Тёмный

AMEPATIKANA MLINZI WA HARMONIZE I AELEZA KILICHOTOKEA USIKU KAJALA ALISHTUKA HADI AK.. 

Tiki Tv
Подписаться 420 тыс.
Просмотров 195 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 207   
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Год назад
Harmo anaakili sana, aliona hawezi kufuga wambea yani mnakuja kunisema kwangu hata mimi ningewafukuza walahi
@habarikamili9408
@habarikamili9408 Год назад
Kwahyo unafurahia wenzio kifukuzwa kazi, je ingekuwa ni ndugu yako kafukuzwa ungejiskiaje
@somoemohd4693
@somoemohd4693 Год назад
Kufukuzwa sio suluhisho, angewafunga mdomo wasisema au akawaongeza mshahara, ila imekula kwake, amewafukuza sasa siri imetobolewa.
@issangyabertha5741
@issangyabertha5741 Год назад
Makosa yamlinzi nikuingilia ishu za client wake akutumwa kuchunguza client vile anaishi nafamilia yake kaz yake ilikuwa Kwa gat kiereere kilimponza
@edsoncypirian
@edsoncypirian Год назад
Katika amri za mungu hawakuruhusiwa kusema uongo,yy harmo amefanya makosa kuwafukuza kazi hai ni watu wake yy harmo angekuwa tu na msimamo akawa nao kazi.
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 Год назад
Somoe upo sahihi kuwafukuza si solution. Atawekwa uchi mpaka ajute. Mshenzi mmakonde bora kajala kaondoka kumleta mwanamke ndani na upo unaeishi nae mbwa koko.
@christinajoseph7025
@christinajoseph7025 Год назад
Daaaah bro yaani cjui wapi utaomba kazi upate maana umepoteza uhaminifu kwenye macho ya nyama....Ila sali Sana maana mwenye haki hatoachwa na Mungu mikono mitupu ukweli unamuweka mtu huru
@husseinzay7639
@husseinzay7639 Год назад
I like the confidence of this young siera golf he has good memories...
@magangakiyabo3429
@magangakiyabo3429 Год назад
Mama yangu alinihusia katika maisha usiwe unaongea sana ila usikilize sana Nikamuuliza kwa nini ? Akaniambia mdomo huwa unapinza kichwa.....
@khadjamhozya
@khadjamhozya Год назад
Hongera Hongera nitakuishi👍
@MelejiZakayo
@MelejiZakayo Год назад
Mlinziii mjinga Sana hajuii mpaka 😂
@abdallahrashid169
@abdallahrashid169 Год назад
Mapenzi upofu kwanza harmo na kajala ni mtu na mama yake japo dini inaruhusu ila hapana
@anjelinakaniki9162
@anjelinakaniki9162 Год назад
😂😂😂😂🤣🤣🤣
@najmababy8555
@najmababy8555 Год назад
Iyo deal kajala alikuwa ywaijua vzri ni kma setup yke afu wee kaka io ni tabia mbaya sana kumbuka harmonize alikuwa tajiri yako mambo ya ndani yabaki ndani
@adejoahjoah9155
@adejoahjoah9155 Год назад
Tiki tv mko vizuri sana hamna papara
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 Год назад
Pole Wewe 🥲mm huyu mwanamziki ako natamaa mno hii kajara asingeludiana na hamonaize
@amangearge9594
@amangearge9594 Год назад
Ndiyo maana unaongea kumbe ushatimliwa pumbavu, sasa jifanye unajua kuendelea kuongea uone kama utatudishwa hata kwenye hiyo kaz
@leilagube8079
@leilagube8079 Год назад
Pole Sana kijana mungu atakupa liski nyengine hapo ww unakesi kabisa ila uyo hamo kajishitukia na ubaya wake mwisho ni aibu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Kakimbiza wafanyakz ili asitangaziwe siri zake kweli konde boy hafai wakati anamlilia kajala msamaha ili arud kumbe michepuko ndo kz yake
@barakameshack9476
@barakameshack9476 Год назад
Ww acha kuongea mapezi uyawez kuyaingilia
@swahiliqueen9920
@swahiliqueen9920 Год назад
Asante tiki tv kutuletea mlinzi
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Год назад
Hata mm wamenikuna vizuri ndiyo maana nawapenda
@keifatuke99
@keifatuke99 Год назад
Huyu mtu hafai kuwa mlinzi hajui mipaka ya kazi yake.
