Huduma yako BWANA MUNGU azidi kuiongoza kila siku. Huduma ya uimbaji wenu inatugusa sana, pia imekuwa kama sehemu ya maombi pindi tusipoweza kuomba chochote kwa BWANA MUNGU. Mara nyingi maombi yaliyo katika nyimbo hizi yamekuwa ndiyo maombi yetu na sehemu ya kuanzia uombaji pindi mioyo yetu inapoumia na kushindwa kuomba. Mtumishi iombee zaidi huduma yako, tunabarikiwa nayo.
Hakika hata sisi hapa Congo DR 🇨🇩 tunaipenda sana nyimbo zako Ambwene, ni miongoni mwa nyimbo ninayoyapenda sana kusikia kwenye Playlist yangu. #Mungu akubariki sana
Ambwene huyu Kila nikimsikiza hakuwahi kuniacha salama, na natamani sana nimshuhudie kuhusu albam yake ya misuli ya Imani , ni kweli ameeleza mambo ambayo Huwa najilazimisha kufanya na mwisho Mungu amenitokea kwa miujiza mikubwa tu, ambwene alipo oa alikuwa honeymoon ktk hoteli ya giraffe pale mbezi na nilitamani sana kusema naye nimweleze ila nilipoenda nikmkuta km ansema jambo na mke wake nikaondoka ,nilienda tena ila kwa kuwa nilikuwa kazini nikaogopa baada ya boss wangu kunipa kazi upande mwingine ila hakika natamani sana nisaidieni no yake mwenye nayo