Тёмный
No video :(

KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.! 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

#esmaplatnumz #wasafi
KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 3 месяца назад
Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉
@prettywanjera9368
@prettywanjera9368 3 месяца назад
Kabisa wanakwambia ndugu apate nawewe upatee😊
@user-bg6jh2no2c
@user-bg6jh2no2c 3 месяца назад
Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏
@samsungoman5626
@samsungoman5626 3 месяца назад
Inshaallah
@TaarabChannel
@TaarabChannel 3 месяца назад
MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 3 месяца назад
Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya
@channyanjen9047
@channyanjen9047 3 месяца назад
Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤
@mamy8220
@mamy8220 Месяц назад
Mungu mbere ongera sana ❤❤❤ namm mungu atanipa nitatimiza🙏🙏🙏
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 3 месяца назад
within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba
@queenlinda255
@queenlinda255 3 месяца назад
Your absolutely right
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 3 месяца назад
Absolutely
@jrsingham
@jrsingham 2 месяца назад
Maashaallah Allah amfungulie zaid
@alimuchiri6151
@alimuchiri6151 2 месяца назад
Bro mtangazaji sema Masha Allah sije ukatia husda jumba la watu😄😄
@jocelyneliaminarukundo3633
@jocelyneliaminarukundo3633 3 месяца назад
Congratulations esma
@asallymbwego3914
@asallymbwego3914 2 месяца назад
Big la nyumba Hongera aisei
@annertz9969
@annertz9969 3 месяца назад
Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 3 месяца назад
Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂
@zubedasaif3324
@zubedasaif3324 3 месяца назад
😂😂😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 3 месяца назад
😂😂😂😂hatari
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 месяца назад
Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i 3 месяца назад
Mashallah mashallah
@user-ne4fl7kc8h
@user-ne4fl7kc8h 3 месяца назад
Hongera kwake❤❤❤❤❤
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 3 месяца назад
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Fauziaabdhallah
@Fauziaabdhallah Месяц назад
hongera mashaalla nyumba smart sana ila grill za madirisha zingelikua kwa nje ingekua bora zaidi
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 3 месяца назад
Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 месяца назад
Mashalah esma yuda una akil😂❤
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 3 месяца назад
Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 2 месяца назад
😅😅😅😂😂
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 3 месяца назад
Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 3 месяца назад
Ila esma ni mzuri bhana
@user-kw2cd7qu4p
@user-kw2cd7qu4p 3 месяца назад
😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅
@leaherasto929
@leaherasto929 3 месяца назад
safi kujenga sio mchezo
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 3 месяца назад
mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 3 месяца назад
😂😂😂 mwamba
@user-jh5px2xl8u
@user-jh5px2xl8u Месяц назад
Umbea komooo
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE 3 месяца назад
Congratulations
@SalmaBakari-dq3rs
@SalmaBakari-dq3rs 3 месяца назад
Mashaallah
@user-dl2cr9dk1m
@user-dl2cr9dk1m 3 месяца назад
Jamani mpeni maua yake kajitahidu
@mussanchimani4839
@mussanchimani4839 3 месяца назад
Hongera
@FelistersMejumaa-xi2ge
@FelistersMejumaa-xi2ge 3 месяца назад
Hongera dada ❤❤
@user-bg6jh2no2c
@user-bg6jh2no2c 3 месяца назад
Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐
@Official83640
@Official83640 3 месяца назад
Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah
@criminalminds7723
@criminalminds7723 3 месяца назад
Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?
@LeeLian95
@LeeLian95 3 месяца назад
@@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew
@Official83640
@Official83640 3 месяца назад
@@criminalminds7723 Innalillah
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 3 месяца назад
Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂
@user-gu1lg2zr8s
@user-gu1lg2zr8s 3 месяца назад
Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 3 месяца назад
Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi
@usercabal
@usercabal 3 месяца назад
Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce 3 месяца назад
Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka
@usercabal
@usercabal 3 месяца назад
@@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu
@saummohamedm435
@saummohamedm435 3 месяца назад
Kweli tv ya familia
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Na nyinyi anzisheni yenu mtabanwa na wivi mwishowe mpate ma depression
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 3 месяца назад
Anzidha Yako basi bwana 😏😏😏
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Anzisha yenu
@MwanamisiKumbiko
@MwanamisiKumbiko 3 месяца назад
Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa
@user-jh5px2xl8u
@user-jh5px2xl8u Месяц назад
Mkumbushe
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d 3 месяца назад
Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Si ndio ujinga wa KiBongo🤣🤣🤣
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 3 месяца назад
Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂
@lilianpuka218
@lilianpuka218 3 месяца назад
Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 3 месяца назад
Kwahiyo umechukia au?
