Тёмный

ASIMULIA ALIVYOPOTEZA MKE NA MTOTO WA MIAKA MITATU, DADA YAKE, NA KAZI YAKE, AKIWA GEREZANI, 

Ambwene Mwasongwe
Подписаться 183 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@leamlenga4227
@leamlenga4227 3 года назад
Daaah,Mungu tusamehe tunalalamika kwa mambo madogo, kumbe kuna wenzetu wanapitia kwenye majaribu ambayo ukitafakari unashindwa kupata majibu kwamba ingekua mimi ingekuaje 😭😭😭Mungu alijua kwamba haya unayaweza, amini Mungu anajivunia wewe ubarikiwe.
@latefalatefa2664
@latefalatefa2664 3 года назад
Sana tujifunze kupitia haya wapendwa 😭yaani kumpoteza mke namtoto nadada nimtihani mkubwa sana
@angelkimario5862
@angelkimario5862 3 года назад
Kaka angu nyimbo zako zimenitia moyo lakin kwa mwimbo huu mpya nimepata uponyaji kwa wakati mgumu nilio nao nimeona niliyo nayo so kitu niachilia na nimetoka kwenye uchungu kwa yaliyo nipata Zaid ya nyimbo zako tatu nimelutana nayo lakin la huyu YESUsisimama
@ruthundudumizi5256
@ruthundudumizi5256 3 года назад
Nimekumbuka mstari wa kwenye wimbo wako wa misuli ya imani “kama unazani lakwako gumu basi sasa jifunze kwa wenzako maana wewe kuguswa tu na jaribu unanung’unika mwaka mzima”
@janemsamati6700
@janemsamati6700 3 года назад
Mungu ni mwaminifu sana , kwa ushuhuda huu na yote uliyoyapitia leo tumepona hata mimi nimeimarika kiroeho
@Jiwakilishe2023
@Jiwakilishe2023 3 года назад
Mimi mfuasi wako wa kina hapa Machakos,Kenya. Habari ya huzuni hii lakini ya kutia moyo. Na bila nia mbaya katika maojiano upunguze sauti ya mziki tuyasikie maneno vizuri. Mungu awabariki
@gaudenciaredwin2154
@gaudenciaredwin2154 3 года назад
😭😭😭 so sad,I don't know if I could bear this pain🙆 huu wimbo na misuli ya Imani my my God,may God heal your hurt,pain and wounds sir😢🙏🏽
@beatriceloveness3793
@beatriceloveness3793 3 года назад
Jmn tunaomba serikali ifikirie kwenye swala hili mtu akifiwa tunaomba wamruhusu tukazike ndugu zetu dah hii simulizi inauma Sana
@pulkeriashauri4597
@pulkeriashauri4597 3 года назад
katiba mpya itasaidia usisahau likitokea kuja kwenye maoni ya wananchi
@calvinstanley6826
@calvinstanley6826 3 года назад
Neema ya Mungu iwe juu yetu daima, Neema hii inatupa nguvu yakusonga mbele siku hadi siku.
@patrickwilondja759
@patrickwilondja759 3 года назад
Pole sana na ushuhuda huo unao kuwa na kutuongezea imani
@upendokulwa1294
@upendokulwa1294 3 года назад
Mungu nikumbuke simulizi imeniliza Sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@marymasimba9722
@marymasimba9722 2 года назад
Mungu kwahili alilo pitia mtumishi wako najifunza kushukuru na sio kulalamika
@elinardomakunga8403
@elinardomakunga8403 3 года назад
Ee Mngu wangu unisamehee nilipo atwa na kajaribu kadogo nikanung'unika kiasi cha kukufuru nisamehee baba angu sikujua kama kuna watu wanapitia magumu zaidi yangu nijaze roho mtakatifu toka sasa amee🙏🙏🙏
@robinahumphrey9725
@robinahumphrey9725 3 года назад
Waweza kuzani ,kwamba umwa kumbe ujaona wagonjwa. Ukishawaona wagonjwa mwenyewe waweza kupona bila dawa.😭😭😭😭😭😭😭😭.
