawe katika maisha yangu yakila siku
@hossanajosiah5716
@hossanajosiah5716 Год назад
Na hili ni Ombi LANGU KWAKO MUNGU wangu. NIFUNDISHE KUOMBA,KIASI ,IMANI YA MATENDO, NIFUNDISHE YESU NAMNA GANI NISOGEE MBELE ZAKO NATAKA KUTEMBEA NA WEWE. NIWEZESHE MIMI.... AMBWENE YOU'RE BLESSED MAN OF GOD❤🙏
@elizabethcaleb8510
@elizabethcaleb8510 Год назад
Ombi langu pia♥️...nimemfuatilia mwimbaji huyu tangu enzi za "namjua Mungu,we mbilika,chozi LA haki"..kwa kweli nyimbo zake zina ujumbe uliokomaa,nakumbuka walivyouimba wimbo huu siku ya harusi yao..ni ombi la kweli.. namheshimu sana🙏
@janety1933
@janety1933 Год назад
Tufundishe kuomba pasipo wewe kutufundisha hakika tutaomba Kwa makosa
@HannahDevidRichad
@HannahDevidRichad Год назад
Maana ufalme unatekwa na wenye nguvu Jesus🙏
@sendamamalasho-nu9mn
@sendamamalasho-nu9mn Год назад
Nifundishe kuomba, kunena, kusamehe ,nifundishe Imani, nifundishe kiasi nakuomba MUNGU WANGU🙏🙏🙏
@bilhakamau4663
@bilhakamau4663 Год назад
such a great song writer! And your video grapher is so on point! Much love from🇰🇪🇰🇪
@LazaroMkungilwa-jy1mv
@LazaroMkungilwa-jy1mv Год назад
Yaani nausikiliza huu wimbo kila saa nisikia naenda viwango vingine
@jisephineadaut5799
@jisephineadaut5799 Год назад
Mungu azidi kukutunza umekuwa baraka mnoo katka maisha yangu😢😢😢😢,nahisi kama huwa unaniambia mm mtumishi,najkuta naxshks haraka Sanaa nymbo zako Kwan ndyo znanifarji mnoo
@saramshigwa5712
@saramshigwa5712 Год назад
This song is so powerful,.i felt the presence of holy spirit while listening to this song, God can talk to you through this guys. May God bless you ambwene
@michaelgerrard6862
@michaelgerrard6862 Год назад
Nakumbuka huu wimbo uliimba sku ya Harus yako.Barikiwa Sana mtumishi
@AnnaOkoa
@AnnaOkoa 6 часов назад
Nimebarikiwa sanaa
@lucasdaniel1469
@lucasdaniel1469 Год назад
Nifundishe kuomba YESU. Nifundishe Imani🙏🙏🙏😭
@dodotsere8795
@dodotsere8795 Год назад
Woow
@thaspunkydude
@thaspunkydude Год назад
Thank you for the beautiful song.. Mungu akubariki zaidi🙏🏾
@raphaelkyando1094
@raphaelkyando1094 Год назад
Ninapenda hapo unaposema nitafanya ubabe kwa shetani...........😃😃💪💪💪💪💪💪
@user-ik6ib7ox3f
@user-ik6ib7ox3f 8 месяцев назад
My all time song❤❤Mungu akutunze mtumishi nabarikiwa na nyimbo zako
@user-tq1pp1pb1h
@user-tq1pp1pb1h 11 месяцев назад
Duh nimebarikiwa sana na wimbo huu
@esthernzioka1698
@esthernzioka1698 7 месяцев назад
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tupo. Tunapenda kazi yako. Barikiwa
@lightnesskweka4774
@lightnesskweka4774 Год назад
😢😢😢🙏😢nakosa maneno ya kusema mbele zko we Mungu ulie hai 🙏🙏🙏
@yohanalulyeho
@yohanalulyeho Год назад
Mungu akubariki Ambwene. Wimbo mzuri sana. Sasa tunausubiri na Moyo wa Ibada katika video
@marymatenga4038
@marymatenga4038 Год назад
Huyu mtu jamani kila anachotoa ni kitu fire
@rusimackems9820
@rusimackems9820 Год назад
Nifundishe kuomba Yesu Kristo, nipe moyo wa Toba 🙏 Hallelujah
@rehemamwamundela2717
@rehemamwamundela2717 Год назад
Hallelujah
@andrewndago-he3yi
@andrewndago-he3yi 11 месяцев назад
Barikiwa Sana mtumshi,,kweli Mungu anifundishe kuomba ili nisikosee
@onidasnicola2335
@onidasnicola2335 Год назад
Na mimi ombi langu ni kama hilo hilo la ambwene, Ee Baba nifundishe kuomba
@evastanley9871
@evastanley9871 Год назад
ABWENE MTUMISHI WA MUNGU ALIE HAI MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA VILE ATAKAVYO MAANA UNAIMBA KATIKA ROHO NA KWELI..NYIMBO ZAKO ZINANIBARIKI MNOOOO...ASANTEEEE ASANTEEEE
@aminimgheni8968
@aminimgheni8968 Год назад
Wimboo mzuriiii sanaaa,Hata wanafunzi wa Yesu baada ya kukaa naye kwa muda wakaenda wakasema Baba tufundishe kuombaaa
@buberwafidelis2024
@buberwafidelis2024 Год назад
barkiwa kaka nafarijika kwa karama yako MUNGU ANIPE MOYO WA TOBA NINENE MANENO YANAYOMPENDEZA
@lucasdaniel1469
@lucasdaniel1469 Год назад
MUNGU akubariki mtumishi kwa ibada nzur
@philipondunguru1367
@philipondunguru1367 Год назад
Hongera Baada Ya Kuachilia Viende Bwana Nifundishe Kuomba.
