Тёмный

BABA LEVO AFUNGUKA KUMPOKONYA SIMU ASMA "TUKIGOMBANA NAKUPOKONYA VITU VYANGU" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 31 тыс.
50% 1

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@nyandajr
@nyandajr 6 месяцев назад
Safi sana baba levo kila mtu asepe na chake
@dankhany3385
@dankhany3385 6 месяцев назад
baba levo nakukubali
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 6 месяцев назад
akaaa e sifa zote zile kwa Asma ndo kalipwa hivii najua levo ulikasirika Asma alipochukia upuuzi wenu ulitaka aungane na weye kumtusi mama tuby
@sophiasophia9713
@sophiasophia9713 6 месяцев назад
Hadi mwenyewe anaona aibu, looh ukanyang'anye simu kweli jameni😅😅😅
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 6 месяцев назад
Legendary Festival
@Mmms1w1Yyy1h1y1
@Mmms1w1Yyy1h1y1 6 месяцев назад
Baba levo yupo sahihiii
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 6 месяцев назад
Duh aise kweli chakupewa usikitegemee una Roho mbaya sana
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 6 месяцев назад
Toa na ww tuone😢😮
@celinemtui8795
@celinemtui8795 6 месяцев назад
Wee naona watu wanasema nisingerudisha sim mm nliwahi shikiwaaa ukutani na bisu nkaambiwa unatoa sm utoii kisaa nimemwambia sikutaki tenaa weeee nlimrudishiaa mwenyeeee japo roho iliuma mbwaa yule😅😅😅😅 cha kufiaa nini😂😂😂😂
@Njeriii536
@Njeriii536 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 6 месяцев назад
Hahahahaaà.hata Mimi naichukua akanunuliwe nahiyo aliye naye mbwa kabisa
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 6 месяцев назад
Nkikupa k2 ujue nakpenda kama ukiniuziiii nakunyanganyaaaaa
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 6 месяцев назад
Kwa hili huyu jamaa mshamba. Kweli kusoma ni muhimu😢😂😂
@hajiramadhan6970
@hajiramadhan6970 6 месяцев назад
Kaaiyo kusoma kunaingiaje hapo nyie mnajiona mmesoma ni mafara sana ndo maana mnaishia kushikwa makalio mjin
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 6 месяцев назад
😂😂😂et kuwaamin wale kama wataendelea ni shughul🤣🤣🤣
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 6 месяцев назад
Wew mie sirudishi 😂 labda Uje na mabomu 😂😂😂
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 6 месяцев назад
Yaani wabongo kazi ni domo kaya
@aliaden5512
@aliaden5512 6 месяцев назад
Mwanaume ovyo
@SylvesterCalido
@SylvesterCalido 6 месяцев назад
Hako kanaongea kisa ka mdada angekua yeye angeacha saivi tunachukua tukiwapa 😂😂
@CharlesRehani
@CharlesRehani 6 месяцев назад
queenmilan mbona nawewe uko vovyo
@Fabrice_Bobby
@Fabrice_Bobby 5 месяцев назад
😂😂😂😂 dah
@queenmilan2024
@queenmilan2024 6 месяцев назад
Mwanaume wa hovyo. Sasa baba levo nae ni Mwanaume wa kuwa nae wanawake na nyinyi hamjielewi
@rajuxcharity
@rajuxcharity 6 месяцев назад
Ukute bwan wako hana hata nusu ya maisha ya baba levo alafu acha roho mbaya
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 6 месяцев назад
Acha njaa tukiachan rudish vitu
@geofreylucas7870
@geofreylucas7870 6 месяцев назад
Ww mwenyew akipita kwenye Anga Zako hukatai tunajua tu
@MatildeBjelland
@MatildeBjelland 6 месяцев назад
Hata wewe kuna wanaume wakuona wa kawaida saan, wala hakuna sababu ya kumdharau mwingine
@israeluronu9958
@israeluronu9958 6 месяцев назад
Mtu wa hovyo kabisa, roho ya kimasikini hiyo.
@Godelivemwamba-z6p
@Godelivemwamba-z6p 6 месяцев назад
Acha baba levo kimia
@JanetAhmad-v3h
@JanetAhmad-v3h 6 месяцев назад
Kumbe uko ivo😅😅😅😅😅😅
@NadiaNadu-r3v
@NadiaNadu-r3v 6 месяцев назад
🤔🤔🤔🤔🤔
@zulphaadam4671
@zulphaadam4671 6 месяцев назад
😂😂
@omanoman2044
@omanoman2044 6 месяцев назад
Mwanaume bure san huyu
@Tatu-rr9ms
@Tatu-rr9ms 6 месяцев назад
Misikurudishi ulimgaragaza bure😢
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад
Mwenzangu nakata kiuno Kwa ufundi mgongo wote wa moto umeinjoi mpak ukanihonga Leo uje unipore weee! masihara kabisaa
@meryamreally2768
@meryamreally2768 6 месяцев назад
😂😂😂❤️❤️😂😂😂
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 6 месяцев назад
Upo sahihi baba yake na levo😂😂😂
@danieljoseph4725
@danieljoseph4725 6 месяцев назад
Hili ni li ng'ombe kweli
@BernardMuha
@BernardMuha 6 месяцев назад
Tangu Harmonize amupige Baba Levo..Baba Levo amezima hakuna mbwembwe za Dubai na China tena ⚠️😭😭😭 🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇🦇
@rajuxcharity
@rajuxcharity 6 месяцев назад
Kwani harmoniz ndo alikua ana mpeleka huko mbona wa bongo washamba sana
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 6 месяцев назад
Kwan alikuwa amewaka
Далее
PENDEZA AMLIPUA LUKAMBA, AANIKA KILA KITU KILICHOTOKEA
11:03
BABA LEVO ATAKA KULIA WAZEE HAWAMJUI/MILIONI 2 UMELOGWA
34:31