Тёмный
No video :(

VITIMBWI VYA MAMA MKWE VILINIRUDISHA BONGO | NILIMPELEKA MKE WANGU UMASAINI ALING’ATWA NA KUNGUNI 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Jacobo ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Italy
Alikua akifanya kazi ya Ulinzi Zanzibar, alikutana na mke wake huko na kuhamia Italy.
Kwasasa ni mume na Baba.
Kutoka kua mlinzi mpaka sasa ni muuguzi.
Safari yake ya Italy haikua nyepesi na maisha ya Italy hayakua ya lele mama.
Vitimbwi vya mama mkwe wake alivyokutana navyo vilitaka kuvunja ndoa yake
Thank you Jacobo for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 337   
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
TikTok: jacobo.matema
@rahmaidd8818
@rahmaidd8818 3 месяца назад
Mother in law from hell 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂heeee nimecheka mpaka nimeanguka
@nasrachimamy
@nasrachimamy 3 месяца назад
Dada sorry ninaswali hivi ata waturuki wanawez kuwapenda waswahili
@hasinaslim3056
@hasinaslim3056 3 месяца назад
kwahiyo humbebishi mzungu wako jamani
@mirabelfulani-wk5dd
@mirabelfulani-wk5dd 3 месяца назад
Meno 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-pl6cl6um4l
@user-pl6cl6um4l Месяц назад
Hongera Jacob Hongera Dada Mwenye kipindi chako
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 3 месяца назад
Kaka leo umetuweza ni mcheshi sana utaishi na watu vizuri namna hio, story nzuri inachekesha na kufurahisha sana. Mwenyezi mungu aendelee kuwasimamia ktk ndoa yenu. Asante Shena kutuletea elimu kwa ujumla.
@user-ed3sh6ml6t
@user-ed3sh6ml6t 3 месяца назад
Yaani weeeh dada shena Leo umefanya mahojiano n mtu mzuri sana n mcheshi mno
@tinalukos3589
@tinalukos3589 3 месяца назад
😂😂😂nimecheka sana
@Samwelianaseti
@Samwelianaseti 2 месяца назад
😂
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 3 месяца назад
Kwakweli leo Jacob umenichekesha sana hasa bibi alipomwaga ugoro dah! story tamu sana….Ahsante Shena kwa kazi nzuri👏
@annamariajackson4842
@annamariajackson4842 3 месяца назад
Shena leo umenivunja mbavu zangu.Ndugu Jacob umetisha uko vizuri.Hongera sana kwa kuwa Shujaa. Na Pole kwa changamoto ambazo ni mapito tu na Mungu aendelee kukutunza.
@TichaSabah
@TichaSabah 2 месяца назад
Na mara nyingi history hizi lazima ziambatane na zanzibar.alhamdulillah kumbe zanzibar kuna mchango mkubwa napo katika kufanikisha maisha.wenyeji hatujui tupo tupi tu wavivu hattari
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 месяца назад
Duuuuh poleni sana
@BarakaBitariho
@BarakaBitariho 3 месяца назад
Napenda hii interview. Ningependa nikutane na wazungu wanaopenda hii adventure. Demu akajitia ngangari, eti unapolala nipo tayari kulala.... unachokula nipo tayari kukila. At simamiatv, we love adventures, pengine tuwe ja wanaume/wake wa kupangisha ili tuine yupi atakimbia wa kwanza kama huyu dada wa kiitali😂 I love it for sure
@user-jw6uc1wq2z
@user-jw6uc1wq2z 2 месяца назад
Jacob ww ni mwana ume wa kiafrica kweli congratulations uko xawaa man
@user-hw7md3xe4b
@user-hw7md3xe4b 3 месяца назад
Nmefurahia sana leo Jacob amenichekesha.huyo kk ni mvumilivi sana mungu amwinuwe zaidi❤❤
@mohamedmwavuguto8276
@mohamedmwavuguto8276 3 месяца назад
Akhsante sana Shena . Akhsante sana Jacob, wote kwa pmj Mungu awabariki , Amin .
@graceyates3500
@graceyates3500 2 месяца назад
Jamani nimecheka mpaka nimelia. The most Honest Humble human being ever. Yaani kaka Jacobameuaaaaaa
@MJM52
@MJM52 3 месяца назад
Shena,,, great content! Mzee wa ugoro noma sana😂😂😂
@tausimbulumi503
@tausimbulumi503 3 месяца назад
🎉❤ uyu jamaa ana ucomemedy ndani ykee😂😂😂😂😂😂😂
@Tanesco-yi9xl
@Tanesco-yi9xl 3 месяца назад
Dada shena leo umekuja vzr sanaa aiseee nimecheka sana😂😂😂😂
@samniza1763
@samniza1763 3 месяца назад
The best interview ever!
