Тёмный

ASKOFU MWAMAKULA -"NILITEKWA SAA KADHAA -SIYO POLISI -HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

''NILITEKWA KWA SAA KADHAA - SIYO POLISI - HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA'' - ASKOFU
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@globaltv_online
@globaltv_online День назад
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@edustudiotz3879
@edustudiotz3879 День назад
“The group does not exist”; wameandika hivo
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 5 часов назад
Askofu muasi kwa kanisa halisi la Moraviani akaanzisha lake "kanisa la Moraviani la uamusho"
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 дня назад
Safi sana mzee wetu Baba askofu mwamakula nyie kwa hakika wazee kama nyie ni tunu ya taifa ubarikiwe mnoo
@mr.vionge
@mr.vionge 2 дня назад
Asante sana umeifanya siku yangu kumalizika kwa amani kabisa
@drallan6879
@drallan6879 11 часов назад
genius mwamakula Archbishop
@FelixMiyamini
@FelixMiyamini День назад
Asante mzee
@julietthomas2566
@julietthomas2566 День назад
Well said Askofu
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 дня назад
Kusumbua tu watu .mbona kuna waliotekwa wamewasema watekaji hamtaki kukubali tu wachukuliwe hatua
@humphreymwankemwa
@humphreymwankemwa 2 дня назад
Baba Askofu Mungu akubariki sana umeongea UKWELI MTUPU. Watanzania ni WAOGA tunatakiwa kupigia kelele mambo yote .ABAYA. OSTABEI huko!!! Mungu anawaona.
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 16 часов назад
Safi sana askofu waziri wa fedha anza nae
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 5 часов назад
Askofu muasi wa Kabisa halisi la Moravian Akaanzisha lake
@bertinkimati2674
@bertinkimati2674 2 дня назад
Samia alimuindoa DC wa loloondo sio kwa kelele za umma Bali DC alisema jambo balo Samia hakuliona. Ndugai aliondolewa uspika kwa kusema kuwa anakopa bila utaratibu. Sabaya aliondolewa u DC wake na kufinywa kidogo sio kwa sababu zile waliposema Bali kwa kosa lake la kumdarau Samia akiwa makamu wa Rais. Historia inaonyesha wazi kuwa Rais Samia anakwama kuchukua hatua kwa matukio makubwa ya itekaji sio kwamba hajui Bali Wahusika ni kikosi kinachowajinika kwake.. Kama kweli anataka tuamini haushiki kwa nini asitoe amri kwa polisi na vikosi ya usalama iwe marufuku kwenda kumkamata mtu wakiwa na nguo za kiraia na ikitokea mtu kafiatwa na watu wasio na uniform rasmi hao watu washambuliwe kama wezi tu.?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 День назад
Naanzia huku ulikoishia, kwani kuna ruhusa ya wezi kushambuliwa? Suala la uteuzi na utenguzi ni mamlaka ya Rais usilete tafsiri zako, kwani waliteuliwa kwa nini. Sheria zetu na vyombo vya ulinzi na usalama viko vizuri. Matukio yapo hata kabla ya Rais Samia kuingia madarakani.
@GraceDeo-g1n
@GraceDeo-g1n 23 часа назад
Upo sawa kamanda hii kaz ya mama ​@@hajihassan5433
@brittanypulei789
@brittanypulei789 День назад
Upo vizur baba
@saimonseleka8792
@saimonseleka8792 2 дня назад
Ostabei bwanaa 😢
@HeriMohamedi-re7xu
@HeriMohamedi-re7xu 2 дня назад
Tanganyika ni koloni la waarabu kupitia Zanzibar lakini watanganyika ni mapoyoyo ccm ni chama cha Zanzibar. Lakini inaitawala Tanganyika
@mkude
@mkude 2 дня назад
Unaongea pumba,huna unalolijia,ulichoandika hakieleweki,sijui tatizo huna elimu au chuki zimekutawala.
@OscarKasalile
@OscarKasalile 2 дня назад
Wewe hovyo sana
@erastodickson3063
@erastodickson3063 2 дня назад
Mfyuuuuuuu
@OscarKasalile
@OscarKasalile 2 дня назад
@@HeriMohamedi-re7xu Hovyo Sana wewe mtu mweusi unajifanya mwarabu utumwa utawaisha lini vichwani mwenu?