@jacklinejuma
@jacklinejuma Год назад
Kumbuka ametanguliza alikuja kufaiti maisha.. ana mafunzo ana tunu za kijeshi pia ni mtt nae Ila maelezo ya kajala na hamonaizi nisawa...Ila sawa la ulinzi bado
@anthonyfabiany9786
@anthonyfabiany9786 Год назад
Hajuwi mipaka kivipi ww
@AgnesMichael-gs7ix
@AgnesMichael-gs7ix Год назад
Mwenyew kasha Seema hat mafunzi Hana 🤣
@graceamadi1096
@graceamadi1096 Год назад
Nae huyo harmonize ajifunze kunyamaza kama like a man mbona kuhesabu Yale amemfanyia kajala? Kwani kajala alimshikia bunduki kwenye kichwa akamlazimisha? A wise man never behaves like that, be prudent otherwise you will keep on counting the rest of your life and be miserable.
@joylinejoy7989
@joylinejoy7989 Год назад
Yani hii tiki tv hanmanga kazi nyingine Kazi ni hammoniz na kajala watanzania mwapenda hombea sana!!!!
@janeshayo1667
@janeshayo1667 Год назад
Wewe kama hufuatilii harmonize na kajala itakuwa hujui yamjini
@bukosibahatijean9915
@bukosibahatijean9915 Год назад
My guy stay humble God will do
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 Год назад
Dada mfanyakazi alioongea na ya kaka mulinzi same thing
@marrymazengo1315
@marrymazengo1315 Год назад
Nkajua ntakua wakwanza kumbe wapi kuna watu mpo motoo
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 Год назад
Hahahhaha 🤣🤣🤣🤣
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. Год назад
Umbea umekuponza bro, ulisahau kilichokupeleka
@adejoahjoah9155
@adejoahjoah9155 Год назад
Mbona hajamwambia kajala chochote sema waliamuwa wanateta na dada
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. Год назад
@@adejoahjoah9155 shida ni kuwakuta wameacha kilichowapeleka pale. Mlinzi alitakiwa akae lindoni, binti wa kazi aamkie kwenye usafi. Wao wameamka tu na kuanza kujadili yasowahusu
@scolandalu
@scolandalu Год назад
Pole sana kaka
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 Год назад
Maskini kajala dahh kumbe ndo yalitokea yote hayo dahh hadi huruma
@fatmasaid7093
@fatmasaid7093 Год назад
Hapa job hamna😂💙
@estherezzy136
@estherezzy136 Год назад
😂🤣😂🤣😂dogo kashaaharbu mchongo
@swahiliqueen9920
@swahiliqueen9920 Год назад
Mambo ni 🔥🔥
@dariamushi9356
@dariamushi9356 Год назад
Hatari
@MrBless-lz1pf
@MrBless-lz1pf Год назад
Mbona issue simple sana si wambadilishiiee lindo, hayo makampuni uchwara ndo tunayo yatafutaa wampe sasa hata viinua mgongo vyake.
@MikidadMahmoud
@MikidadMahmoud 9 месяцев назад
Kajala angevumilia kama zuchu mwanaume hachungwi cha msingi kama anakuheshimu anakupa kula, kuvaa, mambo mengi utakuwa mama bora maisha ni mafupi
@kikiswahili
@kikiswahili Год назад
Mhhh yani harmonize kayabananga mwenyewe na round hii sijui atahonga nn tena akubaliwe na asamehewe 🤪🤪🤪🤪
@habbibtymonah6912
@habbibtymonah6912 Год назад
Mara hii ni ndege tuu😂😂😂😂
@ayushjhayayushjhay2476
@ayushjhayayushjhay2476 Год назад
Akuna msamahaa yy ufanya kwa masilai yake.ili asipotee kwa mziki ndio mambo kama hayo lakin akuna mapenzi pole kwa konde lakin kajala alimpenda si wajua mwana mke akipenda yuwapenda kweli.
