Тёмный

Baada ya Gari la Msafara wa Ali Kiba Kugoma, Hiki Ndicho Kilichotokea 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 198 тыс.
50% 1

MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ali Kiba mara baada ya kuwasili katia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere akitokea South Africa alikoenda kukabidhiwa tuzo yake ambayo alishinda lakini yakafanyika magumashi na kupewa msanii mwingine.
Baada ya kuwasili uwanjani hapo, Ali Kiba alipokelewa na nyomi ya mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa hamu, ambapo alipata nafasi ya kuzungumza machache kabla ya kuingia kwenye gari maalum lililokuwa limeandaliwa, kisha kuondoka huku akisindikizwa na mashabiki wake ambao walionekana kulalamika kutokana na gari alilipanda Kiba kutokuwa na sehemu yenye kufunguka kwa juu ambayo wangeweza kumuona, jambo lililosababasha Abdu Kiba kupigiwa simu na kisha kuleta gari yake yenye kufunguka juu ambapo furaha ya mashabaki wake ilirudi na kisha wakaunga msafara kumsindikiza huku wakiimba nyimbo zake kwa shangwe.
kabla ya kukabidhiwa tuzo hiyo ya MTV, licha ya kushinda, alitangazwa msanii mwingine, Wiz Kid kwamba ndiye aliyeshinda lakini baada ya menejimenti ya msanii huyo kusimama kidete, baadaye MTV wakakiri kwamba mshindi halali alikuwa ni Ali Kiba na kuahidi kumpa tuzo yake, jambo ambalo hatimaye limetimia.
ALIKIBA| MTV| TUZO| KIBA| AJE| KING KIBA|

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@lattymarcelo2032
@lattymarcelo2032 7 лет назад
kukaa kwenye game kwa kipindi kirefu alafu bado unakubalika hiyo ni ishara tosha ya kuitwa king ,, we love you Kiba kenyan fan here
@janewacera7812
@janewacera7812 7 лет назад
Ali kiba we love you from Kerry
@beatricekakoyo6835
@beatricekakoyo6835 7 лет назад
kiba wewe nimsanii mwenye sauti ya kipekee sana, kazi nzuri
@binesiharuni2609
@binesiharuni2609 7 лет назад
mungu akulinde na kila shari za waja in sha Allah kiba
@robertgeorge6350
@robertgeorge6350 4 года назад
Kazi kubwa xana mungu akuongenzee unjuz mkubwa alikiba ni msaniii ambae anafanya Kazi kwa uelend mboraa na wahali ya yuuu
@abdulkaremhafez8106
@abdulkaremhafez8106 7 лет назад
thank you Ali k
@afserbruno9467
@afserbruno9467 7 лет назад
uko juu bb
@mosh5271
@mosh5271 7 лет назад
Ally kiba love you nakukubalisana
@emmanuelinnocent1112
@emmanuelinnocent1112 6 лет назад
Mungu akupe maisha mrefu king kiba no one like you brother
@zingahassan5851
@zingahassan5851 7 лет назад
that is a gentleman
@safihabiba6284
@safihabiba6284 7 лет назад
east west king is the best keep it up
@vanscauz6513
@vanscauz6513 7 лет назад
oyoooooo kiba forever
@jonaspeter9847
@jonaspeter9847 7 лет назад
God bless him
@mariamk1488
@mariamk1488 7 лет назад
king kiba baby pamoja sana...
