Тёмный

Bora Adui Shetani Kama adui Kiumbe Fatma Issa 

Old Is Gold Taarab Zanzibar
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 243 тыс.
50% 1

Old is Gold Taarab Zanzibar

Опубликовано:

 

10 мар 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 171   
@Pollanese16
@Pollanese16 8 месяцев назад
I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.
@hassankitwango487
@hassankitwango487 4 дня назад
Tunaosikiliza 2024/07/17 Tujuane hapa💪✊💯🔥
@seifmohd3901
@seifmohd3901 3 месяца назад
Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana
@jonathansima5322
@jonathansima5322 6 лет назад
Mungu akupe maisha marefu mama inshaallah.........kheri adui shetani kuliko adui kiumbe wallah naielewa hii nyimbo htr
@bintshabani4564
@bintshabani4564 5 лет назад
Cute song
@husnahussein6785
@husnahussein6785 6 лет назад
Warereeeee ! Waaaaaah ! Mashairi Mazuri sana... Na Sauti Maashallah keep it up !!!
@abubakarkhamis3884
@abubakarkhamis3884 2 года назад
MashaAllah MashaAllah MashaAllah raha jaman raha kusikiliza huchoki waishia kurudia irudia tu
@muadhally5803
@muadhally5803 3 года назад
2021 gonga like 😛
@hamisially34
@hamisially34 Год назад
Yani siichoki kuisikilza hii nyimbo jinsi nilivyo zungukwa na Madui viumbe
@Drlove164
@Drlove164 6 лет назад
Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,
@nurualihamad895
@nurualihamad895 6 лет назад
Mnyasa mnyasa kwann tena hujaposewa
@thureyalea8258
@thureyalea8258 3 года назад
😃😃😃😃😃
@jumahamis5943
@jumahamis5943 3 года назад
@@nurualihamad895 😅😅
@abdulrahmanhassan9374
@abdulrahmanhassan9374 2 года назад
Hi nyimbo nakupenda toka niko mdogo
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Ni kweli kabisa hawana tofauti hasidi na fisadi ni kheri adui shwetani kuliko adui kiumbe
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Tena dada heri adui shetani kuliko adui kiumbe but malipo ni duniani akhera huenda hisabu saddaqta mwahhhhh🙏🙏🙏🙏
@inversedelcruise676
@inversedelcruise676 3 года назад
Mwisho Wa mwaka 2020 dec 25 leo, kama upo like
@AhmedYussuf-nb4du
@AhmedYussuf-nb4du 3 месяца назад
Masha Allah amakweli dafatuma issa una sauti nzuri mwenyezi akulinde na husuda
@abuumsuyq7033
@abuumsuyq7033 5 лет назад
Yaan mashairi matam zanzibar kunawaimbaji wazurisana sautinjema sana pia mapigo yahizo dufu
@abassseif143
@abassseif143 3 года назад
Tupo sawa 🤣🤣🤣
@thuaibaally6921
@thuaibaally6921 4 года назад
ah yani hii nyimbo bibi ang anaipenda ananimalizia mb zang kila sku jamani lkn nzuriiiii mpaka bibi anaipenda mashaalah
@snashiralmuaqly598
@snashiralmuaqly598 2 года назад
haaaaahaaaaaaaaa hichi kitu co mchevo voooo thuwaiba
@innemussa1828
@innemussa1828 5 лет назад
ahsant bint issa,mashaallah!!! mashairi murua!!!! adui kiumbe! daima asikusifu!!! hata kuchoka hachoki!! hata km kitu huna!!!!!
@tunnaika
@tunnaika 5 лет назад
Wallahiiiiiii
@hassanmkwama9900
@hassanmkwama9900 4 года назад
Alaaaa Mwambie mmakonde
@pandupandu-wv3hi
@pandupandu-wv3hi Год назад
Heri adui shetani...km adui kiumbe...akhera kwenda....hesabu..maneno grade A...