@edsoncypirian
@edsoncypirian Год назад
Jamani au ni kiki tu mapenzi yanauma sana,kama kweli alifanya hivyo anakosea sana bro kondeboy
@piusmajo8133
@piusmajo8133 Год назад
Harmonize alisema shepu la kajala linampa wazimu,bado anaafurahiswa kwenye tendo afu bado anachepuka duh.....!!!! Balaa zito
@raniajohn3685
@raniajohn3685 Год назад
Wanaume wote ndo walivyo hata ukiwa kama Malika vipi lazima atachepuka mana wameumbwa na tamaa siyo kama akupendi hapana anakupenda sana ila ndo hivyo wanaume wameumbwa tamaa mwanaume aweza tembea na mwanamke mpaka wewe unabidi ucheke mana pangine weww mzuri
@milkahndunge4500
@milkahndunge4500 Год назад
Wanaume hamtosheki.. Shepu... Tendo...urembo Ata mpewe pesa pia bado hamtulii😂😂😂😂
@janethlikiliwike2591
@janethlikiliwike2591 Год назад
kama namuona mlinzi anavyozugazuga kuokota takataka huku kalegea mdomo kama selengo alivyoiba soda ya big dady 😄 🤣 😂 😆 😄
@anifamsenda4651
@anifamsenda4651 Год назад
Hahahahaaa...!
@dariamushi9356
@dariamushi9356 Год назад
Pole sana kaka nakuombea urudishwe kazini
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Год назад
Ila siyo kwa mmakonde walahi
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Год назад
Nahivi kaongea kabisa weeeh
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Год назад
Arudishwe kazin kwa huo mdomo wake ili aendelee kuaribu
@khadijekhamis3970
@khadijekhamis3970 Год назад
Kweli kaka hana kosa maana lingetokea tukio baya huyu mlinzi na dada wa kazi lazima wangehojiwa pia mie sioni kasa la kijana huyu
@ibrahmenard
@ibrahmenard Год назад
daaa aisee poleee
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Год назад
kweli kila kazi nitaaluma ya mtu.huyu hana taaluma ya ulinzi.mlinzi lazma ujue nani kaingia na nani katoka.huyu kapalamia taaluma ya walinz.
@maisarah6819
@maisarah6819 Год назад
Mwenywe kasema KAZI ya Ulinzi haikua lengo lake,bimaana hajaipenda.
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Год назад
Kwanza angalia nywele zake kofia inakaaje hapo?!?! Kazi za ulinzi INA mambo yale Yale ya ukaguzi zikiwemo nywele na ndevu
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
ndg yangu weee ziki mbayaaa,hata Mimi ilishanitokea hiyo kitu baada yakuona kilaa byashar ngumu,kunamtu Aliniunganishiya kz yabar Tena kukaa caunta natena mara yangu yakwanza,Nikaulizwa nikasema nilishafanya sehemu frani kumbee lengo tu nipate kz,Sasa kilichonikuta sitokuja sahau,waudumu wainje walikuwa wananichanganya mahasabu yabili❌pia ware wanaokaa pare kaunta jinsi yakufungua bia nakata adi mdomo wachupa❌mtu Akiagiza serenget lait,Nampa cast lait,Yani mtinginyano kwenda mbale❌Nashukur meneja wahile baha naye Alikuwa mbugira TU kama Mimi,mpaka nikapata ujuzi🙏
@mariamatieno5802
@mariamatieno5802 Год назад
Dahhh
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 Год назад
Ndiyo maana nawapenda Tiki Tv mnafuatilia jambo kwa umakini na kutujuza tusioyajua
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 Год назад
Ukweli kabisa
@raniajohn3685
@raniajohn3685 Год назад
Umbea umekija nyoo huna lolote
@ramsodavidson3852
@ramsodavidson3852 Год назад
Ujuhi wajibu wa kazi yako
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Год назад
Hajuh kabisa
@nzirakatemimisango
@nzirakatemimisango 9 месяцев назад
Pole sana mungu atakujali
@maryannqueen7356
@maryannqueen7356 Год назад
Wanawake sisi sumu!!! Blaza kupiga Story tena na wafanya kazi wa ndani shida.. wanajua nyumba kuliko mwenye nyumba
@anthonyfabiany9786
@anthonyfabiany9786 Год назад
Ww ndyo wale wanao olewa na jini mpuzi kweli ww
@anthonyfabiany9786
@anthonyfabiany9786 Год назад
Sasa harmonize unamtaka au
@anitabarnaba
@anitabarnaba Месяц назад
😅😅😅😅😅😅😅
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 Год назад
Jikaze kaka na pole maana unaongea kwa uchungu sana ila ndiyo siku nyingine ujifunze kunyamaza fanya kilichokupeleka sio kuingilia mambo yasiyokuhusu
@marrymazengo1315
@marrymazengo1315 Год назад
Acha nisikie mlizi kwanza maana hawa ndo huwa wanajuaga mambo mengi ya boss nani kaingia nani katoka
@kiatu
@kiatu Год назад
Labda huku (walinzi au maids) ndio kina H wanatoaga stories 😅
@godfreystevenmabuli2630
@godfreystevenmabuli2630 Год назад
Walinzi mjifunze kupitia huyu kasha wahalibia uwaminifu
@protusisiaho8241
@protusisiaho8241 Год назад
Ukienda kazi fanya kilichokuweka pale yale mengine achana nayo, yangoswe achia ngoswe.