@jumanamtema47
@jumanamtema47 5 лет назад
Noma sana
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 7 лет назад
king kibaaaaaaaa
@halimamwasura3463
@halimamwasura3463 7 лет назад
kibaaaaa iyooooooo
@rahmakhamis111
@rahmakhamis111 6 лет назад
nakupendaga sana king
@mufamomufash4705
@mufamomufash4705 7 лет назад
lov dat
@neemahussein4957
@neemahussein4957 7 лет назад
safiii
@zuweinaalhabsy8046
@zuweinaalhabsy8046 7 лет назад
ali kiba king tuko pamoja hadi OMAN MUSCAT
@allyseif5294
@allyseif5294 7 лет назад
Zuweina Alhabsy haya bhana
@allyseif5294
@allyseif5294 7 лет назад
Zuweina Alhabsy haya bhana nimekubali
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 7 лет назад
Zuweina Alhabsy kweli kabisaaa
@allyseif5294
@allyseif5294 7 лет назад
Zuweina Alhabsy mmmmmmh haya bhana
@afserbruno9467
@afserbruno9467 7 лет назад
pamoja king kiba mpaka Qatar
@alextweve3409
@alextweve3409 5 лет назад
nakubali
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 лет назад
hongera kuitangaza tzn
@afserbruno9467
@afserbruno9467 7 лет назад
wasikutishe luminati
@mwajayshekallaghe568
@mwajayshekallaghe568 6 лет назад
King
@kemuntoratemo7499
@kemuntoratemo7499 7 лет назад
Cute
@mufamomufash4705
@mufamomufash4705 7 лет назад
may yu live long kiba king
@Mbugokilonda
@Mbugokilonda 7 лет назад
Nijambo jema lakini
@rahmashaban8967
@rahmashaban8967 6 лет назад
That's good
@emmanuelmoses6112
@emmanuelmoses6112 7 лет назад
nomaaaaaaah
@happymahega2000
@happymahega2000 7 лет назад
werraaa💪
@msafirigasper6555
@msafirigasper6555 7 лет назад
king ndo king
@mariamhadija7236
@mariamhadija7236 7 лет назад
kiba💪💪💪💪
@suleamber7252
@suleamber7252 4 года назад
Kingkiba on top
@jumalimachinga4251
@jumalimachinga4251 7 лет назад
together ma broo king kiba
@mbutokiza4419
@mbutokiza4419 7 лет назад
king sikuzote ni 👑
@Rahmamatengo6114
@Rahmamatengo6114 7 лет назад
oyoooooooooooooo congratulations Kiba
@jonaspeter9847
@jonaspeter9847 7 лет назад
ni knoma
@petermahoiga7882
@petermahoiga7882 7 лет назад
WATASEMA SAAANA, LKN WEWE NDO KING WA MUZIKI HAPA BONGO.
@michaelmathias9192
@michaelmathias9192 5 лет назад
nakukubal king kiba
@suleimankiumwa5328
@suleimankiumwa5328 6 лет назад
Ataliiii king kibaa
@bahatidan4751
@bahatidan4751 7 лет назад
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@halimaali9713
@halimaali9713 7 лет назад
mpka raha jmn
@zuwenasaidi4486
@zuwenasaidi4486 7 лет назад
oyoooooooi
@kharidyblauda7046
@kharidyblauda7046 7 лет назад
master wa master
@juliethandrew3161
@juliethandrew3161 7 лет назад
Jamani sio kipensi icho tumachi
@rahimalewe6280
@rahimalewe6280 7 лет назад
king Ali kiba juu nikiwa huku dubai
@rasterwangu9708
@rasterwangu9708 7 лет назад
was Oman nichek
@rehemanicemgeni1308
@rehemanicemgeni1308 7 лет назад
ivi mnalipwa
@Rahmamatengo6114
@Rahmamatengo6114 7 лет назад
nampend Ali Kiba sio brother men
@fafi9092
@fafi9092 7 лет назад
Ukiwa nanyota ya mende aji mtu apo zaid yamama yako
@evamtogosewa1933
@evamtogosewa1933 7 лет назад
timu domo naona midomo wazi
@antonymsemwa7148
@antonymsemwa7148 7 лет назад
king kiba noma
@halimajuma704
@halimajuma704 7 лет назад
Jane Edward mwangoma.kwani mondy yeye nani mpaka unasema asingekuepo mondy mziki usingekuwepo.kwani hapo hawali walivyokuepo kina afande sele dully nawengine wengi mziki ulikua haupo .mbona ulikuepo kabla ya uyo mondy wako ajaanza mziki.kuanza mziki juzi tu unaanza kumshobokea loo keakipi hasa .
@thomasfrancis1651
@thomasfrancis1651 6 лет назад
Jmn c ningekuepo tuh....
