Baada ya Askofu mkuu wa kanisa la Anglikana, Jacob Chimeledya kumtaka Askofu mkuu Dayosisi ya DSM, Valentino Mokiwa ajiuzulu kwa kile kilichodaiwa kuwa anatumia madaraka yake vibaya na ubadhirifu wa fedha. Leo January 10 2017 Askofu Mokiwa ametoa ufafanuzi
17 сен 2024