@user-zl3yf9pp3l
@user-zl3yf9pp3l 3 месяца назад
Shena leo umetuweza😂😂
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 3 месяца назад
Ila wifi alipanga na mama kukuachisha ugoro big up kwao 😅 mimi nimeolewa na mmasai hawatakagi kuambiwa wala kupangiwa
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 месяца назад
Maasai 😅
@valentinemulokozi510
@valentinemulokozi510 3 месяца назад
Hii kali ya mwaka. Salute kwako Shena.
@Bifa_2024
@Bifa_2024 3 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣aise Yakobo unatuvunja mbavu sana 😅
@njokimwaniki364
@njokimwaniki364 3 месяца назад
😂😂😂😂😅Hilarious, so funny. Jacob, you have made my day..Asante . All the best .
@Vees12
@Vees12 3 месяца назад
Jamani Leo nimecheka sana, sijawahi kucheka hivi
@fatmaalbeity9097
@fatmaalbeity9097 3 месяца назад
Ahhh mahojiano haya ni vichekesho tuu hivyo visaa vya bibi vyaaina yakee 😂😂😂
@dn.n4983
@dn.n4983 3 месяца назад
Kweli unstarabu ndio maana ndoa iko mpaka sasa hongera sana mbarikiwe sana
@salminasalim5630
@salminasalim5630 3 месяца назад
Ni kweli Shena ugolo ni kitu kibaya sana halafu una kuwa addicted na one of the complications of Ugoro unaweza kupata epilepsy na kadhalika na kuuwacha huwa ni kazi waliouzoea kuuvuta ugolo ila i mbaya sana tena sana. Mtu kama anajipenda ni lzima ajilazimishe kuacha n ugoro.
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 3 месяца назад
Hii story tamu sana aisee
@PaulinaPatrick-rm5lz
@PaulinaPatrick-rm5lz 3 месяца назад
Asante,Sheira nimeheka sana kaka ni muwazi kbs Asili ya ke atakikuiacha big up
@tufikemnyone3182
@tufikemnyone3182 3 месяца назад
Cultural diversity hongera Sana mmasai mwenzangu mimi nipo USA ninauzoefu mkubwa juu ya maisha ughaibuni
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 месяца назад
Hii story ya huyu kijana nimeipenda sana,yaani ni hodari wa kujieleza ,alikuwa akinyanyasika na ma mkwe, ila anavyoongea na ucheshi ,yaani utapenda umsikikilize tuu ,humchoki. alafu huyu kaka sura yake tuu inaonesha ni mtu mzuri. 20.5.24.
@tunkuh661
@tunkuh661 2 месяца назад
Jacob umenifurahisha sana na una kiswahili kizuri. Congratulazion, che Dio protegga te e la tua famiglia.
@foumad6161
@foumad6161 3 месяца назад
Hii kiboko inahitjika ifanyike Movie 😊
@RosemaryKidiro-wz3ux
@RosemaryKidiro-wz3ux 3 месяца назад
Mmasai alie changamka😂😂😂
@Mapishinatibatv
@Mapishinatibatv 3 месяца назад
Jamani Shena leo mm nimecheka kwakweli umetufirahisha sana natumejifunza sana ,kweli Jakob amekuwa muwazi kabisa.
@zayumar2955
@zayumar2955 3 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wallah ktk interview nmechekaaa basi hiii 🙌🙌🙌
@anociatafungameza
@anociatafungameza 2 месяца назад
Nimepata fundisho kubwa sana, kumbe kuna wazungu wavumilivu ktk mahusiano.!!!
@user-kt3bb7mr4e
@user-kt3bb7mr4e 3 месяца назад
😂😂😂 jamani kuna watu nafurahisha Hadi raha,asante Kwa story nzuri
@evajustine1532
@evajustine1532 3 месяца назад
Ooh Masai mwenzangu
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 3 месяца назад
Unajua kuna kitu nimejifunza hapa,kwa hawa wenzetu, hawa wenzetu wanawake wa kizungu kweli wanajua kujitoa kwa kitu wanachotaka haijalishi mazingira.
@eledinankana9598
@eledinankana9598 3 месяца назад
hata wa bongo tupo
@user-rt8df5ce4s
@user-rt8df5ce4s 3 месяца назад
Asante kwa darasa.
@reginajohnmaghisa322
@reginajohnmaghisa322 3 месяца назад
Da story ya Masai imenichekesha sana, sijacheka siku nyingi!😂😂
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 месяца назад
Jacob unaongea vizuri sana. Ungekuwa lecturer watu wangekuwa wanafurahi na kuelewa sana.
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 2 месяца назад
Kabisa 😂😂😂😂
@ZainabRajab-mq3yq
@ZainabRajab-mq3yq 16 дней назад
Napenda sana vipind vyako dada
@SheilaMaregesi
@SheilaMaregesi 3 месяца назад
Leo nimecheka sana. Jacob anafurahisha. Yupo kihalisia sana.
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 3 месяца назад
Huyu kakayangu mcheshi sana
@Shalom2018
@Shalom2018 3 месяца назад
Yaani kaka angu leo umenichekesha sanaaa mpaka machozi yamenitoka.
@dn.n4983
@dn.n4983 3 месяца назад
So mice story hii movie kwa kweli au kitabu kuandika
@brigidmua2548
@brigidmua2548 2 месяца назад
Nice
@asyakhatib7942
@asyakhatib7942 3 месяца назад
Nmefurahi leo😂 hebu fanya part 2 yake ya bibi tu 😂
@neemasalema1546
@neemasalema1546 3 месяца назад
Mbona kumwaga ugoro🤣🤣
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 3 месяца назад
Mungu azidi kukubariki kaka uko very charming
@ahmedmwinyi8025
@ahmedmwinyi8025 2 месяца назад
Ahsante sister kwa kipindi chako. Jacob naye ameongea kwa uwazi vizuri sana. Mungu awabariki.
@samniza1763
@samniza1763 3 месяца назад
God is Love and Love can conquer it all.
@samirasalim4203
@samirasalim4203 3 месяца назад
Lovely story 😂😂😂❤
@dayana5513story
@dayana5513story 3 месяца назад
Hakika hii interview imenifurahisha ubarikiwe kijana mwenzetu
@veronicareuben4227
@veronicareuben4227 3 месяца назад
Nimeipenda sana hii story bg up
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 3 месяца назад
Nice interview da shena na kaka Jacobo🥰🌹💐
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 месяца назад
Nimecheka sana kha.😂😂😂
@user-bo9vv9wl6e
@user-bo9vv9wl6e 2 месяца назад
Hahahaha yani Jakob wewe ni nomaa sema roma kuzur mashallah nishapita hapo nilikuanaenda napol
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 Месяц назад
Jacob umeongea kweli tupu hongera sana kwa uvumilivu
@ashakassanga1
@ashakassanga1 3 месяца назад
Leo nimejuwa kucheka khas🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shena huyu masai kazibukaaa
@rebeccamakenzi9019
@rebeccamakenzi9019 3 месяца назад
Congratulations kaka.. Auguriii tantooo... Binti ya wenyewe amepatana na kuguniii.. Hakii weee.. Upendo una garama.... Roma ni Roma hongera.. Kudos kwa bibi yako💕. Unafurahisha sanaaa.. Ni mapitooo... Keep going kaka...
@josephinepatrick6026
@josephinepatrick6026 25 дней назад
Umewezaaaa umejua kutufurahishaa kumbe wa mama wa kizungu wana maneno nao😂😂😂😂
@nicekweba9920
@nicekweba9920 3 месяца назад
Ni mcheshi na anaelimisha pia,aliamua kucompromise na Maisha yakaendelea hongera sana
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 2 месяца назад
Mashaa Allah tumepata kucheka 😂 tumepata kujifunza piya miaka 7 ya motooooohhhhh😂 bro barikiwa sana Shena God bless you aisee haya madarasa ni zaidi ya chuo kikuu
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 месяца назад
Cividiamo dopo, nimeipata hio tutaonana baadae. Asanteni kwa stori za maisha na heka heka zake😂. Kupambana ni lazima na uongo kama utaokoa maisha ni mzuri vinginevyo ni kinyume na haufai tufahamiane. Kunguni 🙈😂Leo Shena umechangamsha baraza asante Mmasai ametufurahisha sana 🤝
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 2 месяца назад
Wishing you a Happy Family. Congrats sana.
