Yes Mh Gwajima, walijua hilo kuhusu Vision ila kupewa hela kunategemea na budget iliyopo so kwa muda huu acha tuwape uwakala na sisi wafugaji wetu wakubwa na viwanda watajifunza kitu kupitia mahusiano hayo
Wah mifugo tuliyonayo ukilinganisha na population yetu 62mil ni kitu kidogo sana. Jiulizeni kwa siku tunakula mifugo kiasi gani na mifugo huongezeka kiasi gani kwa siku? Fikirieni kufanya baadhi ya wanyama pori kufugwa majumbani mf nyumbu, kanga, kwate, nk. Kiitoweo kitakuja kuwa nabupungufu mkubwa!
Du hicho kimombo cha mtu anayejiita daktari! Huwezi kuwambia watu zaidi mmoja kuwa you are one of them. Nadhani ni you are ones of them. Pia, hakuna kitu hongela kwenye Kiswahili. Si muongeeni Kiswahili kulko kujitia aibu jamani.