@snashiralmuaqly598
@snashiralmuaqly598 2 года назад
Yaani mimi nikiicikia nyimbo hiiii nakumbuka wachawi walivo yatia mafuta ya taaa maisha yangu
@saidali-hx4bk
@saidali-hx4bk Год назад
Mi pia nakumbuka mbali nikiskia wimbo huu
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 Год назад
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@hmsrashd7910
@hmsrashd7910 Год назад
Enzi za utoto: tukiimba Kama burudani Ukubwani: ndio tunaelewa maana
@suleimanali5681
@suleimanali5681 11 месяцев назад
😂😅😂❤
@user-zo9ti2xe1z
@user-zo9ti2xe1z Месяц назад
hatr
@johnkuma6867
@johnkuma6867 2 года назад
Hata mimi naamini ni bonge la nyimbo na nimeipenda
@cutezyzaaa1407
@cutezyzaaa1407 6 лет назад
kweny mnanda me ndo namalizika😍😍😍😍
@ivanshayo1640
@ivanshayo1640 5 лет назад
umeona heeee yan hatar sanaaaa uchoki kusikiliza jaman
@abassseif143
@abassseif143 3 года назад
Upo saw
@ameirsalmini6253
@ameirsalmini6253 3 года назад
Ilove Zanzibar from kp
@juwairiamikidad8236
@juwairiamikidad8236 Год назад
Mashallah Mashallah sauti nzuri maneno mazuri saana
@snashiralmuaqly598
@snashiralmuaqly598 2 года назад
hiiiii ngoma hata ikae miaka 100 bac bac bado itakuwa juu
@MohdAli-cg6ds
@MohdAli-cg6ds 2 месяца назад
Kabisakabisa
@wizmontana1615
@wizmontana1615 2 года назад
Fantastic 2022 adui kiumbe
@user-nx8mo9wk1m
@user-nx8mo9wk1m 9 месяцев назад
Salaam alekum kweli yako shetan na kiyumbe wote siwazuri kheri pakaa na mbuzi niwazuri umenifurahisha sana Allah akujazi wape kweli
@jumaajumaali
@jumaajumaali 8 месяцев назад
Ok
@hamzaahmed69
@hamzaahmed69 2 года назад
Hongera Sana wallah nyimbo nzuri saana
@salumsafkim3962
@salumsafkim3962 Год назад
Mdaa wa chuo ndio inapigwa nyimbo hii had raha jmn dah
@saidali-hx4bk
@saidali-hx4bk Год назад
Mashallah I like the lyrics...
@misterferuzi3873
@misterferuzi3873 3 года назад
Adui kumbe 2021 tujuane
@allyibrahim2507
@allyibrahim2507 3 года назад
Ulipo nipo
@adammaswe7078
@adammaswe7078 4 года назад
Kuna mtu kanikwaza,ngoja niukonge moyo wangu kwa huu wimbo,Fatma mwaaaa
@fadheelngowi5908
@fadheelngowi5908 4 года назад
Hahahahaaa nimeipenda
@dulaabdalatajanambayasimu7606
@dulaabdalatajanambayasimu7606 2 года назад
Hongera mama fatma
@hanankhalifa8309
@hanankhalifa8309 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥2022 yan hajakosea maneno yake kbsaa
@mouhamadbakri8655
@mouhamadbakri8655 7 лет назад
mungu akubariki mamangu
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 года назад
Adui kiumbe!! 👌👌👊👊
@ivanshayo1640
@ivanshayo1640 5 лет назад
NI BONGE LA NYIMBO NAIPENDA SANAAAAA
@MafundaSharifu
@MafundaSharifu 2 месяца назад
Mungu atuepushie na adui kiumbe
@fatmaabdulqadir1772
@fatmaabdulqadir1772 6 лет назад
nampenda Fatma issa anajua kuimba
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 года назад
hujanishinda mimi...yani huyu mama wallah kama ningelikuwepo enzi zake ningemuoa habibt wangu kipenda roho.
@Mumewangu
@Mumewangu Год назад
@@mohamedsuleiman7215 mie kama namjuwa anapoishi ivyo ivyo kazeeka namuowa tu
@sultanhamad4924
@sultanhamad4924 3 года назад
Mwema rafiki hanae
@HalimaAhmed-l4n
@HalimaAhmed-l4n День назад
Hahaha kuna watu wanaumia sana nikiweka hii nyimbo yaani
@salumgiriki4779
@salumgiriki4779 4 года назад
dah hii nyimbo naipenda mno nakumbuka kipindi hicho mida ya saa nane nikienda madrassa dah welldown mama fatma issa
@AmCool_
@AmCool_ 4 года назад
Hahaha na ukiisikia tu popote pale unajua mida imefika hahaha mule muleeeeee
@sleymohamed3825
@sleymohamed3825 3 года назад
hhahaaa kweli bana
@abassseif143
@abassseif143 3 года назад
Vyakale ni dhahabu ata na mimi nimeliona ilo
@ShaniLogic
@ShaniLogic 6 месяцев назад
@salumgiriki4779 hivi tulikua tunaishi mtaa mmoja nini maana namimi naikumbuka kwa hivyo hivyo pamoja na ile ya Asia alkindy😂😂😂
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 3 месяца назад