@tinarose7922
@tinarose7922 3 месяца назад
Katika interview nlizoziona za Shena..Leo nmecheka sanaa😂😂😂..eti meno umepeleka wap😂
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 3 месяца назад
Ipo vizuri
@giboncebarnabas9667
@giboncebarnabas9667 3 месяца назад
Hahaha daah nimecheka sana hii story. Guys tulike jamani hii stori iko poa sana
@Janeth_Saukiwa
@Janeth_Saukiwa 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 I wish ningekua live jamani nacheka mwenyewe kama mwehuuu 😂😂😂
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus 2 месяца назад
Safi kabisa Jacob,nesi unatakiwa uwe na macho ya kuona
@nurumwangoka5924
@nurumwangoka5924 3 месяца назад
Shena huyu jamaa hachoshi hana part 2😅😅😅😅
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 3 месяца назад
hata mimi ningeumwaga tena ningekwambia nchini kwetu hairuhusiwi😊😊😊😊😅😅
@piomgeni8750
@piomgeni8750 3 месяца назад
Huyu Giacobbo ana IQ kubwa sana bravooo
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
He is amazing 🥰 Roho safi kabisa
@rahelngonyani8015
@rahelngonyani8015 2 месяца назад
Safii sanaaa endelea kubarikiwa
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 3 месяца назад
Yaleo Kali imezid😂😂😂😂
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 3 месяца назад
Nilikuwa nna stress hapa waarabu wamenizingua zimesha toka😂😂😂😂
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 2 месяца назад
Nice presentation
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 3 месяца назад
Jamani leo mmenivunja mbavu yaani nimecheka mpaka mwisho 😁😁😁😁😁😁
@lilian-jq2fi
@lilian-jq2fi 2 месяца назад
yaani nakufuatilianga ila leo nimecheka sana hadi kazini wananishangaa
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 2 месяца назад
Enjoy and share with others wafurahie na kunifunza pia 😁🥰🥰
@helinahenry2363
@helinahenry2363 3 месяца назад
😂😂😂😂 yaan anazimia unampita tu, Hadi anaznduka🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@blendembesimba
@blendembesimba Месяц назад
Ragazzo ti piace molto ugoro 😂👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿weuwe Jacobs wacha ugoro.nafatilia kutoka Frosinone Italy 🇮🇹🇮🇹🇮🇹
@rehemaissa2363
@rehemaissa2363 3 месяца назад
Hii irudiwe tena😂😂😂😂
@WandishaNatianota
@WandishaNatianota 3 месяца назад
Jacob umetishaaa😂😂 Ahsante Shena kwa kuendelea kutuelimisha Nimecheka sana kuhusu Ugolo daah😅
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Ila wamasai nyie kumbe mko na mambo nzito hivyo😂
@kirakaabeid1824
@kirakaabeid1824 2 месяца назад
Nimeangalia/Sikiliza nyingi lakini hii is best
@RoseMafuru
@RoseMafuru 3 месяца назад
Nimecheka sana
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 2 месяца назад
Hongera sana kupata Mtoto MuItalysai!
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 3 месяца назад
😅😅😅😅😅 mwanaume anameno yaani usinivunje mbavu masaai.
@benswai8099
@benswai8099 2 месяца назад
Mahali Jacob amenichekesha kwa sauti ni pale alipotandikwa kiboko na bibi yake mbele ya mkewe
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 3 месяца назад
Kwahiyo kaka zetu wa kimasai wanadanga Zanzibar siku hizi
@Rhobimdenish
@Rhobimdenish 3 месяца назад
Na nenda kama rahis
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 3 месяца назад
Bibi Yuko.sahihi chafya kila wakati no halafu ya kujitakia Bora sigara hupigi chafya unaumia.mwenywe
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 3 месяца назад
Leo full upako haki 😂😂😂😂
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 месяца назад
🔥🔥🔥
@bhokejoseph4745
@bhokejoseph4745 3 месяца назад
Hatariiii sana leo
@asyakhatib7942
@asyakhatib7942 3 месяца назад
Nmecheka leo kumbe wamasai wacheshi nawaona serious tu😂asante 😂
@minahbigila2743
@minahbigila2743 Месяц назад
Namfahamu kaka Yakobo nilikutana nae Waridi beach pwani mchangani zanzibar alikuwa anakuja kuuza vitu vya culture kule beach na usiku wanakuja hotelini kucheza nyimbo za kimasai ni mcheshi sana jamaaa kumbe yuko Italy dooh😅
@MaryMary-kq3nh
@MaryMary-kq3nh 2 месяца назад
Asante sana dd❤❤❤
@davidole8257
@davidole8257 3 месяца назад
Daaaaah kweli Watu wanapitia mwengi ktk maisha Yao hasa wanakwenda Ulaya , Us Hongera kwake
@salomemkilima5732
@salomemkilima5732 Месяц назад
nimempenda bure sana huyu kaka yupo vizuri sana ushauri huyo mama mkwe msamehe na ikiwezekana mchukulie kawaida tu msamehe cha msingi muheshimu muonyeshe heshima zetu za kiafrika basi kwani mtu ukimjua hakupi shida.
@abdulyibrahim2125
@abdulyibrahim2125 3 месяца назад
Stori nzur san ya kuchekesha san nimeipenda san
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Wamasai nilikuwa nawaogopa kumbe wana story hv😂😂😂haki leo nimecheka
@eunicenangole5740
@eunicenangole5740 3 месяца назад
Sidai taa lalahe. Umejua kutuchekesha taa
@anosiata8242
@anosiata8242 3 месяца назад
Nimecheka sana eti ugoro. Wangu nitaupata wapi Hata huko upo
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode /30/ #love
37:10
Просмотров 51 тыс.