I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.
Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana
Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,
Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata