Tuppy ametueleza safari ya maisha yake ya kimahusiano na kutumia online dating Changamoto alizopitia ambazo kwasasa anazisimulia huku anacheka. Thank you Tuppy, you are Amazing 🥰 www.oda.international
Huyu Tuppy msichana mrembo roho safi... Nmempenda sana. Vichekesho kibao. Nakutakia maisha mazuri wewe na familia yako mrembo.... Mob love from Kenya 🇰🇪
SHENA UWE UNATULETEA WADADA KAMA HAWA ,MAANA UNAENJOY NA ANAFURAHISHA NA NIMZURI MIE NIMEMPENDA SHE So NATURAL , and REALLY NA SHEMU WETU ALOMPATA AMEPATA MKE MWEMA , HONGERA DADA TUPPY , SEMA WAINGEREZA WANAONEKANA KICHOMIII
Relly dada TUPPY NIMEPENDA STORY YAKO DADA ,YOU ARE SO UNIQUE, BARIKIWA DADA , WALA SI DHAMBI KUOLEWA NA UNAYEMTAKA UZALENDO NI MOYONI NA SI DHAMBI KUKAA NA TAIFA LOLOTE UKIONA MTU ANAKUPINGA KWENDA NJE YA NCHI YAKO KUTAFUTA MWENZA ,MASIHA , BIASHARA NK JUA HUYO HAPENDI HUFANIKIWE ,ANAKUHOFIA , NA HAPENDI UFANIKIWE
Watu wenye mapito tuko wegi nyinyi acheni , but bado sijakata tamaa stii believe God l hope siku atanikumbuka,shena nije nikupe, love this girl she so really ❤
Mtu kama kakuchoka atakutaftia sababu hakuna Cha ufupi..Yote maisha riziki n popote...❤❤Mungu mwema...Leo wako paleee Wana watch...hii..interview..aibu kwao😅😅😅WAUKWELI WAPO....inauma sana jamani...Mapito Yana mwisho amabo ni furaha tuu❤❤🙏🇹🇿Nakupenda Tupphy.
Da shena sio pete ina legea ni ngozi ina sinyaa kidogo ili usipitishe joto nje na lipaki ndani ya mwili ili kuweka joto ndani ya mwili .na kipindi cha joto ngozi ina tanuka ili usipate joto la kupitiliza ndio una kuta pete ina bana sana.
Hata sijaanza kusikiliza nishaumia jamani..,ati mfupi atazaa na upatesheni nayo kosa? Unampenda mtu kumbe anakuita sura mbaya? Namshukuru Mungu sikudeti na hao watu, tena sisi wa kike wenye sura za baba zetu, ningepitia.
😂😂Huyu dada nampenda bureee, I mean the interviewee. Yani ukiwa naye huchoki kumsikiliza, maana kama mchekeshaji vile, 😂yani ukikaa naye utacheka kutwa kucha
Unajua kuna kitu najifunza,if u born for something to be ndani yako akikatulia mpaka kitokee lkn yule ambaye ajazaliwa kwacho ataelewa maana hakitamsumbua maana hajazaliwa kwacho
Yaani mm kila siku nachelewa live zako Shena,huwa unakuaga live siku gani? Kingine, dating chat nazokutana nazo ni za kulipia,labda basi nilipie ya mwezi mmoja,je ukiisha wataendelea kunikata hela zaidi?