@cartasmaganga8099
@cartasmaganga8099 3 года назад
🙌🏻😢😭Kuna mahali Mungu anakupitishs adi unajiuliza 😭😭🙌🏻🙌🏻Baba naomba unikumbuke 🙏🙏😭. Kumbuka familia yangu 🙌🏻😭😭
@nyotamayemba5887
@nyotamayemba5887 3 года назад
Hakika Mungu ana watu wake ... imani hii .. hakika nimejifunza kitu na kupata hatua zaidi za kiroho...Watumishi wa Mungu awabariki sana
@paulpius6566
@paulpius6566 2 года назад
Daaaah, Pole saaaana ndugu yangu kwakweli umepitia magumu saaaana. mungu akurehemu kwakweli , hakika tuna imani katika yeye atutiaye nguvu. mungu akusimamie katika utumishi wako
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 2 года назад
Bwana Mwema Atafungua milango utashangaa Atafanya njia Utashangaa Utamtukuza Kumb. 28.1.14 utazidi kumshangaa Yehova Mwema mladi Umempa moyo wako Atakutukuza Haleluuuya Pole Sana
@aminajuma2387
@aminajuma2387 3 года назад
Hiyo soundtrack inameza maneno ya wenu.....ipunguzwe ukubwa wa sauti.story inaumiza na kufundisha Sana jins ya kushikilia Imani moyoni pasina na kujal unapita kwny jaribu gan
@tranchescoanthony2509
@tranchescoanthony2509 3 года назад
Naamini kusingiziwa ni kukubwa sana na ukiwa gereza unaweza kufikiri kulipiza kisasi kibaya sana ila kwa yote!!! Bado tunayo mengi sana ya kumshukuru MUNGU.
@gabriellafaith6128
@gabriellafaith6128 3 года назад
Jesus😭🥺😭🥺😰Tukumbuke Baba, Turehemu Bwana🙏🙌🙏
@estermasine2110
@estermasine2110 2 года назад
Pole sana kaka kila kina knachtokea katika maisha kina sasbau mung azid kkfanyia wepes🙏🙏
@swahiliandculture6599
@swahiliandculture6599 3 года назад
Ooh usbuhuda huu umenipa hatua zaidi... ubarikiwe mtumishi sana
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 года назад
Imenisikitisha sana..Mungu aendelee kumtia nguvu
@lovenesssanga3162
@lovenesssanga3162 2 года назад
It is more pains but God is greater a father of fatherless,He gives hope to hopeless🙏🙏🙏
@joyceshindayi4576
@joyceshindayi4576 3 года назад
Haaaaaaaaa jaman inaumaaa Sana 😭😭😭😭 eeeeh Mungu unatujua watu wako wote. Nakosa vya kuandika.
@latefalatefa2664
@latefalatefa2664 3 года назад
Pole sana baba kwamapito magumu uliyopitia 😭😭😭😭 kikubwa usimwache Mungu
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 2 года назад
Pole Sana kaka YANGU...wakurudishe kazini jamani.. Ninakuombea Mungu najua ipo siku utarudishwa kazini
@moreenkasekwa9737
@moreenkasekwa9737 3 года назад
Mungu anakuoenda sana anataka umtumikie sana umepitia meng
@moreenkasekwa9737
@moreenkasekwa9737 3 года назад
Du imenitoa machoz nimejalibu kukivaa kiatu du kinabana nashukuru mungu kakukumbuka
@mutrijamwarabu4672
@mutrijamwarabu4672 2 года назад
😰😰 Mungu anaporuhusu jambo litokee huwa anafahamu nini anafanya, Mungu akusimamie brother
@laitmwinuka3836
@laitmwinuka3836 2 года назад
Stay blessed Mungu azid kuk tumia🙏🙏
@elizabethmsuya001
@elizabethmsuya001 3 года назад
Mungu ni mwema wakat wote Akupe amani ipitayo yote ya dunia,akuinue mahali pa juu
@happyelias9465
@happyelias9465 2 года назад
Mungu atakulipa kaka, Ila mpunguze Mziki ni mkubwa
@jacquelinembanda
@jacquelinembanda 3 года назад
Acha Mungu aitwe Mungu jina la Mungu lisifiwe 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@damarismoraa1269
@damarismoraa1269 3 года назад
ee Mungu nisamehe kwa kuwahi lalamika.... ushuhuda wako umenibariki sana ndugu
@josephinebiringanine7113
@josephinebiringanine7113 3 года назад
Sijapenda iyo music. Inasumbuwa na kuweka kelele.