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 16 часов назад
Anayetakiwa kujiuzuru ni waziri wa mambo yandani mheshimiwa musiogope kusema mlilo ninani mtu mdogo
@ExcitedChemistryExperime-pl8vf
@ExcitedChemistryExperime-pl8vf 11 часов назад
Ivi mzee iko kibandiko apo kichwani kime kaaje kaaje
@MbendaHalfan
@MbendaHalfan День назад
Mambo ya kaisali mwachie kausali na vyake mungu mwachie mungu,nataka nikwambie tu wewe unaejiuta askof hatutaki mambo ya kongo uyalete Tanzania yaani maskofu ndio wenye kauli ya kusimamia serikali
@nyembobea7285
@nyembobea7285 2 дня назад
Mchungaji wa kanisa la chadema nakukumbusha tu kwamba lema aliwahi kuota kwamba magufuri atakufa na kweli leo hatuko nae vipi ulishawahi kumuuliza juu ya ndoto hiyo ilikuwaje
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 День назад
huyo hakuota, bali ni mfuhasi wa mauwaji ya magufuli.. kipndi anasema kaota, ndo kipindi mchakato wa mauwaji wanaisuka.. ndo maana hilo jamaa lilisafiri nje
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 2 дня назад
Hapo nathani asikofu umeelewa nani mtekaji. Musimughunye maneno sio raia baba tumuachie mungu. Kama wao wataishi milele
@JAPHETLAIZER-i9m
@JAPHETLAIZER-i9m 2 дня назад
How are you doing today
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 2 дня назад
Hao police ni watekaji kweli na Wala sio uongo walimteka kaka yangu wakaenda kumficha kituo Cha police tazara shenzi hao walikuja kama majambazi na noa pikaup kibini
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 День назад
Mama abdul atakaa na viongozi wa dini aongee nn,yuko wp kijan aliechoma picha mbeya?
@gift-AA
@gift-AA 2 дня назад
PAROKO WACHA KUTUMIKA KISIASA JADILI NENO LA MUNGU NAFKIRI HUJAJUA BADO NINI MAANA YA KUTEKWA
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 День назад
But also remember this is a mature conversation sir
@GiliadLuziro
@GiliadLuziro День назад
Kwan wamekusanyika kwaajil ya kuhubiri mpaka useme asiongelee siasa,tambua kwanza n nn kimewafanya wakusanyike hapo
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 дня назад
Tunashukulu kwa kutoa mwanga wa matumaini nchi yetu ni nchi yenye watu waliojaa hekima kubwa mungu awajaalie kupata majibu
@damianichayo895
@damianichayo895 2 дня назад
Hata hivyo Bado ni maumivu kwetu. Yaani badala ya askofu kuwa neutral unaegemea upande, is it ? Mchungaji?????
@QwakuHangu
@QwakuHangu 2 дня назад
Huyu siyo askofu huyu ni gofu moongo mzushi na kama siyo kauli yako ilewek jibu nikujbu
@JudicaShoo-x9n
@JudicaShoo-x9n 2 дня назад
Warudishe kwanza maarzi ya watanzania walizojilimbikizia
@GODWINKANJU
@GODWINKANJU День назад
Sijawai kuona watumishi wa kweli ya Mungu wanakua wana siasa, kanisa utaliongozaje? Ukimuona mtu anajiita askofu, mchungaji, nabii na wengineo wengi watumishi watumishi wanajihusisha na siasa jua hakuna mtumishi hapo. Wachungaji wanasifa ya usuruhisho na maombi sio uchochezi
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 59 минут назад
Viongozi wa dini Wana mchango makubwa katika nchi yetu
@ThomasErro
@ThomasErro 2 дня назад
uyu baba nimchochezi, hana sifa ya uaskofu, kiherhere inazidi
@Fesary
@Fesary 2 дня назад
Hana sifa ya kuwa Askofu tukwamini wewe kama nani,
@mjanthony4864
@mjanthony4864 2 дня назад
@@Fesary Imagine, tumwamini yeye kama nani? Swali zuri sanaa
@hamzamajenja4891
@hamzamajenja4891 2 дня назад
Shida Yako ni uchawa na kujipendekeza, omba lisikukute wewe sikia tu Kwa mwenzio
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 2 дня назад
Wewe ni chawa
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 День назад
Unajua maana uchochezi ... Au kwa kuwa umepewa tende na halua kutoka unangani
@mohamedyeslam5194
@mohamedyeslam5194 2 дня назад
Mbona wakati wa Magufuli hakuna wala haijatokea
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 2 дня назад
Hinger askofu kwa uweledi wako
@JeremiahKaliwa-h1w
@JeremiahKaliwa-h1w 2 дня назад
Ahaa eti yule wa maporin kutenguliwa,sio hoja angefikishwa mahakaman.
