Jacobo ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Italy
Alikua akifanya kazi ya Ulinzi Zanzibar, alikutana na mke wake huko na kuhamia Italy.
Kwasasa ni mume na Baba.
Kutoka kua mlinzi mpaka sasa ni muuguzi.
Safari yake ya Italy haikua nyepesi na maisha ya Italy hayakua ya lele mama.
Vitimbwi vya mama mkwe wake alivyokutana navyo vilitaka kuvunja ndoa yake
Thank you Jacobo for allowing this to be online
www.oda.international
23 авг 2024