@vovobi2379
@vovobi2379 Год назад
Sasa kajala alitegemea awe mwenyew haswa kwa msaniii😂😂😂😂😂yeye tuu angelitulia aache wivu myaka inakwenda tena harmo damu ikingali moto
@jacksonjamesndyabawe495
@jacksonjamesndyabawe495 Год назад
Sasa huyo analinda Linda nini
@edsoncypirian
@edsoncypirian Год назад
Mapenzi hayana umri,tuwapeenii tu Ushauri wa kweli.
@welimapauline8793
@welimapauline8793 Год назад
Sa we mlinzi kaz bado unayo au ndo bas tena maana anatowa siri za boss
@habarikamili9408
@habarikamili9408 Год назад
Kashapururishwa
@kiatu
@kiatu Год назад
Hiyo security company ya ovyo. Utamfukuza vipi mfanyakazi bila kujua kosa au kampuni inamilikiwa na mteja?
@amangearge9594
@amangearge9594 Год назад
@@kiatu kweli kama watamfukuza moja kwa moja itakua campuni ya hovyo ila sioni tatizo kama wamemsimamisha kwa muda kumchnguza ni kipi kimefanya mteja amkatae
@ZuwenaZuwena-oe9kk
@ZuwenaZuwena-oe9kk 5 месяцев назад
Mwacheni.konde.awazagamue.kwanzaa.kajala.amezeeka.nswewe.ukome.umbeaaa
@dariamushi9356
@dariamushi9356 Год назад
Sasa ndiyo nmeamini kale kadada ka kazi kamesema ukweli
@edsoncypirian
@edsoncypirian Год назад
Ndo ukweli ulivyoo.
@dariamushi9356
@dariamushi9356 Год назад
Japokuw najua hawawezi tena kukurudisha kwa harmonize
@khadijekhamis3970
@khadijekhamis3970 Год назад
Kosa sio lako kaka juu wenyewe .walijichanganya sasa hapo kiliumana 😂😁live live
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 Год назад
Tiki Tv nawapata kutoka Tanga hapa
@abdallahrashid169
@abdallahrashid169 Год назад
Kumekuchaaa
@perin889
@perin889 Год назад
Atleast angeambia company is isimfute kazi.
@maimonamaimona1177
@maimonamaimona1177 Год назад
Polendugu miminakuombea uludikazini
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Hamo mtoto wa kiislam acha umalaya hauna mwisho mwema si utafute mke uoe?
@yasminathman7917
@yasminathman7917 Год назад
Kevin hongera Kwa kazi nzuri
@habarikamili9408
@habarikamili9408 Год назад
Anafanya poa sana
@ayubumwakabana2137
@ayubumwakabana2137 Год назад
Umbea mbaya sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@janeshayo1667
@janeshayo1667 Год назад
Mlinzi kumbe unayujua mengi ehh
@magrethzuberi2375
@magrethzuberi2375 Год назад
But big ap wakukaya😂😂👏👏
@funnycomedyvines1467
@funnycomedyvines1467 Год назад
Mapenzi upofu, mapenzi uchizi, mnaongeeea halafu kajala anakumbuka mpini anaamua kusamehe acha mm nipige tu puchu.
@josephmaina9526
@josephmaina9526 Год назад
😂😂😂nyonga tumbili kaka 😂😂
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Год назад
Nimewamiss sana
@fredmokamba8386
@fredmokamba8386 Год назад
Yaani hiyo nyumba kubwa huwec ficha mwanamke asijulikane.hiyo ni nyumba Iko rooms kama 30 na kitu utaeza ficha mtu hata week msima pila kujilikana .cwec haamini hiyo story
@jacklinekarisa2415
@jacklinekarisa2415 Год назад
Harmonise alibugi alafu alafukuza wafanya KAZI sababu ya haya😏
@Chekibob
@Chekibob Год назад
Tiki tv inabamba🧢
@makinitv4891
@makinitv4891 Год назад
Kinoma
@berthajohn4721
@berthajohn4721 Год назад
Mmmmmh hatr sn
@tumambura5670
@tumambura5670 Год назад
Harmo saf sana uy k siy taip yako
@sashamakoiso880
@sashamakoiso880 Год назад
Yanii dahh hatari kweli
@allysele4265
@allysele4265 Год назад
Kuigiza hujui kajifunze kaole
@emmanuelbarnaba2423
@emmanuelbarnaba2423 Год назад
Yuko sawa mwana ume
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 Год назад
Ukitaka kujua wanawake wote ni vinyonga na hawaaminiki wala hawafai mfano tuliopewa na Mungu ni Kajala.
