Тёмный
No video :(

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Aeleza Wazi Alivyoukosa Upadre, Wanamsingizia Mke Wangu, Maaskofu Wacheka 

Jugo Media
Подписаться 171 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f День назад
Pole sana mh mkuu wetu wa majeshi mstaafu Mungu bado anavyokupenda sana na kazi yako ni nzuri sana hata kama wamekutoa huko Mungu alikuwa anasababu kukutoa huko wakati mwingine ungekwazwa huko mbeleni nafuu umetumika kwa Taifa lako. Hongera na Mungu akupatie umri mrefuu na afya njema sana.
@isayarozeck7512
@isayarozeck7512 Год назад
Mungu atukuzwe kwa Kiongozi huyu mkubwa mstaafu katika Jeshi. 2017-2022. Pamoja na kwamba wengi watumishi wa TPDF huwa na kiburi na majivuno lakini Yeye Bado alibaki katika Imani yake na kastaafu katika imani ileile. God bless Venance Mabeyo
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Год назад
Yani nampenda Sana uyu baba???🙏🙏🙏🙏 Mwenyezi mungu ampe maisha marefu tena yenye fraha🙏🙏
@niriacatering172
@niriacatering172 Год назад
Baba Mabeyo wewe ni mfano wa kuigwa asante Sana Kwa utume tunakukumbuka 2008 mwenyekiti Wa kamati ya ujenzi Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea Mungu azidi kukulinda pamoja na familia yako. Asanteni Sana Mababa Kwa utume Mungu awabariki Sana.
@danielekisinza537
@danielekisinza537 2 года назад
Ahsante sana CDF Mstaafu, speech yako nzuri sana. Hongera
@MathiasMakiluly
@MathiasMakiluly Год назад
Nimara chache kupata watu kaliba ya Mabeo mungu ampe uhai mrefu
@jimmymbella997
@jimmymbella997 Год назад
Ubarikiwe baba, mabeyo, mkuu wa majeshi msitaafu, una busara na hekima kubwa
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 2 года назад
Duh!!! Mstaafu General Mabeyo kila nikikuangalia kwa utumishi wako uliotukuka sikumalizi maana uzuri wako umetamalaki kila Mahali, MAY THE ALMIGHTY GOD BLESS U DADY, AMEN!!!!!
@ngubwene
@ngubwene 2 года назад
Yaani Hekima ya Mungu imejaa hapa ... Retired General Mabeyo. Mungu aendelee kukupa utumishi mwema wa kiroho na wa kidunia
@makaso1475
@makaso1475 Год назад
Hongela sana Bado Mungu anakutumia bado Kumtukuza na. Kuitangaza Neno la Mungu .❤
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Год назад
Ndugu mabeo alijua Kuna maisha menginee baada ya kazi yake God blease too
@alexissebuhura8040
@alexissebuhura8040 5 месяцев назад
Kweli nampenda uyu baba. Mungu akulinde na akujalie.
@mlulamsiliwa7123
@mlulamsiliwa7123 Год назад
Mabeyo as a team sana Kwa uliyoyafanya Kwa nchi yako
@daudimartine7364
@daudimartine7364 Год назад
Hongera saana kwa kupata tuzo hiyo Mungu akubariki sana na akuongezee maisha yenye baraka
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 9 месяцев назад
Ubarikiwe sana na upendo wa Mungu
@lusiuskinikuli2276
@lusiuskinikuli2276 Год назад
I love u mabeyo kama yule baba,
@user-sn8jd3ub1l
@user-sn8jd3ub1l Год назад
Oooooh my dad God bless you ❤
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Yaan huyu mstaafu sichoki kumwangalia na kumsikiliza. Mungu amtunze
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 2 года назад
Baba V. Mabeyo Mungu azidi kukubariki sana. Wewe kweli umekuwa mwanga na chumvi kwa watu wote.
