Wewe dada ni mwehu kipindi chote kajala anamuaibisha harmo kwenye reality shoo kwanin hukumuonya kajala ??? sasaiv harmo kalewa anamwaga mambo ndio wajitokeza ili kumkingia kifua kajala???kweli mwalimu wa wanawake ni kipofu,,,muache harmo nae atoe ya moyoni ili roho yake isafishike na awe na maisha marefu
@@maryammussa2835 naachaje zangu,,,Inamaana reality show za kajala huzioni akimsema harmo???na Ile Zima taa umeisahau pia??ungekuwa muelewa ungeelewa faida ya kuwa excited state,,,au yakutoa ya Moyon,,,unakuwa huru unakuwa mwepesi na kinyomgo kinatoka,,,jambo likipita lishapita kwa yule asieweka mambo rohon,,mwache harmo aseme asiumie ndan kwa ndan,,huu ni ufala wa wanaume wengi kukaa na mambo moyoni mwisho wa siku wajane wanakua wengi
@@bonfacemuchiri1600Kama haujafiti kwenye bedroom sexy lazima mwanaume atoke nje na ndio maana hakuna mwanaume Malaya uwa tunabadirisha Radha ya mahabati
Wewe huyu dada napata shida kidogo kuna kauli kaitoa inanipa hofu na story yake! Anasema huyo dada alikuwa rafiki wa Kajala kwa hiyo Kajala alikuwa rafiki wa Yolo mmm tuanzie hapo
Dada yusta nakupenda sana unaakili sana na upeo.lena umeongea point sana hao wanapendàna sana .nataman wakae chini wayamalize na kurudiana tena kupo tena wasiogope kurudiana sababu ya watu yena hawa wakioana watadumu sana .na watawafunga midomo wambea wote wanaowachonganisha.dada yusta weka tena nguvu zako kwenye maombi
Dada nimekuelewa sana ila ulichokosea ni kushindwa kumshauri rafiki yako toka mwanzo kumuongelea vibaya mwenzake ulikaa kimya kipindi chote wanamdhalilisha ndilo kosa lako
@@marrymazengo1315 Hatukatai kasema k alikosea lakn kama rafiki wa kweli alitakiwa kumshauri kajala na mwanae toka walipoanza tu kumsema harmo kwenye kipindi chao cha kwanza yasingetokea haya maana kadri walivozidi kumsema vibaya ilizidi kuchochea hasira naye ni binadam kuwa mwanaume haimaniishi haumii
Ten years ago Ata pia mimi mpaka nika fake kunyuwa sumu 😂😂😂 LAKINI wapi 😂 Kaka anaroho ngumu 😂 sikuizi I don't care jina lake TU linanifanya kutapika 😂
Hi, Yusta Uko vizuri sana.Hata mimi hii sijaipenda huu ugomvi.Mdogo wangu Harmo achana na hii kitu na pia Shem Kajala achana na hii kitu Tulizeni akili zenu hii ipite km mapenzi yamekufa basi muwe marafiki tuu wa kweli.Kuna leo na kesho peace & Love.Mtake it easy.Hey mdogo Harmo take care Bro.U r something else now ur Big usiharbu.
Yani huwezi amini namuamini sana Yustar akiongelea hili jambo kuliko hata angeongea kajala mwenyewe maana kajala au harmonize wanaweza kuficha mengine Kila mmoja akitetea upande wake.
Yusta kaongea vizuri ila alichoaribu kitu kimoja,unajua kajala na Paula walikua na kipindi kwa zamaradi mtetema wanamuongelea AMORNIZE na sio mara moja ni kila wakati ,YUSTA alikua aoni kumsema rafiki yake, aache kumsema AMORNIZE ,jamani AMORNIZE naye binadamu,sio MTUME useme katolewa nyongo,je kiatu chake kivae wewe je ungeweza??????????
dada ang umesema ukwel kbx ,maan ata kama mmeachana haipasw kuachana mpaka nkataman nmwambie harmonize ayo anayofanya so vzr ,,,,nasukuru da yusta kwa hekima ulonayo ,,,,,,Mungu aitunze iyo hekima....
