Daaah,Mungu tusamehe tunalalamika kwa mambo madogo, kumbe kuna wenzetu wanapitia kwenye majaribu ambayo ukitafakari unashindwa kupata majibu kwamba ingekua mimi ingekuaje 😭😭😭Mungu alijua kwamba haya unayaweza, amini Mungu anajivunia wewe ubarikiwe.
Kaka angu nyimbo zako zimenitia moyo lakin kwa mwimbo huu mpya nimepata uponyaji kwa wakati mgumu nilio nao nimeona niliyo nayo so kitu niachilia na nimetoka kwenye uchungu kwa yaliyo nipata Zaid ya nyimbo zako tatu nimelutana nayo lakin la huyu YESUsisimama
Nimekumbuka mstari wa kwenye wimbo wako wa misuli ya imani “kama unazani lakwako gumu basi sasa jifunze kwa wenzako maana wewe kuguswa tu na jaribu unanung’unika mwaka mzima”
Mimi mfuasi wako wa kina hapa Machakos,Kenya. Habari ya huzuni hii lakini ya kutia moyo. Na bila nia mbaya katika maojiano upunguze sauti ya mziki tuyasikie maneno vizuri. Mungu awabariki
Ee Mngu wangu unisamehee nilipo atwa na kajaribu kadogo nikanung'unika kiasi cha kukufuru nisamehee baba angu sikujua kama kuna watu wanapitia magumu zaidi yangu nijaze roho mtakatifu toka sasa amee🙏🙏🙏
Daaaah, Pole saaaana ndugu yangu kwakweli umepitia magumu saaaana. mungu akurehemu kwakweli , hakika tuna imani katika yeye atutiaye nguvu. mungu akusimamie katika utumishi wako
Hiyo soundtrack inameza maneno ya wenu.....ipunguzwe ukubwa wa sauti.story inaumiza na kufundisha Sana jins ya kushikilia Imani moyoni pasina na kujal unapita kwny jaribu gan
Naamini kusingiziwa ni kukubwa sana na ukiwa gereza unaweza kufikiri kulipiza kisasi kibaya sana ila kwa yote!!! Bado tunayo mengi sana ya kumshukuru MUNGU.
So saaad! Moyo Wangu umeyeyuka kabisa! Ni kwa nini shida vilio adha masumbufu hivi? Until when thou shall keep away from us ooh LORD? Pole sana kaka kwa changamoto za maisha
Mungu yu mkuu Sana, kwa kuyasikia haya kwakweli sistahili kulaumu Kazi za Mungu aliyeruhusu yatupate anajua vyema zaidi... Unisamehe bwana Yesu kama nimewahi kulaumu kwa magumu nayopitia... Ninatubu
Kaka Ambwene kazi yako ni Kubwa mno kila unachofanya kinagusa maisha ya wengi nimesikiliza story nzima nimejaribu kujiringanisha na Mtumishi wa Mungu huyo sijapata Jibu maana kiatu chake ni kikubwa mnoo akiwezi kunitosha Mimi Nimejikuta natokwa na machozi nikmkumbuka Bamkubwa yangu mwaka wa 9 sasa yupo gerezani Bira kuwa na hatia ila kakubari kutumikia kifungo Aiseee Nakuomba Uwakumbuke
Kwakweli sijui kwanini mambo ya Magereza yamekuwa ya kinyama hivi? Kuna mambo unaweza kusema labda yamepangwa ili mfungwa atoroshwe kwahiyo huwezi kuruhusu, lakini msiba hasa wa mke, mume au mtoto kwanini watu wasipewe ulinzi wa hali ya juu ili asitoroke? Ikiwezekana wawe wanahudhuria wakiwa kwenye gari lenye wavu mradi ashiriki. Mbaya sana.😭😭