@amanimwandele
@amanimwandele Год назад
Nimekupenda mabeyo
@HabakukiMajogoro-uf1cy
@HabakukiMajogoro-uf1cy Год назад
Kumbe hekima hizi na busara,ulizonazo ni roho mtakatifu juu Yako mabeyo,MUNGU akulinde sana.
@eddyjosephmagenge9446
@eddyjosephmagenge9446 2 года назад
Hongera sana baba V. Mabeyo kwa maneno yaliyojaa hekima ya kimungu
@salvatorymogesi6476
@salvatorymogesi6476 2 года назад
Hongera sana Baba kwa Utume wako kwenye Utume wa Walei. Mungu wetu aendelee kukubariki 🙏🙏🙏
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 2 года назад
Mungu azidi kumpa moyo huwo huwo mabeyo wetu
@anordstephan611
@anordstephan611 Год назад
Amina Sana na mungu awabariki
@peterclavery9989
@peterclavery9989 Год назад
Mungu aendelee kukutunza.
@petronillamnyambi7607
@petronillamnyambi7607 2 года назад
Mungu wabariki wanasibginda wote popote mlilipo
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Год назад
Bab mabeo wewunafaa kuongozahii nchi yetu Tanzania. Ikifikaa 2025 kachukuee Form y kugombea urais . Naamini utapat kwa kishindokikubwa. Unahof y Mungu. Naamini kila kitu utakachokiongea utamtanguliz Mung kama k ipenzi cha wanyonge jpm
@abdulazizmmbaga2570
@abdulazizmmbaga2570 2 года назад
Mungu akupe maisha marefu baba mabeyo
@fridoliusrushunju9093
@fridoliusrushunju9093 2 года назад
Jembe sana huyu jamaa namkubali mno kama mwendazake Yan
@pietrusjumbe107
@pietrusjumbe107 2 года назад
Hongera mgeni rasmi
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Год назад
Hongera na pongezi sana mkuu. Unatuheshimisha sana wastaafu pia unaendelea kuliheshimisha Taifa na JWTZ. Mungu akubariki sana.
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Год назад
Hata sisi tumekuelewa mzee mabeyo amani imekujaa moyoni mwako na amani imekutawala wewe ni mzalendo wa kweli hutopenda kanisa lako katoliki kutugawa
@victoriakiwanuka5428
@victoriakiwanuka5428 2 года назад
Thank you General for the word of Wisdom 🙏🙏
@esterkapfizi2723
@esterkapfizi2723 2 года назад
0⁰QQWA¹A1A1¹
@rwelamira
@rwelamira 2 года назад
Na awe Rais Wa Nchi yetu huyu
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 2 года назад
ASAASANTE MUNGU WETU ASANTE sana wanasingida. ASANTE SANA WAHASHAMU Maskofu WETU. MH.RAIS WA BARAZA NA NAIBU RAIS NA WAAMINI WOTE.MKUU WA MAJESHI MSTAAFU WALEI WA KIKE NA UGENI WOTE WA SERIKALI KARIBUNI SINGIDA.ASANTENI SANA KWA KUSHIRIKI MIAKA 50 JUBILEI YA DHAHABU:
@geraldeliona7657
@geraldeliona7657 2 года назад
General mtu makini sana
@rithaurassa
@rithaurassa 17 дней назад
Unasema ukweli hata mimi nimeshindwa ila hawatupat .umegusa. Maadiili nimekupenda bure inatakiwa ukachukue form ya uraisi haraka iwezekanavyo.Hii nchi hakuna anayehamasisha maaadili.Ndio uharibifu umezidi Taxania nahakuna anayekemea kama kiongoz.
@alfredatembi6697
@alfredatembi6697 2 года назад
Wana Singinda hoyeee. Jamani Kuna is nini hapo Singinda? Nakumbuka hata Mhesimiwa Makhufuli katika uhai wake akiwasifu sana Wana Singinda.Na someone invite me. Kishwahili safi --Wadugu Watanzania.