@juliusalex
@juliusalex Год назад
hapa, issue NI kweli??? maana Kiki nazo zipo et, totally I can't believe it
@kiri5807
@kiri5807 Год назад
Alipoeka bango lakumtaka niliuliza wakiachana jee ataweka bango ? nikatukanwa nikaambiwa hawatoachana .
@ماريافيدال
@ماريافيدال Год назад
Naceka
@kiri5807
@kiri5807 Год назад
@@ماريافيدال Lazima tucheke km mazuri viliiiiile😅😅😅
@TheCaasiful
@TheCaasiful Год назад
watchman usingizi
@stellah3844
@stellah3844 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@magrethzuberi2375
@magrethzuberi2375 Год назад
Asee nimecheka San hii interview huyu dogo ni uongo mtupu kuanzia Leo tik tv siwafatilii huyu dogo namjua A-Z majina Ake original ad wazazi wake wote an Kwa ujumla familia Ake naijua na tupo majirani na hayo majina kadanganya sio majina yake nimecheka ad bas
@sweetmenthol1083
@sweetmenthol1083 Год назад
Na ndio ushakuwa m'mbeya kuhusu ndoa za watu
@mwanatumunjira1167
@mwanatumunjira1167 Год назад
Mna umbeya watanzania kufatilia maisha ta watu keee
@jan6703
@jan6703 Год назад
We unataka wafuatilie maisha ya wanyama au?🤔
@bonfacemuia3541
@bonfacemuia3541 Год назад
Hii n gurue
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Tuliosubiri hii tujuanee
@amangearge9594
@amangearge9594 Год назад
Mimi wa kwanza🤣
@ماريافيدال
@ماريافيدال Год назад
​@@amangearge9594 wa 2 mimi
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 Год назад
Bora
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Год назад
Duuh huyu hafai kabisa yaani umbea mpaka unasahau kufunga geti
@janethlikiliwike2591
@janethlikiliwike2591 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@aljazisalem4692
@aljazisalem4692 Год назад
Majagaaa
@habarikamili9408
@habarikamili9408 Год назад
🏃🏃🏃🏃🏃🏃 namuwahi kajala hata awe tu mchepuko wangu.
@FatmaAli-xd2jo
@FatmaAli-xd2jo Год назад
😂😂😂😂😂
@maimonamaimona1177
@maimonamaimona1177 Год назад
🤣🤣
@shamzone388
@shamzone388 Год назад
@@FatmaAli-xd2jo hatujambo dada
@pendosamwel9289
@pendosamwel9289 Год назад
😂😂😂😂
@babykisura1089
@babykisura1089 Год назад
mlinzi mwenye kachoka hata afanani kulinda kwa konde
@DesertTears
@DesertTears Год назад
Huyo mlinzi ni mpumbavu na mmbea,mambo ya watu alitaka kuyaingilia ya nini,Kisha unajieleza wewe hulala kazini 🤣🤣🤣 sidhani kama Kuna mtu atakubali awe mlinzi kwake 🤣🤣🤣
@dorisjames2130
@dorisjames2130 Год назад
😂😂😂😂
@nathattimupenzi6653
@nathattimupenzi6653 Год назад
Yani watanzania ni wa mbeya sana desole pour vs
@evelinnamwewa7009
@evelinnamwewa7009 9 месяцев назад
Bro you failed to follow the principle of confideciarent or professionalism
@rozpetrz1240
@rozpetrz1240 Год назад
wakwanza nipeni likes ata kumi ivi
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 Год назад
Hongera sana kwakweli maana siyo kitoto
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 Год назад
Mm sijui hata nmekuw wangapi
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Год назад
Hay mm acha nipate ubuyu sijachelew sana
@esterjeremiah4700
@esterjeremiah4700 Год назад
Pole kaka sasa unakosea kuongea kazi sidhani kama watakurudisha kazini wewe anza tu kujipanga utafute kazi upya kaka
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Год назад
Mwambie huyo
@ramlaleila374
@ramlaleila374 Год назад