Ndio wanapendana hawa.ku mukuta na mwengine sio tatizo kwakuwa KAJALA mwenyewe ana wengine,pili harmonize ni star anaezi akawa na wengine kwa hiyo jibu ni kusameyana tuh..kingine longo ilikuwa ranj na wala hakuna chama penzi hapo kwani mwanamke ana kubali kama mwenziwe siwakwanza mpaka ashindwe muacha..Fernand toka DRcongo
Huyu Dada yupo sahihi, na ukimsikiliza vizur, Harmo alijisacrifice kwa kila kitu kwa Kajala na familia yake, unfortunately sio fate kuwa pamoja, na ofcause Kajala kuhis yupo above mwanaume, hakuna mapenz yasiyo na changamoto, wai wameyageuza kua business kwa interest za watu. So wache tu wawafaidishe watu na maadui, Harmo alishamaliza yote kwenye #vibaya
Uyo hamonize anamambo ya kike sana kutaka kuchambana ugomvi kidogo anataka kila mtu ajue ili mashabiki wamtetee nakumbuka hata ule ugomvi wake na mondi ilikuwa hivohivo na aache tabia za ulimbukeni ya kununua kitu afu aanze kutangaza sawa na tabia za kike unakula kwake kesho anakutangaza kwa watu. Pia mtu unajua uyu rafiki wa mkeo kwanini utembeenae kumbe kawaida yake ndomana akamtaka na paula
Kwakweli Hawa wawili wanapendana Bado ushauri wangu wasikubali kuidhulimu mioyo yao kwa kuogopa watu,wanatakiwa kutii kiu zao.Wahenga walisema wagombanao ndio wapatanao.
Mabaya ya harmo yanalingana na mema yake, Harmo anatakiwa akutane na mwanamke mpole, mcha Mungu,, asiye na matumizi, aumwanamketajiri, asiyena makuu na kutochunguza, harmo ana upendo wa muda mfupi na wa kimbunga, harmo hawezi kuwa mtulivu na mnyenyekevu wakudumu kwa mwanamke yeyote yule.
Najitahidi sana nisiongee bt kelvin nakupenda yani hata sauti yako tuu nakupenda kelvin au nimtafute Yustar Mgaya atuunganishe kama alivyoomsaidia Harmonize jamani?
Ww mdada nafuatilia sana comment zako juu ya Kelvin,basi kwa nn uumie jaman m dm umuelezee hisia zako dada,maumivu ya kumpenda mtu alafu yeye hajui n hatari.
Mwanaume anaye kujali kwa kila kitu unaumizwa na nini kuanza kufatilia mtu kiasi icho akuna cha peke yako kabuli tu ndo unakaa peke yako sasa ivi kajala ana amani tena kakonda
Yan we mdada watu wanazin araf unasema hazaran vitu ambavyo havimpendez mwenyez mungu me nikafikir ungewashaur wafunge ndoa kumbe rengo rako waenderee kumkosea mungu
Umri ni kitu muhimu sana katika mahusiano haiwezekani mdada wa miaka 40 na udate kijana wa miaka 24,Yan Kwa kifupi kajala alishafanya ujana sana ni rahisi kuktulia lakini harmo wa miaka 24 mechi za ugenini hapa ni Kila wick
Lkn yusta kajala ndio aliyeanza kumchokoza hamo km angekuwa kimya yote yasingetokea kila wik kwenye kipindi chake alikuwa anamsema vibaya hamo mbn yeye alikuwa hamsemi? Hamo kachoka
Harmonize aliambiwa huwezi kupata mwanamke Duniani ukiwa mkono mfupi, akaamini kweli eti upendo unanunuliwa na anajua kununua sana, marenji, mahela kwa wakwe na kupangishia warembo majumba, na Mungu kambariki rriziki basi anajiona mwokozi waa wanyonge wanaomvutia. Mungu aamsaidie adumu kuwa ktk hali nzuri vinginevyo atakufa kama mbwa mpweke asiye na hata wakumwuguza akiugua.
Mwambie hamonaz akue akue akue, asitoe sili zandani. Mimi naona hawa watu bado kuna kaupendo sasa bas, kuwe na namna ya kusitiliyana. Inaweza siku mkarudiana. Wewe dada mwazo ulikuwa na uamzi mzuri sana kukataa kutana waandishi wa habali, hawa huumbua watu bila kuji tambua.