@sameerjuma5328
@sameerjuma5328 3 года назад
Pole sana kiukweli Mungu amekukumbuka sana hata hvyo amekutetea sana .Barikiwa sana Mtumishi
@ev.nazarethonline8260
@ev.nazarethonline8260 3 года назад
Amen mtu wa Mungu
@pimgee7237
@pimgee7237 3 года назад
Love you from Zambia
@elinardomakunga8403
@elinardomakunga8403 3 года назад
Ukweli ushuuda huu umegusa sana maisha yangu nami nasema toka sasa nakili imani yangu Mngu nisamehee pia nashukuru kwa kuendelea kunipa pumuzi ya huai
@menovicmushy1032
@menovicmushy1032 3 года назад
🔥Nimebarikiwa sana na hii biti kaka Ambwene,safi sana kwa maombi
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 3 года назад
Dah hapana jamn inauma sana 😭😭😭 i can't take it😭😭😭😭
@benaiahchaulah1037
@benaiahchaulah1037 3 года назад
Kweli dhahabu safi husafishwa kwa moto,😢 all in all Groly to God Mungu awe nawe
@jagel9966
@jagel9966 3 года назад
Pole sana,usa matatizo aya,la asante tena kwa kutusaidiya kwa uongezaji wa imani.
@mvanessa5852
@mvanessa5852 2 года назад
Mmmh acha mungu aitwe mungu
@farajamaduhu1981
@farajamaduhu1981 3 года назад
So saaad! Moyo Wangu umeyeyuka kabisa! Ni kwa nini shida vilio adha masumbufu hivi? Until when thou shall keep away from us ooh LORD? Pole sana kaka kwa changamoto za maisha
@festochristopher7293
@festochristopher7293 3 года назад
Daaaah it touching story, tunaomba mwendelezo wa hii story plz
@puttenyanthony9284
@puttenyanthony9284 3 года назад
Ambwene Mungu anakutumia Vema sana kutubariki wengi
@godfreymathew7870
@godfreymathew7870 3 года назад
Ambwene huyo kaka anaesimlia mpe pole sana na hongera kwa kumjua mungu nipo mimi kuna mambo yamejitokeza kwenye familia yananiumiza sana siku
@lucycutelady9761
@lucycutelady9761 2 года назад
Pole Sana
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 3 года назад
Mungu yu mkuu Sana, kwa kuyasikia haya kwakweli sistahili kulaumu Kazi za Mungu aliyeruhusu yatupate anajua vyema zaidi... Unisamehe bwana Yesu kama nimewahi kulaumu kwa magumu nayopitia... Ninatubu
@annaanthony9290
@annaanthony9290 3 года назад
Mungu wangu unihurumie pale nilipopitia jambo dogo na kunung’unia
@kwekaangel4461
@kwekaangel4461 3 года назад
Daaaaah 😭 emotional story
@elishaanyosisye4078
@elishaanyosisye4078 3 года назад
Kwa kweli njia za Mungu zipo tofauti kabisa na mwanadamu Mungu anavyowaza juu yako ni tofauti kabisa na wanadamu wawazavyo juu yako🙏
@hidayamalik1352
@hidayamalik1352 3 года назад
Daaah Acha mungu aitwe mungu utukufu ni wake
@robbinagerman1785
@robbinagerman1785 3 года назад
Kaka Ambwene kazi yako ni Kubwa mno kila unachofanya kinagusa maisha ya wengi nimesikiliza story nzima nimejaribu kujiringanisha na Mtumishi wa Mungu huyo sijapata Jibu maana kiatu chake ni kikubwa mnoo akiwezi kunitosha Mimi Nimejikuta natokwa na machozi nikmkumbuka Bamkubwa yangu mwaka wa 9 sasa yupo gerezani Bira kuwa na hatia ila kakubari kutumikia kifungo Aiseee Nakuomba Uwakumbuke
@abialusekelo-nr8kf