Mmakonde kiburi punguza tamaa ya ngono
@dianadaudi3380
@dianadaudi3380 Год назад
Yani wewe kaka yani una kasura kamekaa kilinzi kweli, hata kama hukupenda kuwa mlinzi ila kweli unaonekana mlinzi hata kwetu kuna mlinzi yani mnafanana hadi ongea ila yeye mtu wa geita
@dorcasmbagga4931
@dorcasmbagga4931 Год назад
Dharau haya ni maisha TU,hakuna sura za ulinzi,omba toba
@habarikamili9408
@habarikamili9408 Год назад
Duhh
@mrishotufu6859
@mrishotufu6859 Год назад
Kijana hajuwi wajibu wakaziyake inabidi akasomeye ulinzi pole kijana
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Daaaaa jmn mlio vzur msaidieni dogo
@magufurifofo3130
@magufurifofo3130 Год назад
Muongo
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 Год назад
Harmonize bora afuate ushauri wa mama yake
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Год назад
Mama ni mama tuu
@joleal7941
@joleal7941 Год назад
Mama ni mama kila siku hakun ungine
@jfgj5408
@jfgj5408 Год назад
Mapezi Haina ushauri ukipenda umependa
@omogo2030
@omogo2030 Год назад
This is being petty Harmo should styleup Kisha kuelewa Kila mtu, mfanyikazi kupuga ngumzo kati Yao Ina kosa lipi, sasa utawafukuza kazi watu wote kwako kwasababu ya kupiga ngumzo kati Yao?? Mbona tusiwe watu wazima Kisha tumpee watu uhuru wanahitaji?
@allysele4265
@allysele4265 Год назад
Muongo umetumwa
@fatmazahor357
@fatmazahor357 Год назад
Bora asingewafukuza huenda wasingetoa siri
@joleal7941
@joleal7941 Год назад
Jamani🤣🤣🤣
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Год назад
ninge kua napesa dogo ningemfungulia tu banda la chips.au duka la nafaka nikamujiri.kaz ya ulinz huyu kafosi tu wala haendani nayo🤣🤣🤣🤣kuongea tu kwake tabu.ila watu kama hawa hua ni waaminifu na wakweli.
@ffreed6295
@ffreed6295 Год назад
Hata mimi ningewafuta kazi. Vipi uwe mbeya🤬😡??
@risperkarson8667
@risperkarson8667 Год назад
Wewe huna makosa wakurudishe job place ingine
@magrethzuberi2375
@magrethzuberi2375 Год назад
Tik tv kumbe nyie habari zenu zote ni ushubwada tu harmo anatembea na mabordgad af om ndo alindwe na huyu😂😂huyu dogo ni jirani etu huwezi jua lbd kiki anataka atoke awe star ila apo Kwa interview ni uongo mtupu 🤣🤣🤣
@babrashabanu7073
@babrashabanu7073 Год назад
Sasa wewe ni mlinzi ruhusa za kutoa sir unazipata wap mbona hatar
@ndadyuzarafael7308
@ndadyuzarafael7308 Год назад
Dogo ulikuwa ulijitahidi ktk majukumu yako lakini jaribu kutambua namna ya kufanya kazi na maboss! Punguza mdomo
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 Год назад
Huu jama viongozi wake wamuhondowe hana nidhamu ya kazi ametumwa kulinda yeye anachukuwa jukumu la kuchukuwa umbea anadhalilisha kampuni ilio muajiri
@annaphilipo2415
@annaphilipo2415 Год назад
harmo ni mshamba tu unamfukuza mtu kazi kisa mambo yenu ya kipuuzi kipuuzi broo kua na akili ya kii utuuzima bx 😠😠😠
@ffreed6295
@ffreed6295 Год назад
Hata mimi nakufuta. Huwezi ongea mambo ya tajiri wako!
@annaphilipo2415
@annaphilipo2415 Год назад
no huo ni utoto bn tena kama ni jinsia ya kiume ni ushamba kabisa
@hermankihwili1095
@hermankihwili1095 Год назад
We fara huyu mlinzi hafai mbeaa sanaaa yeye angepiga kimyaaa tu yana muhusu nini?we mlinzi tu
Далее
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20