@devyasumwisye9360
@devyasumwisye9360 7 лет назад
hatar king
@jmwalimutv5114
@jmwalimutv5114 7 лет назад
global tv mimi nikama nyinyi mimi ni editor ,kunakipande nimefanya angalieni kina itwa yaliyotokea tanzania,chekini global tv nipejibu nipoa
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 7 лет назад
Jamaa Yuko poa sana he's HuMble
@mohammedyussuf8912
@mohammedyussuf8912 7 лет назад
hayo maandishi yako yanaharibu utamu bora ondosha video yenyewe pia
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
daaaah kiba maskin 😀😀😀😀sa umevaaje mmmmh 😷😷😷😷
@veredianaverediana9760
@veredianaverediana9760 7 лет назад
joyce michael love love ulitaka avaaje
@ramsoramso1544
@ramsoramso1544 6 лет назад
joyce michael love love vp kwani amevaa vibaya dada
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 7 лет назад
TANZANIA KUMBE NI RAHA HIVI...YAANI WANAYO MINGI YAKUWAWEKA HAPPY😅
@Shivam_Idea
@Shivam_Idea 5 лет назад
Mpaka tuzo
@NyokabiWaweru
@NyokabiWaweru 7 лет назад
hii ni video ya aina gani maadish mtu haoni
@ShallzBaro
@ShallzBaro 7 лет назад
Nyokabi Waweru hapakosagi choko aliyepagawa hawachelewi kutoa kosa visivyo vya msingi
@jmwalimutv5114
@jmwalimutv5114 7 лет назад
global tv mkovizuli
@hashimmbaya3506
@hashimmbaya3506 7 лет назад
Alikiba ww unajua huna mpizan tz hii
@mcisunga3822
@mcisunga3822 7 лет назад
jamni naipenda teama Diamond naomba wasije wakapatana maana asingekuwa diamond muziki wa Tz ungekufa kabisa
@emmanuelmsigala1374
@emmanuelmsigala1374 7 лет назад
AKILI ZA KWENYE MATAKO NDO ZINAZOSUMBUA WATUU!!
@arodnjenje7633
@arodnjenje7633 7 лет назад
Afu kuongea na watu jamaa bado duh
@nyandichearts
@nyandichearts 7 лет назад
like lupelaaaaa na inapendezaaaaaa tixhaaaaa king
@damasmahega5597
@damasmahega5597 7 лет назад
king kibaaaaaa noma
@mpondojoseph5281
@mpondojoseph5281 6 лет назад
Kiba nakukubalxna
@emmanuelasheri7037
@emmanuelasheri7037 7 лет назад
inabid wakamatwe wanavunja sheria ,sheria hailusu kukaa juu ya gari
@susansusan6898
@susansusan6898 7 лет назад
emmanuel asheri hiyo ni wivu brother
@jayelias1654
@jayelias1654 7 лет назад
emmanuel asheri sheria hyoo vepeeee
@jalaljalal5258
@jalaljalal5258 7 лет назад
emmanuel asheri sheria ya nyumbani kwani hio
@melphinekatila8861
@melphinekatila8861 7 лет назад
emmanuel asheri 😂😂😂
@Shivam_Idea
@Shivam_Idea 5 лет назад
F**** off GlobalTv inakuhusu Kama ame codisha gari Kila mtu hata Kama anagari ako na safari anaacha atatumiya za wengine
@fatimhalfatimh1147
@fatimhalfatimh1147 7 лет назад
Kipenzi cha watu
@arodnjenje7633
@arodnjenje7633 7 лет назад
Amevaa boxer hahahaaaa
@stanmadesho3304
@stanmadesho3304 7 лет назад
Babu yko ndo kavaa boxer
@jumabakari9466
@jumabakari9466 7 лет назад
less wa nyika
@beatricekakoyo6835
@beatricekakoyo6835 7 лет назад
kiba wewe nimsanii mwenye sauti ya kipekee sana, kazi nzuri
Далее
Ip Man 3 | Rescue Scene
9:46
Просмотров 2,7 млн