@abialusekelo-nr8kf Год назад
Mungu amkumbuke Jaman huyu alie mtendea Nadharet amtendee na ndug yako pia 😭
@subiraadam2322
@subiraadam2322 3 года назад
Duuuuhh so sad😭😭😭
@rhodadaimon8855
@rhodadaimon8855 3 года назад
Misuli ya imani🙌
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 года назад
Majaribu yote mazito kapitia huyu Kaka,mungu amkumbuke katika nyakati zake zilizobaki duniani
@ervinlihawa
@ervinlihawa 3 года назад
Daaa pole Sana Ila mungu ni mwema kila wakati
@carolinegondwe3706
@carolinegondwe3706 2 года назад
Pole sana 😭😭😭
@mirrymwenzegule9109
@mirrymwenzegule9109 3 года назад
Ooh jaman hii ni zaidi ya misuli ya imani. Lkn mtumishi sauti ya mziki ipo juu sana
@Baba-JJ
@Baba-JJ 2 года назад
Kwakweli sijui kwanini mambo ya Magereza yamekuwa ya kinyama hivi? Kuna mambo unaweza kusema labda yamepangwa ili mfungwa atoroshwe kwahiyo huwezi kuruhusu, lakini msiba hasa wa mke, mume au mtoto kwanini watu wasipewe ulinzi wa hali ya juu ili asitoroke? Ikiwezekana wawe wanahudhuria wakiwa kwenye gari lenye wavu mradi ashiriki. Mbaya sana.😭😭
@pimgee7237
@pimgee7237 3 года назад
God bless my brother , sorry sorry sorry
@meryfrank5272
@meryfrank5272 3 года назад
Pole sana kaka
@CeciliaLazaro-dn9tx
@CeciliaLazaro-dn9tx 7 месяцев назад
😢😢😢 imenitoa machozi sana MUNGU WEW NI HAKIMU
@elinardomakunga8403
@elinardomakunga8403 3 года назад
Ee Mngu jina lako libarikiwe sana njia za mwanadam ni tofauti na njia za Mngu
@youngmaster4127
@youngmaster4127 3 года назад
Kaka ambwene MUNGU akubariki sana hii nyimbo inayo muhusu Nazareth ingekua vyema sana tukapata video kabisa !!!
@catherinelugoma3392
@catherinelugoma3392 3 года назад
Emotional 😭 story
@sophianasri6107
@sophianasri6107 3 года назад
Pole kaka Yesu akutunze
@isihakaomary4998
@isihakaomary4998 3 года назад
Daaa jaman so sad😭😭😭😭😭😭😭
@christophermsekena616
@christophermsekena616 3 года назад
Duu Mungu ni mwema
@hushaurikuhusujamiifollow1752
@hushaurikuhusujamiifollow1752 3 года назад
Poleni sana baba mungu nimwema sana nawewe njo mutetezi wetu babangu 😭😭😭😭😭
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 года назад
Dunia jmn😭😭kuna watu wanapita kwenye moto jmn😭😭😭ila mungu atabaki kuwa mungu tu🙏🙏🙏
@rehemamwamundela2717
@rehemamwamundela2717 3 года назад
Mungu atabaki kuwa Mungu
@silahiddenpain1869
@silahiddenpain1869 3 года назад
Mungu ni mwema kila wakati
@momylaviel
@momylaviel 7 месяцев назад
Kuna watu wanapitia mambo makubwa sana aseee
@elinardomakunga8403
@elinardomakunga8403 3 года назад
Sasa ndipo natambua kuwa kwann watumishi wengi wa Mngu wana nguvu kiroho Mngu hawapungukii hata kidogo
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 Год назад
Hii biti imenifanya sijasikia chochote,umemeza maneno yote na ushuhuda ni mzuri lkn biti sauti Iko juu
@joelmajalalamtumishi3253
@joelmajalalamtumishi3253 3 года назад
Kisa kinasisimua sana kaka Ambwene
@williammwajeka3347
@williammwajeka3347 3 года назад
Story hii imeniliz 😭😭😭