@noellema9109
@noellema9109 2 дня назад
Nakumbuka ata mweshimiwa lowassa ambaye ni marehemu aliwahi kujiuzulu
@YohanaPeter-r1y
@YohanaPeter-r1y 2 дня назад
Afikishwe maakaman nann wakat alimtaj m2 alie mteka wakamfumbia macho kec ikaishia ewani
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 дня назад
Waachieje mamlaka wakati huna ushahidi? Mpaka ije igundulike ndipo arudi c atakuwa ameumia? Mbona mnakimbilia sana kusema wajiuzulu au mnawajua watekaji halafu mnataka kupotezea kwa watu kujiuzuru? Acha mambo yako bhana
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 дня назад
Ushahidi wa aina gani unaotakiwa? watu wameanza lini kusema watekaji ni wao? inatosha huo kuwa ushahidi maana wao hawajawahi kumleta mtekaji ilhali wao ndo wa
@JudicaShoo-x9n
@JudicaShoo-x9n 2 дня назад
Afananii Wala kuwa askofu
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 День назад
Huyo ndiyo Askofu ... Askofu makini anayetetea watu wake
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 дня назад
Huyu bwana anaposema mke wa kaisari halaumiwi maana yake ni nn?
@StevenSanga-n3n
@StevenSanga-n3n 2 дня назад
Kula nyama nyamaza😮
@chandechande9642
@chandechande9642 2 дня назад
Kiufupi huyu mtangazaji hanania mzuri
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 2 дня назад
Kwani wewe unania nzuri?
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 День назад
Hana Nia nzuri .. mnataka awe na nia Gani .. ya uchawa chaws si ndiyo ? Acheni ujinga ....
@mbagalacharambe114
@mbagalacharambe114 2 дня назад
Huyu mzee kweli anazeeka Vibaya Sana ...
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 День назад
Anazeeka vibaya .. au wewe ndiyo uelewa wako mdogo kutokana na kupewa tende na halua kutoka unangani ... Na Mambo yenu ya hivyo kutoka mbagala
@HASSANWAZIRIGAO
@HASSANWAZIRIGAO 2 дня назад
Wewe Si Asikofu Acha hiyo Kazi Nenda Kwenu Mbeya Kalime Mpunga
@JacobSanday-u9h
@JacobSanday-u9h 2 дня назад
Acha upumbav wew muislamu gaidi
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 2 дня назад
Acha dharau wewe. Askofu yuko sahihi kabisa.
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 День назад
Tatizo lako umejaa chuki kutokana na kupewa tende na halua .. kutoka unangani ...
@HASSANWAZIRIGAO
@HASSANWAZIRIGAO День назад
@@nicodemusngwala2079 Chama Chenu Kimefanya Mbinu na Maaskofu kisiichague Ccm kwakuwa Samia ni Mzanzibari na ni Mwiislaam
@loner_wolf
@loner_wolf День назад
Askofu najiuliza na usomi wako umeshindwa kusoma biblia vzuri hata ushindwe kujua mission ya Warumi na Paulo juu ya kuvisha watu misalaba shingoni ?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 дня назад
WACHA UWONGO WEWE PALOKO NANI AKUTEKE WEWE 😢😢😢😢😢NENDA KIBONGOTO KWANZA
@SAMFELEX-vz5yz
@SAMFELEX-vz5yz 2 дня назад
Ujitambui ww mtu anaongea point unafnya masiara shenzi
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 дня назад
@@SAMFELEX-vz5yz POINT GANI HUYO ASKOFU MCHWARA WA SACCOOS WAMECHEMSHA
@JacobSanday-u9h
@JacobSanday-u9h 2 дня назад
Waislamu wapumbav tu
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 дня назад
@@JacobSanday-u9h WAGALATIA AMKENI HUYO SIO ASKOFU HUYO NI MWANAHARAKATI 🤩🤩🤩🤩
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 2 дня назад
​@@JacobSanday-u9hSasa Waislamu wameingizwaje kwenye hoja yako?
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 День назад
huyu kishandu wa buguruni vp? Et anajiita askofu.. km maaskofu ndo hawa bac dini nimeamini ni uhuni tu..
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 День назад
Ulimi ka chojio mhuni mwenyewe
Далее