oyaa eeh. leo kweny daladala nmekutan na jamaa flan ivii nae anachek mzigo wa E7bits.. asee nmefrah sana kuona mtu mwngne anapenda smuliz za jamaa hapa kama mm nilvyoo asee.. ebu tupia comment yako hapo chn kama na wew ishakutokeag ktu kama hicho. 😊😊