@florenceluyanje7215
@florenceluyanje7215 3 года назад
Pole ndugu yangu mungu anajuwa yote
@jumajumanne4997
@jumajumanne4997 2 года назад
Vya uchungu sana serikali i m tazame uyu mtu kapitia magumu siyo kawaida
@estheribrahim4095
@estheribrahim4095 3 года назад
Duh😭😭😭😭
@winnieemmanuel8255
@winnieemmanuel8255 3 года назад
Mm nalia jaman ni uchungu 😭😭😭😭😭
@Neema182
@Neema182 3 года назад
Nimeshindwa kuendelea kusikia sababu ya mziki, very annoying
@veronicagaudence5940
@veronicagaudence5940 3 года назад
Emotional story😥😭
@mekmek233
@mekmek233 3 года назад
Toa hiyo sauti inaimba hapo ndio msikike vizuri
@neemaglorykisoli2605
@neemaglorykisoli2605 3 года назад
😭😭😭😭😭
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 3 года назад
So sad kwakweli 😭😭😭
@lilianludovick8909
@lilianludovick8909 3 года назад
Inauma jaman
@dyanatanz6574
@dyanatanz6574 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭so sad
@ameniameni617
@ameniameni617 3 года назад
Pole Kaka Mungu akutie nguvu
@ev.nazarethonline8260
@ev.nazarethonline8260 3 года назад
Asante ndugu yangu
@pendofesto3257
@pendofesto3257 3 года назад
Nyimbo zako ziko vizur kaza mwendo
@jescaaloyce545
@jescaaloyce545 Год назад
Silalamiki tena vitu vidogo, hii story imeniimarisha
@backyardmultipleafricanveg791
@backyardmultipleafricanveg791 3 года назад
Jamani watu tunamajeraha na mimi dada yangu mme wake alifungwa myezi 2 after their marriage hata sasa hajatoka Mungu utukumbuke.
@rehemamwamundela2717
@rehemamwamundela2717 3 года назад
Mungu ni mwema atakukumbuka soma kitabu cha Ayubu
@ev.nazarethonline8260
@ev.nazarethonline8260 3 года назад
Ni seme tu Mungu awakumbuke wale wote wanaopitia mapito mbalimbali.
@backyardmultipleafricanveg791
@backyardmultipleafricanveg791 3 года назад
@@ev.nazarethonline8260 Amen
@backyardmultipleafricanveg791
@backyardmultipleafricanveg791 3 года назад
@@rehemamwamundela2717 Amen
@fionamakubo2600
@fionamakubo2600 3 года назад
Dah pole
@noelinemichael9162
@noelinemichael9162 3 года назад
Tatizo punguzeni mziki yaani sauti ya mziki mkubwa kuliko mtoa ushuhuda hatuna shida na wimbo
@elicanageorge1319
@elicanageorge1319 3 года назад
HAAAH MBONA SIJAPITIA GUMU EE MUNGU ASANTE KWA NEEMA YAKO. KUNA WATU WANA MAPITO ASE
@doreenkushoka4870
@doreenkushoka4870 3 года назад
😭😢
@irenjoseph8453
@irenjoseph8453 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭
@elinardomakunga8403
@elinardomakunga8403 3 года назад
Akili yangu inapo ishia ndipo akili yako uwanzia
@zaburihagai8265
@zaburihagai8265 3 года назад
MUNGU azidi kumtia nguvu Mana Ye ni MUNGU MWENYE NGUVU asie shidwa na Jambo lolote
@mcchilo13
@mcchilo13 3 года назад
Ushuhuda wa kugusa moyo. Lakini biti ipojuu kuliko mahojiano.
Далее
AMBWENE MWASONGWE: BINTI WA IMANI
7:37
Просмотров 330 тыс.
USIMSOMEE MTU ZABURI YA KISASI: AMBWENE  MWASONGWE
11:05
Ambwene Mwasongwe - Nifungulie Mbingu
7:41
Просмотров 82 тыс.
Maelezo Kuhusu "Nifundishe Kuomba" - Ambwene Mwasongwe
5:32