Uchawi hauna faida maana wachawi nao wanahangaika na maisha biashara na misoto yote.shetan anakuongoza kuua ili uende nae jahanam Hawa wameuwa Toka 1991 mpaka Leo hajakamilisha idadi mpaka ameaibika tu ,jaman shetan Hana huruma nasi hata tunapojiona tuna maisha magum .umaskin sio dhambi Kwan maskin walikuwepo tangu zaman ,maisha ya mwanadam ni miaka 80tu Tena hata hiyo ni bahat kuifikia ,wito wangu naomba tujikabidhin kwa Mola wetu mlezi ili tuwe na mwisho mwema.narudia Tena shetani Hana huruma nasi hata kidogo.
Mm nilikuwa naomba selekali yetu, waganga wakienyeji wasiwepo Tanzania 🇹🇿 wapigwe malifuku Tanzania isiwe na wanganga wakienyeji yoyonte anaejihusisha na kazi ya uganga akamatwe, nakila mganga atafuye biaashaala za kufanya, kwa mawazo yngu Mimi naona Imani itashuka Tanzania yetu maana Hawa wadanganya watu wkiondolewa kwenye inchi yetu. Vifo vitapungua jamani lohoo zinauma sana, waganga wajadi acheni kumaliza watu mungu apendi, 😢
😭😭😭roho imeniuma jmn umli wa wanangu. Wamepisha darasa tu heee Mungu mpokee nalaika wako wazazi tuliombali na familia tukisikia matukio aya Amani atuna kikubwa kumuomba Mungu atuiindie malaika wetu
Wazazi tafadhali. Ni wakati wa sote kukaa chini ba kufundisha watoto na wajukuu zetu mbinu za kujilinda wanapokuwa wakipita mitaani. Mojawapo ni kutokusimama njiani na kuongea na mtu yeyote hata kama ni ndugu. Pia cha muhimu ni kutumia mbinu ya kupiga kelele endapo atakuwa kwenye hatari yoyote. Mbinu zipo nyingi. Tumieni kufundisha watoto
Kuvaa hijabu sio dini kuna watu wanatumia hayo mavazi kuficha uchafu wao, Hongera kwa wananchi kuvunja nyumba hiyo mngefanya hivyo hivyo na wabakaji vunja kabisa nyumba wasirudi kabisa
NDUGU MWANDISHI: -KWANZA PONGEZI KWA KAZI YAKO PILI: NIKUOMBE ,KABLA YA KUANDIKA NA KUTUMA MITANDAONI UWE UNA HAKIKI ,"IPO SAWA"...!!!??? -MFANO: KWA TAARIFA YA WENGI,MTOTO ALIYEFARIKI KWA KUCHINJWA ,JINA LAKE NI: MARIAMU JUMA, NA WALA SIO,"MARIAMU HATIBU"....KAMA ULIVYOANDIKA. -MR.HATIBU NDIYE MUHUSIKA WA MAUAJI. -BILA SHAKA,UMENIELEWA
Kwa amri yangu ninge mnyongaaa yeye na bwana ake na yoyoote atakae husikaa kwa hili hakuna haja ya kusumbua polisi na mahakimu Aiseee Tanzania 🇹🇿 hii ya moto kweli pumzika kwa amani Binti mzur
Una akili za hovyo kwaiyo unamaanisha nn au unafikili kuitwa Muislam ndo inamaanisha wewe ni mwenye iman! Uislam sio tu kwenda msikin ni vitendo na Iman!wee mbona unaitwa zainab lakini ni kafir!!?