@zayumar2955
@zayumar2955 3 месяца назад
​@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅
@Merry-re1pw
@Merry-re1pw 3 месяца назад
Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.
@user-jh5px2xl8u
@user-jh5px2xl8u Месяц назад
Kwani Si zinauzwa au zinaokotwa tu
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷
@sund2553
@sund2553 3 месяца назад
Mmewe ni mission town 😂😂😂
@mylovejosecharles4362
@mylovejosecharles4362 3 месяца назад
me nampnda esma hana mambo mengi
@eestermos9933
@eestermos9933 2 месяца назад
Ya kawaida tu
@MkamiMaro
@MkamiMaro 3 месяца назад
❤❤
@user-nw3ie8yq1x
@user-nw3ie8yq1x 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@jumabikyeombe3392
@jumabikyeombe3392 3 месяца назад
❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 месяца назад
Esma nomaaa😂😂😂
@HabibahKhalfan
@HabibahKhalfan 3 месяца назад
Dada zazamani tupesisi izofenich
@HenriHSP
@HenriHSP 3 месяца назад
Nasikia tu s2kizy baby
@afrigrowers
@afrigrowers 3 месяца назад
Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.
@pilijumaa8876
@pilijumaa8876 3 месяца назад
Ni kweli
@Naju645
@Naju645 3 месяца назад
Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅
@user-zz7jr7yj9m
@user-zz7jr7yj9m 3 месяца назад
Honger yakeee anajitahidi
@Dativa-fe3cj
@Dativa-fe3cj 3 месяца назад
Usk mwema
@user-pf7cu9px3c
@user-pf7cu9px3c 3 месяца назад
Me duwe namkubAli sana
@Deedah4
@Deedah4 3 месяца назад
Gorofa 2 ?? Au moja tu??
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад
Ipo mitaa gani nyumba nzuri
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 3 месяца назад
Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu
@salamalsawaqi1206
@salamalsawaqi1206 3 месяца назад
Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 3 месяца назад
Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 месяца назад
Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢
@user-wf4vk3vz8e
@user-wf4vk3vz8e 3 месяца назад
Sometimes try to do your interviews in English bro
@nyabugongwe2933
@nyabugongwe2933 3 месяца назад
We are in Tanzania brother
@user-wf4vk3vz8e
@user-wf4vk3vz8e 3 месяца назад
@@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 месяца назад
Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti
@user-kq5qc4qv5e
@user-kq5qc4qv5e 3 месяца назад
KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅
@user-tk4ko9on7n
@user-tk4ko9on7n 2 месяца назад
hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu
@mwajumagomera7609
@mwajumagomera7609 3 месяца назад
Hongera mwaya esma
@zariadunia6328
@zariadunia6328 3 месяца назад
Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 3 месяца назад
Unakuwepo akipewa hivyo vyote acha wivu bana
@annasolomon9855
@annasolomon9855 3 месяца назад
Labda sapoti lakini na yeye ameweka kitu
@sophiekanyengele3241
@sophiekanyengele3241 3 месяца назад
Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 месяца назад
Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 3 месяца назад
Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂
@HAWAJUMA-vh5vr
@HAWAJUMA-vh5vr 3 месяца назад
Anafunikia kichogo chake 😂😂😂😂😂
@user-cr1nk1zc5s
@user-cr1nk1zc5s 3 месяца назад
Anatangaza vitambaa vya Esma
@RandB_Channel
@RandB_Channel 3 месяца назад
Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo
@RandB_Channel
@RandB_Channel 3 месяца назад
@@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 3 месяца назад
​@Mohaa4mmmhh309
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Hilo limziki ni lann punguzen basi
@mwanaidingwita6214
@mwanaidingwita6214 3 месяца назад
😂😂😂😂❤
@fatimawazeer701
@fatimawazeer701 3 месяца назад
😂😂
@shahamtindo
@shahamtindo 3 месяца назад
Haka kaesma kazurii
@omanmct135
@omanmct135 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@KelvinPatrick-mm2zv
@KelvinPatrick-mm2zv 3 месяца назад
duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani
@juliakinusa4900
@juliakinusa4900 3 месяца назад
Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 3 месяца назад
Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 3 месяца назад
Mmmh
@mayraamon8965
@mayraamon8965 3 месяца назад
😂😂😂😂
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 we kuweza
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 3 месяца назад
Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 месяца назад
❤❤❤
Далее
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Просмотров 202 тыс.
3 September 2024
3:08
Просмотров 712
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00