Yamoto band we need you 🔙 you guys were amazing and you will always be please rudini tafadhali na pia achilia kitu kwa pamoja mbosso yeye nikama katekwa na wasafi
😂nacheka mpaka nalia wasanii wangu walivyo tawanyika mungu arudishe kundi hili naapa litafika mbali maana ote ni mafundi wa mziki isiaka kaa na wenzako hata mkirecod ngoma nitachangia video natamani mrecod kwangu lakini wasanii wanaangalia majina
Wasafi should do the needful cha kushangaza viongozi wa yamoto ndo baadhi wako uko for once allow mboso na wenzio wafanye performance o another hit Yafire bado muko juu
@@stellachalamila7455 Tunataka kujua kama mashabiki zake, je anakumbuka enzi za utoto wake? Au ndio mmeishaanza kumbana dogo hadi anakosa uhuru wa kuamua? Mwambino roho mbaya.