@isacknanyaro-tg2xh
@isacknanyaro-tg2xh Год назад
Kwann jamani watu kama hawa wasipewe kuwa rais wa nchi yetu?
@AshaBay-xg7wp
@AshaBay-xg7wp 4 месяца назад
Wito wako ilikuwa ndoa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 дня назад
Kuiba au kutekwa kwa watoto wetu ndiyo muundo mazuri? Serikali pia inatakiwa kusaidia watoto wetu.
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772 2 года назад
Safi Sana. Ila Askofu kapitiwa kidogo hakuna dini ya Katokiki. Katokiki ni dhehebu ndani ya dini ya Kikristu
@danieltemba6700
@danieltemba6700 2 года назад
Hajapitiwa ndugu. Ndivyo ilivyo Dini Katoliki yaani dini ya watu wote. Askofu hajakosea. Ukisikiliza kiapo cha Askofu kukiri imani kabla ya kusimikwa utaelewa.
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Год назад
Siyo katokiki ni katoliki. Maana yake ya wote.hii ndio dini ya wakristo wote. Wale wengine wamejitenga tu hao ndio madhehebu
@oceanviewhillpark6491
@oceanviewhillpark6491 2 года назад
Dah! CDF mnyenyekevu sana.
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 Год назад
Nilikumisi sana
@joeljoseph2360
@joeljoseph2360 9 месяцев назад
#👏👏👏
@danielekisinza537
@danielekisinza537 2 года назад
Huu ni utume uliotukuka
@cinterproductscinterproduc8606
🎉🎉
@mohamedjoseph8542
@mohamedjoseph8542 2 года назад
👏👏
@saimalunde4002
@saimalunde4002 Год назад
Hata marehemu baba Yangu huwa anasema kipindi hicho kamaliza form six mkwawa high school alijaza form kuwa mwalimu Lkn alipopelekwa jkt msange kwa mujibu wa sheria habari ya kwenda vitani ilimkuta huko kwahyo ndoto yakuwa mwalimu iksishia pale akawa mwanajeshi na alistaafu akiwa canal nimeidikiliza hi nikacheka tyu 😀😀
@josephpetro2968
@josephpetro2968 3 месяца назад
sasa mbona katika nafasi za ajira za jeshi la polisi wanataka shahada ya elimu ya kiisilam .sasa nchi yetu inataka kuwashitaki waisilam au kunanini pale serikali inaanza kuajiri kwa misingi ya dini je? Watanzania tunaelekea wapi.
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 2 года назад
Natamani ungekuwepo mh Rais ajae
@kananipius2649
@kananipius2649 2 года назад
The next commander in chief 2030? I don't know.
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 2 года назад
2025
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 2 года назад
Anaongea kama mwendazake
@mhifadhi797
@mhifadhi797 Год назад
Hapa Kuna mtu
@jacquelinekahamba7872
@jacquelinekahamba7872 2 года назад
teh teh teh
@williammkenda5879
@williammkenda5879 2 года назад
Mh Mabeo Mungu akubariki kwa maneno ya baraka,,,,, kweli umetoka mbal mkuu
@teresiandimbo852
@teresiandimbo852 2 года назад
Mungu akuongezee miaka mingi Na Mungu ikikupendeza tunaomba awe Rais wa nchi yetu Mungu tusaidie tunamuombea kwa unynyekevu.
@stantonemgao3771
@stantonemgao3771 2 года назад
Lijenje jamani alikosa nini na yuko wapi?
@charlestembele7787
@charlestembele7787 Год назад
Sijawahi acha kukupendaaa Kwa kumbukumbu tu ili nisikusahau tamwita MWANANGU jina mabeyo yan ulifana sana kuitwa mkuu wa majeshi MUNGU amuongoze na aliye kurithi
@benswai8099
@benswai8099 2 года назад
Baba askofu hao viongozi wa Chama ni kina nani na ni chama gani? Hizi dini na siasa zinakwaza waumini kwa kweli
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22
WILL IT BURST?
00:31
Просмотров 27 млн
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22