Nafwata manzungumuzo yak hapa kutoka hapa Montréal, Québec. Dada Aziza ! Unacheza kipindi ya "Mama Kichaa" vizuri sana. Na kijana huyo Sele. Hongera sana kwako !🙏Unajuwa kazi yako ya comédie, dada murangi. 👍🇨🇩
Aziza hongera Sanaa unaweza but unakosea unapowatolea mfano house girl coz hawapendi wawe hivyo ni maisha 2 ipo ck nao watapata kama ww usiwatolee mifano mibaya wadada wa kazi wanamengi Sanaa wanayokutana nayo but hongera kwa kazi nzuri!!
Aziza my name sake aki all the way from Kenya nimekua nikiwafwatilia sana tu hadi mwisho,but nimsalimie steve na niwapongeze sana hongereni kabisaa,alafu aziza una talanta kweli nimeipnda kwakwli,na mimi ningeipata hyo chance pia ningeitumia ivo ivo nathani, Steve naomba chanz nije Tanzania uninafasi kama yawezekana, but mungu azidi kuwalinda..
Mmh.asee iyo mam yang Ni kichaaa inafundisha San nimeangalia nimelia kuhs sele naona Kama nikwl kunawazazi wengne ndo uhalisia wa maish😢mmeitendea haki kwa kwel❤❤