Katika amri za mungu hawakuruhusiwa kusema uongo,yy harmo amefanya makosa kuwafukuza kazi hai ni watu wake yy harmo angekuwa tu na msimamo akawa nao kazi.
Somoe upo sahihi kuwafukuza si solution. Atawekwa uchi mpaka ajute. Mshenzi mmakonde bora kajala kaondoka kumleta mwanamke ndani na upo unaeishi nae mbwa koko.
Daaaah bro yaani cjui wapi utaomba kazi upate maana umepoteza uhaminifu kwenye macho ya nyama....Ila sali Sana maana mwenye haki hatoachwa na Mungu mikono mitupu ukweli unamuweka mtu huru
Iyo deal kajala alikuwa ywaijua vzri ni kma setup yke afu wee kaka io ni tabia mbaya sana kumbuka harmonize alikuwa tajiri yako mambo ya ndani yabaki ndani
Kumbuka ametanguliza alikuja kufaiti maisha.. ana mafunzo ana tunu za kijeshi pia ni mtt nae Ila maelezo ya kajala na hamonaizi nisawa...Ila sawa la ulinzi bado
Nae huyo harmonize ajifunze kunyamaza kama like a man mbona kuhesabu Yale amemfanyia kajala? Kwani kajala alimshikia bunduki kwenye kichwa akamlazimisha? A wise man never behaves like that, be prudent otherwise you will keep on counting the rest of your life and be miserable.
@@adejoahjoah9155 shida ni kuwakuta wameacha kilichowapeleka pale. Mlinzi alitakiwa akae lindoni, binti wa kazi aamkie kwenye usafi. Wao wameamka tu na kuanza kujadili yasowahusu
Akuna msamahaa yy ufanya kwa masilai yake.ili asipotee kwa mziki ndio mambo kama hayo lakin akuna mapenzi pole kwa konde lakin kajala alimpenda si wajua mwana mke akipenda yuwapenda kweli.
Wanaume wote ndo walivyo hata ukiwa kama Malika vipi lazima atachepuka mana wameumbwa na tamaa siyo kama akupendi hapana anakupenda sana ila ndo hivyo wanaume wameumbwa tamaa mwanaume aweza tembea na mwanamke mpaka wewe unabidi ucheke mana pangine weww mzuri
ndg yangu weee ziki mbayaaa,hata Mimi ilishanitokea hiyo kitu baada yakuona kilaa byashar ngumu,kunamtu Aliniunganishiya kz yabar Tena kukaa caunta natena mara yangu yakwanza,Nikaulizwa nikasema nilishafanya sehemu frani kumbee lengo tu nipate kz,Sasa kilichonikuta sitokuja sahau,waudumu wainje walikuwa wananichanganya mahasabu yabili❌pia ware wanaokaa pare kaunta jinsi yakufungua bia nakata adi mdomo wachupa❌mtu Akiagiza serenget lait,Nampa cast lait,Yani mtinginyano kwenda mbale❌Nashukur meneja wahile baha naye Alikuwa mbugira TU kama Mimi,mpaka nikapata ujuzi🙏
@@kiatu kweli kama watamfukuza moja kwa moja itakua campuni ya hovyo ila sioni tatizo kama wamemsimamisha kwa muda kumchnguza ni kipi kimefanya mteja amkatae
Yaani hiyo nyumba kubwa huwec ficha mwanamke asijulikane.hiyo ni nyumba Iko rooms kama 30 na kitu utaeza ficha mtu hata week msima pila kujilikana .cwec haamini hiyo story
Asee nimecheka San hii interview huyu dogo ni uongo mtupu kuanzia Leo tik tv siwafatilii huyu dogo namjua A-Z majina Ake original ad wazazi wake wote an Kwa ujumla familia Ake naijua na tupo majirani na hayo majina kadanganya sio majina yake nimecheka ad bas
Huyo mlinzi ni mpumbavu na mmbea,mambo ya watu alitaka kuyaingilia ya nini,Kisha unajieleza wewe hulala kazini 🤣🤣🤣 sidhani kama Kuna mtu atakubali awe mlinzi kwake 🤣🤣🤣
Yani wewe kaka yani una kasura kamekaa kilinzi kweli, hata kama hukupenda kuwa mlinzi ila kweli unaonekana mlinzi hata kwetu kuna mlinzi yani mnafanana hadi ongea ila yeye mtu wa geita
This is being petty Harmo should styleup Kisha kuelewa Kila mtu, mfanyikazi kupuga ngumzo kati Yao Ina kosa lipi, sasa utawafukuza kazi watu wote kwako kwasababu ya kupiga ngumzo kati Yao?? Mbona tusiwe watu wazima Kisha tumpee watu uhuru wanahitaji?
ninge kua napesa dogo ningemfungulia tu banda la chips.au duka la nafaka nikamujiri.kaz ya ulinz huyu kafosi tu wala haendani nayo🤣🤣🤣🤣kuongea tu kwake tabu.ila watu kama hawa hua ni waaminifu na wakweli.
Tik tv kumbe nyie habari zenu zote ni ushubwada tu harmo anatembea na mabordgad af om ndo alindwe na huyu😂😂huyu dogo ni jirani etu huwezi jua lbd kiki anataka atoke awe star ila apo Kwa interview ni uongo mtupu 🤣🤣🤣