Rahma ameeleza Safari yake ya maisha kutoka kwenye ndoa na Mbongo mwenzie mpaka kuingia kwenye mahusiano na Mzungu na kuweza kufunga ndoa.
Changamoto za shemeji katika ku control mahusiano yake ambapo siku ya ndoa mume wake alikua amevunjika mguu mpaka kufikia yeye mwenyewe kua anapata siku zake za hedhi mwezi mzima kipindi akiwa na mume wake.
Changamoto za manyanyaso kutoka kwa mume wake mara baada tu ya kufika Switzerland na namna alivyozivuka na kurudi Tanzanja kujipanga upya.
Thank Rahma for allowing this to be online
www.oda.international
5 сен 2024