Kabisa mida hiyo mama kashamaliza kunisuka nshalala naamshwaa haya chuoni sasa😂😂
@zainabumakame6743
@zainabumakame6743 3 года назад
Mungu aninusuru na adui kiumbe
@captainabdul4906
@captainabdul4906 3 года назад
2020
@aliabdallah4233
@aliabdallah4233 8 месяцев назад
Mda wa chuoni ukipita njiani lazma uiskie hiyo kusklza unataka na bakora chuoni zinakungoja sa8
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Huyu Mama anastahiki tunzo ya uwimbaji bora kwa upande wa taarab maana hatokei kama yeye kwa upande wa taarab kabisa yaani kwa ninayosema
@snashiralmuaqly598
@snashiralmuaqly598 Год назад
Ni kweli mana hii yimbo ina ujumbe mzuri sana
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 Год назад
Japo mwenyewe chako kakubariki wabudyyyyy watakiendea mbio hadi lao litimie huyo ndie aduiiiiiiii kiumbeeeeee
@jumamkwelengala5922
@jumamkwelengala5922 6 лет назад
Hiyo ni kwaniaba ya watu wenye roho mbaya wenyewe wanajijua
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Ni kweli kabisa duniani ni Mapito but akhera ndio kwetu kwa hivyo wataishi n'a hizo adhabu za . Mungu kwa yote waliyatendea wenzao🙏🙏🙏
@AhmedYussuf-nb4du
@AhmedYussuf-nb4du 3 месяца назад
Kwanini na si wazanzibar tukaeka play graund song kama India nazani tuta uzamichezo yetu
@asharashid459
@asharashid459 8 месяцев назад
2023 comment zenu😂
@latb2747
@latb2747 5 лет назад
snt kheri adui shetan km adui kiumbe
@saidbahanuzi
@saidbahanuzi Год назад
02/02/2023 like
@rehimatanzania4337
@rehimatanzania4337 4 года назад
Bora adui shetani kama kiumbe malipo duni ahera kuisabu fatuma Issa maaneno kabisa maaneno yako
@SaidAli-ec1zm
@SaidAli-ec1zm 6 месяцев назад
Old is gold
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 года назад
Legend
@ahmadjkhadira873
@ahmadjkhadira873 2 года назад
July's 2022
@Amina-zs5gf
@Amina-zs5gf 11 месяцев назад
Haitachuja Wala ikae ichuje Gonga like👍 From 2023 August 20
@rahmaseif793
@rahmaseif793 3 года назад
Waaaaaooooooo
@NaomiShauri-le8jx
@NaomiShauri-le8jx Месяц назад
Mashallah mama uko vzr
@aishaali1467
@aishaali1467 4 года назад
🥰🥰
@ramadhanimshahara986
@ramadhanimshahara986 2 года назад
Mashaa Allah
@cutezyzaa1499
@cutezyzaa1499 5 лет назад
😊😊😊
@JumaMasharubu
@JumaMasharubu 2 месяца назад
Huyu ndio kiboko
@nawalidha931
@nawalidha931 3 года назад
Waa
@user-xo7sg1pw7m
@user-xo7sg1pw7m 10 месяцев назад
MashaAllah 🎉❤
@SaidiAbdallah-nd2wm
@SaidiAbdallah-nd2wm 2 месяца назад
Mashallah.....
@rahmayusuph7934
@rahmayusuph7934 4 года назад
Wanafki wapoo inawachoma
@hajikhatibhaji7162
@hajikhatibhaji7162 6 лет назад
NI MANENO YA UKWELI MATUPU
@abassseif143
@abassseif143 3 года назад
Lisemwalo lipo kama halipo ujue laja huyu ndio adui 💆
@mwigaali9780
@mwigaali9780 5 лет назад
Bora adui shetani utamwita nakumpa kitakacho nakwenda zake ila adui kiumbe? Utaimaliza dunia na pembe zake
@allyzezefu7949
@allyzezefu7949 3 года назад
Bora adui shetani kiumbe hatari anataka akutangulize
@NurdinMbaya
@NurdinMbaya 10 месяцев назад
Mashallah
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 4 года назад
Hakikaaaaa.jamaniii.yakale dhahabu sn
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 года назад
Xannah kabisa lkn sasa mitusituuuuu
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Hii nyimbo nikiisikia nakumbuka enzi zile za kwenda chuoni inapigwa kwenye kipndi cha burudani na sauti ya Zanzibar ama sivyo
@saidhamad7504
@saidhamad7504 Год назад
100%
@saidbahanuzi
@saidbahanuzi Год назад
100
@saidali-hx4bk
@saidali-hx4bk Год назад
Siku hizi inaitwa ZBC Radio zama hizo ikiitwa sauti ya Tanzania Zanzibar
@mulhatomar6953
@mulhatomar6953 Год назад
Yaan mm na ww mawazo sw enzi izo ukiisikia 2 wimbo huu ujuwe muda wa chuon tyr da 😋 zaman raha kwakwel
@rashidsaid1092
@rashidsaid1092 9 месяцев назад
Upo sahihi ukisikia hiyo unajua mda wa chuoni tyr
@SaidiAbdallah-nd2wm
@SaidiAbdallah-nd2wm 2 месяца назад
Vya kale ni dhahabu....