@adamsonrainas6642
@adamsonrainas6642 Год назад
Oh, so touching & real! Glory to Good
@angelathanas5993
@angelathanas5993 Год назад
Ndani ya moyo wangu ninataka uishi wewe Bwana wa wema🙏
@Teemovingbusiness
@Teemovingbusiness Год назад
Barikiwa kwa huduma, nyimbo zako ni tiba zinaleta uponyaji wa kiroho
@mariammnono5247
@mariammnono5247 Год назад
Hallelujah Mungu nipe moyo wa TOBA 🙏👏
@user-zj5fn3pi8h
@user-zj5fn3pi8h Год назад
Ubarikiwe zaidi Kwa maana nyimbo zako zinanigusa, kuniponya, pia namuabidu sana huyu Mungu. Mwenyezi Mungu akakutane na Kila haja ya moyo wako sawasawa na Mapenzi yake
@JBB875
@JBB875 8 месяцев назад
Eeee YESU nifundishe kuomba 🙏🙏🙏😭
@edsonkatamba5589
@edsonkatamba5589 Год назад
❤❤❤mungu Achukuwe utukufu wake kaka nimevusha sehemu
@evandaga
@evandaga Год назад
😭😭😭ooooh my God nifundishe Bwana kiasi, nifundishe kuomba
@deligogalafunga8036
@deligogalafunga8036 Год назад
Hakika tunamhitaji mungu atufundishe kuomba
@oscarmwampashi3415
@oscarmwampashi3415 Год назад
Nabarikiwa sana na nyimbo za mtumishi huyu
@didacebigirimana7350
@didacebigirimana7350 Год назад
Mungu atume nguvu za kushinda,nyimbo ambayo imejaa nguvu za Roho mtakatifu,ubarikiwe saana kaka,nguvu za kuendelee kazi ya Bwana,Mungu akupe ❤❤🇧🇮💪
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Год назад
Nabarikiwa
@prophetjeremiahmwaisaka
@prophetjeremiahmwaisaka Год назад
Glory be to God 🙏
@moisemshonga3636
@moisemshonga3636 Год назад
Bwana Yesu Kristo apewe sifa zake Piya akuinuwe zaidi Mtumishi wa Mungu aliye haii Abwene 💕💕❤️❤️
@nsajigwamwakalinga3591
@nsajigwamwakalinga3591 Год назад
Ubarikiwe mtumishi ujumbe mzuri Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kamalaeditha5864
@kamalaeditha5864 Год назад
Nabarikiwa na nyimbo zote za mtumishi Ambwene. Namshukuru Mungu Baba kwaa kumuwezesha. Ameen
@witnessjuma9157
@witnessjuma9157 Год назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Much love from Kenya
@neemaakarolema5989
@neemaakarolema5989 Год назад
Hehehehehe eeeeeeiiiiiiiiiiii🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🧎🏼‍♀️🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🤝🤝🤝🤝🤝🤝💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌✍️👂💞🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💞💞💞💞💞
@winnifridaashery4449
@winnifridaashery4449 Год назад
"Nipe moyo wa Toba" best song 2023.Haleluuuuuuuuya🙏🙏🙏🔥👌
@salomehazael8912
@salomehazael8912 Год назад
Kaka yangu eeee ubarikiwe👐 ibarikiwe na kuinuliwa juu huduma yako, ufanikiwe sana ktk mambo yako. Uwe Salama na wa nyumbani kwako. Upewe mafunuo kila siku, upewe moyo wa kutii...upewe mema yote
@emanwelchalangazi1642
@emanwelchalangazi1642 10 месяцев назад
Asante Yes, nipe moyo wa Toba naziendea mbingu kwa jina lako wewe ni njia ya kweli
@emanwelchalangazi1642
@emanwelchalangazi1642 10 месяцев назад
Rikoriko
@debdahchannel9159
@debdahchannel9159 Год назад
AMINA AMINA AMINA MTUMISHIVWA MUNGU....MUNGU AZIDI KUKULINDA NA KUKUINUA
@ikupangalla7716
@ikupangalla7716 10 месяцев назад
Nasikia kuinuliwa zaidi na zaidi katika roho yangu
Далее
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)
7:56
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 129 тыс.
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
Japheth zabron aelezea Machungu anayo yapitua
13:12
Просмотров 30 тыс.
Uso Wangu
9:52
Просмотров 100 тыс.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
AMBWENE MWASONGWE_MOYO WA IBADA
8:10
Просмотров 303 тыс.
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 129 тыс.