@BalalayusufAli
@BalalayusufAli День назад
Vya zamani kweli havirudi
@omarymohamedi8811
@omarymohamedi8811 6 лет назад
hili goma balaa
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 7 месяцев назад
Huyu mama kabarikiwa nasauti walai yani watamani umsikize
@saidali-hx4bk
@saidali-hx4bk Год назад
Mate chini nnatema....tunusuru ya jalia nahisi Tabia mbaya..
@allybinsanga963
@allybinsanga963 3 года назад
31/01/2021 like
@hamzaahmed69
@hamzaahmed69 Год назад
Mashaalah kwa kweli
@user-bx7ch9kz5u
@user-bx7ch9kz5u 3 месяца назад
Mm ilikua zikipigw tu najua mida ya kula tayr 🤣 daah tuntok mbali
@abassseif143
@abassseif143 3 года назад
Lisemwalo lipo kama halipo ujue lajaaa!! 👹huyo ndio hasidi
@munguamuekemahalianapostah3338
@munguamuekemahalianapostah3338 3 года назад
Malipo ni duniani akhera kwenda hisabu viumbe
@ahmadisaid9304
@ahmadisaid9304 2 года назад
Ama kweli zanzibar ni zawadi kutoka kwa mola kiufupi tunajua kweli na huyu dada hana mbaya na hana utovu wa adui kama mond
@cutezyzaaa1407
@cutezyzaaa1407 6 лет назад
hehehhe
@makamefoum8058
@makamefoum8058 4 года назад
Nitafute kwa 0769311574
@UlediHamadi
@UlediHamadi 11 месяцев назад
Waooo
@babymuniral6840
@babymuniral6840 3 года назад
💌
@zaidymambo1013
@zaidymambo1013 7 лет назад
mngu akupec
@abdirashidmohamud231
@abdirashidmohamud231 7 лет назад
I loved she is the singer I don't speak Swahili but I liked
@AllyAlly-yb4pl
@AllyAlly-yb4pl Месяц назад
2024
@SurprisedBurrito-pw4wt
@SurprisedBurrito-pw4wt 7 месяцев назад
Enzi zimepita binadamu nikiumbe hatali
@muhammadomar1787
@muhammadomar1787 4 года назад
Hata kuchoka hachoki adui kiumbe huyo
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 Год назад
😀😀😀😀😀😀😀😀
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 года назад
Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata
@cutezyzaaa1407
@cutezyzaaa1407 6 лет назад
😚
@naissabard2519
@naissabard2519 6 лет назад
mhh
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 года назад
maneno kuntu
@kingrichason3367
@kingrichason3367 Месяц назад
Tunatoka mbali sana 🤣
@khamismusa7626
@khamismusa7626 6 лет назад
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
@tunnaika
@tunnaika 5 лет назад
Lmaooooooo...ukweli ama vipiii lmaoooo hahahhahhahahha AUDHUBILLAH
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 3 года назад
Tujitahazar
@Aminaali-bv9du
@Aminaali-bv9du Год назад
Asokasro
@saadamabdulnasrijamal2483
@saadamabdulnasrijamal2483 Год назад
Yaani hichi kitu kilikua kinapgwa kweny sala. Sport club saa mbili asbh na saa nane mchane kweny taarabu ya sauti ya tanzania zanzbr miaka 99/2000
@khamisali547
@khamisali547 2 года назад
loo pooh yasini
@ahymokash9640
@ahymokash9640 6 лет назад
Weweweee looo poooo yasini mate chini natema kunusuru ya Julia nahisi tibia mbaya
@dulaabdalatajanambayasimu7606
@dulaabdalatajanambayasimu7606 2 года назад
Boti issa km huna mume mm nipo try kukuowa kwa sauti tu umejaliwa hazina ya zenji.
Далее
Asokasoro Hakuna -Fatma Issa, Culture Music Club
13:16
Просмотров 509 тыс.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
Просмотров 605 тыс.
Jaffar bay Sio mimi (kifimbo cheza)
20:11
Просмотров 383 тыс.
NENDA UTAKAKO MWANA KWENDA
14:50
Просмотров 176 тыс.
USTADH MUKRIM BEST COLLECTION 1
1:25:16
Просмотров 88 тыс.
Nyumba Ina Paa
15:14
Просмотров 16 тыс.
Nikumbatiye/Seleleya by Rukia Ramadhan (new version)
12:42
KAMA NIMEKUKOSEA @sweetmenthol
17:18
Просмотров 4,4 тыс.
MPEWA HAPOKONYEKI.
4:06
Просмотров 637 тыс.
NILAUMU MACHO YANGU AU MOYO NAMBIENI - SADIK TAARAB
13:10